Uwanja wa JKIA wakabiliwa na athari zaidi za mvua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 апр 2024
  • Safari kadhaa za ndege kutoka humu nchini ziliahirishwa na kuelekezwa kwengineko kutokana na athari za mvua inayoendelea kunyesha. Hii ni baada ya mamlaka ya kitaifa ya viwanja vya ndege kutoa ratba ya mabadiliko katika sehemu na njia za kuingia au kuondoka kutoka uwanja wa JKIA. Hii inafuatia mafuriko katika sehemu za uwanja huu wa kimataifa.

Комментарии • 168

  • @salomemombo6071
    @salomemombo6071 Месяц назад +9

    Dear God,May u protect our country and save those who are in need of traveling to different countries for their better future🤲🤲🙏🙏🙏

  • @user-wh5fy9jw8y
    @user-wh5fy9jw8y 26 дней назад

    Ruto na serikali yake wameuthii mungu sana so tutubu na kuomba sana wakenya🙏🙏

  • @antonymangaara2022
    @antonymangaara2022 Месяц назад +4

    Hope they will not blame uhuny e

  • @emeldaadhiambo7180
    @emeldaadhiambo7180 Месяц назад +3

    Wueeeh hii ni mambo gani mungu wangu

  • @user-lh7od6sk9w
    @user-lh7od6sk9w Месяц назад +2

    If my people will humble and pray and turn from their wicked ways then I will forgive their sin and save their Land

  • @jameswayellow4774
    @jameswayellow4774 Месяц назад +7

    Nairobi was once a swamp mother Nature is fighting back to protect her child.

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Месяц назад +5

      Netherlands was all once a swamp too !!! Don't give excuses for incompetence and mismanagement please!

  • @vincentnyabuto5647
    @vincentnyabuto5647 Месяц назад +5

    Aibu sana. When we have eloquent President giving lectures in Europe. Building house for nothing.

  • @Kelvin-zz4re
    @Kelvin-zz4re Месяц назад +6

    😮🤭🙊 this is very serious!!
    A lawyer is in charge of Transport, he knows "your rights" 😂

  • @user-cm6yi4nw7j
    @user-cm6yi4nw7j Месяц назад +2

    Mungu atujalie

  • @veronicahwambui9027
    @veronicahwambui9027 Месяц назад +2

    Soo sad.N ati tuna gavaa😢😢

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Месяц назад +24

    Murkomen hata kama boss hakuambii kitu....wewe resign tu

    • @marthawangondu2950
      @marthawangondu2950 Месяц назад +3

      What will morkomen do,and he can't stop the rain,,kama Dubai warishwo,who are we.lets just pray.

    • @sophiezakaria
      @sophiezakaria Месяц назад +1

      😂😂😂😂

    • @shhjab3621
      @shhjab3621 Месяц назад +1

      Mimi niko hapo kuvuja Kwa paa😂😂😂 imagine kuanzia last year 14/11/2023 hii shida ya kuvuja Kwa paa mpaka Leo 😢😢😢

    • @nurezdawood8363
      @nurezdawood8363 Месяц назад

      Hapo umeongea ukweli kabsaa.

  • @Jakaya-gg1dm
    @Jakaya-gg1dm Месяц назад +2

    Poleni sana

  • @user-to4xx3rj1m
    @user-to4xx3rj1m Месяц назад +3

    Larry Madowo
    Murkomen 😊

  • @monjemghalu1734
    @monjemghalu1734 Месяц назад +15

    Hiii ni adhabu mungu a anawapa juu uongozi haukuwa wa halali hakuna kitu ruto atafanikisha juuu ya huo uongozi haramu

    • @justathought7235
      @justathought7235 Месяц назад +6

      Siku support Ruto lakini utasema pia uongozi Burundi, Tz, Dubai, China pia sio halali? Na Ukraine kwenye vita? Na Hurricane Katrina US miaka iliyopita? Na tsunami? So vile hakuna mafuriko Afghanistan uongozi ni halali?

    • @monjemghalu1734
      @monjemghalu1734 Месяц назад

      Maa afa kila siku watu kupotea na wasijulikane uharibifu kila sehemu uliona wapi JKIA sehemu inaoangaliwa duniani koz ikileta aibu serikali ya kenya inafaa watu wamrudie mungu sana kwa toba makanisa imekuwa biashara uongo ndiyo umekuwa ukweli

    • @lybens6478
      @lybens6478 Месяц назад

      @@justathought7235 stop being brainwashed. Kenya is sinking kwasababu ya uongozi mbaya na watu kufanyia mungu mchezo. This has never happened to that extent!

