BONGO DSM: KIJAZI INTERCHANGE INAVYOWAKA USIKU, FULL KUTELEZA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • BONGO DSM: KIJAZI INTERCHANGE INAVYOWAKA USIKU, FULL KUTELEZA...
    WAKAZI wa Muda mrefu katika jiji la Dar es salaam wanelewa vizuri kero au adha iliyokuwepo katika makutano ya Ubungo. Kuchelewa kazini, shuleni, vyuoni hata hospitalini halikuwa suala la kushangaza.
    Kero hii ilizima ghafla kama umeme uliopata hitilafu baada ya aliyekuwa Rais wa awamu ya 5, Dkt John Pombe Magufuli, kuingia makubaliano na benki ya dunia ya kujenga barabara za juu za kisasa katika eneo hilo ambapo jambo hilo limefanikiwa kwa asilimia 100.
    Sasa madereva kutoka pande zote za jiji la Dar es salaam ambao hutumia Interchange ya Kijazi hawapati muda wa kusoma gazeti au hata wengine kuvuta fundo kadhaa za sigara kama walivyokuwa wakifanya hapo mwanzo kabla ya ujenzi huu sababu ya foleni. Kwa sasa ni KUTELEZA TU Kuzikimbilia mishemishe zilipo na kuingiza kipato bila kikwazo cha kukaa ndani ya gari kwa masaa 2....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 88

  • @mwana4599
    @mwana4599 3 года назад +13

    RIP KPM, Kijazi na Eng. Mfugale. On another note. Mtangazaji mzuri sana huyu.

  • @ngajaalmas
    @ngajaalmas 3 года назад +12

    Magufuli is superhero of our time.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

  • @annaanyosisye8682
    @annaanyosisye8682 3 года назад +20

    Huyo ndiyo jpm bhnaa R.I.P simbaaaa

  • @martinstarford2015
    @martinstarford2015 3 года назад +12

    Kutoka NAIROBI KENYA kazi nziri Sana kumbe Tanzania pia iko Kama NAIROBI

    • @martinstarford2015
      @martinstarford2015 3 года назад +1

      @@Jeff-Nguvu-ya-Injili bado mko chini

    • @martinstarford2015
      @martinstarford2015 3 года назад +1

      @@Jeff-Nguvu-ya-Injili shida yenu n moja tu kelele mingi lakini kumbuka kenya n baba yao east Africa kwanza dar n mji mkuu wa tanzania ama n Dodoma linganisha dar na mombasa, Dodoma na Nairobi

    • @athmanihaji7771
      @athmanihaji7771 3 года назад

      Tanzania wanajimudu kufanya maendeleo nchi nzima sio maeneo flani kama ilivyo Kenya,Kwa sababu hiyo hatutaifikia Tanzania kamwe...!!!

    • @martinstarford2015
      @martinstarford2015 3 года назад

      @@athmanihaji7771 wpy ebu niambie kitu Tanzania wamefanya yenye utasema wako mbele ya kenya

    • @didimhutila8985
      @didimhutila8985 3 года назад +2

      Don't be stupid, Kenya imejengwa na queen but tz is built by tz people!ther not puppet of the white people!ndio maana mulikuwa locked 🔒.

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 3 года назад +9

    Daah nchi imepooza sasa siku hizi hata news za Kibongo zinaanza kuniboa, hamna mahabari ya miradi mikubwa kubwa kama enzi za JPM maana mwamba yule alikuwa anatema madini tu, ameona shule ya udongo amewapa wakuu mwezi wamejenga nk nk yaani Tz ilikuwa ya kujengwa tu

  • @ezeedi871
    @ezeedi871 3 года назад +12

    Daa kazi nzur sana

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 3 года назад +1

      We Acha Tuu Ameondoka MTU aliyefanya Maajabu Hayo

  • @theleo3899
    @theleo3899 3 года назад +23

    Magufuli legacy💪

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 3 года назад +10

    Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu utakumbukwa daima

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 года назад +16

    Uyo ni Magufur Pumzika kwa Aman Jpm

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 3 года назад +16

    Tunaomba mungu atupatie viongozi wenye maono kama alivyokuwa JPM,na pia Mungu atulindie viongozi wetu wenye maono mazuri wasiwe wanahujumiwa uhai wao,ahasante mtangaziji wetu twakupenda sana,kazi nzuri

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 года назад +9

    Safi sana. Magufuli atakumbukwa daima

  • @IBENGM
    @IBENGM 3 года назад +4

    Huyu ndo Mtangazaji sasa..

