ال عمران ١٨-٢٠ شهد الله انه لا اله الا هو .... hadi mwisho wa aya 20 وإن تولوا فإنما عليك البلاغ والله بصير بالعباد. Hebu soma hizo aya halafu jiulize vile munadai kuwa mtu akitaka kuwa muislamu sharti atamke shahada mbili. Allah anajishuhudia mwenyewe kuwa hapana mola ila yeye halafu nyie mwadai munashuhudia nyie kuwa hakuna mola ila Allah. Hebu jiulize mumetoa wapi hizo shahada zenu munakufuru kwa aya za Allah
Mmungu akujaze kheri Skh wetu. Allah kajujaza kifuani kwako upana wa Elimu kutupa na sisi wanyonge. Tuitafute Elimu kwa nguvu
Allah akupe kher maalim wetu na pia umri mrefu weny manufaa na wewe pamoja na familia yko kwa ujumla Allah humma amin
Aameen ya Rabbi
❤ mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu Alla akupe umuri mrefu ilituzidi kufaidika na mawaidha Yako inshaallh taaala
Mashaalah mwenyez mungu akuridhie katk dawa zako
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚
MashaAllah 💞😘🇰🇪
Mwenyezi mungu akupe mwisho mwema wewe pamoja nasisi wote
Alhamdulillah elimu Pana shekh Allah akufanyie wepesi na akujazie kheir pamoja nasisi
ماشا ء الله تبارك الله ♥️🙌
❤🧡💙❣💜
ال عمران ١٨-٢٠
شهد الله انه لا اله الا هو ....
hadi mwisho wa aya 20
وإن تولوا فإنما عليك البلاغ والله بصير بالعباد.
Hebu soma hizo aya halafu jiulize vile munadai kuwa mtu akitaka kuwa muislamu sharti atamke shahada mbili.
Allah anajishuhudia mwenyewe kuwa hapana mola ila yeye halafu nyie mwadai munashuhudia nyie kuwa hakuna mola ila Allah. Hebu jiulize mumetoa wapi hizo shahada zenu munakufuru kwa aya za Allah
🙏🙏allhamdullillah shekhe wetu allha akupe umri mwema inshaallah