Ndugu zangu waislamu, vovote tutakavyo tofautiana tuweni na adabu katika kutofautiana. Hkn aliyekulazimisha ufwate mahali fulani, fwata utakapo lkn musitukane watu kwakuwa wafwata kwengine. Umeamuwa kufwata Saudi fwata na twakwambia Saum Maqbul na Eid Mubarak na kwa wale waliofwata mwandamo wa kwao pia fwateni na twawaambia Saum Maqbul na Eid Mubarak. Tutafautiane lakini tuheshimiane. Ajuaye zaidi ni Mola tu kwaio fwata utakapo hesabu tumwachie Maulana.
Asalaam aleykum.....mimi kuna kitu napenda kushare na jamii ya waislaam,kwanza tusome tuijue dini yetu vizuri .....ucibishane na mtu aliyekuzidi elimu,pia msingi bora huanzia nyumban kama mtoto lazima umueshimu babaako kabla ya kuheshimu baba wa jirani.lazma ufate muongozo wa shekh au imamu wako coz ata tukifa atuzikwi saudia tutazikwa na mashekh wetu na ikiwa wanakosea baci wao ndo wanadhima mbele ya allah ni kama tunapofunga swala imam ndo anadhima kwa maamuma.mbona katika swala na ni nguzo kubwa ya uislaam kila mtu anaswali kwa misingi yake atufati saudia .....wabillah taufik wasallaam aleykum.
@@awadhally1052 na nyinyi mnapewa dalili za kisalifiyah 🤣ila mimi siko katika kubishana brother wewe fuata utakalo nashindana na amali zangu .Na iddi monday inshaAllah kw sheikh Mbarak aweis hapo ndipo roho yangu inaona utulivu na ilimu yenye busara.Wewe wa jumapili ALLAH akupe iddi njema yenye furaha wewe na familia yako inshaAllah🤲
Kama ushamsikiza Sheikh vizuri halazimshi mtu awe pamja na yeye,,ukifunga pamja saudia ama ufuate mathlai ya sehemu ya kwenu basi hakuna shida in sha Allah sote tuko sawa.
Tutasimama na wa Isilamu wote wa Ulimwengu waliokusanyika Arafaa . Arafaa ni Moja . Mwezi ni Moja . Tafauti ni wakati si Siku . Arafaa ni Jumamosi na Kenya si itakua Jumamosi . Alie shuhudia Mwezi na akaapishwa si ndie ata beba ukweli au Uwongo. Ma Sheikhi Wetu Malumbano kwenye mitandao haufai . Tufuate Quraan na Mtume Mohammed Swalalahu Aleyhi Wasalama .
Ma Sheikh na Ma ulamaa wetu wamepitwa na elimu elekezi. Tatizo kubwa wameiacha Qur'an wamefuata vitabu vilivyo andikwa na waarabu. Ambavyo vinawapoteza. Wakati wa Mtume, wapotoshaji wapingaji, wakataa ukweli walikuwapo, Sasa utaaminije vitabu vyao? Miaka na miaka ufumbuzi hakuna, iwe mwezi mwandamo, iwe maulidi, iwe Arafa. Kila sheikh anasema lake. Hii nie fitina kuifini Dini ya Mwenyezi. Mungu, lakini wao hawajuwi. Mala kuna majini wema, urongo mtupu. Hakuna majini wema. Ukweli unashuka punde tu, kila kitu kitakuwa bayana bi idhnillah.
@@taseleli9181 Sheikh usemi huo anakosea sana, angesema kuwa haifa au inafaa. Waumini wajuwe. Lakini mwa kauli yake inaonyesha hana msimamo katika kuitetea haki.
Sheikh Izzudin jambo ambalo Waislam wengi hawajui nikwamba Saudia ama Qatar wako na calendar yao,hii Calendar ya kiislam haifuati mwezi sababu kuna miezi mungine iko na siku 29 ama 30 lkn Saudia hufuata hyo calendar yao ilivyoandikwa wala sio eti watasimama inje kutimaza mwezi....na pili kufuata Saudia ni kichekesho mfano tu Dhuhr huku watu husali 11:45 asubuhi je wenye kuwafuata husali saa hiyo?Kila taifa ama inchi na time zake na mwezi wake.....
Naam hakika maana trh ya kalenda ya saudia na salatuk xinatofautiana salatuk arafa nikesho j2 na eid j3 acha ss tufate mwandamo wa mwezi in shaa Allah na waofata kalenda kila la kheir
Asilimia kubwa miongoni mwa masheikh wetu, ukitazama sana utaona kwanza elimu zao zinakinzana, haijulikani kuwa huyukasoma wapi na huyu vipi. Matokeo yake wanafikia kumfitini Mwenyezi Mungu asijulikane. Maana hakuna mmuafaka, mbona miaka 1960's haya hayakuwepo?
Kwan waliofunga zaman kuanzia miaka ya tisin kurud nyuma walikuwa hawana arafa maana huwezi kujua kama saudia wamesimama arafa na wao tunawaweka mahala gan tecchnolojia isitugawe
Akhui ilo ndo swali muhimu sana maan turudi miaka 100,200 na 300 uko nyuma walikuwa wanafunga vip?walituma watu waendee makkah wakaangalie siku ya arafa itakuwa lini?au walifunga kwa kufata nwezi?
Akhuy Hili ndo swali ambalo inabidi ndugu zetu wanofunga kisimamo cha Arafa walijibu ila hupati jibu lilonyooka. Tusisahau kuwa Mtume kabla hajafa Allah aliyakinisha kuwa Dini yetu kashaikamilisha. Sasa je Enzi za Mitume na miaka hiyo isiyokuwa na technology Watu walikuwa wanajua vipi kwamba leo Makka washasimama Arafa?
Asalaam aleikum waramatulillah wabarakatu swali langu. Upande na sisi kina dada, mtu kamaliza damu yake ya hedhi kaoga ijumaa kujianda kufunga siku ya arafa anayo ni kesho(jumamosi) hapa Saudi pia ni Haramu? Shukran
Alhamdullilah Allah kanijaaliya ku wa msomali sijasikia ma sheikh wetu wakilumbana kama wa east Africa . Miaka yote arafaa ni moja basi katafute makkah yenu na wabao support wa kasinsne arafaa yao . Msjibizano ya nini ?
