MBWADUKE: KWA VIKOSI HIVI LEO NANI WAZEE? NANI GEN Z? KAPOMBE, AUCHO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment, ku-share na ku-like...

Комментарии • 24

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow 3 часа назад +2

    Father mbwaduke unabay teacher 🙌🙌🙌🙌

  • @CharlesEmanuel-df1bz
    @CharlesEmanuel-df1bz Час назад

    Mungu ibark Simba

  • @ndizeyemadjaliwa2024
    @ndizeyemadjaliwa2024 3 часа назад +1

    Nakubali mzee wa data❤❤❤❤❤

  • @RansMasangwa
    @RansMasangwa 4 часа назад +7

    Leo wa kwanza jamani naombeni like zangu pia kwa mashaviki wenzangu wa yanga nawatakia firaha njema kwa yanga

  • @HusseinKagito-o1e
    @HusseinKagito-o1e 2 часа назад +1

    Unaendeleaje brother

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 2 часа назад +2

    daamungu isaidie simba ishinde ushindi mkubwa

  • @jumazuberi1823
    @jumazuberi1823 Час назад

    hatari sana kikosi ni kile kile ulichofikiria

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 2 часа назад +1

    Kwa Mutale 22 hapana kwakweli 😂

  • @BashirubakariSalala-b1g
    @BashirubakariSalala-b1g 2 часа назад

    Simba sc anashinda goli 3

  • @AbbyMchemam-oz8qp
    @AbbyMchemam-oz8qp 2 часа назад

    Hv brother mwaduke, siwezi nikaitazama mechi live kutumia startimes app nikiwa kenya

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene 2 часа назад

    Wao wapambane tu,akuna vya umri, DRC hilifunga TANZAN na ukihangalia vizuri wachezaji wake wengi walikuwa wanazidi WA tanzan umri,Chamuhimu ni ujuzi tu

  • @Lungu-lx7yd
    @Lungu-lx7yd 2 часа назад

    Luamba Ngoma ana 18

  • @ngerejaboniface2596
    @ngerejaboniface2596 2 часа назад

    Watoto hao lazima Wapigwe maana tunawazidi Kila kitu Hadi umri!

  • @happyacrestanzania6003
    @happyacrestanzania6003 3 часа назад

    ndugu mchambuzi Dickson Job ana mtoto anasoma shule ya msingi darasa la nne

  • @amowinndaudy
    @amowinndaudy 3 часа назад

    Nasikia baka ameumia hii imekaa kaaje

  • @safarivahocha8077
    @safarivahocha8077 12 минут назад

    Prediction 100% correct.
    Kama na wewe umerudi kutazama hii prediction baada ya mechi kuanza tu jipe likes zetu.

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 4 часа назад

    Leo iwejua iwe mvua nyuma mwiko hachomoki

  • @AnneEdwin-b3s
    @AnneEdwin-b3s 3 часа назад

    Leo Simba lazma afungwe na yanga au yanga lazma amfunge Simba baaas

  • @AnneEdwin-b3s
    @AnneEdwin-b3s 3 часа назад

    Mutale na ule upara ndo awe na miaka 22😂😂😂 acha