    • @justathought7235
      @justathought7235 Месяц назад

      @@lybens6478 often brainwashed people think others are. The current situation is bad, no one denies. Unless God has told you it's punishment for leadership please don't assume. I will refer you to the book of Job, one of the books with some of the greatest suffering and loss known to man, yet it is satan testing Job's holiness. I'm not saying government is good, in fact I don't like or support, but let's not use God's name in vain. And yes, it's been more than 10 times than this. Death toll from El Nino 1997/8 was almost 2,000 by some estimates, with following diseases like malaria, cholera etc almost doubling that. Not even counting loss of livestock, infrastructure etc. So hii ni kidogo compared to what has happened before. God has his own ways. If all bad things are because of sin and all good things are because of righteousness then the holy would never suffer, and the sinful would never prosper. God has his own judgements and timings beyond our thinking and timing. Let's stop assuming unless God has spoken to you and told you that's what He's doing.

    • @charlesmwaisaka1613
      @charlesmwaisaka1613 Месяц назад

      I second you

  • @meandme3437
    @meandme3437 Месяц назад +3

    BINAADAMU MUPUNGUZE MADHAMBI !!! !!!!!!! !!!!!!!!😭😭😭😭

  • @DanielOmusolo
    @DanielOmusolo Месяц назад

    Hii ni noma kweli wah

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Месяц назад

    Uzembe. Na sleeping.. miache please 😊

  • @priscanyiraneza4134
    @priscanyiraneza4134 Месяц назад +7

    When Thailand realized that waters from Mekong river (in china) were about to engulf Bangkok city, the Thailand government deployed their army to divert the water, using sand bags, into their Ang thong province. An agricultural area that provided rice and employees of brick making factories. Bangkok City was safe. But government had to compensate rice farmers and Care for employees who lost their livelihoods. I was there to advise on cash package to affected brick workers! Don't we have surveillance mechanism to monitor floods? Helicopters, gava departments, etc. I advised Bangkok and they headed my advice. A prophet is not recognized at home. Haya, tuendelee.

    • @elishatotolela3843
      @elishatotolela3843 Месяц назад

      In Kenya 😂😂😂

    • @globalvoyages4230
      @globalvoyages4230 Месяц назад +1

      Please don't get tired of reaching out, talk to whoever can listen and take action fir the sake of your motherland, be like queen Esther who took head to moredekais advise. You must not keep quiet , you are our voice ,speak it lounder

    • @juniourx2203
      @juniourx2203 Месяц назад +1

      ​@@elishatotolela3843keep on my friend ,our country needs a lot more poeple like you ,in Kenya we don't value proffesionals we value kickbacks but let's not loose hope ,

    • @elishatotolela3843
      @elishatotolela3843 Месяц назад

      @@juniourx2203 true let us soldier on

  • @mybarsnos-rc8oj
    @mybarsnos-rc8oj Месяц назад +1

    Is this the rain that was “prayed for”

  • @globalvoyages4230
    @globalvoyages4230 Месяц назад +2

    God have mercy

  • @samsonodhiambo2953
    @samsonodhiambo2953 Месяц назад +2

    This time sija ckia jina la uhuru

  • @jamalabdillahi3575
    @jamalabdillahi3575 Месяц назад +1

    We inherite this from previous government 😅😅😅

  • @josephkaruga5495
    @josephkaruga5495 Месяц назад +8

    You should realize that Nairobi was a swamp and one of the things the architects didn't do is proper planning considering Nairobi as a swampy area

  • @user-cd4uj5lw1u
    @user-cd4uj5lw1u Месяц назад +5

    May the lord intervine

    • @kentosh120
      @kentosh120 Месяц назад +1

      To repair a leaking roof????

