KAMWE NA AHMED WAJA NA JAMBO LAO JIPYA/TAMBO ZA WACHEZAJI WAPYA/NANI MTATA ZAIDI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Mafahari wawili Ahmed Ally na Ally Kamwe waja na jambo jipya mjini kupitia kampuni ya Rockmax international limited.
    Ambapo Leo Aug 20 wametangazwa rasmi kama Mabalozi wa Kampuni hiyo.
    Hapa wamepeana Tambo kuhusu Timu zao na kiasi cha Pesa wanacholipwa kwenye Ubalozi huo.

Комментарии • 110

  • @emmanuelsimpamba80
    @emmanuelsimpamba80 22 дня назад +17

    Mungu Awabariki sana, wasemaji wa Timu zetu

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 22 дня назад +4

    Hii nimeipenda SANA
    JAMBO jema SANA wasemaji wa TIMU KUBWA KUWA pamoja.
    HONGERENI SANA 🙏🙏🙏

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 22 дня назад +9

    Hii ndo safi kabisa, msiamiji vilabu hivi kesho mnaweza mkatupwa nje, sasa hapa mnaanda kesho yenu ,pongezi kwenu tumieni utani wenu kujinufaisha maidha yenu.

  • @hassanjemadari9881
    @hassanjemadari9881 22 дня назад +13

    hii duo ndo inafaa zaidi kwenye utani wa simba na yanga, narudia hii duo, ondoa na ogopa matapeli wengine

  • @IbrahimRashidi-co8hf
    @IbrahimRashidi-co8hf 22 дня назад +6

    Ukweli ndugu zangu nawakubali sana mnafanya poa sana mko wamoja mno

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 22 дня назад +12

    Combination yenu nzuri mnapambn hongereni?

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 22 дня назад +20

    😅😅😅mkiendelea kuwa wasemaji uadui wa Vilabu vikubwa kwa mashabiki ...utapotea jumla

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ 22 дня назад +20

    Hawa jamaaa wanapendana sana kama mwijaku na baba levo😅

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 22 дня назад +7

    mpu juu sana vijana. hongera sana

  • @AgnesJohn-f1r
    @AgnesJohn-f1r 22 дня назад +15

    Safi sana vijana pigeni kazi ila angekuwepo Ashura cheupe hapo kingenuka

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 22 дня назад +13

    Ila Ahmed jmn😂😂😂😂sema nimewapenda sana co yule madonda mdomoni kila kitu kwake vita

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 22 дня назад +8

    Mm ni yanga ila ahmedi nakukubali hususani vichekesho nikiwa mawazi yanapoa

  • @edsonmalcel4478
    @edsonmalcel4478 22 дня назад +2

    Oooooh wow,,, welcome mwanzaaa wasemajii ,,,, mwanzaaaa tupoo tumejaaaaa teleeee,,,, Wana rock city mikonooooo juuuu🤚🤚🤚👋🤚

  • @jensenjr88
    @jensenjr88 22 дня назад +9

    Mnafaa kuwa comedian kabisa 😂😂

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 22 дня назад +8

    Ila hawa jamaa wapo vizuri sana

  • @philbertmyinga6344
    @philbertmyinga6344 22 дня назад +7

    Hongereni kuwa pamoja

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 22 дня назад +14

    comedian ni comedian tu ata mumuweke wapi anataka achekeshe tu😂😂

    • @ByserMfaume
      @ByserMfaume 22 дня назад

      @@malietamaliet 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @frankmlalila1705
      @frankmlalila1705 21 день назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 22 дня назад +12

    Ila nawapenda Sana Hawa vijana wanapambana Sana 😅

  • @DominicMakamba
    @DominicMakamba 20 дней назад

    Mungu azid kuwatunza wasemaji mzidi kupendana utani ni uwanjani mkitoka maisha mengine yanaendelea

  • @edsonmalcel4478
    @edsonmalcel4478 22 дня назад +1

    Nmeipendaaaa safi San this is football,,,, big up xn Kwa wasemajii,,,

  • @ZachariaPetro-gn8qc
    @ZachariaPetro-gn8qc 22 дня назад +5

    Inshallah shukran kwenu Kila hatua dua

  • @AugustinoNgereja
    @AugustinoNgereja 21 день назад +1

    Huu ndio utani wa simba na yanga ulioletwa na kuasisiwa na wazee wetu. Jerry muro na haji manara ndio walileta haya maugomvi huwa yanaendeleaga. ila hawa ni utani mtupu big up sana

