KIMENUKA! LULU AZIDI KUPONDWA KWENYE JUA KALI, WAMKATAA, AJIBU "Huu mwaka wa kufosi😭" MANGE AHUSIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 59

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx 4 месяца назад +2

    Lulu ww Fanya kz mdogo wangu huwezi kupenda na watu wote

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 5 месяцев назад +10

    Jaman achen wivu na roho mbay zenu mnamponda lulu mbona yup vizuri jamani ukwel nikwamba kinacho wasumbua wivu na roho mbay tu

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 5 месяцев назад +3

      Sio roho mabaya huyu lamata ametuzoea sana mara bill mara sijui nani maria was a main actress

    • @ramasalm-wk5zj
      @ramasalm-wk5zj 4 месяца назад

      Kabisamaana lulu na hajaweza nahatoweza nibora wangempa kipande kingine nibora hatawangesema ni Mdogo ake femi nasiokua maria bado sana wamrudishe tu maria wetuuilio mzoea ​@@fatumakidoa4006

    • @user-qk1el5jr5t
      @user-qk1el5jr5t 4 месяца назад +1

      Na mm naona lulu anafanya vizuri mbona

    • @vickymeikasi8147
      @vickymeikasi8147 4 месяца назад

      Maria is the best

    • @VeronicaValence
      @VeronicaValence 2 месяца назад

      Lulu anafanya vizr lakini maria yuko vzr zaidi kwenye scene yake sio wivu bro huwezi elewa

  • @DennisAli-kz6hv
    @DennisAli-kz6hv 5 месяцев назад +9

    😂jameni Mimi denu from Kenya sijafurahia kubandilishwa kwa Maria 😂

  • @bernakajoro2656
    @bernakajoro2656 5 месяцев назад +4

    Lulu yupo super sana na atakuwa Zaid ya Mars,,kama Bill mpya tumemzoea na Maria mpya tumemzoea,,jumapili kaingiza vizur sana sana,,usihofu Lulu upo vizur sana watakuzoea tu kama bill

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf 4 месяца назад +1

    Nakupenda Lulu achana na wasio kupenda ❤

  • @Aseel-di2jv
    @Aseel-di2jv 5 месяцев назад +2

    Wamseme lamata na siyo Lulu mm nakukubali sana Lulu maua Yako hayo🎉🎉🎉

  • @pendosiye7965
    @pendosiye7965 4 месяца назад +2

    Lulu yuko vzr lkn wamrudishe maria wetu ❤

  • @elizabethgeorge2197
    @elizabethgeorge2197 5 месяцев назад +2

    Atujua huyo aliyeshindwa kuvumilia atajua roho mbaya tu lulu mbona yupo vzr sanaa jamaniii

  • @user-og3sx6th9w
    @user-og3sx6th9w 4 месяца назад +2

    Mimi mwenyeww sjapenda kubadilishwa kwa Maria sjapendaaa 😢😢😢😢😮

  • @LevinaMsafiri
    @LevinaMsafiri 4 месяца назад +6

    mi mwenyewe binafisi sjapenda kubadil mimi mars . ase wana haribu move

  • @user-gf2sq5ux4o
    @user-gf2sq5ux4o 3 месяца назад +1

    Tim Mass tujuane yani malia wa zaman❤

  • @Shadya-ju2el
    @Shadya-ju2el 5 месяцев назад +5

    Toka Maria atoke siangaliii jua kali aki tena lamata twamtaka Maria jmn

  • @agnessbahamu3931
    @agnessbahamu3931 4 месяца назад +1

    Mimi nimempenda maria mpya ako vizuri sana

  • @mafundaramadhan8926
    @mafundaramadhan8926 4 месяца назад +1

    Jamani maria anaweza kumtuliza kaka fule lkn lulu hajui

  • @MishelMwambega
    @MishelMwambega 5 месяцев назад +4

    si wivu jaman tumemuzoea maria maria yko sawa pia anavutia hta kama hutaki kuangalia jua kali utaangalia 2 maria jaman shida nn tuna boeka

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 5 месяцев назад +3

    Nabado mtaisoma namba mtoto lulu anpiga na atapiga kaz jua Kali itaendea maria hawez kuasababish jua kali isiendee tup wengine tutaangalia wew kama hutaki bas wap wadau kibao wanaangalia mbon

  • @vickymeikasi8147
    @vickymeikasi8147 4 месяца назад

    Maria yupo vizuri

  • @qqqswwwmango9670
    @qqqswwwmango9670 4 месяца назад

    Lulu anafaa nafasi ya Maria kbs bila shida na ameweza, ameweza tena

  • @user-gl2kw3rn8k
    @user-gl2kw3rn8k 4 месяца назад

    Kwanza huyo lulu mcharuko amesababisha jua Kali inakuwa mbaya bora maria kiukweli

  • @MwajemeMussa
    @MwajemeMussa 5 месяцев назад +3

    Maria am fikiyi lulu hata kidogo

  • @mercykazungu
    @mercykazungu 5 месяцев назад +3

    Lulu ywawezakweli hatukatai lkn si Kwa nafas ya maria Maria alikua anacheza vizur hii part jaman tunamtaka maria😢😢😢😢😢