[حديث النهي عن صيام السبت] حديث النهي عن صيام السبت حديث مضطرب لايصح، وفي متنه نكارة، لمخالفته الأحاديث الصحيحة، والقول بظاهره يخالف الإجماع. وقد أعله من الأئمة: ١- الزهري. ٢- مالك. ٣- الأوزاعي. ٤-يحيى القطان. ٥- أحمد. ٦-النسائي. ٧- الطحاوي. ٨- ابن العربي. ٩- ابن تيمية ١٠- ابن القيم. ١١- ابن حجر. قال شيخ الإسلام رحمه الله في شرح كتاب الصيام من عمدة الفقه (2/653): (وهذا يدل على توقفه -يعني الإمام أحمد- عن الأخذ به -يعني حديث النهي عن صيام السبت- لأن ظاهر الحديث خلاف الإجماع). دراسة الحديث وبيان ضعفه وأنه لا تقوم به حجة: *الشيخ الدكتور عرفات المحمدي*
si mimi nafikiria kalenda ni moja? sasa inakuaje mnafuata mashekh...au mwafwata saudia?...kalenda ya kiislam ni moja dunia nzima. arafa ni jumamosi... Eid ni jumapili....mbona wengine arafa iwe jumapili? aiii...wacheni kuchanganyikiwa...fwateni kalenda
Assalam alaykum! Sikilizeni elimu, musiwe mahakimu wa kumhukumu mtu. Sheikh ashasema, tuchukue khatuwa ya kuenda kusoma... Tutafute vitabu na walimu wa elimu ijapokuwa ni China. Umekinaika na sheikh, sawa... Kama hujakinaika, twendeni tukasome kwa vitabu na walimu, sio Google. Shukran
Wewe nagengelenu fuateni Jamaica waacheni waislamu wafuate waislamu wezao walioko maka maananyinyi mnataka kuwapotezea siku muhimu ya arafa nyinyikaeni na upotofuwenu msiwashawishi waache kuwafuta nduguzao
عبادة الله بالغناء بدعة يهودية: في المجتمع الصوفي يتفشى ما يسمى بالسماع والتغني بالاشعار مع دق الطبول وهذا يقصد به الصوفية عبادة الله تعالى, ويتضح تأثر الصوفية به الا ان كثيرا من الذين بحثوا في هذا الجانب يؤكدون على ان الصوفية يتأثرون بالسماع من خلال الالحان والاشعار والطبول أكثر من تأثرهم بالقرآن يقول الشعراني: "وكان اذا سمع القرآن لا تقطر له دمعة, واذا سمع شعرا قامت قيامته".. يقول شيخ الاسلام ابن تيمية "ولو كان هذا ـ يقصد سماع الاشعارـ وضرب الدفوف كعبادة ـ مما يؤمر به ويستحب وتصلح به القلوب للمعبود لكان ذلك مما دلت الأدلة الشرعية عليه" ويضيف "انما عبادة المسلمين الركوع والسجود اما العبادة بالرقص وسماع الاغاني بدعة يهودية تسربت الى المنتسبين الى الاسلام". مظاهر تقديس الاموات في الفكر الصوفي: ان من ألوان تقديس الأموات والغلو فيهم ان يعتقد ـ وهذا ما يفعله المتصوفة ـ ان الميت وليا كان ام نبيا لابد ان يرجع الى الدنيا, وانه متى ما اراد ان يعود الى بيته عاد وكلم اهله وذويه, وتفقد اتباعه ومريديه, وربما اعطاهم اورادا الى غير ذلك مما يعبر عن عقيدة موغلة في الجهل بعيدة عن عقيدة الاسلام الصافية. ومظاهر عقيدة الرجعة عند الصوفية تتمثل في اعتقادهم بامكان مقابلة الرسول بعد موته يقظة وانه صلى الله عليه وسلم يحضر بعض اجتماعات الصوفية وانه مازال يعطي بعض المعارف والتشريعات لمن يشاء من العباد. ويوغل المتصوفة كثيرا في تقديس الاموات وهذا يتضح من خلال تقديس المشاهد والبناء على القبور وتجصيصها واتخاذها مساجد, وقد تساهل المسلمون في ذلك كثيرا حتى نجد انها عمت كثيرا من بلاد المسلمين دون وعي بنتائج ذلك والتي من اهمها: ان تقديس المشاهد والبناء على القبور صار شائعا وكأنه معلم من معالم الدين الاسلامي, وان تقديسها ذريعة الى الشرك, حيث ادى البناء على القبور وتعليتها وتزيينها الى اتخاذها معابد وشرعت لها مناسك كمناسك الحج, كذلك فان تقديس المشاهد اساءة للاسلام عند من لاعلم به بتعاليمه, فنجد ان وسائل الاعلام الحاقدة على الاسلام تنقل وتقدم هذا التقديس على انه صورة الاسلام!! وبالتالي ما الفرق بين عبدة الأوثان والصليبيين وهؤلاء؟ كما يضاف الى نتائج اتخاذ القبور وتقديس المشاهد هو انتشار البطالة في العالم الاسلامي بسبب العكوف على القبور واتخاذها مصدرا اقتصاديا.
Kwa sababu kulingana na Qur'an tukufu ni haramu kufunga siku kuu na jumapili ni sikukuu wafungaje wewe hatutakiwi kufuata wanazuoni ila Muhammad na Qur'an tu
Hakuna cha mwezi wetu wala mwezi wangu, Allah kaumba mwezi mmoja na jua moja na masaa ya Saudia na Kenya na East Africa kwa ujumla yako sawa na hakuna nchi ilio pishana kwa masaa zaidi ya 6 kumaanisha pia dunia nzima siku ziko sawa ila tumepishana kwa masaa kwa kuchomoza kwa jua
@@husna34562 Sasa si ni summer but masaa ni yale yale ni kama tu nchi zengine ikifika summer jua utoka mapema na uanguka kuchelewa na ikifika winter jua utoka kuchelewa na uanguka mapema
Funga inanza kwakuingia alfajir nakumalizika linapozamajua ndio utaratibu wa funga nakisimamo kinasimamwa mchana sasawe tafutafadhira ya sikuya arafa usifuate siasa maana ukifunga kwatarehe Yako ukaacha sikuhalisi itakuwa umekosa herinyingi yasiku Ile kwani ilenisiku maalum Dunia nzima hata kama tumepishana masaa lakini arafanimoja tuu
Brother izzuddin ww wafeli kila cku coz ukisema kuhusu hadith ya kutofunga jumamosi hio hadith dhwaifu na nyny hadith dhwaifu kwenu ndio muipendao Je yaum beidh cku nyeupe tuiruke ikiwa imekuja jumamosi hehehe Allah atuongoze
عقيدة الصوفية في الاولياء: يرى الصوفية ان الولي هو: "من يتولى الله سبحانه امره فلا يكله الى نفسه لحظة, ومن يتولى عبادة الله وطاعته, فعبارته تجري على التوالي من غير ان يتخللها عصيان" وحقيقة الولي عند الصوفية انه يسلب من جميع الصفات البشرية ويتحلى بالاخلاق الالهية ظاهرا وباطنا , ويصل الى المساواة مع الله سبحانه وتعالى حيث يعتقد الصوفية في الأولياء بأن لهم القدرة على انزال المطر وشفاء الأمراض واحياء الموتى وحفظ العالم من الدمار. ولا شك ان هناك آثارا خطيرة تترتب على هذه العقيدة من اهمها الوقوع في شرك الربوبية والعياذ بالله. عقيدة الصوفية في الجنة والنار: الصوفية يعتقدون ان طلب الجنة والفرار من النار ليس هدفا , فالله يعبد لذاته حيث يزعم المتصوفة ان العبادة الحقة هي ما كانت دون طلب العوض من الله وان يشهد فيها فعل الله لا فعل العبد, وان من شاهد فعله في الطاعة فقد جحد. والصوفية يعتقدون ان طلب الجنة منقصة عظيمة وانه لا يجوز للولي ان يسعى اليها ولا ان يطلبها ومن طلبها فهو ناقص, وانما الطلب عندهم والرغبة في الفناء (المزعوم) في الله, والاطلاع على الغيب والتعريف في الكون.. هذه جنة الصوفي المزعومة. واما النار فإن الصوفية يعتقدون ايضا ان الفرار منها لا يليق بالصوفي الكامل لان الخوف منها طبع العبيد وليس الاحرار. وقد يظن المسلم في عصرنا الحاضر ان هذه العقيدة في الجنة والنار عقيدة سامية وهي ان يعبد الانسان الله لا طمعا في الجنة ولا خوفا من النار, ولكنها عقيدة غير صحيحة ومخالفة لعقيدة الكتاب والسنة.
