Wakaazi wa Mukuru kwa Rueben waachwa bila makao baada ya serikali kubomoa nyumba zao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • Ubomoaji wa maeneo yaliyoko karibu na mto umeanza.

Комментарии • 258

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 25 дней назад +19

    Poleni jamani.. Baridi hiyo mukale nje na watoto,.. "" Eeh Mungu, remove this poverty in our country.. I feel pity for those Children.. 😮😮

  • @user-ih4ps5po9o
    @user-ih4ps5po9o 25 дней назад +16

    Kuna nyumba iko ukitoka jogoo road rikana kuelekea eastlegh ni kubwa na iko kwa mto walisema 2yrs ago ibomolewe but cos ni ya mtu ako na pesa wapi bado iko

  • @user-kv9cq9hl6t
    @user-kv9cq9hl6t 25 дней назад +15

    Watu warudi ushago 😅

  • @joycepeter1284
    @joycepeter1284 25 дней назад +8

    Government demolish process was okay for safety of people during this flood season but unfortunately they failed to consider their inhabitants new shelters in advance....Psalm 41:1 says
    " Blessed are those who have regard for the weak; the LORD delivers them in times of trouble"

    • @bonnymatheka352
      @bonnymatheka352 25 дней назад

      Who are these people,where did they come from,ama ni wajukuu wa prodigal son

  • @RISINGFARM
    @RISINGFARM 25 дней назад +44

    Sasa serikali ijenge hizo affordable houses ipee hawa

    • @amosmurithi9494
      @amosmurithi9494 25 дней назад

      Which government??? With a Rotten president!

  • @mudakimmboga6024
    @mudakimmboga6024 25 дней назад +29

    After kutakuja a huge building, maybe a big hotel or apartments.... Umasikini haki😢

    • @andrewuser1381
      @andrewuser1381 25 дней назад +2

      True

    • @user-ok7rn2np5o
      @user-ok7rn2np5o 25 дней назад

      Sasa. Ruto. Alazimishwaa. Kutumia. TAX. Ambayo. Anayakuws. Kutoka. Kwa. Wa. Kenya. You. Reap. What. You. Sow.

  • @tacticbookkeeping
    @tacticbookkeeping 25 дней назад +9

    I thought the government said that no more demolitions during the rainy seasons. At least they should have been relocated to safer grounds

  • @abelsimiyu7390
    @abelsimiyu7390 25 дней назад +40

    Alijenga nyumba ya kuishi na biashara in 2014, swali ni kwa shamba ya nani,?

    • @shikukuobungs7097
      @shikukuobungs7097 25 дней назад

      a very stupid questions indeed, so youre happy shes going to spend night in the cold?

    • @Travelwithfred
      @Travelwithfred 25 дней назад

      SHAMBA ni ya serikali bro. Na watu wanauza ni chief wa hiyo area

    • @philipjuma5994
      @philipjuma5994 25 дней назад

      Wewe unauliza kama nani

  • @anthonyochieng1446
    @anthonyochieng1446 25 дней назад +2

    Naona 2 watu wakirudi ushago.Aina aja uteseke Nairobi.

  • @gilbertsanya9561
    @gilbertsanya9561 25 дней назад +8

    Walicheka uhuru😂😂😂

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 25 дней назад +13

    Waondoke wote, kwani si kuna mahali walitokea. People need to follow the law, people can not place buildings even kwa barabara, no wonder maji wamekosa mahali pake

    • @shikukuobungs7097
      @shikukuobungs7097 25 дней назад +2

      ongea tu ivo because your relative is not a victim,

    • @collinsogalloh8357
      @collinsogalloh8357 25 дней назад +1

      Una ongea mbaya hivo kwa nini..?

    • @alicewangui2208
      @alicewangui2208 25 дней назад +1

      This people don't pay water, electricity, or houses. Its high time the Government be serious with this issue..

    • @stellahokworo3947
      @stellahokworo3947 25 дней назад +1

      Kaka watu hawataki ukweli kama huu hapa utapokea matusi lkn ukweli ndio huo

    • @brighton1168
      @brighton1168 25 дней назад

      ​@@stellahokworo3947.chakula cha nguruwe

  • @JoyceAntony-gm1rs
    @JoyceAntony-gm1rs 25 дней назад +23

    They build nearby rivers move now

    • @ashfordnyaga8503
      @ashfordnyaga8503 25 дней назад +2

      When you fill your stomach, remember some people do not have food and thank God.