    • @user-tr8qn8ci5f
      @user-tr8qn8ci5f Месяц назад

      Already has intervened,by bringing alot of rain to alert people and nations that they need to prepare for exit ( to God Almighty)

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 Месяц назад +1

    Hahaha poleni ata Dubai yaliyupata hivo c Kenya tuu

  • @akolongakolong440
    @akolongakolong440 Месяц назад +4

    Hapa pia watasema citizen wanaripoti uongo😅

  • @madinahassan2015
    @madinahassan2015 Месяц назад +4

    Watu walikua wahome this month pole sana

  • @omokemorara8656
    @omokemorara8656 Месяц назад +2

    Even KRA guys are no where to be seen. Hongo ya wasafiri imebebwa na mafuriko.

  • @ThankGod2024
    @ThankGod2024 Месяц назад

    Learn through experience . Now precautions can be taken against future heavy rain .

  • @Syddohmusic
    @Syddohmusic Месяц назад +14

    Cs Murkomen is busy fundraising with Sudi in Uasin Gishu

  • @wambuievelynwaithira
    @wambuievelynwaithira Месяц назад +1

    😭😭😭😭😭 aibu

  • @Desamz23
    @Desamz23 Месяц назад

    Murkomen you just a PR enthusiast

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Месяц назад +1

    Hehee what's going on now hivi majuzi ilikuwa n Dubai Sasa tumeenda Kenya, Mungu atunusuru na maangamizi haya qwani tumekosa na kuna Jambo unanena nasi kupitia kazi yako

  • @gabariyeli-yah-benamikayel6988
    @gabariyeli-yah-benamikayel6988 Месяц назад +10

    Aibu tupu!!! Aibu tupu!!! Aibu tupu!!!! Aibu tupu!!!!🤭🤭🤭🤭🤭🥱🥱🥱🥱🥱🤭🤭🤭🤭

    • @Mgultimate
      @Mgultimate Месяц назад +1

      Stop acting like this things don't happen to other countries like China, dubai
      Its affecting the whole world

    • @julahkimgee7278
      @julahkimgee7278 Месяц назад

      Aibu kwa Nani? you can't control nature

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 Месяц назад

      True indeed​@@julahkimgee7278

    • @dadu1564
      @dadu1564 Месяц назад

      Paa kuvuja kama si aibu ni nini wewe😂​@@julahkimgee7278

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 Месяц назад +5

    Wacha raisi Ruto amalize kujenga nyumba za mbei na fuu kwanza..aibu😮😮😮😮😮😮

  • @aminasaid9382
    @aminasaid9382 Месяц назад

    Subhanaallah

  • @user-et4oz9wr7l
    @user-et4oz9wr7l Месяц назад

    Nairobi 🎉🎉mlikujwa raondii ya mvua msikie 😢😢😢😢😂😂 wenye wenkine wasliskia

  • @fabianjoy12875
    @fabianjoy12875 20 дней назад

    How did international president arrive in kenya recently

  • @manixawadh7198
    @manixawadh7198 Месяц назад

    Citizen mmekosea kuandika Aibu zaidi ya JKIA... hyo sio Aibu nchi kubwa zilizoendelea kama UAE imeshisndwa kudhibiti mafuriko kwenye maduka makuu na viwanja vya ndege sembuse Kenya? Hii ni mipango ya Mungu hakuna wa kulaumiwa kwa mafuriko hayo.

  • @reaganaberi1999
    @reaganaberi1999 Месяц назад +4

    ......uwanja huu wa kimataifa

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz Месяц назад

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @marthawangondu2950
    @marthawangondu2950 Месяц назад

    Dubai had same problems, its too much now

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 Месяц назад +1

    waaaa God ruto bana..hapa habana

  • @bahatisuleimangowa1980
    @bahatisuleimangowa1980 Месяц назад

    Ni nani atakaye simamia gharama yote hii,safari zimekatika,mauwa yamearibika na Malo nyenginezo na more funny we have to repair the house 😢. Ewe Mungu tusaidie😮

  • @joshuamwembu3397
    @joshuamwembu3397 Месяц назад +2

    MUNGU siku zote

  • @kilowatts317
    @kilowatts317 Месяц назад +2

    who gave this cattle rustler transport ministry?

