SHK SALUM MSABAH AWAUMBUA TENA HADHARANI KASOMENI KWANZA KIARABU NDIO MUANZE KUNIRADDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 124

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +3

    Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 года назад +1

    Hii ndo muongoni mwa Hazina zilizobakia zanzibar...Yaa Allah mhifadhi na mlinde mja wako huyu ili tuendelee kunufaika kwa kupata elimu tofauti kutoka kwake....Aamin

  • @allyalzakwani8330
    @allyalzakwani8330 3 года назад +3

    MashaAlalh hiio ndio akida iliyo sahihi.. allah hafanani na kiumbe chchte.. allah akuzidishie elimu..

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +1

    Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh maasha ALLAH tabaraka ALLAH swadakta sheikh #salummusabbah MWENYEZI MUNGU akupe uzima na umri mrefu tuzidi kunufaika katika mambo ya Dini, Ummah mzima atuongoze katika swiratal mustakeem Amiin ya Rabbil Allamin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @YusufYusuf-vk7hi
    @YusufYusuf-vk7hi 2 года назад +1

    Dah kumbe shekhe mpaka kwenye itikadi ni mweupeee. Yaani ukisoma kitabu kidogo tu cha itikadi hilo swali kuhusu Allah kujisifia kubwa ana mikono kwa tamko la umoja, uwili na uwingi. Ni jambo jepesi mno katika elimu. Panahitajika kusomwa dini

  • @official_yuram6711
    @official_yuram6711 3 года назад +5

    Nilikuwa napenda sana kuwasikiliza hawa mashekh lakin nimegundua hamna kitu elimu sahihi ni ile ya misingi ya masalafy hakika wale ndo wakufuatwa

    • @hashimujumanne9570
      @hashimujumanne9570 3 года назад

      wakufuat ni mashekhe au quruan na hadith sah za mtume jthd usome ili ufuate mwenend sahh

    • @official_yuram6711
      @official_yuram6711 2 года назад

      @@hashimujumanne9570 akhyyy twatkiw tuanglie wap twaichukua dini yetu cio kila mtu au shehe unapswa kuchkua elim kwake

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 года назад

      @@official_yuram6711 sasa kama hvi una uhakika gn mpaka useme salary ndy sahihi wakat ww hujui vlevle

  • @AhmedMohamed-un4zh
    @AhmedMohamed-un4zh 3 месяца назад +1

    Msabaha umesema hawajui lugha lakini umeteleza kwenye asili ya neno
    والسماء بنيناها بأيد
    Katafute tafsiri na kamusi za kiarabu hii mizani yake tofauti na يد
    Muogope mola wako usiige misemo ya watu wa batil

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +2

    Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANA WA TA'ALA

  • @jumaaomary4949
    @jumaaomary4949 3 года назад +1

    Mashallah

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 2 года назад +1

    Aaaah msabah mpotoshaj Wallah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +1

    Allah Subuhana wataala hatafsrc wala hafananishw

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 3 года назад

    Mashallah Shekhe

  • @user-kd2fv9pf4v
    @user-kd2fv9pf4v 3 года назад +2

    Anayesifiwa husifiwa kwa kile alicho nacho. Huwezi sifiwa mfano Juma jicho lilimtoka mwanae alipokuwa anauawa mbele yake ....Juma kumbe kipofu jitolilimtoka vipi...haoni iweje aone mwanawe anaovyouawa. Ust Msabaha ameshika kijiti wakati mafuriko anadhani ataokoka kuzama kuna muhusu.

    • @user-kd2fv9pf4v
      @user-kd2fv9pf4v 3 года назад

      Hiyo ni mosi ...pili yeye anaona kibanzi katika jito la mwenzake kumbe jicho lake lina vibanzi viwili. 1) لُعِنوا hiyo aya ya kwanza aliyoisoma neno lu3inuu(لعنوا) yeye ain(ع) kaitia dhwamma kasoma lu3unuu(لعُنوا)....wakati ni lu3inuu ع inatakiwa iwe na kasra.... Hii inadhihirisha yeye mwenyewe kiarabu hakifahamu anadandiadandia tu..... Allahu mustaanu

    • @jamalbahdela524
      @jamalbahdela524 2 года назад

      Jicho lilipomtoka lilianguka chini? Muwe na ufahamu mawahabi

    • @user-kd2fv9pf4v
      @user-kd2fv9pf4v 2 года назад

      @@jamalbahdela524 ... kiswahili hukifahamu...

