HARMONIZE aanzisha KAMPUNI ya BETTING/APANGA kushindana na DIAMOND/TAZAMA UZINDUZI wake ni BALAA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 50

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 17 дней назад +5

    Napenda sana kwa uthubutu unafanya katka kutafta pesa ila sipendi vile unavyomdharau diamond

  • @mbanjenyambega2525
    @mbanjenyambega2525 17 дней назад +4

    Mnajitahidi sana kumpga vita mond lakin mnashindwa na mtaendelea kushindwa

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 17 дней назад +20

    Sikupendi kwa sababu unapenda ugomvi sana na UNADHARAU bila Mond usinge fika hapo ila matusi kila kukicha

    • @user-fm2pw7il4l
      @user-fm2pw7il4l 17 дней назад

      Hata wewe kuna watu awakupendi virevire😂😂

    • @manchido_tz
      @manchido_tz 17 дней назад

      Kunywa sumu ujiue km humpendi😅😅

    • @lawrencengoba3860
      @lawrencengoba3860 17 дней назад +1

      Haha sio lazima umpende wewe penda tu watu wa kwenu 😅

    • @getrudamsigwa2776
      @getrudamsigwa2776 17 дней назад

      Hata wew pia kuna aina ya watu hawakupendi ila kaa ukijuwa mungu wetu wa mbinguni anatupenda wote

    • @user-qv6tu5du9l
      @user-qv6tu5du9l 17 дней назад

      Kwan we MUNGU ww mwenyewe nan anakupenda

  • @Farida-jx5nz
    @Farida-jx5nz 17 дней назад +3

    Yani ww sikupendi hujuwi tuu!! Fanya maisha yako pasipo kuangalia mond bhn...... Tumekujuwa kuptia diamond

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 17 дней назад +5

    Hakuna hata congrats because hawezi kuwa wa.bunifu wa another business than to follow Diamond business I don't know why this people kama una pesa vitu va kufanya ni vingi wanapata tabu wasio na mitajii. Mwingine Radio, sasa mwingine kaja kubeti kazi ngojeni Dai anzishe kingine tena muige maana many business you can do kushindana na mtu aliye watangulia waigaji it's impossible bro

  • @user-sv6ud9ps3j
    @user-sv6ud9ps3j 17 дней назад +9

    Tatizo hamfanyi vitu kwaajili yenu mnafanya ili mumshushe mond hiyo ni mbaya ndiyo maana vitu vyenu haviendi😢😢😢

  • @fredmabeya
    @fredmabeya 17 дней назад +4

    Nothing special, Sasa ata makofi ni kulazimisha... Unaiga mondi kila kitu, Ila hufiki

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 17 дней назад +9

    Kampuni za betting zipo nyingi siyo ya Wasafi Bet tu.Kama ana akili hiyo atafeli tena kama alivyofeli kwenye Muziki wake na Label yake ya muzki pia.

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 17 дней назад

      Mchawiii weweeee

    • @AkonJacquesAkonkwa
      @AkonJacquesAkonkwa 17 дней назад +3

      Huya jama hana hakili! Nipo Congo/ goma ila namuona kama mchawi . angeli feli angeli funguwa kitu ya pesa?

    • @nishgold4160
      @nishgold4160 17 дней назад +1

      Utakufa kundu wewe

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 17 дней назад +2

      @@AkonJacquesAkonkwa kwani kufungua ndiyo nini? Hapa Bongo mambo ni mengi.Toka ameanzisha Label ya muziki amemuinua nani mpaka akafika level ya mbosso,zuchu,rayvanny na yeye mwenyewe.Halafu muziki angalia nyimbo anazotoa Siku hizi,then angalia anavyohangaika na mitandao kwa mambo ya unafiki.Nawaambieni huyu ni wale ambao vichwa vyao ni vizito sana.

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 17 дней назад

      @@nishgold4160 Hamna kitu hill ni Bomu tu.Tena ashukuru hapa TZ tunampokea yoyote yule.lakini kwenye viwango vya kimataifa asahau kabisa.

  • @user-kt1si2jn3o
    @user-kt1si2jn3o 17 дней назад +3

    Kwani lazima ufanye Kenye mond amefanya c ukawuze pilili ww na kiba munaiga simba

  • @bboyofficial6
    @bboyofficial6 17 дней назад +7

    HAMUEZI MOND😂😂😂😂

  • @user-vi4gm6ik7k
    @user-vi4gm6ik7k 17 дней назад +3

    Congratulations broo that's is life need to struggle 😢😢

  • @salumuzarafi-pp9fp
    @salumuzarafi-pp9fp 17 дней назад

    Harmonize ni mmoja2 mungu yup bro pambanaYou got there because of God and don't get tired of praying t🙏🙏🙏❤️o him every day

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 17 дней назад +1

      Few people who got deceived by crybaby.He has started his own label and what went wrong between him and the artists signed under his label.Right now there is only one artist under his label who actually never grow.He thought and got a wrong advice that to initiate a conflict and attacking Diamond platnumz will take him to the top.Unfortunately Diamond platnumz collected more fans and even fans like shifted complete to Diamond platnumz.When you are employed respect the contract,......Harmonize got it all wrong......Diamond platnumz the level he is,Harmonize will never ever get there.DIAMOND PLATNUMZ IS THE SCHOOL OF BONGO FLEVA.

  • @kalistuschaula
    @kalistuschaula 17 дней назад +2

    Baba ni Baba😂 haujui

  • @user-dd6vr7uw3p
    @user-dd6vr7uw3p 17 дней назад

    Tunakupenda sana

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 17 дней назад

    Cy kwa ubaya ila kwa 2liosom business 2shajua kinachoenda kutokea, kwa m2 aliyefanikiwa ukijarb kumuiga kila k2, kuanzia v3 Kuna k2,laZm ukimuiga laZm ulkifeee
    Mlio nielew bhc😮

  • @Dgames_255
    @Dgames_255 17 дней назад +1

    🎉

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 17 дней назад

    Congrats

  • @clemenceonesmo5429
    @clemenceonesmo5429 17 дней назад

    great san konde

  • @TeamBaganofficial
    @TeamBaganofficial 17 дней назад

    Jaman naamin hii post itapa comment nying naomba ukiinhia ku comment bas pitia kwang unisapoti uone ninacho kifanya nitashukuru sana 🙏

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 17 дней назад +2

    Uchafu

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 17 дней назад

    Nani amesikia “medias”?

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 17 дней назад +1

      Hata alikiba anayo,baba Levo anayo......DIAMOND PLATNUMZ NI LIDUDE.Kwa hapa Tanzania na east Africa DIAMOND PLATNUMZ AMESHAWAACHA NA HAWAMUONI TENA.

  • @farida4595
    @farida4595 17 дней назад +1

    Ila nyie watangazaji n wabaya sana yaan sana wa kibongo duh kasema nnashindana na diamond kwn hyo diamond ivyo vtu anavyovifanya yy ndio wa kwnz s kuna watu wamefnya nyuma yke na yy akafnya pia kwhy alikuwa anashndananao😢ovyo kbsa

  • @ErickKalume-rt2de
    @ErickKalume-rt2de 17 дней назад

    Konde boy

  • @iam_sami
    @iam_sami 17 дней назад

    Pumbav mnanyonya wananchi arf mna sifia rais mknd nyieee