  • @fndutakamau
    @fndutakamau Месяц назад +2

    Aibu aibu 😢😢

  • @joanwanyonyi1891
    @joanwanyonyi1891 Месяц назад +1

    😳😳😳😳

  • @Amazingafrica1711
    @Amazingafrica1711 Месяц назад +2

    This government is sleeping on the job.. jamani wakenya tulikosea wapi 😢

  • @Kenyancoolkid254
    @Kenyancoolkid254 Месяц назад

    Hii ni Aibu gani nkt 😢😢😢😢

  • @cuttingedgeConsistentTraders
    @cuttingedgeConsistentTraders Месяц назад

    We blame uhury for the rain sasa😢

  • @rogersombongi6766
    @rogersombongi6766 Месяц назад +2

    This is a shame to ,Cs Murkomen aresign tu

  • @falconheavy9
    @falconheavy9 Месяц назад

    Hapa pengine walete ndegemeli

  • @PatrickMutala
    @PatrickMutala Месяц назад +1

    It's a shame 😢😢

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Месяц назад

    Heheheee

  • @MaryWangari-es6zr
    @MaryWangari-es6zr Месяц назад

    Munajifanya munapenda Mungu Na huko tu ndio munaheshimu watu wa gay halaka Sana mulaaniwe napeda president saana lakiini atafute Mungu waukweli Sio wakujifanya kama Sio atalia zaidi

  • @janekanuthu6678
    @janekanuthu6678 Месяц назад

    Sasa hii ni aibu gani

  • @kevkev389
    @kevkev389 Месяц назад +1

    You still want to repair. Si muanze kuhunda mpya😅😅😅😅😅 just sleep 😴 😅😅

  • @shadrackkaremu782
    @shadrackkaremu782 Месяц назад

    0:21

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 Месяц назад

    Aaah 🤭🤭 na hii pesa yote wanayokusanya everyday kwa Airport inaenda wapi, eti paaa lavuja, is this not a big shame 😮😮

  • @vitalisawuor6155
    @vitalisawuor6155 Месяц назад +1

    WHERE IS NOAH ITS TIME YOU BUILD AS ANOTHER ARK PLIZ

  • @thomasmutero1911
    @thomasmutero1911 Месяц назад

    It all about nature it has nothing to do with murkomen wakenya jameni

  • @jayemm4402
    @jayemm4402 Месяц назад

    Am ashamed as a Kenyan, pole should resign peacefully

  • @daveparko3519
    @daveparko3519 Месяц назад +1

    Only in kenya you hear such things as leaking airport and water all over roads that leads to the airport. This is the second time in few months we are hearing airport being shut down due to power outage and roof leaking. This is so sad. Kipcumba Murkomen is busy donating millions of shillings while Kenyans are suffering. That just shows how incompetent and do not care William Ruto is and his cronies. Pathetic

  • @marynamachanja1836
    @marynamachanja1836 Месяц назад

    Gaii na mimi na travel Friday kutakua aje jameni 😢

  • @abdiwahabibrahim1561
    @abdiwahabibrahim1561 Месяц назад +1

    Which country this

  • @angelamukirae2254
    @angelamukirae2254 Месяц назад

    Murkomen and Sakaja.....

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 Месяц назад

    😂😂😂bado wanatenga tu

  • @vdjniro4042
    @vdjniro4042 Месяц назад

    akili ni nywele murkomen hana....simboooooo

  • @Kamal00684
    @Kamal00684 Месяц назад +1

    Ata Dubai airport ilikua na the same problem but minister wa transport hakuambiwa a resign pelekeni chuki nahuko

  • @kenyanowtv
    @kenyanowtv Месяц назад +3

    Murkomen is busy eating all the monies meant to renovate the airport.

  • @carolinemutheu8822
    @carolinemutheu8822 Месяц назад

    Jamani ruto basi fanya mambo toa hio aibu tafathali toeni hizo kamera😂😂😂

  • @sarahwanjiru7211
    @sarahwanjiru7211 Месяц назад

    And your leaders ni PR tu😢

  • @cjoruznjoroge3870
    @cjoruznjoroge3870 Месяц назад

    Oh 😮 this round not Uhuru...last year November Murkomen was on media promising Kenyans 😂😅 wametenga na kupanga vienye watakalabati JKIA, since then his busy up n across country still promising 😢😢 hii ni aimbu 😢