العقيدة الصوفية: تختلف العقيدة الصوفية عن عقيدة الكتاب والسنة في امور عديدة من اهمها: مصدر المعرفة الدينية, ففي الاسلام لا تثبت عقيدة إلا بقرآن وسنة لكن في التصوف تثبت العقيدة بالالهام والوحي المزعوم للأولياء والاتصال بالجن الذين يسمونهم الروحانيين, وبعروج الروح الى السماوات, وبالفناء في الله, وانجلاء مرآة القلب حتى يظهر الغيب كله للولي الصوفي حسب زعمهم, وبالكشف, وبربط القلب بالرسول صلى الله عليه وسلم حيث يستمد العلوم منه. واما القرآن والسنة فإن للصوفية فيهما تفسيرا باطنيا حيث يسمونه احيانا تفسير الاشارة ومعاني الحروف فيزعمون ان لكل حرف في القرآن معنى لا يطلع عليه إلا الصوفي المتبحر, المكشوف عن قلبه. عقيدة الصوفية في الله تعالى: يعتقد المتصوفة في الله عقائد شتى منها "الحلول" الذي يعني ان يكون الصوفي الها وربا يعلم الغيب كله كما يعلمه الله سبحانه وتعالى حيث ان الهدف الصوفي هو الوصول الى مقام النبوة أولا ثم الترقي حتى يصل الفرد منهم في زعمهم الى مقام الألوهية والربوبية. البسطامي من اعلام القرن الثالث في التصوف ومن أئمة الصوفية يقول: "رفعني مرة فأقامني بين يديه, وقال لي: يا أبايزيد ان خلقي يحبون ان يروك, فقلت: زيني بوحدانيتك, وألبسني انانيتك, وارفعني الى احديتك..." تعالى الله عما يقول علوا كبيرا , وتأكيد الصوفية على القول بالحلول التي جعلتهم يتشبهون بصفات الله جعلهم يصلون في النهاية الى القول "بوحدة الوجود" التي تعني في العقيدة الصوفية انه ليس هناك موجود إلا الله سبحانه وتعالى فليس غيره في الكون, وما هذه الظواهر التي نراها إلا مظاهر لحقيقة واحدة هي الحقيقة الإلهية. ويؤمن الصوفية بهذه العقيدة حتى يومنا هذا.
لأن الرسول ﷺ قال في ذلك: الحج عرفة بيَّن الرسول ﷺ أن الحج هو عرفة، هو الركن الأعظم، من فاته الوقوف بعرفة؛ فاته الحج؛ لأن الرسول ﷺ بيَّن ذلك، قال: الحج عرفة فمن أدرك عرفة بليل؛ فقد أدرك الحج، فدل ذلك على أن من لم يدرك عرفة؛ فقد فاته
Wallahy kama umeelewa hii akili unayo kma bdo akili huna na nimeapa kwa mola..kwani sisi ambao tuko huku yatuhusu hio hadith? Kma yatuhusu nioneshe wp yatuhusu maana mm sijaona panapo tuhusu
الشريعة الصوفية في العبادات: يعتقد الصوفية ان الصلاة والصوم والحج والزكاة عبادات العوام وأما هم فيسمون انفسهم الخاصة ولذلك فعباداتهم مخصوصة وان تشابهت ظاهرا . واذا كانت العبادات في الاسلام لتزكية النفس وتطهير المجتمع فإن العبادات في التصوف هدفها ربط القلب بالله تعالى للتلقي عنه مباشرة حسب زعمهم والفناء فيه واستمداد الغيب من الرسول صلى الله عليه وسلم والتخلق باخلاق الله حتى يقول الصوفي للشيء كن فيكون ويطلع على اسرار الخلق, ولا يهم في التصوف ان تخالف الشريعة الصوفية ظاهر الشريعة الاسلامية, فالحشيش والخمر واختلاط النساء بالرجال في الموالد وحلقات الذكر كل ذلك لا يهم لأن للولي شريعته تلقاها من الله مباشرة. شريعة الصوفية في الحلال والحرام: اهل وحدة الوجود في الصوفية لا شيء يحرم عندهم ولذلك كان منهم الزناة واللوطية ومنهم من اعتقد ان الله قد اسقط عنه التكاليف واحل له كل ما حرم على غيره. شريعة الصوفية في الحكم والسياسة والحروب: المنهج الصوفي يرى عدم جواز مقاومة الشر ومغالبة السلاطين لأن الله في زعمهم اقام العباد فيما أراد.
@@IzudinAlwyDin Shkh Izzudin mim nakukubali sana InShaaAllah Allah akujaalie umri wenye Afya na akuzidishie Elimu na akulinde na jicho la husda Amiiiiin
يُشتَرَط أن يكون الوقوفُ في أرضِ عَرَفاتٍ لا في غيرها، وعَرَفةُ كُلُّها مَوْقِفٌ. الأدِلَّة: أولًا: مِنَ السُّنَّةِ 1- عن جابرٍ رَضِيَ اللهُ عنه قال: قال رسولُ اللهِ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم: ((ووقفتُ ههنا، وعَرَفةُ كلُّها مَوقِفٌ )) 2- فِعْلُه صلَّى اللهُ عليه وسلَّم، وقد قال: ((لِتَأخُذوا مناسِكَكم )) ثانيًا: مِنَ الإجماعِ نقلَ الإجماعَ على كونِ الوقوفِ بعَرَفةَ رُكْنًا لا يصحُّ الحجُّ بدونِه: ابنُ المُنذر؛، وابنُ حزم، وابنُ عبد البَرِّ، وابنُ رُشد، والنووي، والصَّنعانيُّ ونقل النوويُّ الإجماعَ على صِحَّةِ الوقوفِ بأيِّ جزءٍ مِن عَرَفات
Darasa lako ni lakusema mambo ya watu kuenda harusini wewe hata hujielewi waongea nini albani amefuata dalili anaeza shindwa kidalili lakini hajazua bidd'ah,nakuomba umskize sheikh ali abubakar ashaeleza kua wana wazuoni wa sunnah
hakuna ubaya wowote kukataza mabaya yafanyikayo katika maharusi yetu ya sasa hasa harusi za kislam watu kuvaa uchi na kudhihirisha mapambo yao na kufanya israfu mbona wamlaumu sheikh kwa hilo wakati Mtume Muhammad S.A .W. ametukataza mm naona hapo ww ndo ukasome zaid ama macho yako yamepatwa na makengeza hulion hilo maharusin
@@zeynaaly1948 wewe ndio uko na kengeza inaonesha soma vizuri hapo mm nimesema kua mambo yake ilimu yake ni yakusema watu wanao enda harusini kwa hilo yuko sawa huku kwengine sio mahali yake hana ilimu nako, na sijasema kua yafaa kuvaa uchi hayo ama kwenda harusini haya ni yako ndio mwanzo kukuskia wewe
Swali siku ajumapili niarafa gani siku zanyuma ulikua huwezi kujua kama watu wako arafa sahii ukiangalia tv waona siku yajumamosi watu ndio wako arafa jumapili itakua ni arafa ya mambrui na riadhwa lamu
Mbona umekita na kauli ya Imaam Albany pekee na ilihali wale wawili umeikwepa❓ Kwanini unasisitiza waislamu kufunga ijumaa na juma mosi kwa kuwalazimisha wafuate kauli ya Imaam mmoja Albany na kupuuza wanazuoni wengine? Nini hasa malengo yako mzee wangu ???? Je Imaam Albany ni ma'suum??? إتق الله ربك
Ndugu zangu waislamu, vovote tutakavyo tofautiana tuweni na adabu katika kutofautiana. Hkn aliyekulazimisha ufwate mahali fulani, fwata utakapo lkn musitukane watu kwakuwa wafwata kwengine. Umeamuwa kufwata Saudi fwata na twakwambia Saum Maqbul na Eid Mubarak na kwa wale waliofwata mwandamo wa kwao pia fwateni na twawaambia Saum Maqbul na Eid Mubarak.