    • @jamalbahdela524
      @jamalbahdela524 2 года назад

      @@user-kd2fv9pf4v Na ndo mnajua Allah ana mikono kw sbb ya kutofahamu lugha

  • @Muislamu
    @Muislamu 2 месяца назад

    Ww asharii muswabah

  • @user-sc4iv7qp9b
    @user-sc4iv7qp9b 3 года назад +2

    yaan duh! hao wanaotafsir quran bila kujua majaz ndan yake wanaifanya quran ionekan ina migongan na hal hakuna

  • @hassanalbasq3160
    @hassanalbasq3160 3 года назад +3

    USIONGEE VITU USIVONA ELMU NAVYOO MCHE ALLAH NA MUHIMU ELIMU SAHIHI!! MH AQIYDA JAMANI UNAEWEZA KUINGIA KATIKA KUFRU BILA KUJIJUA AU UNAJUA

  • @karimulahiabdullahi6816
    @karimulahiabdullahi6816 3 года назад +1

    Sheikh Aqiidah yako Chunga Sana isikuingize katika kufr

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 года назад

      walioingia kwenye kufru ni wale wanaosema ktk aqida zao kuwa Allah ana macho ana pua, mdomo masikio, mikono na miguu, hawa ndiyo wanaokufuru na wala sio sheikh,

    • @karimulahiabdullahi6816
      @karimulahiabdullahi6816 2 года назад

      Shekh Allaah ni mwenye sifa zote alizojithibitishia lakini hazishabihiani na viumbe. Kwahivyo Wewe inakuuma nini Allaah kuwa na Macho au Masikio ambayo sikama macho ya viumbe au masikio ya viumbe?

  • @ibrahimfarouq8339
    @ibrahimfarouq8339 3 года назад +1

    Eeh kumbe ndio huko hivyo ewe jamaa
    Allāh akuongoze wewe na sisi

  • @hassanalbasq3160
    @hassanalbasq3160 3 года назад

    ALLAH AKUONGOZE KUMBE MPAKA AQIYDA YAKO CHAFU SUBHANALLAH!! TUBU KWA ALLAH NA SOMA AQIYDA USISOKOTE WENZAKO!!!!!! DAH WEWE MZEE KHATARI SANA

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 года назад +1

      kaka hem tufahamishe lengo lako la kukoment.. sisi ni watafuta elimu.. hem weka hoja zako apo na aya ututhibitishie tupate faida kutoka kwako....

    • @hassanalbasq3160
      @hassanalbasq3160 3 года назад

      @@Humble..... Al akh tafuta darasa la AQIYDAH YA MTUME NA MASWAHABA JUU YA UFAHAM WA HAO NDIO USALAMA UNAPATIKANA!!! IBNU SIRIN ANA MANENO MAZUURI ANASEMA "HAKIKA YA ELIMU NI DINI BASI ANGALIA NI KWANANI UNACHUKUA DINI YAKO" KWAIO HUYU si wakusoma kwake mana anapotosha ummah juu ya mafundisho yke

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 года назад +1

      @@hassanalbasq3160 mm naomba utupe tafsir ya hizi aya alizotaja... coz weng tunataka faida na ww naona uwezo huo unao usione tabu kuandika coz Allah atakulipa kw elim ulotoa... ww izo aya tupe maana ya sawa tofaut na iyo alotoa yye... pleeez

    • @hassanalbasq3160
      @hassanalbasq3160 3 года назад

      TUTAFUTE ELIMU LAKNI HUYU HAKUELEZEA USAHIHI MAANA KAEND MBALI SANNAH KWAIO HAYO NI MAMBO MAPANA HAYATOSHELEZ KWA KUCOMNT ILA TUTAFUTE MADARS. NA SIO KUA MM MCHOYO WA HILO LAA MUHIMU TAFUTA ELMU

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 года назад

      Ss mm nlivo mfaham anakusudia Allah akisema mikono hua ana maana ya utendaji( ukarimu au nguvu) ss hem nifahamish kiufup ww unasemaje?? Allah anayo iyo mikono???

