Madudu Hospitali ya Bagamoyo yawaweka matatani mganga mfawidhi, matroni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Festo Dugange, amewasimamisha kazi mganga mfawidhi wa Wilaya ya Bagamoyo, matroni wa hospitali hiyo baada ya kubaini madudu mengi kwenye hospitali hiyo kuanzia kwenye mapato yatokanayo na huduma za bima ya afya, huduma mbovu, uchafu wa mazingira na kutoweza kusimamia majukumu yao vizuri.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 6

  • @dastanfussy4898
    @dastanfussy4898 3 года назад +3

    Daaa! Upo saf sana. Kuna cku nmewai kwenda kutibiwa hapo, mapokez nmepita vzur tu, lakin nilipofika kwa daktar nilikaa SAA 1 na nusu hakuna daktar chumba kipo wazi. Nikampigia DMO akanijibu yupo hapo ndoanaingia. Niliumia sana nkaamua tu kuondoka. Tulikuwa wagonjwa wengi wengine walikuwa zaid yangu na wazee

  • @ismailsalum4127
    @ismailsalum4127 3 года назад +1

    Safi sana. Ma Dr wa hapo majeuri sana hawana rugha nzuri hata kidogo. Wazembe sana..

  • @chaavikachangilamathew5753
    @chaavikachangilamathew5753 3 года назад +1

    Safi sana Dr Dugange. Piga kazi

  • @salmakaniki4270
    @salmakaniki4270 3 года назад +1

    Kweli kabisa yani wanazalahu kama wanajilipa wenyewe ukifika mala mashine mbovu kwa wazee akuna dawa yani ovyo ty 😢😢😢

  • @siyeyetv
    @siyeyetv 3 года назад +1

    Na hosptal ya temeke mtrmbelee mana sasa mhuu