    • @jojothepolyglot1866
      @jojothepolyglot1866 24 дня назад

      @@ashfordnyaga8503 Moi used to say panga uzazi....Go to these ghettos you see women with 9 children and no husband and first born is 14 years old...Illiteracy and ignorance to blame so don't tell us about stomach.

  • @priscillawambua325
    @priscillawambua325 25 дней назад +9

    😢😢its painful hawajui pa kwenda lakini ni kwa faida yao...uhai ni wenye thamani kuliko mali...this will also reduce river overflow

    • @user-ul6do9nc5o
      @user-ul6do9nc5o 25 дней назад

      Serikali ingeshungulikia

    • @Pekuka08
      @Pekuka08 25 дней назад

      They had survived the rains so far.

    • @jojothepolyglot1866
      @jojothepolyglot1866 24 дня назад

      @@user-ul6do9nc5o We are not a communist country last i checked. Serikari is not there to give you houses and then feed you while you don't panga uzazi and have 9 children first born akiwa 14 years...Mtashangaa

    • @user-ul6do9nc5o
      @user-ul6do9nc5o 24 дня назад

      @@jojothepolyglot1866 you talk like an ignorant person so I will not bother explaining

  • @lilianmutinda7569
    @lilianmutinda7569 25 дней назад +3

    Affordable housing is coming.....masikini hana chake

  • @viviannthambi8390
    @viviannthambi8390 25 дней назад +2

    If the gova demolishes those houses,then they should offer a solution before they even start to demolish!!. You can't tell people to move without offering them a safe place. This is so mean.

  • @marthawangondu2950
    @marthawangondu2950 25 дней назад +5

    Where did wale wa kariobangi go,,,its better to save you're life.

  • @United-Bantu-People
    @United-Bantu-People 25 дней назад +7

    The Bulldozer is more devastating that the rain

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 25 дней назад +4

    yani kunafloods na bado....yesu sadia wakenya aki...

  • @reginawambui7158
    @reginawambui7158 25 дней назад +4

    kukosa kusikia ni kitu mbaya sana tuliona waathiliwa wamaimahiu wenye wako hospitali wakisema walikuwa wameshaa ambio wakitoe lakini wapi mwishoe hasara ikaingia so nivizuri serikali iwatoe wote walio karibu na mto haraka iwezekanavio

  • @nickboy3340
    @nickboy3340 25 дней назад

    Kenya kwisha kwa kweli Ruto hauna huruma😥😥😥😭😭😭😭😭😭

  • @philipjuma5994
    @philipjuma5994 25 дней назад +1

    Hata two Rivers iko juu ya mto kama wako na nguvu wabomoe tuwatambue

  • @Paul.957
    @Paul.957 25 дней назад +3

    I thought the government had promised never to do this,they called Uhuru a demon for displacing people who had built on road reserves,... at least people are learning not to trust sweet words.

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 25 дней назад +26

    Atleast sasa government iko serious surely watu walikua wamejenga mpaka kwa mto

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 25 дней назад +4

      Get serious ,the damage has happened, people are dead and the gov has plan to rescue the remainings. What's the point in demolishing houses and don't show them where to go???.

    • @jamesgathaiya6450
      @jamesgathaiya6450 25 дней назад +2

      @@jabezjedidiah1429 kwani walikua wametoka wapi

    • @djwaltz1769
      @djwaltz1769 25 дней назад +3

      Keep this space. Mtaona zile ghorofa sitajengwa hpo. That's land graping in waiting

    • @ryankoech
      @ryankoech 25 дней назад

      ​@@djwaltz1769hapo sa ndo Kuna shida

    • @user-ul6do9nc5o
      @user-ul6do9nc5o 25 дней назад +1

      ​@@jamesgathaiya6450It doesn't matter, the Govt should move them somewhere for at least a month and then help them resettle otherwise insecurity will increase from thieves and prostitution.

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 23 дня назад

    Huu ni Umaskini ndio maana watu wananyanyaswa. Hapa Pangekuwa na majengo ya Ghorofa kama Apatments Buildings au Hotel pasingebomolewa. Hii yote ni kwasababu ya kujenga nyumba za kimaskini.

