Uwanja wa JKIA wakabiliwa na athari zaidi za mvua
HTML-код
- Опубликовано: 27 апр 2024
- Safari kadhaa za ndege kutoka humu nchini ziliahirishwa na kuelekezwa kwengineko kutokana na athari za mvua inayoendelea kunyesha. Hii ni baada ya mamlaka ya kitaifa ya viwanja vya ndege kutoa ratba ya mabadiliko katika sehemu na njia za kuingia au kuondoka kutoka uwanja wa JKIA. Hii inafuatia mafuriko katika sehemu za uwanja huu wa kimataifa.
Dear God,May u protect our country and save those who are in need of traveling to different countries for their better future🤲🤲🙏🙏🙏
Ruto na serikali yake wameuthii mungu sana so tutubu na kuomba sana wakenya🙏🙏
Hope they will not blame uhuny e
Wueeeh hii ni mambo gani mungu wangu
If my people will humble and pray and turn from their wicked ways then I will forgive their sin and save their Land
Nairobi was once a swamp mother Nature is fighting back to protect her child.
Netherlands was all once a swamp too !!! Don't give excuses for incompetence and mismanagement please!
Aibu sana. When we have eloquent President giving lectures in Europe. Building house for nothing.
😮🤭🙊 this is very serious!!
A lawyer is in charge of Transport, he knows "your rights" 😂
Mungu atujalie
Soo sad.N ati tuna gavaa😢😢
Murkomen hata kama boss hakuambii kitu....wewe resign tu
What will morkomen do,and he can't stop the rain,,kama Dubai warishwo,who are we.lets just pray.
😂😂😂😂
Mimi niko hapo kuvuja Kwa paa😂😂😂 imagine kuanzia last year 14/11/2023 hii shida ya kuvuja Kwa paa mpaka Leo 😢😢😢
Hapo umeongea ukweli kabsaa.
Poleni sana
Larry Madowo
Murkomen 😊
Hiii ni adhabu mungu a anawapa juu uongozi haukuwa wa halali hakuna kitu ruto atafanikisha juuu ya huo uongozi haramu
Siku support Ruto lakini utasema pia uongozi Burundi, Tz, Dubai, China pia sio halali? Na Ukraine kwenye vita? Na Hurricane Katrina US miaka iliyopita? Na tsunami? So vile hakuna mafuriko Afghanistan uongozi ni halali?
Maa afa kila siku watu kupotea na wasijulikane uharibifu kila sehemu uliona wapi JKIA sehemu inaoangaliwa duniani koz ikileta aibu serikali ya kenya inafaa watu wamrudie mungu sana kwa toba makanisa imekuwa biashara uongo ndiyo umekuwa ukweli
@@justathought7235 stop being brainwashed. Kenya is sinking kwasababu ya uongozi mbaya na watu kufanyia mungu mchezo. This has never happened to that extent!
@@lybens6478 often brainwashed people think others are. The current situation is bad, no one denies. Unless God has told you it's punishment for leadership please don't assume. I will refer you to the book of Job, one of the books with some of the greatest suffering and loss known to man, yet it is satan testing Job's holiness. I'm not saying government is good, in fact I don't like or support, but let's not use God's name in vain. And yes, it's been more than 10 times than this. Death toll from El Nino 1997/8 was almost 2,000 by some estimates, with following diseases like malaria, cholera etc almost doubling that. Not even counting loss of livestock, infrastructure etc. So hii ni kidogo compared to what has happened before. God has his own ways. If all bad things are because of sin and all good things are because of righteousness then the holy would never suffer, and the sinful would never prosper. God has his own judgements and timings beyond our thinking and timing. Let's stop assuming unless God has spoken to you and told you that's what He's doing.
I second you
BINAADAMU MUPUNGUZE MADHAMBI !!! !!!!!!! !!!!!!!!😭😭😭😭
Hii ni noma kweli wah
Uzembe. Na sleeping.. miache please 😊
When Thailand realized that waters from Mekong river (in china) were about to engulf Bangkok city, the Thailand government deployed their army to divert the water, using sand bags, into their Ang thong province. An agricultural area that provided rice and employees of brick making factories. Bangkok City was safe. But government had to compensate rice farmers and Care for employees who lost their livelihoods. I was there to advise on cash package to affected brick workers! Don't we have surveillance mechanism to monitor floods? Helicopters, gava departments, etc. I advised Bangkok and they headed my advice. A prophet is not recognized at home. Haya, tuendelee.