Tutafautiane lakini tuheshimiane. Ajuaye zaidi ni Mola tu kwaio fwata utakapo hesabu tumwachie Maulana.
Hakika😢
@@momombarakathman2357 saudia haitofautiani...kaka,,,africa ndio tunatofautiana.
Mimi nipo saudia....lakini arafa ni jumamosi...
Asalaam aleykum.....mimi kuna kitu napenda kushare na jamii ya waislaam,kwanza tusome tuijue dini yetu vizuri .....ucibishane na mtu aliyekuzidi elimu,pia msingi bora huanzia nyumban kama mtoto lazima umueshimu babaako kabla ya kuheshimu baba wa jirani.lazma ufate muongozo wa shekh au imamu wako coz ata tukifa atuzikwi saudia tutazikwa na mashekh wetu na ikiwa wanakosea baci wao ndo wanadhima mbele ya allah ni kama tunapofunga swala imam ndo anadhima kwa maamuma.mbona katika swala na ni nguzo kubwa ya uislaam kila mtu anaswali kwa misingi yake atufati saudia .....wabillah taufik wasallaam aleykum.
@@sofymoha mm npo jeddah dadangu dammam wao ni kesho ni vile watu hawasemi public wanafuata nafsi zao
Mashallah
Nmekusikiliza nikiwa Oman shekhe wangu arafa yetu ni j2 na eid tutakula j3 oman in shaa Allah
Watu wa Oman siku zote muko masufi mnapinga watu wa saudi
Masufi ni nini? Akh@@habibasalim3092
mashaallah ukumbusho mzuri Allah akuhifadhi ustadh wetu
ALLAH akuzidishie umri na afya uzidi kutuelimisha💯nakuskiza kutoka Nairobi ❤inshaAllah tutaidi monday
Mbona mnapewa dalili ya maulid ni bidaa bado mnacheza madogoli yenuuu
@@awadhally1052 na nyinyi mnapewa dalili za kisalifiyah 🤣ila mimi siko katika kubishana brother wewe fuata utakalo nashindana na amali zangu .Na iddi monday inshaAllah kw sheikh Mbarak aweis hapo ndipo roho yangu inaona utulivu na ilimu yenye busara.Wewe wa jumapili ALLAH akupe iddi njema yenye furaha wewe na familia yako inshaAllah🤲
Mashallah tabarak allah sheikh Allah akubarik yarab amen ❤❤❤❤❤
Kama ushamsikiza Sheikh vizuri halazimshi mtu awe pamja na yeye,,ukifunga pamja saudia ama ufuate mathlai ya sehemu ya kwenu basi hakuna shida in sha Allah sote tuko sawa.
Na sisi tuko Saudia
But atafa ni moja
@@habibasalim3092arafa ni moja mwezi 9
Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.
Wanafunzi w shekh Nurdeen kishki tushafundushwa kuhusu hiyo hadithi. Arafa ni moja na sote tutafunga jmos insha Allah kheri Allah
Kumbe ww imamu wako ni kishki
Tutasimama na wa Isilamu wote wa Ulimwengu waliokusanyika Arafaa . Arafaa ni Moja . Mwezi ni Moja . Tafauti ni wakati si Siku . Arafaa ni Jumamosi na Kenya si itakua Jumamosi . Alie shuhudia Mwezi na akaapishwa si ndie ata beba ukweli au Uwongo. Ma Sheikhi Wetu Malumbano kwenye mitandao haufai . Tufuate Quraan na Mtume Mohammed Swalalahu Aleyhi Wasalama .
Ni kweli satellite bni moja tuna pishana masaa tu huyu shekh elimu bado Sanaa kasome shekh
Maa shaa Allaah yes
Hakuna alieyekatazwa kufanya kile anachoamini shekhe aachwe kama anavyoamini hajamlazimisha mtu kufanya afanyavyo yeye.
Ma Sheikh na Ma ulamaa wetu wamepitwa na elimu elekezi. Tatizo kubwa wameiacha Qur'an wamefuata vitabu vilivyo andikwa na waarabu. Ambavyo vinawapoteza. Wakati wa Mtume, wapotoshaji wapingaji, wakataa ukweli walikuwapo, Sasa utaaminije vitabu vyao?
Miaka na miaka ufumbuzi hakuna, iwe mwezi mwandamo, iwe maulidi, iwe Arafa. Kila sheikh anasema lake. Hii nie fitina kuifini Dini ya Mwenyezi. Mungu, lakini wao hawajuwi. Mala kuna majini wema, urongo mtupu. Hakuna majini wema. Ukweli unashuka punde tu, kila kitu kitakuwa bayana bi idhnillah.
@@taseleli9181
Sheikh usemi huo anakosea sana, angesema kuwa haifa au inafaa. Waumini wajuwe. Lakini mwa kauli yake inaonyesha hana msimamo katika kuitetea haki.
Masheikh wasikuiz wako biasharani waacheni watengezeni hela za duniani hawamuogopi Allah hawa🙏
Masha Allah shekh Azudin anatueleza vizuri Killa mtu afuate pale anapotaka sikama mashekhe wengine wanalazimisha watu wafuate suudya
INAA LILLAHI WAINA ILEYHI RAAJIUN Shekhe arafa ni moja hakuna arafa mbili mahujaji wamesimama leo arafa wacha kugawanya umma mche Allah
Maashaallah kwakutuilimisha na kutupa ufahamu hii ndio usawa wa kuilimisha mtu kumpa ufahamu juu ya ilimu ya jambo
Alhamdulillah,leo ndio nimeelewa vizuri ile kauli ya iman Shafii rahimahullah kwamba masufi waweza kuamka asubuhi na akil mchna wakawa vichaa
Mche mola wako
Uislaam ni uleule tangu asili mimi uislaam mpya siutaki
Sheikh Bado hujamaliza ,Elimu Bahari.endelea kutafuta. Soma sayansi,geography na astronomy.