  • @priscillamakena3884
    @priscillamakena3884 25 дней назад +9

    Wahame tu! Life is so precious....we don't want to lose them

  • @annekariuki4734
    @annekariuki4734 25 дней назад +1

    God has a good plan for them,,we dont know how but God remember this our brothers and sisters

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij 25 дней назад +26

    Watoke wote ata mathare Wako na kwao

    • @andrewuser1381
      @andrewuser1381 25 дней назад +4

      Mbona uko na makasiriko wenzako wakifurushwa ama uliaidiwa sehemu

    • @marieheiss6560
      @marieheiss6560 25 дней назад +4

      Asio kwa ubaya ama chuki, maeneo haya ni mali ya uma so anytime watu kuna matarajio ya kuvurushwa, nyie squaters mnafaa mfunguke akili mkipewa mahala pa kuishi na serikali aacheni kutegemea mahala hapo, always have a second thought, hustlers zako ambazo zinakuletea mapato kidogo kidogo ficha nusu iwe kama savings ndiposa hata uweza nunuwa a prime plot somewhere ujenge nyumba ya maana, kwa upande mwingine umaskini ni mtu kujitakia kulingana na vile umeiweka mindset yako binafsi, si mtu ukiona hali ambayo upo ama hali unayoishi si uwache kuzaa zaa ovyo ovyo watoto wengi, sikatai watoto ni baraka kulea ngori!

    • @ashfordnyaga8503
      @ashfordnyaga8503 25 дней назад

      Pride comes before a fall.

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p 24 дня назад

    Kweli wamangaribi Wana ichukuwa inchi yetu kwa mufumo ambao wakenya hajatambua,,,tukidanganywa tunajengewa makaazi ya bei nafuu.

  • @klasniysafaris5963
    @klasniysafaris5963 25 дней назад +3

    I am hosting 5 of my relatives right now from thika. 14 falls is starting to spill. Utangoja kifo?

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 24 дня назад

    Haki watu wawache kunjenga karibu na Mito jameni. Please tokeni tu roho safi.

  • @user-cb9ct4bt4h
    @user-cb9ct4bt4h 24 дня назад

    Pengine wamepewa zile nyumba tunaambiwa zinanjengewa watu wakikatwa ushuru juu kwa juu, mna akili haifanyi, macho hayaoni, masikio hayasikii mutafuna mlichopanda.

  • @charleskaranja2962
    @charleskaranja2962 25 дней назад +1

    President ruto watu walisima na yeye bt swali ni maji haikubomoa makazi mengi now our president mbona atoe mwito wa kubomolea watu we had Moi mzee alipenda watu kukiwa na hali kaa hii alisaidia watu alisikia mawaidha ya watu whywhywhy are you doing this to the poor

  • @melvinkanje
    @melvinkanje 25 дней назад +1

    Hii ndio Hustler nationa lazima Mnyooke

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 25 дней назад +1

    Jamani Mungu yupo

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 25 дней назад

    Utaona wakiblame Uhuru

  • @elizabethpflug1304
    @elizabethpflug1304 24 дня назад

    Hii ni usuni ni mvua nikumbomolewa chakula wanapewa wapikie wapi poleni sana plot kununua kujenga mpaka mtu ajue kama niya serikali au nani imeleta shida sana plus mvua

  • @abdulazizkilai7285
    @abdulazizkilai7285 25 дней назад

    Serikali inaruhusu hizi nyumba kujenga in the first place WHY ..?zibomolewe zote.

  • @nyandikamoses
    @nyandikamoses 25 дней назад

    Affordable houses uzuri zingine ziko reedy wapelekwe uko.

  • @kenyazuela7233
    @kenyazuela7233 23 дня назад

    I DON'T SEE ANY RIVER THERE. Anyway Nabii needs sweet land to build affordable houses for his tribesmen.😢😢

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 25 дней назад +13

    Watu wako na macho lkn hawataki kutumia maji imesomba watu ili hali wengine wanakaa karibu kwa mito hongera president wetu tumechoka na maafa wakulahumu wasikilahumu wewe umewaokoa hiyo area ni risk kabisa ndio watu wakisombwa na maji watu wanalalamika eti Ruto au sakaja wamesahau mungu ndiye anasimamia mvua sio president au governer

    • @bornifacekayo2409
      @bornifacekayo2409 25 дней назад

      Your stupid

    • @Paul.957
      @Paul.957 25 дней назад

      You don't know what you are saying, Russia is flooding more than Kenya, they have not lost lives governments are equally responsible for disaster management and response. It is a shame and lack of good governance is perennial in Kenya,si Ruto peke yake, shida yake ni kwamba he spoke though he was a Messiah during campaigns.

