ALLY KAMWE AONGOZA MASHABIKI WA YANGA NA MABANGO YA CHAMA/HATUTAKI MAJIRANI/TUNATAMBA NAE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2024
  • Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.
  • СпортСпорт

Комментарии • 62

  • @khadijakapoly
    @khadijakapoly 4 дня назад

    💚💛💚💛💚💛

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 3 дня назад

    Hersi Said anawapenda saana mashabiki wa Yanga msimu uloisha alimleta skudu kwa ajili ya kutoa burudan na sasa kamleta mchezaji ambaye hata kama hata cheza ila wananchi wameburudika😂🎉polen saana makolo😊

  • @AsmaAmeir-s3b
    @AsmaAmeir-s3b 3 дня назад

    Burudani ya skudu kwa soka la bongo ni ipi aaa nimekumbuka kucheza ngoma za kwao south Africa

  • @CharlesNkanda
    @CharlesNkanda 4 дня назад

    Simb nguvu Moja hata mchague tena meingine lakin Simba ni simb tu wacha tuwagawie mabaki

  • @GeofreyYulian
    @GeofreyYulian 4 дня назад +2

    Unyama sana bong moja la mapokezi big up sana😅

  • @JudithLusonzo
    @JudithLusonzo 4 дня назад +2

    Watani acheni makasiliko hii ndo YANGA BWANA na Bado hamjasema😂😂😂😂😂

  • @user-ow4dg4lu3b
    @user-ow4dg4lu3b 3 дня назад

    Chama anajua na akikutana na wakina Ki Master balaa lake mtaliona😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 дня назад

    Yanga hawa dogo kwa kweli, chama 👍🏽

  • @HawaSimai
    @HawaSimai 4 дня назад +2

    Wazee Sasa wanahamia yanga sisi simba washatutosha simba nguvu moja🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @josephjohn9987
    @josephjohn9987 4 дня назад +1

    achen maneno chama ni kipenzi Cha yanga

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 4 дня назад

    CPE

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 дня назад +1

    YANGA BIG UP SANA..

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 дня назад

    Raisi wetu hongera sana kwa usajiri wa macho ya wananchi kuwapa furaha kubwaaaaaa❤

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 4 дня назад +1

    Simba mpaka mfe na mapresha

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 4 дня назад +1

    Ukiona wanini wenzenu watampata lini

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 4 дня назад

    Bravo Yanga

  • @ImmaMshashy
    @ImmaMshashy 4 дня назад

    Haya sasa......
    Hayawi hayawi ...,...... Sasa. ....,.
    Wengi wataumia sana. Wengine watalia

  • @alitante4279
    @alitante4279 4 дня назад

    Vzr clip zinahifadhiwa huu ulimbukeni wenu wa " kusajil wachezaji waloachwa vizee mbiooo ilaa kulipa madeni aaakh " mpk mfungiwe

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 4 дня назад +1

    Jamani mambo ni mengi ila msisahau yule jamaa aliyefufuka nchini arusha na kudai ardhi yake ambayo alikua na mgogoro😂😂😂😂

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 4 дня назад

    Alafu mseme utopolo ni timu kubwa kwa lipi na hapo ndo muamini kua ubora wa utopolo Ashukuliwe mo no doubt 😊

  • @user-rc7zm3zx7q
    @user-rc7zm3zx7q 4 дня назад +1

    Yaani mpaka wasemee

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 4 дня назад +1

    Unyama unyama tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x 4 дня назад +1

    Jamani tusijetukamtia nux wenyewe siku ya mechi ikawa hamna kitu

  • @AllyBardan
    @AllyBardan 4 дня назад

    Alikamwe anajua kazi yake siomuongo onyo anajua kuwanarahana mashabiki

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 дня назад

    Tatizo la mashabiki wa makolo hawakubali kuwa wanapitia hali ngumu mpka 2030

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene 4 дня назад

    Simba nguvu moja huo ni shamba tu simba wanajielewa

  • @user-zb9mf3us2w
    @user-zb9mf3us2w 4 дня назад

    nabado mtasema

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 4 дня назад +2

    Hongereni yanga kutimiza ndoto yenu ya kummiliki chama ss hatuna kinyongo nazani mwisho wa mpira wa chama TZ ndio huu sasa , tuliwai kuwa na kipenzi chetu okwi nae alicheza utopoloni lakini bahati iliyoje Kwa Simba siku zote ndio timu yenye kutengeneza mastaa wakubwa nchini hopely baada ya chama Kuna mfalme mwingine atazaliwa

    • @emmykassim4132
      @emmykassim4132 4 дня назад +5

      Kama fulivomtengeneza saido na morisoni mkawachukua unaongea nini wew kolounalia UKIWA wapi