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 3 года назад +6

    Tz Ya leo sio Kam ya jana jamn Roho zao zipate rehema Kwa Mungu

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 3 года назад +10

    Nchi hii kuja kua nzur ni ngumu sn cz hata kesho akija kutokea rais km magu bc ni lazima watamuua tu ndiomaana leo hii magufuli na mfugale wote hawapo dunian daah!!yote tunamuachia mungu tu

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 3 года назад +9

    Kusema kweli JPM Alikuwa Rais WA Kweli na mwenye Maono Na Uthubutu Kwa sasababu ukitaka kufanya kitu Ni lazima Uthubutu Ndiyo Utaona Njia lakini bila kuthubutu hutaweza

  • @etonabintu
    @etonabintu 3 года назад +10

    Zawadi ya Magufuli iyo

  • @yacquubismaan7088
    @yacquubismaan7088 3 года назад +10

    Saluti.magufuli

  • @respiciuscornery9202
    @respiciuscornery9202 3 года назад +5

    Asante sana dada kwa maelezo mazuri

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 года назад +16

    SEREKALI IANGALIE SUALA LA KUBANDIKA MAKARATASI YA MATANGAZO WANACHAFUA NGUZO NA VIKUTA MJINI SIO KILA MAHALI KUBANDIKWE BANDIKWE.....

    • @manfredbitala6897
      @manfredbitala6897 3 года назад +1

      Hilo ni janga la taifa. Binafsi Jambo Hilo linaniudhi Sana, madaraja, nguzo za umeme, kingo za barabara etc. Cha ajabu wahusika huandika kwenye matamgazo hayo majina yao, anuani zao, na namba zao za simu. Wanafanya hivyo kutangaza kampeni za siasa, disco, mikutano ya injili na matamgazo ya biashara. Nirahisi kuwakamata na kuwawajibisha.

    • @sultanmswahilitv4864
      @sultanmswahilitv4864 3 года назад +1

      Kenya ni marufuku.Ukipatikana utafungwa ama fine utatozwa sana

    • @nguruwekikwete1635
      @nguruwekikwete1635 3 года назад

      Viongozi wa serikali sijui wanafanya nini kuweka sheria au amri kuzuia huo upumbaavu gharama ya kusafisha hizo kuta na kuziweka sawa ni mamilioni ya pesa huyu mkuu wa mkoa na wawilaya ni mazuzu sana

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 года назад

      @@sultanmswahilitv4864 hapa kwetu hawana habari na uchafu....waambie kuiba duh Mungu tusaidie

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 3 года назад +5

    Mh magufuli awezi kusaulika kamwe kwa wapenda maendereo

  • @tindijunior5107
    @tindijunior5107 3 года назад +5

    Makufuli oyee

  • @margaretmbongo3440
    @margaretmbongo3440 3 года назад +7

    Jpm chuma

  • @simonjoseph1775
    @simonjoseph1775 3 года назад +9

    MWANAMAPINDUZI WA KWELII KAACHA ALAMA KUBWA KIZAZI NA KIZAZI WATAJIONEA DAIMA NITAKUENZI HADHALANI NA MOYONI MZALENDO MAGUFULI UKISINDIKIZWA NA MFUGALE PUMZIKENI SALAMA

  • @kadashijunior2141
    @kadashijunior2141 3 года назад +5

    The legacy never die,,,hata km wamehujumiwa uhai wao,lkn utu wao hauwez kupotea,,,wengine mkifa unatupwa km mfilisiti tu.

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 3 года назад +10

    Dada hongera kwa Uzalendo nipe number yako nikuunge kwenye group la Jpm

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 3 года назад +4

    Hiyo interchange Siyo poa ukiingia Dar Unakaribishwa na Hiyo interchange kwamba SASA umeingia Dar

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 3 года назад +4

    Dada uko vzr

  • @faustamarussu5546
    @faustamarussu5546 3 года назад +3

    R.I.P JPM & MFUGALE

  • @adrushassan6348
    @adrushassan6348 3 года назад +7

    Big up magufuli tutakukumbuka sana we mic u😭

  • @sylverjosiasy8536
    @sylverjosiasy8536 3 года назад +8

    Waafrika tubaeilike kabsa Ani, tusiwe tunasikiliza chochoko za wapumbav na vibaraka wawazungu, hasa baadhi ya wanasia! Mfano Kuna Kuna wapumbav wanamchafua et Magufuli alikua dikteta, hv mtu asiyemkubali MAGUFULI anakua na akili kichwani au makaratas, JPM mwamba Sana Basi tuu. V

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 3 года назад +1

      Broo wanajitahidi Kumchafu JPM lakini jibu Lao wanalipata wakipita mtaani wanateleza tuu full Mabadiliko Nchi lmebadilika full miradi not like before

    • @kahmardintebe9266
      @kahmardintebe9266 3 года назад

      Jpm ni mwamba wa tz na barani Africa kwa ujumla pumzika kwa amani chuma nyayo umeziacha hazitafutika kamwe

  • @adrushassan6348
    @adrushassan6348 3 года назад +3

    Sasa mama akiondoka tutaangalia nn alichokiacha? Chanjo au tozo za cm ? Kumbukumbu

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael2317 3 года назад +4

    Magufuli chumaaa cha reli shujaa...

