Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Father mbwaduke unabay teacher 🙌🙌🙌🙌
Mungu ibark Simba
Nakubali mzee wa data❤❤❤❤❤
Leo wa kwanza jamani naombeni like zangu pia kwa mashaviki wenzangu wa yanga nawatakia firaha njema kwa yanga
Unaendeleaje brother
daamungu isaidie simba ishinde ushindi mkubwa
hatari sana kikosi ni kile kile ulichofikiria
Kwa Mutale 22 hapana kwakweli 😂
Simba sc anashinda goli 3
Hv brother mwaduke, siwezi nikaitazama mechi live kutumia startimes app nikiwa kenya
Wao wapambane tu,akuna vya umri, DRC hilifunga TANZAN na ukihangalia vizuri wachezaji wake wengi walikuwa wanazidi WA tanzan umri,Chamuhimu ni ujuzi tu
Luamba Ngoma ana 18
Watoto hao lazima Wapigwe maana tunawazidi Kila kitu Hadi umri!
ndugu mchambuzi Dickson Job ana mtoto anasoma shule ya msingi darasa la nne
Nasikia baka ameumia hii imekaa kaaje
Prediction 100% correct. Kama na wewe umerudi kutazama hii prediction baada ya mechi kuanza tu jipe likes zetu.
Leo iwejua iwe mvua nyuma mwiko hachomoki
Leo Simba lazma afungwe na yanga au yanga lazma amfunge Simba baaas
Wazee wale yange
@@AlfaniMichaelmaneno hayo simba haiwezi kumfunga YANGA bado sana..j😮😮😮
Mutale na ule upara ndo awe na miaka 22😂😂😂 acha
Upara usikudanganye ukamuona mtu mkubwa hapana toa fikira iyo mzeee wewe😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Father mbwaduke unabay teacher 🙌🙌🙌🙌
Mungu ibark Simba
Nakubali mzee wa data❤❤❤❤❤
Leo wa kwanza jamani naombeni like zangu pia kwa mashaviki wenzangu wa yanga nawatakia firaha njema kwa yanga
Unaendeleaje brother
daamungu isaidie simba ishinde ushindi mkubwa
hatari sana kikosi ni kile kile ulichofikiria
Kwa Mutale 22 hapana kwakweli 😂
Simba sc anashinda goli 3
Hv brother mwaduke, siwezi nikaitazama mechi live kutumia startimes app nikiwa kenya
Wao wapambane tu,akuna vya umri, DRC hilifunga TANZAN na ukihangalia vizuri wachezaji wake wengi walikuwa wanazidi WA tanzan umri,Chamuhimu ni ujuzi tu
Luamba Ngoma ana 18
Watoto hao lazima Wapigwe maana tunawazidi Kila kitu Hadi umri!
ndugu mchambuzi Dickson Job ana mtoto anasoma shule ya msingi darasa la nne
Nasikia baka ameumia hii imekaa kaaje
Prediction 100% correct.
Kama na wewe umerudi kutazama hii prediction baada ya mechi kuanza tu jipe likes zetu.
Leo iwejua iwe mvua nyuma mwiko hachomoki
Leo Simba lazma afungwe na yanga au yanga lazma amfunge Simba baaas
Wazee wale yange
@@AlfaniMichaelmaneno hayo simba haiwezi kumfunga YANGA bado sana..j😮😮😮
Mutale na ule upara ndo awe na miaka 22😂😂😂 acha
Upara usikudanganye ukamuona mtu mkubwa hapana toa fikira iyo mzeee wewe😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