  • @chaniranassor6646
    @chaniranassor6646 4 месяца назад +2

    hatuja maanisha kama lulu tunamchukia ila ile scene ya Maria kwa kweri hapendezwi nayo

  • @DorcasSebahunde
    @DorcasSebahunde 4 месяца назад

    Jamani na sisi tuna ku penda lulu lakini mutu rudichiye maria wetu na bili wetu

  • @EliyaSamweli-x8w
    @EliyaSamweli-x8w 22 часа назад

    Tunamtaka Malia wetu mimi mars

  • @user-sv9pb3qs4t
    @user-sv9pb3qs4t 4 месяца назад

    Mic u min mars, but ni kosa la lamata

  • @DuniaGustave
    @DuniaGustave 4 месяца назад

    Nampenda sana

  • @BabraShushuda
    @BabraShushuda 4 месяца назад +1

    Kama zaylisa kaweza ye ni nani ashindwe.tunakupenda sisi wapenzi wa juakali na utaweza zaidi ya kuweza

  • @ReginaJames-ew6ch
    @ReginaJames-ew6ch 3 месяца назад

    Malia mbbona. Yuko vzuur jaman watu mmnawivu duh hakika huwez. Pendwa. Na wote

  • @DorcasSebahunde
    @DorcasSebahunde 4 месяца назад

    Mutu rudichiye maria muna taka aribu filamu yetu

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl 5 месяцев назад

    Waache wivu bhn lulu yupo vzr mnooo❤❤

  • @mariamseif9432
    @mariamseif9432 3 месяца назад

    Mimi ata huyu marya mpya simuelewi

  • @piusalphonce-qs1jt
    @piusalphonce-qs1jt 4 месяца назад

    Atumie mapozi yake lulu itapendeza tu yamaria amuachie mwenyewwe tatizo lamata amwambie atumie mapozi yake

  • @user-ik5ut4du3t
    @user-ik5ut4du3t 5 месяцев назад

    Lulu anaweza vizuri tena jua kali imechangamka lamata anawakomesha safi tu

  • @user-cb5nl9xw6s
    @user-cb5nl9xw6s 4 месяца назад

    Lulu ayup konfotab tunaitj Malia alud kweny nafas yake tunaomb jamn

  • @OthumanMohammed
    @OthumanMohammed 4 месяца назад

    Lulu yupo pouwa acheni wivu jamani

  • @martharugwana2130
    @martharugwana2130 5 месяцев назад +1

    Lulu anafaa sana sema Kuna watu wengine wanaleta chuki binafsi kwa mtu.

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w 5 месяцев назад

    Yote9 jaman tuache wivu na ubinafsi me nampenda lulu mwachen kumshambulia bwn kwan hata zaman mbn tunazipenda move zake leo kiwapata nini, kaah

  • @miriamkyando8505
    @miriamkyando8505 4 месяца назад

    Kifupi juakali saivi imekuwa mbaya alivyo toka Maria lamata mate wangu mrudishe maria Lulu nimzoefu wa kuigiza lkn kwa nafasi ya maria hajui kabisa kwakweli

  • @user-ew7xd1xu3s
    @user-ew7xd1xu3s 4 месяца назад

    Apana yule mm mars alikuazube uyuwasasa jama tumpen mauq yake

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 5 месяцев назад

    Kama tumezoea bill mpya!! Tutazoea tu maria mpya

  • @mudasina6968
    @mudasina6968 5 месяцев назад +1

    Lulu pambana achana na walimwengu kuongea ndio kawaida yao

  • @nyamisanachiwanyi7823
    @nyamisanachiwanyi7823 5 месяцев назад +1

    Me mtu naonaga sijamzoea ni zaylisa tu...menina alikuwa super bhana....

  • @NuruNgole
    @NuruNgole 5 месяцев назад

    Umewazidi wengi lulu fanya kazi watu hawaishiwi maneno tunakupenda

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 месяцев назад +1

    Akili mbovu wivu mtupu hamna no maana .

  • @user-kj7om3gi8q
    @user-kj7om3gi8q 5 месяцев назад

    Lulu anajua sema kwa nafasi ya maria hapana, lulu ni mcharuko

  • @Lidyaanthony-bl1nt
    @Lidyaanthony-bl1nt 5 месяцев назад

    Akitoka lulu niwekeni mm nitafititu watake wasitake

  • @user-cl5mb8lx3r
    @user-cl5mb8lx3r 4 месяца назад

    Lamata me naomba umshawishi maria arudi tumemmisss

  • @nathashacolette113
    @nathashacolette113 4 месяца назад

    Murudishe mimi mars bwana

  • @leahzawadi5104
    @leahzawadi5104 4 месяца назад

    Tamthilia inapoteza ladha😢

  • @user-ud5ru1vg8n
    @user-ud5ru1vg8n 5 месяцев назад +1

    Iyonafasi.yamariya.mrudisheni.mariya.mtaharibu.kipindi.