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 3 года назад +1

    Yani vichwa vinatutoka tu! Mungu tusaidie

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 года назад +1

    MASHAALLAH

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 3 года назад +1

    Yaan Hii interchange Kama KwaZulu natal Yaan

  • @josephamos6636
    @josephamos6636 3 года назад +3

    Huo ndio uzarendo wa kweli

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 года назад +1

    Babaaaaaaa😢😢😢🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @ashuraumari1322
    @ashuraumari1322 3 года назад +3

    Daa🤔nikiludi tz nahisi nitapotea😂

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 3 года назад

      Na wewe Ashura wa Buza una vituko toka lini uko Ughaibuni acha kujitoa akili

    • @ashuraumari1322
      @ashuraumari1322 3 года назад +1

      @@kabwelasutiviraka4765 😂😂😂😂

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 3 года назад

      @@ashuraumari1322 niambie dada , poa kama umecheka ili tuongeze muda wa kuishi au sio haya karibu chai na ubuyu na embe dodo hapa geza ulole

    • @ashuraumari1322
      @ashuraumari1322 3 года назад

      @@kabwelasutiviraka4765 Asante kweli nimeongeza siku daa😂

  • @sisawajohari7252
    @sisawajohari7252 2 года назад

    Kwa kawaida miradi mikubwa kama hii mikopo yake lazima itoke wold bank hawa jengi bure hilo lazima lifahamike na hili ni daraja la kuvusha magari kupeleka upande wa pili

  • @MohamedAli-qf6et
    @MohamedAli-qf6et 2 года назад

    Wacheni ushamba ndugu zangu wabongo. Musiweni kama kipofu aliyefungua macho kwa mara ya kwanza akaona jogoo basi kila watu wakizungmza vitu vikubwa yeye huwauliza kama jogoo? .Hebu tembeeni kidogo mukaangaliye flyova japo Dubai musende Ulaya mbali sana nanyi, halafu mje mlinganishe kama kweli mna flyova za kujisifia.

  • @tzfinest75
    @tzfinest75 3 года назад +2

    Maendeleo mazuri lakini ndiyo kazi ya serikali...hii kama propaganda.

  • @yohanambilinyi5616
    @yohanambilinyi5616 3 года назад

    ninalia kwa uchungu mnoo. RIP MAGUFULI, RIP MFUGALE

  • @monicahovda4524
    @monicahovda4524 3 года назад

    Bwana Sio Serikali Bali ni Mh late Magufuri ukweli ni huo na ukweli itabaki kuwa kweli, walikuwako wengi Lakini waliopita
    tu na kuwaza mifuko yao, k

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад

    Huyu mama hawezi jenga ata daraja la miti

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 3 года назад

    Magufuri tu wengine n

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 3 года назад

    Serikali iwemakini na hii tabia ya kubadili majina ya asili husika na kuyaita majina mapya bila kuwashirikisha wadau, maana majina mengine yanahistoria ya siku nyingi.

  • @shabanibumbo5774
    @shabanibumbo5774 3 года назад

    huyo ndio rais sio bibi yenu yeye anajenga corona na safar za nje

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 3 года назад

    Aripenderea Sana dar na kwawo

    • @ibrahimkambi9288
      @ibrahimkambi9288 3 года назад

      Mbona hujataja Soko kuu Moro,Dodoma,Lindi,Mtwara ,Kigoma Aaaaaaah....ngoja tu niache

    • @evaristjohn2439
      @evaristjohn2439 3 года назад

      @@ibrahimkambi9288
      Huyu jamaa inaonekana hajatembea... Anasikiliza Stori za vijiwe bus kahawa!!

    • @hatibuyusufu4668
      @hatibuyusufu4668 3 года назад

      Nikweli Rais Magu alikua MWAUME.leo Kuna Barbara za lami ktk almashauli nyingi tu,masoko ,stend za kisasa hospitali Bandari Madini viwanda,ndege, SGR,bwawa la Nyerere,daraja la tanzanite ,busisi kigongo selikali mjini Dodoma elimu Bure, ndege nidhamu serekalini ,wewe unachuki zako binafi

    • @reganmartin5485
      @reganmartin5485 2 года назад

      Acha aendelee kujuta maana hata nauli ya kutoka kijijini kwao kwenda mkoa Hana anasubiri Kijiweni Cha kahawa