    • @leewythaka8309
      @leewythaka8309 25 дней назад +2

      ​@@Paul.957the government is trying with building drainages but civilians are notorious for littering. That also plays a big part in blocking of the drainages. Stop being quick in blaming the government when you're part of the problem. It begins with us, we need to do better.

    • @stellahokworo3947
      @stellahokworo3947 25 дней назад

      @@leewythaka8309 ukweli usemwe ongeza volume watu ndio wanatupa takataka kila mahali hadi inafunga njia ya maji baadaye watu wanaanza eti governer sakaja na Ruto as if ndio walitupa takataka

    • @stellahokworo3947
      @stellahokworo3947 25 дней назад

      @@Paul.957 ok I don’t know what I’m saying because you know why can’t you apply your knowledge and help the government with your knowledge stop blaming our president all the time

  • @sarrgodanaguyo3892
    @sarrgodanaguyo3892 25 дней назад

    Ruto ni kua rais ya kenya ni hatari kwa maskini ya kenya
    Hana huruma na binadamu
    Haki bomoa makazi ya maskini watoto wazee wakomge kwa hii mvua kali wata enda wapi mungu amhone 😭😭😭😭😭😭

  • @staceymayar4606
    @staceymayar4606 25 дней назад

    Bomoa hizo nyumba zote watu warudi mashambani kama vile nilifanya. Sasa niko Sawa na farming

  • @vivianawuor5185
    @vivianawuor5185 25 дней назад

    Ruto the 5th. Shangilieni

  • @tsumaanthonyndewa9696
    @tsumaanthonyndewa9696 25 дней назад

    Sad and very sad indeed. 2 days to move and this happens . Help us God.

  • @marthawangondu2950
    @marthawangondu2950 25 дней назад +1

    Nema had warned them,but wakaedelea kujenga.

  • @user-ok7rn2np5o
    @user-ok7rn2np5o 25 дней назад +1

    Mzee. Wa. WheelBarrow. Bwana. Ruto. HAJAWASAHU. HUSTLERS

  • @martinmacharia7058
    @martinmacharia7058 25 дней назад

    I hope wamewapataia kwa kuhamia.. otherwise hii ni equivalent na floods to

  • @derrickcharagu536
    @derrickcharagu536 25 дней назад +1

    Hapa ata floods hiwezi fiika pipeline is valley where the river is deep and far from.flooding!?? Ps Kiprono!! Next tugoje Gikomba !!! Hii ni upuzi tuu hizo sku ingine akuna floods leo ndio kina floods ??? Upuzi tu Serikali ya Kibabi !!! Mungu tu ataawastaki King Nebuchadnezzar!!!

  • @zaiokari1698
    @zaiokari1698 25 дней назад +14

    Watoke wote pomoa hizo slums waende nyumba kazi mashinani Nonsense all towns shld demolish illegal vibandas

  • @puritdana
    @puritdana 25 дней назад

    ,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nasikia kuchoka notice Leo na kesho watu watahamia wapi nkt

  • @alextercisio
    @alextercisio 25 дней назад +1

    Shamba ulijenga nyumba ni ya nani ?? Poleni sana lakini tuachage mchezo plz

  • @babewajeff
    @babewajeff 25 дней назад

    Govt ya kwatiwa ni walola... affordable housing plan pap

  • @user-bw8wq8si3c
    @user-bw8wq8si3c 25 дней назад +3

    Sasa ivi nikuwasaidia kweli hata hawana mahali pa kuenda

  • @Kamal00684
    @Kamal00684 23 дня назад

    Mtu arudi kwao cz 1940 nairobi haikua na mtu ilikua forest and rivers thas why is called Nairobi meaning a place of many 🌊💦

  • @philipjuma5994
    @philipjuma5994 25 дней назад

    Wanabomoa za wakamba,ukabila na wanasema hawapendi ukabila 2027 wanaenda nyumbani wote mpaka wazee wao wa nyumba kumi

  • @user-wd1ft1zb6n
    @user-wd1ft1zb6n 25 дней назад

    Wah.kwani kunaenda ji??

  • @monicahjoseph1476
    @monicahjoseph1476 24 дня назад

    We are both obliged to do what is right,as citizens to keep the law and as the government,to look to the lives of its people

  • @user-be9dy2sx7v
    @user-be9dy2sx7v 25 дней назад

    Finya hao kabisa naona bado wanapumua. Wanajenga kwa water catchment areas alafu wanalia wakibebwa.

