MCHUMBA WA NIKK WA PILI KAFUNGUKA NIK KUKATALIWA KWAO KISA MUZIKI “AMENILIPIA ADA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Ni Joan Temu ambaye Mchumba wa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe DC Nickson John ( Nikk wa Pili ) ambae leo Octoba 2, 2021 amehitumu masomo yake CPA.
Ayo TV & Millardayo.com ilipata nafasi ya kuzungumza nae, bonyeza play kusikiliza kile alichozungumza kuhusu Masomo na ishu za Familia.
Congratulations my dear sister tunaojua Hustling CPA ndo tunaelewa ongera mnooo mnoo.. CPA (T) JOAN ...
HONGERA SANA ELIMU YAKO IWE HESHIMA KWA NIKI UCJE UKAMDHARAU KWAVILE UMESOMA NIKK KWANZA MENGINE BADAE.
Niki mwenyew anasoma phd
@@sheilaally9490 sio anasoma, ana PhD tayari
@@sheilaally9490 SALA LAKINI AMUHESHIMU KWANA MWANAMKE TUNA KAWAIDA YERU TUKIWA NA ELIMU BAC JUA KADHARAU FULANI TUNAKUWA NACHO
Nikki mwenyewe kasoma ana Masters tayari
Nikki Ni msomi zaidi yake
Hongera mamii...barikiwa!
Jamaa anayefanya interview big up sana maswali mazuri na relevant
Bismilah mashalaah 💞💕
Hyu ndo mke sasa.she is smart.hana wigi ila ana AKILI KICHWANI.MUNGU AWASIMAMIE MAHUSIANO YENU
Ila kuongea kingereza wakati anahojiwa kwa kiswahili ndiyo ubora wake?
Ameen 🙏🏾
@@hamisiharuna3099 Watoto waliosoma English medium tofauti na sisi wa kayumba..sio Kama anaringa Ila wamezoea hivo
@@natasha7969 siyo qwel ronaldo anajua lugha zaid ya 4 na akihojiwa kireno hajibu kingereza... ni mbwembwe za wabongo japo mi mwenyew najua zaid ya lugha tatu na nikiongea moja sichanganyii nyingine ila kuna tym nikitaka fanya manjonjo na code-switch
Kwaiyo unamsema nanii??? 😂😂😂😂
Nikiwa mkubwa na mm nitakojoa pazuri !!!!! I'm still hustling
🤣🤣🤣
Hongera sana dia usimwache Nikki amejitoa sana kukusomesha
Ndo ame achwa
Appreciate 💕💕💕
Daah.... Mtu anamaliza tayr .. Amepata Ajira Tena sehemu tatu . Dah.. wengine hapo.. wanamaliza watasota mtaani..wweeee.... Dah... .. hii maisha tupo different Gep
Ni msanii ila kasoma na yuko very intelligent so tusimdharau
Hawa ndo wanaume ss sio mijitu mingine kazi kusumbuana wakati hana mchango wwte kwenye maisha yako
💡
🥰🥰👍👍❤️❤️
Weee. Kusomesha mpenzii wako no sawa na kucheza kamali, unaweza ukala au ukaliwa,Sasa bahati alio ipata Niki kumsomesha mpaka ehitimu na badao mwanamke anatambua na kumuheshimu NIKi nibahati sna na NIKI amshukulu sna MUNGU,wengi wamewasomesha wapenzi wao na wameishiwa kusalitiwa dk za mwisho, wasichana wengi wakisha hitu masomo yao ,huwa wanabadilka,bahatai ya mwenzio usikufanye naww ukeshe ukizani utapata,
@@akidajulius8397 kweli kabisa waelewa wachache sana
Umeongea point sana,siyo kupondaponda tu manyoko haya hayajui vizur wala vibaya
Tunaoelewa cpa Ndo tunajua hongera Sana shemeji 🔥😂🔥
Mmh mulio soma
Hongera Sana Dada pia hongera kwa Nki
Love much
Mashallah 💕💕
Tunaoelewa b5 tunampa heshima kubwa sn huyu dada...ni somo moja tough hongera sn dada
Yaaan anahitaji heshima huyu dada
Kabisaa
Kabisa yani
Hongera sis
Najua wa Tz wengine hajaelewa kisa amechanganya kingereza
😀😀😀
Congrats cs♥️♥️
Congratulations mama Zuri
Hongera sana mwaya. Mtaoana mwaya Mungu mwema
Wanawake kuna kitu cha kujifunza hap..muache kuomba hela kweny vitu ambavyo havizalishi,,,sio kuomba hela ya nywele,nguo vipodoz,,kam msomi omba hela ya Ada,kam upo nyumban omba hata hela ya mtaji wa genge kulingana na kipato cha mpenz wako...
Huko nyuma mmenisikia sijui!!
Naona wananong'ona. Nadhani imewafikia hii..
Sio wigi la mil 3
Hongera sana Dada..huna makuu kabisa na desciplined sana
C.p.a si mchezo honger wengine tunahangaik na ATEC
Eeh, CPA ni hatari...