In Kenya 😂😂😂
Please don't get tired of reaching out, talk to whoever can listen and take action fir the sake of your motherland, be like queen Esther who took head to moredekais advise. You must not keep quiet , you are our voice ,speak it lounder
@@elishatotolela3843keep on my friend ,our country needs a lot more poeple like you ,in Kenya we don't value proffesionals we value kickbacks but let's not loose hope ,
@@juniourx2203 true let us soldier on
Is this the rain that was “prayed for”
God have mercy
This time sija ckia jina la uhuru
We inherite this from previous government 😅😅😅
You should realize that Nairobi was a swamp and one of the things the architects didn't do is proper planning considering Nairobi as a swampy area
May the lord intervine
To repair a leaking roof????
Already has intervened,by bringing alot of rain to alert people and nations that they need to prepare for exit ( to God Almighty)
Hahaha poleni ata Dubai yaliyupata hivo c Kenya tuu
Hapa pia watasema citizen wanaripoti uongo😅
Haha
Watu walikua wahome this month pole sana
Siezi kosa kuhome juu y mvua, Ata kama n uwanja w GSU tuland tu
Sasa tutashukia wapi mm naenda wendsday
@@marynasyieki3783 😂😂😂😂
@@FadhillahFaraj Tano tena
Even KRA guys are no where to be seen. Hongo ya wasafiri imebebwa na mafuriko.
Learn through experience . Now precautions can be taken against future heavy rain .
Cs Murkomen is busy fundraising with Sudi in Uasin Gishu
😂😂
U can't control nature.
@@evanskipkogei5293 But there is risk assessment theory
😭😭😭😭😭 aibu
Murkomen you just a PR enthusiast
Hehee what's going on now hivi majuzi ilikuwa n Dubai Sasa tumeenda Kenya, Mungu atunusuru na maangamizi haya qwani tumekosa na kuna Jambo unanena nasi kupitia kazi yako
Aibu tupu!!! Aibu tupu!!! Aibu tupu!!!! Aibu tupu!!!!🤭🤭🤭🤭🤭🥱🥱🥱🥱🥱🤭🤭🤭🤭
Stop acting like this things don't happen to other countries like China, dubai
Its affecting the whole world
Aibu kwa Nani? you can't control nature
True indeed@@julahkimgee7278
Paa kuvuja kama si aibu ni nini wewe😂@@julahkimgee7278
Wacha raisi Ruto amalize kujenga nyumba za mbei na fuu kwanza..aibu😮😮😮😮😮😮
You cannot control nature
Subhanaallah
Alhamdulllilah!
Nairobi 🎉🎉mlikujwa raondii ya mvua msikie 😢😢😢😢😂😂 wenye wenkine wasliskia
How did international president arrive in kenya recently
Citizen mmekosea kuandika Aibu zaidi ya JKIA... hyo sio Aibu nchi kubwa zilizoendelea kama UAE imeshisndwa kudhibiti mafuriko kwenye maduka makuu na viwanja vya ndege sembuse Kenya? Hii ni mipango ya Mungu hakuna wa kulaumiwa kwa mafuriko hayo.
......uwanja huu wa kimataifa
Imagine what a shame😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉
Dubai had same problems, its too much now
waaaa God ruto bana..hapa habana
Not Ruti, Dubai is worse and they have 1st class airports
Ni nani atakaye simamia gharama yote hii,safari zimekatika,mauwa yamearibika na Malo nyenginezo na more funny we have to repair the house 😢. Ewe Mungu tusaidie😮
MUNGU siku zote
who gave this cattle rustler transport ministry?
Aibu aibu 😢😢
😳😳😳😳
This government is sleeping on the job.. jamani wakenya tulikosea wapi 😢
Mukiwa nani ?
Hata kama ni wewe ungelifanyeze???usipige mwanako bila hatia!!!