  • @abdulkanyika1293
    @abdulkanyika1293 21 день назад +1

    Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂

  • @user-sd2zt6it7i
    @user-sd2zt6it7i 21 день назад +1

    Ila kuna watu vilaza mnawaambia yanga watafute msemaji mwingine kwa kipi alichofanya apo? Unategemea atakaa yanga milele ayo maisha nje ya yanga lzm wajiongeze

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 22 дня назад +7

    Ila nyie inabidi Mpenja uandae mpambano ambao utaisaidia jamii ilo pambano Liwe la ngumi wakutanishe Alikamwe na Ahmed Ally😂

  • @ByserMfaume
    @ByserMfaume 22 дня назад +27

    Yani ahamed ally akiwa anaongea bas unakaa antetion tu kucheka uyu anaongea serious km yuko msibani😂😂😂😂😂

    • @gladnessmushi-ge6fd
      @gladnessmushi-ge6fd 22 дня назад +9

      Unaleta ushabiki hadi huku? Ww unataka kucheka au kuelewa wanachoelewesha

    • @user-qs9gw7bd3v
      @user-qs9gw7bd3v 22 дня назад +5

      ​@@gladnessmushi-ge6fdBora umwambie

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 22 дня назад +5

      yani mashabiki wa Simba mnataka tu mcheke cheke ata kama sio kitu yakuchekesha alikamwe ayupo hivo ni professional 👌uyu anakatisha mada anaweka jokes Ili mcheke

    • @Yuleyule-u6c
      @Yuleyule-u6c 22 дня назад +1

      Wote wameongea vizuri tu.

    • @TeddyElisha
      @TeddyElisha 22 дня назад +1

      Mbna kam na wew unaleta uyanga hap

  • @richlymo
    @richlymo 22 дня назад +6

    Semaji la caf Amedy ally ❤❤❤❤😊

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 22 дня назад +2

    Good job boys❤

  • @user-ro7cs9yn5g
    @user-ro7cs9yn5g 22 дня назад +5

    Hakunanga uadui wa yanga na Simba siku zote ni marafki ila biashara baba inaongea mashabiki tunapumbazwa ili tuendelee kuish hivyo na kuwaingizia pesa kwa kushindana kwetu

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 22 дня назад +2

    Godd boys 🔥💥💯

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 22 дня назад +9

    Hamna kitu hayo maputi yenu alli kamwe Rudi kwenye timu yanabanduka skimming nzuri ni stucco gundi ya cement Bora wallput decco plus minat decco hayo sio

    • @Yuleyule-u6c
      @Yuleyule-u6c 22 дня назад +1

      😁🤣😁 Ww ni Muongo ujawai TUMIA hii au unataka na ww kufanya biashara ( matangazo)

  • @frankstarson2403
    @frankstarson2403 21 день назад

    nimeipenda sana hii, Upendo wa hali ya juu sana

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 19 дней назад

    rock max nitawaunga mkono wakati wafinishing ya ujenz wangu,

  • @user-jh3lv7ow5u
    @user-jh3lv7ow5u 22 дня назад +2

    Awa jamaa wp vzr sana

  • @RwechungulaLeonidas
    @RwechungulaLeonidas 17 дней назад

    Good talents

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 22 дня назад +2

    Raha sana nyie mnapendana nimechek jmn

  • @SamuelJoshua7
    @SamuelJoshua7 22 дня назад +4

    Ila ahamedi comedy sana

  • @Hashimmadenge
    @Hashimmadenge 22 дня назад +1

    Alikamwe 🎉

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 22 дня назад

    Wasemaji wa nguvu, good move 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 11 дней назад

    Hawa madogo wak vzr san😂😂😂

  • @Sammy-x8w
    @Sammy-x8w 22 дня назад +3

    Utani wa raha sana😂😂😂

  • @linnahcasmir5275
    @linnahcasmir5275 22 дня назад

    Kamwe km kamwe💚💛 kichwa kilichotulia kwa madini

  • @Lo-33
    @Lo-33 22 дня назад +2

    Mpaka nimecheka

  • @neohthug3108
    @neohthug3108 22 дня назад

    Mtafika mbali sana mnapendana sana

  • @analisacecy
    @analisacecy 22 дня назад +3

    Pwagu na pwaguzi

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 22 дня назад +4

    Nawish siku moja kukutan na mmoja kat yenu kupiga story mbili tatu

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 22 дня назад +2

    Kweli Ahmed ni Mr bin😂😂😂

  • @DevidAlex-g2l
    @DevidAlex-g2l 22 дня назад +1

    So we'll see 👀

  • @kapondadr5840
    @kapondadr5840 22 дня назад +3

    🔥🔥

  • @Abrahambarnaba
    @Abrahambarnaba 22 дня назад

    Mependa sana hii

  • @pillynaya
    @pillynaya 22 дня назад

    tunawapenda nyie ndo mmekuja kuufanya mpira ushabikiwe na kila jinsia Allah awabariki