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 3 года назад +3

    Mawahabi akili zao zina matatizo

  • @YusufYusuf-vk7hi
    @YusufYusuf-vk7hi Год назад

    Dah kumbe shekhe mtambo sana kumbe? Yani watu wanazungumzia mikono ya Allah ww unazungumzia mikono ya Nabii Daud

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 3 года назад

    Songa mbele sheikh kuelimisha

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 3 года назад +4

    Lugha na Aqidah ni vitu viwili tofauti, nenda kaangalie tafsiri ya Ibn kathiir utaona alivo tafsiri yye, unaootosha watu. Allah akuongie na ssi pia.

    • @ayubmusa9816
      @ayubmusa9816 3 года назад

      Masufi wanashinda,hawajui kitu

    • @user-dx9zb4yw5p
      @user-dx9zb4yw5p 3 года назад

      Mahfoudh Allah awape kheri na awasalimishe katika dunia na akhera kwa comment hii.
      Maa shaa Allah

    • @arafatmanga
      @arafatmanga 3 года назад

      hilo neno lenyewe (aqida) ni la kiarabu..., utatofautishaje?!

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 2 года назад

      @@arafatmanga hawawezi hoja wao wanajua kuita majina tu,hakuna hata mmoja amemjibu na Bado mifano ipo mingi ya kiswahili maana ya kiarabu hawajui, SERIKALI INA MKONO MREFU,maana yake serikali Ina mikono,
      Kwenye Quran kila kitu kitaangamia ISIPOKUWA uso wa Allah,Ina maana mikono ,miguu itaangamia KASORO uso, astaghfirullah.

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 2 года назад

      Unamsingizia IBN kathir Bure na Wala hujui lolote kuhusu IBN kathir ISIPOKUWA jina tu

  • @barwani890
    @barwani890 2 года назад

    Asalaam sleikum skekh salum msabah wacha kusema watu na ww usijisifu mtu hajisifu asifiwe tunakufaham zamani Kama umeamuakufundisha watu sio kudharau watu

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed9746 3 года назад

    Ww mwenyewe mbona una sauti ya kike

  • @mogul5825
    @mogul5825 3 года назад

    JE!! WEWE HIZO TAFSIRI UNAZOZIZUNGUMZA UMEZITOLEA WAP ??

  • @ramadhanmussa673
    @ramadhanmussa673 2 года назад

    Mweupeeeeeeeeee hanna kitu

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад

    Shukraan jazzakah ALLAHU kheiran barakallahu feekum #riyadhtvonlineznz kwa faida tunazo pata kupitia kwenu

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 3 года назад

    Sheikhe nenda kasome Aqidah

  • @AbdallahAlly-mu9wx
    @AbdallahAlly-mu9wx 5 месяцев назад

    Sheikh cha pombe huyo 🤣

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232 2 года назад

    Hivyo vitisho kwamba watu hawajasoma walikua navyo masufi baada ya masalafi kudhihirisha dawa mubaraka wamenyamaza kimya baada ya kubainikiwa na elimu ya masalafi sasa na wewe umekuja kivilevile sasa sijui na CUF au ni zile BIA alizokuwa unakunywa ndio zimekupa ujasiri stara ya mijnga ni kunyamaza

  • @rashidkhamis2801
    @rashidkhamis2801 3 года назад +2

    tatizo la masalafy hawataki kusoma lugha yakiarabu, wnabaki kuyaingilia bambo bila ya ushahidi, kazi kubabaisha wtu tu.