Hii ni Aibu gani nkt 😢😢😢😢
We blame uhury for the rain sasa😢
This is a shame to ,Cs Murkomen aresign tu
Hapa pengine walete ndegemeli
It's a shame 😢😢
Heheheee
Munajifanya munapenda Mungu Na huko tu ndio munaheshimu watu wa gay halaka Sana mulaaniwe napeda president saana lakiini atafute Mungu waukweli Sio wakujifanya kama Sio atalia zaidi
Sasa hii ni aibu gani
You still want to repair. Si muanze kuhunda mpya😅😅😅😅😅 just sleep 😴 😅😅
0:21
Aaah 🤭🤭 na hii pesa yote wanayokusanya everyday kwa Airport inaenda wapi, eti paaa lavuja, is this not a big shame 😮😮
WHERE IS NOAH ITS TIME YOU BUILD AS ANOTHER ARK PLIZ
It all about nature it has nothing to do with murkomen wakenya jameni
Am ashamed as a Kenyan, pole should resign peacefully
Only in kenya you hear such things as leaking airport and water all over roads that leads to the airport. This is the second time in few months we are hearing airport being shut down due to power outage and roof leaking. This is so sad. Kipcumba Murkomen is busy donating millions of shillings while Kenyans are suffering. That just shows how incompetent and do not care William Ruto is and his cronies. Pathetic
Gaii na mimi na travel Friday kutakua aje jameni 😢
Which country this
Kenta
Kenya
Murkomen and Sakaja.....
😂😂😂bado wanatenga tu
akili ni nywele murkomen hana....simboooooo
Ata Dubai airport ilikua na the same problem but minister wa transport hakuambiwa a resign pelekeni chuki nahuko
Murkomen is busy eating all the monies meant to renovate the airport.
Jamani ruto basi fanya mambo toa hio aibu tafathali toeni hizo kamera😂😂😂
And your leaders ni PR tu😢
Oh 😮 this round not Uhuru...last year November Murkomen was on media promising Kenyans 😂😅 wametenga na kupanga vienye watakalabati JKIA, since then his busy up n across country still promising 😢😢 hii ni aimbu 😢
Blame Uhuru
Even uhuru shdnt be blamed.
Hata mvua nimakosa ya gava kweli
Mungu atulize mvua aki😢😢
Sasa tena tutasema ni uhuru hahaha 😂
CS murk omen please tell us something we can understand. The issue of licking roofs was reported long time ago whereby as at now we should not be hearing and seeing such. And there's no way you can convince us that you are not sleeping on your job. Ya ukweli you are deeply asleep. So wake! Wake!! Up
Watu wako hapa wakisema oooh murkomen ooh resign ....... Hata dubs kulikuwa Na mvua and all the planes zilikuwa zimekatizwa kufly shame on you imagine it were you
Lakini roof Yao na sehemu za kuweka bidhaa hazivuji maji😢
@@jobotieno8905 it does 😂😂 hata juzi Tanzania kulikuwa kunavuja
Tuwache maasi mingi ushoga kenya umezidi na duniani
Halafu nyie ndo mnajifananisha na Tanzania??? Mna-akili kwel??
Let them steal first
If these people cannot fix drainage at an International Airport why woukd you possibly think they can fix drainage in your estate?
Sasa roof leaking surely who was the contracter?🙄
That ps must resign
Shame ! Shame ! Our chest thumping leaders are talking about repairs ! What is Proactive ? What is Reactive ! Big shame!
Let's blame Uhuru
Unfortunately that sounds more like a broken record
Bottom up....pwahahahaha
Mùdù mùgo "jeremiah "5:1-17(names were changed so that you remain blind and perish!Ngai Dùire nowe Ngai..tùcokie rùù-ìì(it knows)mùkaro or maa-ìì(truth yes)finish us
So planes will land in the sea? 😂😂😂 I can't imagine ndege Niko ndani ikitaka kutua yaani kuland then ati inakaa Kaa hewani ikitafuta Kwa kuland ,, aaaiih , 😢😢😢😢😢
Serikali yenyew waliingia bila bismillah itkosa misukosuko
Murkomen must resign. he's sleeping on his job..he promised to renovate this licking roofs last year, till now he hasn't done anything...shame on him..uongo moob hatutaki.
Don't worry is not judgement only correction, this generation is gone astray global , u need turn back to God and repent, repent , repent 😢😢😢😢
To be honest Murkomen should feel guilty on how he has let down Kenyans Main Airport with all the responsibilities the President gave him
Léo çyó úhúrú
Yet murkomen is competing with sudi on who is going to contribute more during fundraising
Uyu jamaa atoke tu ni mara ya pili
Leakage from the roof of the country's main airport is inexcusable. What plans are they always talking about?
Good plan what do you mean? Shame on you