  • @user-xi7fw3ej1n
    @user-xi7fw3ej1n 22 дня назад

    Watafute msemaji mwingine wanini huyo nimsemaji halali nahayo nimaisha mengine umeambiwa watadumu milele kwenye hizo club.umecoment chini yakiwango.

  • @johnsonmpwepwa2348
    @johnsonmpwepwa2348 22 дня назад +1

    😂😂😂 semaji

  • @NuhuLameck-r1g
    @NuhuLameck-r1g 22 дня назад

    Hapana Ali kamwe tuachie timu
    Endelea na kazi ya balozi skill putty

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 22 дня назад +3

    Mashaallah

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 21 день назад

    Hersi akiwa na interview nchi inatulia kumsikiliza kuliko hata rais wa nchi maana Kuna madini anatema ambayo yanatusaidia wengi ambao ata sio mashabiki wa mpira sio kma yule anaetutambulishia dada zake🤣🤣

  • @VeronicaNyondo
    @VeronicaNyondo 22 дня назад

    Unaruhusiwa kuchekesha😂😂

  • @YussufMaliki-y9d
    @YussufMaliki-y9d 22 дня назад +3

    😂😂😂😂

  • @kelvinefuronielisha4039
    @kelvinefuronielisha4039 22 дня назад

    Yaaan hapo manarq roho inamchomoka

  • @DevidAlex-g2l
    @DevidAlex-g2l 22 дня назад +1

    Kw nn watafut msemaj

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn 22 дня назад

    Huku mikoani lini haijafika!!

  • @MAGOHABENEDICTOTv
    @MAGOHABENEDICTOTv 22 дня назад +4

    Uyu mbwa armedy ally afanye mazoezi pumzi Hana anahema sana😅😅

    • @AdamMbwana-p6n
      @AdamMbwana-p6n 22 дня назад +6

      Unapt nguvu wap mtu kumwita mbwa

    • @Haruni-e4d
      @Haruni-e4d 22 дня назад

      ​@@AdamMbwana-p6nHizi ni chuki binafsi..mwache

    • @Mumlion2624
      @Mumlion2624 22 дня назад +3

      Looh huna haya ww

    • @victormkini2708
      @victormkini2708 22 дня назад

      Jamani tumieni lugha za staa Mbwa hapa anaingiaje?

    • @marystambuli8045
      @marystambuli8045 22 дня назад

      Hiyo ni tabia Yako kutukana. Sasa hapo kakosa nn? Una matatizo ww

  • @paulwalker4383
    @paulwalker4383 22 дня назад

    Yani ahamed ally amekea kuchekesha kila sehem

    • @ibrahimufande
      @ibrahimufande 22 дня назад

      Nawaza alikuwa anajivumilia sana kipindi yuko azam tv

  • @manyotanyanguleti2058
    @manyotanyanguleti2058 22 дня назад

    Ali kamwe usijiingize mtegoni mumeacha usemaji wa mpira achana na muhamedi

  • @NuhuLameck-r1g
    @NuhuLameck-r1g 22 дня назад

    Narudia Ali kamwe tuachie yanga yetu
    Utavujisha Siri zetu

    • @HusseinMrisho-cu9rf
      @HusseinMrisho-cu9rf 22 дня назад +3

      Nyie ndo wachawi wa maendeleo ya wat we umeona ametoa sili jitahidi kukunjua roho maisha ayataki usiliaz ww yanga wanakujua au we ndo unaifaham 😮😮😂

    • @PanchoValentino-wh7wt
      @PanchoValentino-wh7wt 22 дня назад +2

      TIMU Yako ipi iyoo tumia Akili boy

    • @nzalionlinetv7728
      @nzalionlinetv7728 22 дня назад +1

      We una timu ganii msee kwel

    • @mariahshechambo4034
      @mariahshechambo4034 21 день назад +1

      We una timu nan anakujua

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 22 дня назад +2

    Yanga tafuteni msemaji mpya

  • @SaidMayona-t9r
    @SaidMayona-t9r 22 дня назад +4

    🔥🔥🔥🔥