    • @CharlesSomeke-ml7ju
      @CharlesSomeke-ml7ju 4 дня назад +4

      Unaumia ukiwa wapi

    • @user-ow4dg4lu3b
      @user-ow4dg4lu3b 3 дня назад

      Pole weeee Nani mloyemtengenezs

    • @user-ow4dg4lu3b
      @user-ow4dg4lu3b 3 дня назад

      Subiri akakutane na watu wa Moira ndio.mtamjua anajua au hajui

  • @emmahuruma7595
    @emmahuruma7595 4 дня назад

    Na badooooo hamjasema

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 4 дня назад

    Makolo kazi munayo chama bingwa msimi huu mtatukimbia aswa kwa hari hii chama pakome yao azizi mdasiri dube 😂😂😂🎉

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew 4 дня назад

    Sasa huku kuhusisha mchezaji na kuzaa kweli maneno ya mkosaji sungura sizitaki mbichi hizi 😂😂😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 4 дня назад

    😂😂 Yanga ooooooooooyeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EsterUpendo
    @EsterUpendo 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂😂mmeumia Sanaa sana tena sana 😮😮😮😮😮😮

  • @ZachariaPetro-gn8qc
    @ZachariaPetro-gn8qc 4 дня назад

    Nilijua tu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 4 дня назад

    Yule aliyesema Chama akienda Yanga anaacha kuishabikia Simba,ama atahamia Azam,sasa imebaki kazi kwake,aikache Simba au Simba imkache GB64😁😁🤭🤭🤣🤣

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 4 дня назад

    Waacheni wafanye watimize furaha yao.

  • @user-eu5yu8hx2z
    @user-eu5yu8hx2z 2 дня назад

    Alikamwe ni chura anae miwan vyura fv👉🐸🐸🐸🐸😅😅😅😅

  • @filbertmachesha9323
    @filbertmachesha9323 4 дня назад +1

    mashabiki wa simba ata hatujaumia maana tulishaona hatufai ni bora lakin sio kwa matarajio yetu tena mchezaji ambae ataenda kucheza msimu mmoja na akapotea

    • @emmahuruma7595
      @emmahuruma7595 4 дня назад

      Na bado mpaka mseme

    • @rukaya-jg7hj
      @rukaya-jg7hj 4 дня назад

      Nfio utaona ni mzee au ni uongozi wenu ndio mataira

  • @RajabkhamisRajab
    @RajabkhamisRajab 4 дня назад

    Semeni kweili mmemkosa sasa maneno mengi kukosa kubaya

  • @khairatali3676
    @khairatali3676 4 дня назад

    Ali kamwe ana pirika😂

  • @user-ow4dg4lu3b
    @user-ow4dg4lu3b 3 дня назад

    Hakuna cha kumaliza.mpira wake wewe

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew 4 дня назад

    Jamani sasa kama siyo mali mbona makasiriko vilio masikitiko vinawatoka vumilieni yanga nitimu kubwa zaidi Tanzania mchezaji yoyote ili uwe nimchezaji bora hapa Tanzania na uliyekamilika nilazima ucheze yanga lakini kama hukucheza yanga uliishia kucheza huko kwa machakubimbi basi wewe siyo bora maana hujapitia kwenye top timu mataji 30 ya ligi kuu 😄😄

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 4 дня назад

    Siyo chama kaachwa yy kaiacha simba

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 4 дня назад

    A2na dogo wananchi dadeki😂😂😂 zenu makolonyomboko😂😂

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 4 дня назад

    Huku Chama kasajiliwa Yanga huku Msigwa kasajiliwa CCM.

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey 4 дня назад

    😂😂😂

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722 4 дня назад

    Ujinga tuuu ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno😂😂😂😂.kusajir wastaafu tuu😂😂😂😂 ovyoo

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 4 дня назад

    Alikamwe na hao wenzake wapumbavu

  • @halimakhamisi7946
    @halimakhamisi7946 4 дня назад +1

    Ali kamwe akilala anakoroma Kama gari bovu kwa hekaheka alizonazo 😂😂😂

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 дня назад

    Mwanamke kazalishwa Mika watoto kibao bikra hakuna leo mna muona Bora kaachwa je mngivunja mkataba

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 дня назад

    Wen Yanga WANT a PLAYER, WE NEVER FAIL! NA SHUGHULI YETU HUWA SIO NDOGO! YANGA IS A BUSINESS CLUB ! WATU HAWAJUI! HII YA CHAMA,NI BIASHARA...NIKO CAMBRIDGE,UK!