🤣🤣😂
God always knows the ending of a person. Never give up in life.
Congratulations Mrs. Niki
Wamejichagua wote wana akili😍🥰🥰🥰🥰😍😍
Hahahahaha
😳😳😳🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ko we huna akili kuna mtu anakupeleka chooni au😂😂😂
@@anoldjose7793 akili za masomo na upeo zaidi
Na wewe tafuta asie na akili mwenzio mfanye maisha
Hongera
So inspiring 😘
Ameeleza vzr sana
Hongera Joan
Kiswahili kigumu kuliko kidhungu japo mama na baba na kwenu uswahilin
Kumbe ndio huyu demu aliyesomeshwa na Nikki ...halafu nimesikia yule mtoto sio wa Nikki...au nimechanganya mafaili
Kama ni kweli noma sana.. mchumba hasomeshwi
Hongra...
SAFI SANA NJOONI NIWAPE KAZI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila MUNGU fundi sana yani mtu mwenye elimu ya FORM FOR ANAKUJA KUAJIRI WATU WENYE CPA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tutafute PESA NDUNGU ZANGU.
Congrats
Wow! Congrats
This is so inspiring.... wooow👩🎓👩🎓
Hongera Mama zuri
1:01 Madam Aisha ♥️
👏👏👏👏
nikki take my word mwanamke hasomeshwi bro wait yajayo yanafurahisha
Kam umetabil yaliy tokea mwak huu du
Mie napendekeza aende akaajiliwe kwa professor Kishimba tuu ili amkumbushe kuwasaidia wazazi ikiwemo kupokea simu zao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣atari sana
😅😅😅😅kwa kwelii aisee
Dah kwnz ni mzr
Mmh uyu mwanamke sio MTU mzuri atakuja mtenda Nikki kwa kitu kikubwa sio kizuri tupo mtakuja sema
Sina neno apo
NASIKIA WAMEACHANA DNA INASOMA MTOTO SIO WA NICK.AKI WANAWAKE TUNA DHAMBI
Nikki si tulikubaliana mwanamke halipiwi ada vp tena umetusaliti
Nimekuja hapa baada ya kusikia tetesi za DNA kumkataa mtoto.
Hongera Sana! Lakini umeboa Sana! Kwanini unaulizwa maswali kwa kiswahili fasaha kabisa, lakini unajibu kwa kuchanganya na kiingereza kwanini?
Kwan shida iko wapi...hujaelewa?.au ndo vile tu kuleta ubishan..kingereza ni lugha rasmi ya pili hapa Tz..sasa shida iko wapi kuchanganya,alaf vitu vingine ni mazoea jaman,si kila mtu huongea kiswahili fluently wengine mpaka wachanganye wala sio kuringa ni mazoea tu..
Jamni Hawa wanaume mnawatoaga wapii 😂
Vipi bado hujapata mwana wa uume shangalicious , karibu kwetu geza ulole na geza ulale tuko wengi tunafanya kilimo cha pweza na maembe na kushona suti viraka pia
Mnakaa mnaringa mkiwa vijana mkizeeka ndoa mnaililia
😂😂😂😂
@@lightnessdominick6887 nipe Snapchat yako nikuadd nione mzigo kama upo wakuolewa
Wanaume kama nikki wapo ila shida unamsomesha mwanamke asiyejitambua akimaliza anakigeuka anakuona sio wa maana anapata mwingine wakati umempambania kinachotokea wanaume wanaonekana hawaaminiki!!!
Saw dada
Hongeraa mama
Wazazi matapeli... Walikua wanajuwa analipa ada Leo hii wana mpiga chini saa mziki...🥺
Video ime recommend leo hii baada ya kuachana na NICKY
We mmbea kuliko
Mama amchukue awe mkaguzi mkuu wa hesabu za serekali
Ww mtoto wakiume acha shobo utavuliwa boxer
Khaaaaaaaaaaaaaaa
@@onesmokabia80 😅😅😅
darasa la saba 7B mwenzangu upo wap nikusomeshe QT, haya maisha kwel ndege wafanana nao huruka pamoja...
😁😁😁
Umejuaje Abiolla, na ndokwanza naandaa hapa fee's ya QT mwakani, coz miaka miwili sikitu bhana ukiamua.
Nipo hapa
@@fraviusmanyika7521 Nipange vizur hebu ukishatoka hapo QT ukafaulu vizur unaweza kupat chet cha from 4???? na ukaend chuo?????
Nisaidien kujua hizo ratiba za QT
Lakin kingine mkiwa mnahojiwa nawandishi muwe munajibu kiswahili make nchi yetu ndohivyo
Kweliiii maana wanachanganya sana
Mbn kaelewak , kaongea kisom tu
Hongera sana
dah hongera sana dada umetambulika kwenye jopo la mahasibu wakuu wa taifa ila sio kazi rahisi kufikia hapo
Manzi wangu Ex Communication Engineer. 😷😷😷acha tu nijue daraja.. yaani zile za maji uungia aje!!?? Tanzania 🇹🇿 mpe msimamizi wa bweri.. hela., dolla elfu name $8000 kuanzia 😃😃😃😃😃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸 afunge barakoa
Mwana anajua ku interview
Kila mtu na alivyoopangiwa bwana,msituchoshe aisee
Hongera dear
Sio mchumba ni Mke wake acheni ujinga
Hivi itakuaje mwanaume akimsomsha mwanamke na kisha badae mwanamke amkatae mwanaume. Anarudisha garama au hapo inakuaje??