  • @9starferuz033___
    @9starferuz033___ Месяц назад +1

    Blame Uhuru

  • @jacklinemuthee1932
    @jacklinemuthee1932 Месяц назад

    Hata mvua nimakosa ya gava kweli

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 Месяц назад

    Mungu atulize mvua aki😢😢

  • @fred2030
    @fred2030 Месяц назад

    Sasa tena tutasema ni uhuru hahaha 😂

  • @user-vu7bl9oh8o
    @user-vu7bl9oh8o Месяц назад

    CS murk omen please tell us something we can understand. The issue of licking roofs was reported long time ago whereby as at now we should not be hearing and seeing such. And there's no way you can convince us that you are not sleeping on your job. Ya ukweli you are deeply asleep. So wake! Wake!! Up

  • @FridahOmari-lh7ql
    @FridahOmari-lh7ql Месяц назад +2

    Watu wako hapa wakisema oooh murkomen ooh resign ....... Hata dubs kulikuwa Na mvua and all the planes zilikuwa zimekatizwa kufly shame on you imagine it were you

    • @jobotieno8905
      @jobotieno8905 Месяц назад

      Lakini roof Yao na sehemu za kuweka bidhaa hazivuji maji😢

    • @FridahOmari-lh7ql
      @FridahOmari-lh7ql Месяц назад

      @@jobotieno8905 it does 😂😂 hata juzi Tanzania kulikuwa kunavuja

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Месяц назад

    Tuwache maasi mingi ushoga kenya umezidi na duniani

  • @Soon815
    @Soon815 Месяц назад

    Halafu nyie ndo mnajifananisha na Tanzania??? Mna-akili kwel??

  • @ceciliawairimu2140
    @ceciliawairimu2140 Месяц назад

    Let them steal first

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 Месяц назад

    If these people cannot fix drainage at an International Airport why woukd you possibly think they can fix drainage in your estate?

  • @jacklineachieng1131
    @jacklineachieng1131 Месяц назад

    Sasa roof leaking surely who was the contracter?🙄

  • @countrymankabochi
    @countrymankabochi Месяц назад

    That ps must resign

  • @Honest588
    @Honest588 Месяц назад

    Shame ! Shame ! Our chest thumping leaders are talking about repairs ! What is Proactive ? What is Reactive ! Big shame!

  • @benardondiege1032
    @benardondiege1032 Месяц назад

    Let's blame Uhuru

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 Месяц назад

      Unfortunately that sounds more like a broken record

  • @profAKILI
    @profAKILI Месяц назад

    Bottom up....pwahahahaha

  • @bornfree1595
    @bornfree1595 26 дней назад

    Mùdù mùgo "jeremiah "5:1-17(names were changed so that you remain blind and perish!Ngai Dùire nowe Ngai..tùcokie rùù-ìì(it knows)mùkaro or maa-ìì(truth yes)finish us

  • @Truthfulmen_women
    @Truthfulmen_women Месяц назад

    So planes will land in the sea? 😂😂😂 I can't imagine ndege Niko ndani ikitaka kutua yaani kuland then ati inakaa Kaa hewani ikitafuta Kwa kuland ,, aaaiih , 😢😢😢😢😢

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Месяц назад

    Serikali yenyew waliingia bila bismillah itkosa misukosuko

  • @lucasmusungu1962
    @lucasmusungu1962 Месяц назад

    Murkomen must resign. he's sleeping on his job..he promised to renovate this licking roofs last year, till now he hasn't done anything...shame on him..uongo moob hatutaki.

  • @LeahSimiyu-eg3yb
    @LeahSimiyu-eg3yb Месяц назад

    Don't worry is not judgement only correction, this generation is gone astray global , u need turn back to God and repent, repent , repent 😢😢😢😢

  • @suleimanmaxamed395
    @suleimanmaxamed395 Месяц назад

    To be honest Murkomen should feel guilty on how he has let down Kenyans Main Airport with all the responsibilities the President gave him

  • @kenyamkenya1268
    @kenyamkenya1268 Месяц назад

    Léo çyó úhúrú

  • @eriiiiiikkkkk
    @eriiiiiikkkkk Месяц назад

    Yet murkomen is competing with sudi on who is going to contribute more during fundraising

  • @suleimanlauzi5041
    @suleimanlauzi5041 Месяц назад

    Uyu jamaa atoke tu ni mara ya pili

  • @marlonsukura530
    @marlonsukura530 Месяц назад

    Leakage from the roof of the country's main airport is inexcusable. What plans are they always talking about?

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 Месяц назад

    Good plan what do you mean? Shame on you