Shee kidevu chachandu una vituko sana 😂
Aisee nakukubali mnoo❤❤❤
Shukraan ustadh ambaye hakuelewa hakutaka tu!.
Maneno mazuri saana
Shekh ogopa Mungu wapoteza waumini wewe chunga sana
Huyu sheikh wapo watakao mkataa lakin ana elimu na ndani yake INA Hekma na Busara. Na anahoja ya nguvu sana
Mpotoshaji amepinda huyu atizo bidaa sna zambua laiti angeacha bidaa ni shekhe safi lakni daah ! Bidaa kitu kibaya kinampoteza mtu sana katika dini
@@AbdulIssa-o7e ametoa ushahidi wa Hadith na wewe toa yakwako ili tujuwe nani bidaa kati yako na yeye?
Araffa ni Moja tu duniani we sufi
Mwezi ni moja Ila Kuna tafauti Ila nyinyi hamutaki kuambiwa
Kweli hawa hata ukawambia ukweli bado watakuja na tawilat zao
Am confused now which is which
Maa Shaa ALLAH 💚
Huku pia twafunga kesho Oman
Kina mbaxi Mashehe tende Hao
Subhanallah wamaanisha Arafat inayofanyika sudia ni batwil
Hatutaki agano jipya
Mashallah
Arafa ni siku sio trh
Sheikh Izzudin jambo ambalo Waislam wengi hawajui nikwamba Saudia ama Qatar wako na calendar yao,hii Calendar ya kiislam haifuati mwezi sababu kuna miezi mungine iko na siku 29 ama 30 lkn Saudia hufuata hyo calendar yao ilivyoandikwa wala sio eti watasimama inje kutimaza mwezi....na pili kufuata Saudia ni kichekesho mfano tu Dhuhr huku watu husali 11:45 asubuhi je wenye kuwafuata husali saa hiyo?Kila taifa ama inchi na time zake na mwezi wake.....
Kama hujakua cjizi haujabakia mbali
Naam hakika maana trh ya kalenda ya saudia na salatuk xinatofautiana salatuk arafa nikesho j2 na eid j3 acha ss tufate mwandamo wa mwezi in shaa Allah na waofata kalenda kila la kheir
Maashaallah
Mashehk mnajua kituvuruga mungu anawaona 😂
Asilimia kubwa miongoni mwa masheikh wetu, ukitazama sana utaona kwanza elimu zao zinakinzana, haijulikani kuwa huyukasoma wapi na huyu vipi. Matokeo yake wanafikia kumfitini Mwenyezi Mungu asijulikane. Maana hakuna mmuafaka, mbona miaka 1960's haya hayakuwepo?
Nyinyi kina Nani
Kwan waliofunga zaman kuanzia miaka ya tisin kurud nyuma walikuwa hawana arafa maana huwezi kujua kama saudia wamesimama arafa na wao tunawaweka mahala gan tecchnolojia isitugawe
Akhui ilo ndo swali muhimu sana maan turudi miaka 100,200 na 300 uko nyuma walikuwa wanafunga vip?walituma watu waendee makkah wakaangalie siku ya arafa itakuwa lini?au walifunga kwa kufata nwezi?
Napenda ukweli...hawana jibu kwa hilo
Akhuy Hili ndo swali ambalo inabidi ndugu zetu wanofunga kisimamo cha Arafa walijibu ila hupati jibu lilonyooka. Tusisahau kuwa Mtume kabla hajafa Allah aliyakinisha kuwa Dini yetu kashaikamilisha. Sasa je Enzi za Mitume na miaka hiyo isiyokuwa na technology Watu walikuwa wanajua vipi kwamba leo Makka washasimama Arafa?
Hawana jibu la kielimu kwà suali hilo
Asalaam aleikum waramatulillah wabarakatu swali langu. Upande na sisi kina dada, mtu kamaliza damu yake ya hedhi kaoga ijumaa kujianda kufunga siku ya arafa anayo ni kesho(jumamosi) hapa Saudi pia ni Haramu? Shukran
kwa nini saudia wanafunga kesho
Shekhe enda Saudia ukasome dini
Jee ww umenda
Tatizo sheikh wangu hupekui vitabu
Swadakta
Hapana ni chuki yako ....kwa sababu hajasema yanayoendana na matamanio yako
Una uhakika wewe
Hawatorizika manaswara mpaka tufate mila zao
Swadakta sheikh izudin
Alhamdullilah Allah kanijaaliya ku wa msomali sijasikia ma sheikh wetu wakilumbana kama wa east Africa . Miaka yote arafaa ni moja basi katafute makkah yenu na wabao support wa kasinsne arafaa yao . Msjibizano ya nini ?
Shukran kwa kutuelimisha Sheikh
Ameen
Wapo wengi masheikh kama hawa ambao wanajali maslahi kuliko dini.
Shekh nenda kasome usiupoteze umma
Je ww umesoma ama uko na elmu kumshinda yy
[حديث النهي عن صيام السبت]
حديث النهي عن صيام السبت حديث مضطرب لايصح، وفي متنه نكارة، لمخالفته الأحاديث الصحيحة، والقول بظاهره يخالف الإجماع.
وقد أعله من الأئمة:
١- الزهري.
٢- مالك.
٣- الأوزاعي.
٤-يحيى القطان.
٥- أحمد.
٦-النسائي.
٧- الطحاوي.
٨- ابن العربي.
٩- ابن تيمية
١٠- ابن القيم.
١١- ابن حجر.
قال شيخ الإسلام رحمه الله في شرح كتاب الصيام من عمدة الفقه (2/653):
(وهذا يدل على توقفه -يعني الإمام أحمد- عن الأخذ به -يعني حديث النهي عن صيام السبت- لأن ظاهر الحديث خلاف الإجماع).
دراسة الحديث وبيان ضعفه وأنه لا تقوم به حجة:
*الشيخ الدكتور عرفات المحمدي*
Sikuungi mkono kabisa
Wanafanya bidaa
Sheikh wanidai nusu ya alele😅
Arafa hii yenu ya jumapili IPO wapi
Kwaio ukiwa unaswali tu kwa mambo yako ucku wakuamkia ijumaa ni dhambi pia
Mwongozo tunao quraan na suna
Arafa yao iko lamu
Kabisaa
Kabisaa
Kilamwaka ikifika EDD yamfungo tat mna kuchanganya kama ndokwanza mnateremshiwa Qua ni taeahe zinajulikana lkn mpaka mtarafuane mashekhe
Kasome tena wew uwa sumbua watu ambao awaja soma
Wewe umesoma wapi
si mimi nafikiria kalenda ni moja?
sasa inakuaje mnafuata mashekh...au mwafwata saudia?...kalenda ya kiislam ni moja dunia nzima.
arafa ni jumamosi...
