ALLY KAMWE AONGOZA MASHABIKI WA YANGA NA MABANGO YA CHAMA/HATUTAKI MAJIRANI/TUNATAMBA NAE
HTML-код
- Опубликовано: 30 июн 2024
- Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.
Спорт
💚💛💚💛💚💛
Hersi Said anawapenda saana mashabiki wa Yanga msimu uloisha alimleta skudu kwa ajili ya kutoa burudan na sasa kamleta mchezaji ambaye hata kama hata cheza ila wananchi wameburudika😂🎉polen saana makolo😊
Burudani ya skudu kwa soka la bongo ni ipi aaa nimekumbuka kucheza ngoma za kwao south Africa
Simb nguvu Moja hata mchague tena meingine lakin Simba ni simb tu wacha tuwagawie mabaki
Unyama sana bong moja la mapokezi big up sana😅
Watani acheni makasiliko hii ndo YANGA BWANA na Bado hamjasema😂😂😂😂😂
Chama anajua na akikutana na wakina Ki Master balaa lake mtaliona😂😂
Yanga hawa dogo kwa kweli, chama 👍🏽
Wazee Sasa wanahamia yanga sisi simba washatutosha simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Maneno ya mkosaji ni sawa na mfa maji
achen maneno chama ni kipenzi Cha yanga
CPE
YANGA BIG UP SANA..
Raisi wetu hongera sana kwa usajiri wa macho ya wananchi kuwapa furaha kubwaaaaaa❤
Simba mpaka mfe na mapresha
Ukiona wanini wenzenu watampata lini
Bravo Yanga
Haya sasa......
Hayawi hayawi ...,...... Sasa. ....,.
Wengi wataumia sana. Wengine watalia
Vzr clip zinahifadhiwa huu ulimbukeni wenu wa " kusajil wachezaji waloachwa vizee mbiooo ilaa kulipa madeni aaakh " mpk mfungiwe
Jamani mambo ni mengi ila msisahau yule jamaa aliyefufuka nchini arusha na kudai ardhi yake ambayo alikua na mgogoro😂😂😂😂
Alafu mseme utopolo ni timu kubwa kwa lipi na hapo ndo muamini kua ubora wa utopolo Ashukuliwe mo no doubt 😊
Yaani mpaka wasemee
Unyama unyama tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani tusijetukamtia nux wenyewe siku ya mechi ikawa hamna kitu
Ilimradi kuwakera tu😂😂
Alikamwe anajua kazi yake siomuongo onyo anajua kuwanarahana mashabiki
Tatizo la mashabiki wa makolo hawakubali kuwa wanapitia hali ngumu mpka 2030
Simba nguvu moja huo ni shamba tu simba wanajielewa
nabado mtasema
Hongereni yanga kutimiza ndoto yenu ya kummiliki chama ss hatuna kinyongo nazani mwisho wa mpira wa chama TZ ndio huu sasa , tuliwai kuwa na kipenzi chetu okwi nae alicheza utopoloni lakini bahati iliyoje Kwa Simba siku zote ndio timu yenye kutengeneza mastaa wakubwa nchini hopely baada ya chama Kuna mfalme mwingine atazaliwa
Kama fulivomtengeneza saido na morisoni mkawachukua unaongea nini wew kolounalia UKIWA wapi
Unaumia ukiwa wapi
Pole weeee Nani mloyemtengenezs
Subiri akakutane na watu wa Moira ndio.mtamjua anajua au hajui
Na badooooo hamjasema
Makolo kazi munayo chama bingwa msimi huu mtatukimbia aswa kwa hari hii chama pakome yao azizi mdasiri dube 😂😂😂🎉
Sasa huku kuhusisha mchezaji na kuzaa kweli maneno ya mkosaji sungura sizitaki mbichi hizi 😂😂😂
😂😂 Yanga ooooooooooyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂mmeumia Sanaa sana tena sana 😮😮😮😮😮😮
Nilijua tu
Yule aliyesema Chama akienda Yanga anaacha kuishabikia Simba,ama atahamia Azam,sasa imebaki kazi kwake,aikache Simba au Simba imkache GB64😁😁🤭🤭🤣🤣
Waacheni wafanye watimize furaha yao.
Alikamwe ni chura anae miwan vyura fv👉🐸🐸🐸🐸😅😅😅😅
mashabiki wa simba ata hatujaumia maana tulishaona hatufai ni bora lakin sio kwa matarajio yetu tena mchezaji ambae ataenda kucheza msimu mmoja na akapotea
Na bado mpaka mseme
Nfio utaona ni mzee au ni uongozi wenu ndio mataira
Semeni kweili mmemkosa sasa maneno mengi kukosa kubaya
Ali kamwe ana pirika😂
Hakuna cha kumaliza.mpira wake wewe
Jamani sasa kama siyo mali mbona makasiriko vilio masikitiko vinawatoka vumilieni yanga nitimu kubwa zaidi Tanzania mchezaji yoyote ili uwe nimchezaji bora hapa Tanzania na uliyekamilika nilazima ucheze yanga lakini kama hukucheza yanga uliishia kucheza huko kwa machakubimbi basi wewe siyo bora maana hujapitia kwenye top timu mataji 30 ya ligi kuu 😄😄
Siyo chama kaachwa yy kaiacha simba
Kwani amevunja mkataba???
A2na dogo wananchi dadeki😂😂😂 zenu makolonyomboko😂😂
Huku Chama kasajiliwa Yanga huku Msigwa kasajiliwa CCM.
Ni humu tu 😅
😂😂😂
Ujinga tuuu ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno😂😂😂😂.kusajir wastaafu tuu😂😂😂😂 ovyoo
Alikamwe na hao wenzake wapumbavu
Matusi ya nini sasa?😂
Ali kamwe akilala anakoroma Kama gari bovu kwa hekaheka alizonazo 😂😂😂
Mwanamke kazalishwa Mika watoto kibao bikra hakuna leo mna muona Bora kaachwa je mngivunja mkataba
Wen Yanga WANT a PLAYER, WE NEVER FAIL! NA SHUGHULI YETU HUWA SIO NDOGO! YANGA IS A BUSINESS CLUB ! WATU HAWAJUI! HII YA CHAMA,NI BIASHARA...NIKO CAMBRIDGE,UK!