  • @lincolntamim3544
    @lincolntamim3544 25 дней назад

    Awesome team Qatar

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 25 дней назад +1

    Bona haedi kwa mafriko??

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 25 дней назад

    Mungu wangu,na hii mvua,familia zitaenda wapi?yaani serikali haina huruma kabisa

  • @user-ok7rn2np5o
    @user-ok7rn2np5o 25 дней назад

    Ruto. Ndio. Jenga. Affordable. House. Kwa. Hao. Wa. Kenya. Serekali. Ya. BOTTOM. UP

  • @user-vz7ey7ey9i
    @user-vz7ey7ey9i 25 дней назад +15

    Kazi nzuri serikali watu watolewe the rains are so dangerous kwani watu hawaoni

    • @billoswago2163
      @billoswago2163 25 дней назад +2

      Waende wapi

    • @mercynyaga2053
      @mercynyaga2053 25 дней назад

      So its better kusombwa na maji ama unamaanisha nini?​@billoswago2163

    • @ryankoech
      @ryankoech 25 дней назад

      ​@@mercynyaga2053then wakisombwa na maji they will blame the government

    • @user-lw3ne4zu3k
      @user-lw3ne4zu3k 25 дней назад +2

      Kazi zuri nisawa kwako kwa sababu uko kwa nyumba nahiii mvua wataenda wapi

    • @irenenjeri1233
      @irenenjeri1233 25 дней назад +1

      ​@@billoswago2163kwa hivyo wakae hapo wangojee mafuriko???

  • @jacobmwaniamuendo8626
    @jacobmwaniamuendo8626 25 дней назад +1

    This is not fair,aki jameni lets be neutral,sasa wataeda wapi hawa watu

  • @matts6894
    @matts6894 25 дней назад +18

    Why can Govt make sure they don't return and enforce it?

    • @abelsimiyu7390
      @abelsimiyu7390 25 дней назад +1

      Politics

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 25 дней назад +7

      Yu are so detached from the reality of the matter. Can the same government show them where to go ama itawaacha nje kama wananyama.

    • @gladysmuthoni8700
      @gladysmuthoni8700 25 дней назад +2

      ​@@jabezjedidiah1429didn't they came from somewhere

    • @alextercisio
      @alextercisio 25 дней назад +1

      @@jabezjedidiah1429 nani aliwapea hapo wakajenga?

    • @irenenjeri1233
      @irenenjeri1233 25 дней назад +1

      ​@@jabezjedidiah1429serikali ndio ilikuwa imewaleta hapo?

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 24 дня назад

    Order from above 😊

  • @user-ok7rn2np5o
    @user-ok7rn2np5o 25 дней назад

    Sasa. Ndiyo. Wakati. Wa. Ruto. Kuwajengea. Wakazi. Wa. Kwa. Ruben. Mukuru. AFFORDABLE. HOUSEING. Na. Kuwapatia. Chakula. Nguo. Na. Makaji.

  • @oliviabarrack231
    @oliviabarrack231 24 дня назад

    C uchawi ni maombi eeeeish nonsense 😮

  • @briantusu.8938
    @briantusu.8938 25 дней назад +1

    😊😊

  • @josekanyina8001
    @josekanyina8001 25 дней назад

    tutajenga afforderble houses juu hapa tumewona hakuna maji

  • @raelturungi682
    @raelturungi682 25 дней назад +1

    At this time of the rain surely what kind of demons are people

  • @user-qm7qu8jr2r
    @user-qm7qu8jr2r 23 дня назад

    How is demolishing their houses helping the residents? What is the thought process behind this decision? Someone educate me please.

  • @Karenkandia
    @Karenkandia 25 дней назад

    Haiya mwikali alikuwa my neighbor 🤔

  • @alicewangui2208
    @alicewangui2208 25 дней назад

    Its better they move out, its dangerous, kua next to the river, can they see Maimahiu, let's stop playing politics with people's life..

  • @MargaretWanjiku-dy7ic
    @MargaretWanjiku-dy7ic 25 дней назад

    They should be moved we don't want to hear mambo ya kupelekwa na maji any more.