Eid ni jumapili....mbona wengine arafa iwe jumapili? aiii...wacheni kuchanganyikiwa...fwateni kalenda
Kaw mfano Namaliza period ijumaa usiku ndio najitoharisha kwa ajili ya ibada jee naweza funga jumamosi vile nilikuwa na ushuru wa kisheria
Ndio unaweza c ushakuwa twahara
Shehe nenda katafute ilm wacha kutafuta umashuhuri umekuwa wale wa خالف تعرف
Kwani arafaa wetu wasimama wapi kuna nchi yyte yasimama arafaa isipokuwa saudia
Assalam alaykum!
Sikilizeni elimu, musiwe mahakimu wa kumhukumu mtu. Sheikh ashasema, tuchukue khatuwa ya kuenda kusoma... Tutafute vitabu na walimu wa elimu ijapokuwa ni China.
Umekinaika na sheikh, sawa... Kama hujakinaika, twendeni tukasome kwa vitabu na walimu, sio Google.
Shukran
Naam
Watu wanaofuata mwezi wa saudia hawawafuati Hawa mashekh, qauli yao ni kila nchi wafuate mwandamo wao, kwa hivo usilazimishe kitu
Wewe nagengelenu fuateni Jamaica waacheni waislamu wafuate waislamu wezao walioko maka maananyinyi mnataka kuwapotezea siku muhimu ya arafa nyinyikaeni na upotofuwenu msiwashawishi waache kuwafuta nduguzao
Ukisikia ujinga ndiokama huo.
Ungetafuta Vitabu kwanza ukasoma angalau ukajua kutawaza maviyoo
Mbona makasiriko 😢
عبادة الله بالغناء بدعة يهودية:
في المجتمع الصوفي يتفشى ما يسمى بالسماع والتغني بالاشعار مع دق الطبول وهذا يقصد به الصوفية عبادة الله تعالى, ويتضح تأثر الصوفية به الا ان كثيرا من الذين بحثوا في هذا الجانب يؤكدون على ان الصوفية يتأثرون بالسماع من خلال الالحان والاشعار والطبول أكثر من تأثرهم بالقرآن يقول الشعراني: "وكان اذا سمع القرآن لا تقطر له دمعة, واذا سمع شعرا قامت قيامته"..
يقول شيخ الاسلام ابن تيمية "ولو كان هذا ـ يقصد سماع الاشعارـ وضرب الدفوف كعبادة ـ مما يؤمر به ويستحب وتصلح به القلوب للمعبود لكان ذلك مما دلت الأدلة الشرعية عليه" ويضيف "انما عبادة المسلمين الركوع والسجود اما العبادة بالرقص وسماع الاغاني بدعة يهودية تسربت الى المنتسبين الى الاسلام".
مظاهر تقديس الاموات في الفكر الصوفي:
ان من ألوان تقديس الأموات والغلو فيهم ان يعتقد ـ وهذا ما يفعله المتصوفة ـ ان الميت وليا كان ام نبيا لابد ان يرجع الى الدنيا, وانه متى ما اراد ان يعود الى بيته عاد وكلم اهله وذويه, وتفقد اتباعه ومريديه, وربما اعطاهم اورادا الى غير ذلك مما يعبر عن عقيدة موغلة في الجهل بعيدة عن عقيدة الاسلام الصافية.
ومظاهر عقيدة الرجعة عند الصوفية تتمثل في اعتقادهم بامكان مقابلة الرسول بعد موته يقظة وانه صلى الله عليه وسلم يحضر بعض اجتماعات الصوفية وانه مازال يعطي بعض المعارف والتشريعات لمن يشاء من العباد.
ويوغل المتصوفة كثيرا في تقديس الاموات وهذا يتضح من خلال تقديس المشاهد والبناء على القبور وتجصيصها واتخاذها مساجد, وقد تساهل المسلمون في ذلك كثيرا حتى نجد انها عمت كثيرا من بلاد المسلمين دون وعي بنتائج ذلك والتي من اهمها: ان تقديس المشاهد والبناء على القبور صار شائعا وكأنه معلم من معالم الدين الاسلامي, وان تقديسها ذريعة الى الشرك, حيث ادى البناء على القبور وتعليتها وتزيينها الى اتخاذها معابد وشرعت لها مناسك كمناسك الحج, كذلك فان تقديس المشاهد اساءة للاسلام عند من لاعلم به بتعاليمه, فنجد ان وسائل الاعلام الحاقدة على الاسلام تنقل وتقدم هذا التقديس على انه صورة الاسلام!! وبالتالي ما الفرق بين عبدة الأوثان والصليبيين وهؤلاء؟ كما يضاف الى نتائج اتخاذ القبور وتقديس المشاهد هو انتشار البطالة في العالم الاسلامي بسبب العكوف على القبور واتخاذها مصدرا اقتصاديا.
Mukisomewa dalili walizo zitoa ma sheikhe zenu hamtaki mwataka nini jamaa
@@saidshariff9600 leta dalili zenu iwe kwa kitabu na sunna
Izudiini khurafati wa usufi mzushi katika wazshi
Jealous
Kwani arafa sinisiku yakusimama saudia au vip jamani sasa ikiwa saudia watasimama jumamosi vip sisi tufunge Jumapili hii itakuwa arafa ipi
Arafa yenu iko wapi ustadh nije kuhudhuruia pia😂😂😂
Iko matakoni mwako ndilo jibu ulilotaka
Kwani uko hijja
@@fadhilimusa9732 Asante kwa matusi.
Usije Arafa njoo Idd
Wew ndio miongoni mwa watu ambao n kma hamukufika hata fasl awwal,...Jaahil
Wewe.nisheya mogope mungu
Kwa sababu kulingana na Qur'an tukufu ni haramu kufunga siku kuu na jumapili ni sikukuu wafungaje wewe hatutakiwi kufuata wanazuoni ila Muhammad na Qur'an tu
Arafa ya jamaica
Hakuna cha mwezi wetu wala mwezi wangu, Allah kaumba mwezi mmoja na jua moja na masaa ya Saudia na Kenya na East Africa kwa ujumla yako sawa na hakuna nchi ilio pishana kwa masaa zaidi ya 6 kumaanisha pia dunia nzima siku ziko sawa ila tumepishana kwa masaa kwa kuchomoza kwa jua
Acha ujinga ww
Acha upuuzi
Kua makini weweeee....nani kakwambia kua kuna muwandamo wa Jua
But saudia sai alfajir saa 3.15 kenya kumi na moja
@@husna34562 Sasa si ni summer but masaa ni yale yale ni kama tu nchi zengine ikifika summer jua utoka mapema na uanguka kuchelewa na ikifika winter jua utoka kuchelewa na uanguka mapema
Uyu hata hajielewi.kazi nikufuata masheikh wao wakisharifu.