Somesheni hao wakina Mwajumaaa muone motoooo
Punguza "kidhungu!" Utachapia. Kama bado!
Hata akichapia cyo ishu tena she is the best already😂😂😂
@@josephinekimaro761 Is she?
Wacha akiteme bhana kidhungu safi
@@wahabmkazi7902 😂😂
Mimi sielewi anakuwaje mchumba wakati wameshazaa naye, tuwe serious na mambo ya uchumba
Hongera lakini unanikwaza kingereza sana kuliko lugha yetu , hata kama ni msomi.
Umeona eee
Kwan shida iko wapi?hujaelewa au?
👏👏👏👏💪🏿
Mh Dc na ujanja wake wote akasomesha mchumba, wakati wahenga walisema mchumba hasomeshwi.
And your not together 😔
Ongera
Sio miss huyo ni Mrs Respect that kaka
She is not yet married
Ndugu Mwandishi hapo hakuna cha mwaka wa ngapi. Kuna levels.
NomA sanaaa
Dah kua CPA T inawezekana
Mchumba au mke?
Tumieni Kiswahili
Alipojitolea kukusomesha ukaamua kumzawadia mtoto wa mtu dah hii dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😢😢😢😢😂😂😂😂
Vzr niki duuh ulimsomesha , wnwke wa cku hz
🤣
Ni upendo tu
Mchumba wa Nick wa pili amekuwa hoja! Muwe wabunifu kutafuta habar mchanganyiko. Kuna taarifa zinaweza kuwasaidia watu wengie. Ni habari lakini siyo potential information
Hudhani kwamba jinsi ilivyoandikwa ndo imetufanya tuwepo hapa. Binafsi nadhani njia rahisi ya kutaka waandishi wabadilike ni sisi sote tusingekuja hapa kuisikiliza, ni wazi wangeadilika. lakini kama tuka hapa ,maana yake ni kwamba za iana hii ndo zinatuvuta. Nawaza tu
@@elibarikimkumbo1086 ni channel kubwa lakini wanaandika petty issues kiukweli naona wanapoteza credibility yao. Havari hiyohiyo imeandikwa zaidi ya mara tatu kwa kubadilisha tu vichwa vya habari.
@@hamzamwilaphy2902 Nakubali lakini hoja yangu ni kwamba..kama sokoni watu hawanunui nyanya za kijani utapeleka? Namqqnisha sisi walaji ndio tunaosababisha na sio wao.
nakubaliana na wewe pia. Wanatumia advantage ya sisi walaji kushabikia habari kama hizo
Punguza kiingereza kingi,ongea Swahili unaongea na WA Tanzania
Kama huelewi tulia hahaha hahaha
Acha wivu ultumwa usisome
Alafu kipo simpo tu 😃
Role modal kachafua hali ya hewa
Kawa nini sijui tena
❤
❤️❤️❤️🤗👏
Yaan bngo ukiw wa mhshmiw bs unvikw vyeo vy ktsh. Hku tnsoma vy ktsh no emply
Kuna watu wanakojoa pazuri.
🤣😂kwel
Kmmmk yaaan
Jamaniii nitoweni hushamba hi amm amm ammm inakuaje
Imenigusaa
🥺🥺♥️♥️
Natamani angekuwa ndo demu wangu. Ningeringaje
😄😄😄
Huyo uliye nae muwezeshe
Kama unaombwa hela ya salon unazima simu kusomesha ungeweza 🤣🤣🤣
@@azizamohd5728 mademu wengine mizigo. Utatupa pesa tu ni kuwaacha kama walivo
@@mwantumubakary6638 unaona akili hizi za ovyoo. Yani nywele ndo waona la maaaana
Kwani analevel gani sielewi diploma au degree mbona mboyoyo nyingi ivo
😁😁😁
🤝🏽
Badae anatokea colo mmoja anafumua demu,Nikki tena ataonekana kiazi Nyie Life hili shaurieni nomaa sanaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣anafumua?
@@carinamatt1031 Au naongopa sister
Dahh sopowa
@@anoldjefsta177 Awo viumbe hatar
Mchumba gani kazalishwa? Sema hawala
🥰🥰
wanawake wakijua kingereza wanasumbua
Tusikie umemchoma moto 😏😏😏
Jamani mrembo huyo Diamondplatnumz siamuajiri pale wasafi media beautiful with brain 🧠 wakina aaliyah hawana degree cpa
Hiz elim za darasan now hazim maana san mack unawez kuw nay na bad ukaw fukal wa kutupw 😥😥😥
Mmmmmh!!!! 🙄