    • @allyalzakwani8330
      @allyalzakwani8330 3 года назад

      Halafu ndio sabb ya kuleta mtafaruku na fitna katka jamii.. kila mmoja abaki kwa kile alichokiamini kama wanataka mdahalo wa kielem uweke mezani sio kila mmoja anarikodi upande wake huwez kujua haki.. huoni kama masalafi hawatokimbia kama kawaida yao..

    • @official_yuram6711
      @official_yuram6711 3 года назад

      Akhii nyote majahil tafuten vitabu musome kwa kufuata misingi ya masalafi

    • @YusufYusuf-vk7hi
      @YusufYusuf-vk7hi 2 года назад

      @@allyalzakwani8330 fanya ukasome ndugu

  • @abuuhazmimakamealy7208
    @abuuhazmimakamealy7208 3 года назад

    Sikufikiria kama hiyo ndio aqidah yako duuuh!

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 3 года назад

    Sasa ili liibadhi li salum silikalale lisome maana hilijijui

    • @meekman654
      @meekman654 3 года назад +2

      Muogope Allah ewe kiumbe. Na kua muadilifu hata kama MTU humpendi.

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 года назад

      km uislam umefikia hatua hii kuwa na waislam km ww sijui km utashika dola... makufar wataendelea kututafuna km Mtume s.a.w... alivosema...

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 3 года назад

    Huyo ni ibadhi kwa hiyo hatushangai kwasababu maibadhi wao ni kuondosha sifa ya Allah katika quran

    • @mussamsuya8595
      @mussamsuya8595 3 года назад +1

      Kumbe liiibadhi hili

    • @meekman654
      @meekman654 3 года назад

      @@mussamsuya8595 Kuweni wakweli msiseme msiyo na elimu nayo.

    • @Humble.....
      @Humble..... 3 года назад

      Kwn kuondosha sifa ya Allah ni vipi??? au ivo kusema hana mikono km yetu wanadamu???

    • @user-ng5dr7mn1d
      @user-ng5dr7mn1d 3 года назад

      فعلا، إن العلم نور.
      نصيحتي مني لكم أيها المتعصبون.
      اقرأوا وتعلموا وابحثوا وتعمقوا وتبحروا في العلم (الدين)، وحاولوا أن تطلعوا كتب المذاهب المختلفة المتنوعة عندها ستزول عنكم هذه الحقائد والبعض والتعصب المذهبي العقدي.. وستصبحوا منتصفين متسامحين لبعضكم بعضا.
      هذه هي نصيحتي مني لكم.

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 года назад

      @@user-ng5dr7mn1d hpo umesema

  • @alimahmud8927
    @alimahmud8927 2 года назад

    Sheikh ungefanya rejea kwenye Vitabu vya AQIDA vya AHLU SUNNA WALJAMAA kuliko kutumia akili

  • @AnwarMahmoud-xr7rw
    @AnwarMahmoud-xr7rw 7 месяцев назад

    Hakuna jamb

  • @sephshemdoe2618
    @sephshemdoe2618 2 года назад

    NAkubaaali

  • @vetahlimited9
    @vetahlimited9 3 года назад

    Utakuja na lipi jipya ewe (MSabaha) ambalo hawajalizungumza wanawachuoni,

    • @TheIslam1681_
      @TheIslam1681_ 3 года назад

      Hao hufika kusema hd wakina sheikh Fawzaan hawajui lugha.