Hawa wenzet uchanganuzi wao mdogo hawan hadithi inayosema makka wkisimama ndo tufunge hawan
Halaf kumbuka arafa inaanza baada ya adhuhuri C tungeanza kufunga saa 7 mchana sasa 😅😅
😂😂😂😂itabid tuwaambie mawahabi walijue ilooo
Funga inanza kwakuingia alfajir nakumalizika linapozamajua ndio utaratibu wa funga nakisimamo kinasimamwa mchana sasawe tafutafadhira ya sikuya arafa usifuate siasa maana ukifunga kwatarehe Yako ukaacha sikuhalisi itakuwa umekosa herinyingi yasiku Ile kwani ilenisiku maalum Dunia nzima hata kama tumepishana masaa lakini arafanimoja tuu
Je kufwata quran kuwa mtume s.a.w alisema fungeni siku ya arafa? Sasa arafa kuna mbili
Sheikh yataka ujuwe kama unavo sema SIku ya jumamosi ni SIku ya sabato lakini sabato ni ya waisrael pekee yao Sio sisi ummati Mohammed swa
Sema wewe
Brother izzuddin ww wafeli kila cku coz ukisema kuhusu hadith ya kutofunga jumamosi hio hadith dhwaifu na nyny hadith dhwaifu kwenu ndio muipendao Je yaum beidh cku nyeupe tuiruke ikiwa imekuja jumamosi hehehe Allah atuongoze
Ndo haposasa
Nakwa RAMADHAN kkuna jumamosi ngapi mbona hatuziruki
Sheikh amezungumza kuhusu kufunga jumamosi pekee ayamul bidh ni cku 3 mfululizo sikizeni kwa makini ndo mujibu
Before Technology mlijua vipi Saudia Wanafunga lini?
@@TheFutureWillBeDifferent kwa radio ulikuweko
عقيدة الصوفية في الاولياء:
يرى الصوفية ان الولي هو: "من يتولى الله سبحانه امره فلا يكله الى نفسه لحظة, ومن يتولى عبادة الله وطاعته, فعبارته تجري على التوالي من غير ان يتخللها عصيان" وحقيقة الولي عند الصوفية انه يسلب من جميع الصفات البشرية ويتحلى بالاخلاق الالهية ظاهرا وباطنا , ويصل الى المساواة مع الله سبحانه وتعالى حيث يعتقد الصوفية في الأولياء بأن لهم القدرة على انزال المطر وشفاء الأمراض واحياء الموتى وحفظ العالم من الدمار. ولا شك ان هناك آثارا خطيرة تترتب على هذه العقيدة من اهمها الوقوع في شرك الربوبية والعياذ بالله.
عقيدة الصوفية في الجنة والنار:
الصوفية يعتقدون ان طلب الجنة والفرار من النار ليس هدفا , فالله يعبد لذاته حيث يزعم المتصوفة ان العبادة الحقة هي ما كانت دون طلب العوض من الله وان يشهد فيها فعل الله لا فعل العبد, وان من شاهد فعله في الطاعة فقد جحد. والصوفية يعتقدون ان طلب الجنة منقصة عظيمة وانه لا يجوز للولي ان يسعى اليها ولا ان يطلبها ومن طلبها فهو ناقص, وانما الطلب عندهم والرغبة في الفناء (المزعوم) في الله, والاطلاع على الغيب والتعريف في الكون.. هذه جنة الصوفي المزعومة. واما النار فإن الصوفية يعتقدون ايضا ان الفرار منها لا يليق بالصوفي الكامل لان الخوف منها طبع العبيد وليس الاحرار.
وقد يظن المسلم في عصرنا الحاضر ان هذه العقيدة في الجنة والنار عقيدة سامية وهي ان يعبد الانسان الله لا طمعا في الجنة ولا خوفا من النار, ولكنها عقيدة غير صحيحة ومخالفة لعقيدة الكتاب والسنة.
Shekhe wangu kwani wakenya walio enda hijah kesho hawahiji kwa sababu juma mosi sio mwezi 9 kwa wakenya
hata mm nikienda maka nitafuata hisabu ya makah .
Katika darsa yako ya nyuma kama nakumbuka ulisema ni ijumaa. katika hii darsa umetamka ni ijuma mosi.
Minakushauli inapofika mieziyahija we kaakimya maana utawapotezeawaaislamu fazilaza sikuya arafa
Anyamaze tu arafa kigezo kipo makka
😂
Swali langu kwako Ustadhi,wewe unaposema hufuati Saudia kwa hili la Arafa nabii wako ametokea wapi ?
العقيدة الصوفية:
تختلف العقيدة الصوفية عن عقيدة الكتاب والسنة في امور عديدة من اهمها: مصدر المعرفة الدينية, ففي الاسلام لا تثبت عقيدة إلا بقرآن وسنة لكن في التصوف تثبت العقيدة بالالهام والوحي المزعوم للأولياء والاتصال بالجن الذين يسمونهم الروحانيين, وبعروج الروح الى السماوات, وبالفناء في الله, وانجلاء مرآة القلب حتى يظهر الغيب كله للولي الصوفي حسب زعمهم, وبالكشف, وبربط القلب بالرسول صلى الله عليه وسلم حيث يستمد العلوم منه. واما القرآن والسنة فإن للصوفية فيهما تفسيرا باطنيا حيث يسمونه احيانا تفسير الاشارة ومعاني الحروف فيزعمون ان لكل حرف في القرآن معنى لا يطلع عليه إلا الصوفي المتبحر, المكشوف عن قلبه.
عقيدة الصوفية في الله تعالى:
يعتقد المتصوفة في الله عقائد شتى منها "الحلول" الذي يعني ان يكون الصوفي الها وربا يعلم الغيب كله كما يعلمه الله سبحانه وتعالى حيث ان الهدف الصوفي هو الوصول الى مقام النبوة أولا ثم الترقي حتى يصل الفرد منهم في زعمهم الى مقام الألوهية والربوبية. البسطامي من اعلام القرن الثالث في التصوف ومن أئمة الصوفية يقول: "رفعني مرة فأقامني بين يديه, وقال لي: يا أبايزيد ان خلقي يحبون ان يروك, فقلت: زيني بوحدانيتك, وألبسني انانيتك, وارفعني الى احديتك..." تعالى الله عما يقول علوا كبيرا , وتأكيد الصوفية على القول بالحلول التي جعلتهم يتشبهون بصفات الله جعلهم يصلون في النهاية الى القول "بوحدة الوجود" التي تعني في العقيدة الصوفية انه ليس هناك موجود إلا الله سبحانه وتعالى فليس غيره في الكون, وما هذه الظواهر التي نراها إلا مظاهر لحقيقة واحدة هي الحقيقة الإلهية. ويؤمن الصوفية بهذه العقيدة حتى يومنا هذا.