  • @juliusmacharia4329
    @juliusmacharia4329 25 дней назад

    May the Most high bring justice forcefull in his land.😢

  • @MosesOuma-lk2bo
    @MosesOuma-lk2bo 25 дней назад

    Serkali ya hustlers they are doing good walisema hatupanguwi sasa wakule maobi ya zakayo. 😅

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 25 дней назад

    POLENI SAANA.POLENIII

  • @OlindoIsmail-hh3gh
    @OlindoIsmail-hh3gh 25 дней назад

    Endeni ushangoo

  • @marymungai4429
    @marymungai4429 25 дней назад

    very unfortunate.

  • @mainakamau3807
    @mainakamau3807 25 дней назад +2

    What kind of madness is this!!!! THIS GOVERNMENT IS JUST INCOMPETENT!!!! KUBOMOA NYUMBA!!!!

    • @susanahwambui9853
      @susanahwambui9853 25 дней назад

      unatakaje wewe? wabaki wasombwe na maji ama????

    • @mainakamau3807
      @mainakamau3807 25 дней назад

      @susanahwambui9853 apana peana notice apparently in the presidents own words the notice was to expire @ 1830hrs today... communicate with the citizens clearly.... sasa mtu anatoka kuenda soko surely you get everything destroyed

    • @leewythaka8309
      @leewythaka8309 25 дней назад

      ​@@mainakamau3807this is an urgent matter, there's no time for notice. Don't be ignorant.

    • @TiredKenyan
      @TiredKenyan 25 дней назад

      You’re the one who is mad! More rain is coming and you want them to stay there for how long?

    • @mainakamau3807
      @mainakamau3807 25 дней назад

      @leewythaka8309 I'm not trying to belittle the urgency of the situation or the danger they face... but no offence it sounds like both of you don't know life in the slums.....all they have ALL their possessions which takes years of hawking or mjengo work to accumulate is gone...... many will literally starve not because water swept their houses but the government destroyed it

  • @maximillahmakokha3783
    @maximillahmakokha3783 25 дней назад

    Mbona wajenge kwa mto 😂😂😂

  • @user-of8sm3xk3l
    @user-of8sm3xk3l 25 дней назад

    Kube mlipewa notice wah amkutii

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga 24 дня назад

    We told you from the beginning that all this slam dwellers got no tittle deeds on where they are seated nobody listened haya let God continue proving the critics right
    Mtaukula huu na hasara juu
    Na Bado
    😂😂😂😂😂

  • @user-lw3ne4zu3k
    @user-lw3ne4zu3k 25 дней назад

    Sasa nahiii mvua ubomee mtu nyumba unataka aende wapi na vile mvua inanyesha nairobi very sad

    • @ryankoech
      @ryankoech 25 дней назад

      What about flooding na watu kukufa?

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 25 дней назад +3

    Bomoa zote

  • @tomondiek2839
    @tomondiek2839 25 дней назад

    kumii tena! toa term limits

  • @noramumo
    @noramumo 25 дней назад

    Mhame tu...

  • @jackmwangi8395
    @jackmwangi8395 25 дней назад

    Why wait for people to settle down in riparian areas and come to destroy their homes?

  • @MAINAELIZABETH-qt9jo
    @MAINAELIZABETH-qt9jo 25 дней назад

    Hasola tawala😂😂😂😂😂

  • @NyamburaMburu-oq4pc
    @NyamburaMburu-oq4pc 25 дней назад

    Na hii mafuriko wataenda wapy aky

  • @markmekenye9119
    @markmekenye9119 25 дней назад

    Wapewe hizo nyumba zinajengwa

  • @tonito328
    @tonito328 25 дней назад

    Fear the rain 🌧️ and its path

  • @susankaburu4527
    @susankaburu4527 25 дней назад

    Bona wasipewa notice

  • @ThankGod2024
    @ThankGod2024 25 дней назад

    transition is painful 😢😢😢😭😭😭

  • @opamarobert
    @opamarobert 25 дней назад

    Nairobi haitaki maskini

  • @user-jb6ej1hj4p
    @user-jb6ej1hj4p 25 дней назад

    Kubomoa na Kuna mvua oiii

  • @NaomiOmi-cq3nh
    @NaomiOmi-cq3nh 25 дней назад

    Wacha nikae ushago sasa😢😢

  • @Pekuka08
    @Pekuka08 25 дней назад

    uda had promised no evictions, worse still during rains

  • @AaA-ng6rp
    @AaA-ng6rp 25 дней назад

    Swali langu ni moja? Wataenda wapi juu wamebomoa?? Na hii gava tuko nayo hakuna jobs