  • @salehmasoud5104
    @salehmasoud5104 3 года назад

    Tna anajisifu anajua mambo kwa mifano ya kibinadamu

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 3 года назад

    عليك من الله ما تستحق

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 3 года назад

    Hii ndio tafsiri swaf,wat
    Ya qur,ani kabisaaaa

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed9746 3 года назад

    Kajifundishe na ww kajifundishe kuongea kiume ndo uje uongee na masalafi

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 3 года назад

    Sheikh salim msabaha hapo 💯 💯

  • @abuuzarkaan604
    @abuuzarkaan604 3 года назад

    Wigi kubwa lakin ndio kawaida ya watu wa bida'ah kujisifu na kujiona wanajua na wakibanwa oooh masalaf hawajui lugha wew unaijua? A'aqidah yenyewe imeoza.SHEIKH MAWIGI kaa chini usome acha siasa

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly3581 3 года назад

    WEWE NIMSHENZI KABISA TENA NJINGA WA MWISHO

    • @hajiupepo3146
      @hajiupepo3146 3 года назад

      Wewe je unaetukana mitusi hiyo? Si mshenzi??

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 2 года назад

      KW hao mashekh zenu mchwara tunawakaribish mskiti Wa mchanga km wantk mjadal kuhus elimu tu waon km hawataadhiriki hili jamaa simu tn kW sasa hv natftia mm Ana lugha zaid ya saba

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 3 года назад +1

    Kuna mpumbavu mmoja ktk hizi koment ety anasema masalafi hawajui kiarabu . hhhhhhhh Namwambia ivi yeye ata icho kiswahili hakijuwi wacha kiarabu na ushahidi wa Hilo isomeni iyo koment yake apo chini.

  • @user-mt9eo3lg9j
    @user-mt9eo3lg9j 3 года назад +1

    Kwa hiyo walivyofahamu kina Ibnu Abbas na maswahaba wengine ni makosa? We na kiwigi chako ndio una akili nyingiii??? We babu jomba kweli kweli sio kidogo. Allah akuongoze kwenye aqida ya Sawa...

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      Kwani Ibn Abbas kasemaje?
      Allah anayo mikono ama?

    • @abuuzarkaan604
      @abuuzarkaan604 3 года назад

      Hewa saaan huyo ..aqidah yake imeoza

    • @abuuzarkaan604
      @abuuzarkaan604 3 года назад

      Wigi kubwa lakin ndio kawaida ya watu bida'ah kujisifu na kujiona wanajua na wakibanwa oooh masalaf hamjui lugha wew unaijua? Maana a'aqidah yenyewe imeoza cjui utasema Nini tukuelewe..wew kaa chini jifunze a'aqidah ndio kitu Cha Kwanza MAWIGI WEWE acha ujanja kweny dini

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад +1

      @@abuuzarkaan604 wani Ibn Abbas kasemaje?
      Allah anayo mikono ama?

    • @abujamalaalghammawiy7470
      @abujamalaalghammawiy7470 3 года назад

      @@abuuzarkaan604 wani Ibn Abbas kasemaje?
      Allah anayo mikono ama?

  • @yahya1983ali
    @yahya1983ali 2 года назад +1

    Eh bwan kumbe hujafikia daraja ya kutoa darasa ww ni mpotevu, rudi kwa darasa, hiyo dalili unayotaja wala sio jam3u ya يد bali ni neno tofati ambalo linamaanisha nguvu, kutokana na آد يئيد أيدا كوزن باع يبيع بيعا na neno hili kwa maana yake kilugha ni القوة.. kwahivyo rudi kwa vitabu vya lugha wala usitafsiri qurani utakavo ww, rudi tafsiri nyingi kama bile ya twabary utaona maana hii

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 2 года назад

      Ww km una elimu kwl njoo mchanga I pale hlf ushindan tuone

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 2 года назад

      Wewe ndiehuna ujualo wamtia mungu viungo?ولم يكن له كفوا أحد

    • @amerwelder7786
      @amerwelder7786 Год назад

      Yaani ww unamwambia shekh msabah arudi darasani

    • @amerwelder7786
      @amerwelder7786 Год назад

      Unamjuws lkni

    • @abumaryam6909
      @abumaryam6909 Год назад

      Nimekaa kwenye darasa ya sheikh anajua lugha lakini anashida ya kukubali kilichotangulizwa na wanazuoni wafasiri wakubwa, nikweli kama hujui kufasiri Quran bora usifanye kazi ya daawa unapotosha watu