لأن الرسول ﷺ قال في ذلك: الحج عرفة بيَّن الرسول ﷺ أن الحج هو عرفة، هو الركن الأعظم، من فاته الوقوف بعرفة؛ فاته الحج؛ لأن الرسول ﷺ بيَّن ذلك، قال: الحج عرفة فمن أدرك عرفة بليل؛ فقد أدرك الحج، فدل ذلك على أن من لم يدرك عرفة؛ فقد فاته
Wallahy kama umeelewa hii akili unayo kma bdo akili huna na nimeapa kwa mola..kwani sisi ambao tuko huku yatuhusu hio hadith? Kma yatuhusu nioneshe wp yatuhusu maana mm sijaona panapo tuhusu
الشريعة الصوفية في العبادات:
يعتقد الصوفية ان الصلاة والصوم والحج والزكاة عبادات العوام وأما هم فيسمون انفسهم الخاصة ولذلك فعباداتهم مخصوصة وان تشابهت ظاهرا . واذا كانت العبادات في الاسلام لتزكية النفس وتطهير المجتمع فإن العبادات في التصوف هدفها ربط القلب بالله تعالى للتلقي عنه مباشرة حسب زعمهم والفناء فيه واستمداد الغيب من الرسول صلى الله عليه وسلم والتخلق باخلاق الله حتى يقول الصوفي للشيء كن فيكون ويطلع على اسرار الخلق, ولا يهم في التصوف ان تخالف الشريعة الصوفية ظاهر الشريعة الاسلامية, فالحشيش والخمر واختلاط النساء بالرجال في الموالد وحلقات الذكر كل ذلك لا يهم لأن للولي شريعته تلقاها من الله مباشرة.
شريعة الصوفية في الحلال والحرام:
اهل وحدة الوجود في الصوفية لا شيء يحرم عندهم ولذلك كان منهم الزناة واللوطية ومنهم من اعتقد ان الله قد اسقط عنه التكاليف واحل له كل ما حرم على غيره.
شريعة الصوفية في الحكم والسياسة والحروب:
المنهج الصوفي يرى عدم جواز مقاومة الشر ومغالبة السلاطين لأن الله في زعمهم اقام العباد فيما أراد.
Sheh yaumu arafa !! Mbona unapata tabu sana kupindisha pindisha au mombasa mna arafa yenu ??
Sasa wewe ukijiona hapo umesoma fikhii kumliko hata tuanze kufuta kauli yako ya siasa
Hawaa na nafsi ndio shida ndugu yangu
😂😂😂 nakwambia wee habari
SI Mombasa tu na Tz ziko nchi nyingi Zina swali Jumanne
Jumatatu afwan
Mwenye no ya izudini naombaa tafadhali niko na maswalaa muhimu natakaa kulizaa
0722611120
Mash Allah
Mwenyezimungu akulipe unachositahiki kulipwa kutokana nania yako
@@IzudinAlwyDin Shkh Izzudin mim nakukubali sana InShaaAllah Allah akujaalie umri wenye Afya na akuzidishie Elimu na akulinde na jicho la husda Amiiiiin
Amin thuma amin.🤲
Ni upumbavu2 hayo mambo yote wasomi wa ahlu-sunna wameeleza na khitlafu zote ni ujinga2 umekujaa ndo maana wasema hayo hayasemwi.
يُشتَرَط أن يكون الوقوفُ في أرضِ عَرَفاتٍ لا في غيرها، وعَرَفةُ كُلُّها مَوْقِفٌ.
الأدِلَّة:
أولًا: مِنَ السُّنَّةِ
1- عن جابرٍ رَضِيَ اللهُ عنه قال: قال رسولُ اللهِ صلَّى اللهُ عليه وسلَّم: ((ووقفتُ ههنا، وعَرَفةُ كلُّها مَوقِفٌ ))
2- فِعْلُه صلَّى اللهُ عليه وسلَّم، وقد قال: ((لِتَأخُذوا مناسِكَكم ))
ثانيًا: مِنَ الإجماعِ
نقلَ الإجماعَ على كونِ الوقوفِ بعَرَفةَ رُكْنًا لا يصحُّ الحجُّ بدونِه: ابنُ المُنذر؛، وابنُ حزم، وابنُ عبد البَرِّ، وابنُ رُشد، والنووي، والصَّنعانيُّ
ونقل النوويُّ الإجماعَ على صِحَّةِ الوقوفِ بأيِّ جزءٍ مِن عَرَفات
UNAZUNGUMZIA NINI SASA HAPO
@@HamadaZubeirTahir arafa ya masufi ni mabrui
Sheikh nakuomba angalia clip ya Sheikh Mziwanda, Jee arafah ni lini? Ameifafanua vizuri sana. Na yeye ni msufi. Huo wako ni ushindani tu, rudi ukasome
Mm kwanza sijqmuelewa huu sheikh. Lakin napenda kufuatilia mawaidha yake
Kama unkosa la kusema nyamaza acha ujeuri kuketi kutukana عulamaa
لَيْسَ مِنَّا مَن لَّمْ يُجِلَّ كَبِيرَنَا وَيَرْحَمْ صَغِيرَنَا وَيَعْرِفْ لِمَعَالِمِنَا حَقًّا
nawaelewa wot nawot wak saw
Subhanallah isipokua ni hii mitandao ya siku hizi kitambo watu walikua wakifuata mwezi wao ..itaqillah muogope Allah
Nenda kamsomeshe kwa sabab inaonekana wewe una elim kubwa
Darasa lako ni lakusema mambo ya watu kuenda harusini wewe hata hujielewi waongea nini albani amefuata dalili anaeza shindwa kidalili lakini hajazua bidd'ah,nakuomba umskize sheikh ali abubakar ashaeleza kua wana wazuoni wa sunnah
hakuna ubaya wowote kukataza mabaya yafanyikayo katika maharusi yetu ya sasa hasa harusi za kislam watu kuvaa uchi na kudhihirisha mapambo yao na kufanya israfu mbona wamlaumu sheikh kwa hilo wakati Mtume Muhammad S.A .W. ametukataza mm naona hapo ww ndo ukasome zaid ama macho yako yamepatwa na makengeza hulion hilo maharusin
@@zeynaaly1948 wewe ndio uko na kengeza inaonesha soma vizuri hapo mm nimesema kua mambo yake ilimu yake ni yakusema watu wanao enda harusini kwa hilo yuko sawa huku kwengine sio mahali yake hana ilimu nako, na sijasema kua yafaa kuvaa uchi hayo ama kwenda harusini haya ni yako ndio mwanzo kukuskia wewe
Kwani hini dhulhijah watu hawafungi MFULULIZO Kisha hio hadith ni dhwaifu ashajibiwa kwa mahasan tv yeye atefuta views tu
Swali siku ajumapili niarafa gani siku zanyuma ulikua huwezi kujua kama watu wako arafa sahii ukiangalia tv waona siku yajumamosi watu ndio wako arafa jumapili itakua ni arafa ya mambrui na riadhwa lamu
300 years watu walifunga na saudia jee walikuwa na uhakika gani siku ya Arafa?
Yote ni myahud anataka kuwagawa waislam nashida pale Saudi myahud ndo Yuko na kiti chake ili waislam tusishikane
Mbona umekita na kauli ya Imaam Albany pekee na ilihali wale wawili umeikwepa❓
Kwanini unasisitiza waislamu kufunga ijumaa na juma mosi kwa kuwalazimisha wafuate kauli ya Imaam mmoja Albany na kupuuza wanazuoni wengine? Nini hasa malengo yako mzee wangu ???? Je Imaam Albany ni ma'suum???
إتق الله ربك
Taymia.ibaz.albaniy
Alhamdulilah, this year the grave worshippers prayed Eid on a different day than the day all Muslims prayed.