MCHUMBA WA NIKK WA PILI KAFUNGUKA NIK KUKATALIWA KWAO KISA MUZIKI “AMENILIPIA ADA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Ni Joan Temu ambaye Mchumba wa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe DC Nickson John ( Nikk wa Pili ) ambae leo Octoba 2, 2021 amehitumu masomo yake CPA.
    Ayo TV & Millardayo.com ilipata nafasi ya kuzungumza nae, bonyeza play kusikiliza kile alichozungumza kuhusu Masomo na ishu za Familia.

Комментарии • 246

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 года назад +21

    Congratulations my dear sister tunaojua Hustling CPA ndo tunaelewa ongera mnooo mnoo.. CPA (T) JOAN ...

  • @zenaabdallah3797
    @zenaabdallah3797 3 года назад +31

    HONGERA SANA ELIMU YAKO IWE HESHIMA KWA NIKI UCJE UKAMDHARAU KWAVILE UMESOMA NIKK KWANZA MENGINE BADAE.

    • @sheilaally9490
      @sheilaally9490 3 года назад +3

      Niki mwenyew anasoma phd

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 года назад +4

      @@sheilaally9490 sio anasoma, ana PhD tayari

    • @zenaabdallah3797
      @zenaabdallah3797 3 года назад +5

      @@sheilaally9490 SALA LAKINI AMUHESHIMU KWANA MWANAMKE TUNA KAWAIDA YERU TUKIWA NA ELIMU BAC JUA KADHARAU FULANI TUNAKUWA NACHO

    • @jessymalembeka6181
      @jessymalembeka6181 3 года назад +2

      Nikki mwenyewe kasoma ana Masters tayari

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 3 года назад +3

      Nikki Ni msomi zaidi yake

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 3 года назад +26

    Hongera mamii...barikiwa!

  • @paschalbunzali6942
    @paschalbunzali6942 3 года назад +8

    Jamaa anayefanya interview big up sana maswali mazuri na relevant

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 3 года назад +25

    Bismilah mashalaah 💞💕
    Hyu ndo mke sasa.she is smart.hana wigi ila ana AKILI KICHWANI.MUNGU AWASIMAMIE MAHUSIANO YENU

    • @hamisiharuna3099
      @hamisiharuna3099 3 года назад +1

      Ila kuongea kingereza wakati anahojiwa kwa kiswahili ndiyo ubora wake?

    • @natasha7969
      @natasha7969 3 года назад +1

      Ameen 🙏🏾

    • @natasha7969
      @natasha7969 3 года назад +5

      @@hamisiharuna3099 Watoto waliosoma English medium tofauti na sisi wa kayumba..sio Kama anaringa Ila wamezoea hivo

    • @othmansalum4191
      @othmansalum4191 3 года назад +3

      @@natasha7969 siyo qwel ronaldo anajua lugha zaid ya 4 na akihojiwa kireno hajibu kingereza... ni mbwembwe za wabongo japo mi mwenyew najua zaid ya lugha tatu na nikiongea moja sichanganyii nyingine ila kuna tym nikitaka fanya manjonjo na code-switch

    • @Mwakitwange
      @Mwakitwange 3 года назад

      Kwaiyo unamsema nanii??? 😂😂😂😂

  • @richardlukonda9134
    @richardlukonda9134 3 года назад +8

    Nikiwa mkubwa na mm nitakojoa pazuri !!!!! I'm still hustling

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 3 года назад +20

    Hongera sana dia usimwache Nikki amejitoa sana kukusomesha

  • @mwanaidisangali2168
    @mwanaidisangali2168 3 года назад +14

    Appreciate 💕💕💕

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 3 года назад +4

    Daah.... Mtu anamaliza tayr .. Amepata Ajira Tena sehemu tatu . Dah.. wengine hapo.. wanamaliza watasota mtaani..wweeee.... Dah... .. hii maisha tupo different Gep

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +4

    Ni msanii ila kasoma na yuko very intelligent so tusimdharau

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 3 года назад +16

    Hawa ndo wanaume ss sio mijitu mingine kazi kusumbuana wakati hana mchango wwte kwenye maisha yako

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      💡

    • @fatumamuya2139
      @fatumamuya2139 3 года назад

      🥰🥰👍👍❤️❤️

    • @akidajulius8397
      @akidajulius8397 3 года назад +2

      Weee. Kusomesha mpenzii wako no sawa na kucheza kamali, unaweza ukala au ukaliwa,Sasa bahati alio ipata Niki kumsomesha mpaka ehitimu na badao mwanamke anatambua na kumuheshimu NIKi nibahati sna na NIKI amshukulu sna MUNGU,wengi wamewasomesha wapenzi wao na wameishiwa kusalitiwa dk za mwisho, wasichana wengi wakisha hitu masomo yao ,huwa wanabadilka,bahatai ya mwenzio usikufanye naww ukeshe ukizani utapata,

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 3 года назад

      @@akidajulius8397 kweli kabisa waelewa wachache sana

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 3 года назад

      Umeongea point sana,siyo kupondaponda tu manyoko haya hayajui vizur wala vibaya

  • @loishookilaizer8686
    @loishookilaizer8686 3 года назад +11

    Tunaoelewa cpa Ndo tunajua hongera Sana shemeji 🔥😂🔥

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +5

    Hongera Sana Dada pia hongera kwa Nki

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 года назад +12

    Love much

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад +20

    Mashallah 💕💕

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 3 года назад +19

    Tunaoelewa b5 tunampa heshima kubwa sn huyu dada...ni somo moja tough hongera sn dada

  • @genovevatarimo3982
    @genovevatarimo3982 3 года назад +15

    Hongera sis

  • @Ann-vr7ti
    @Ann-vr7ti 3 года назад +17

    Najua wa Tz wengine hajaelewa kisa amechanganya kingereza

  • @happinessshirima3279
    @happinessshirima3279 3 года назад +9

    Congrats cs♥️♥️

  • @philipinafelix3690
    @philipinafelix3690 3 года назад +3

    Congratulations mama Zuri

  • @juliejaph3331
    @juliejaph3331 3 года назад +2

    Hongera sana mwaya. Mtaoana mwaya Mungu mwema

  • @joeaub2185
    @joeaub2185 3 года назад +10

    Wanawake kuna kitu cha kujifunza hap..muache kuomba hela kweny vitu ambavyo havizalishi,,,sio kuomba hela ya nywele,nguo vipodoz,,kam msomi omba hela ya Ada,kam upo nyumban omba hata hela ya mtaji wa genge kulingana na kipato cha mpenz wako...
    Huko nyuma mmenisikia sijui!!

  • @eddymush3967
    @eddymush3967 3 года назад +1

    Hongera sana Dada..huna makuu kabisa na desciplined sana

  • @leonardnkamu9114
    @leonardnkamu9114 3 года назад +16

    C.p.a si mchezo honger wengine tunahangaik na ATEC

  • @farajangandu9111
    @farajangandu9111 3 года назад +2

    God always knows the ending of a person. Never give up in life.

  • @ajonline7994
    @ajonline7994 3 года назад +1

    Congratulations Mrs. Niki

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +20

    Wamejichagua wote wana akili😍🥰🥰🥰🥰😍😍

    • @teclanembuka156
      @teclanembuka156 3 года назад

      Hahahahaha

    • @restypeter1141
      @restypeter1141 3 года назад

      😳😳😳🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 3 года назад

      Ko we huna akili kuna mtu anakupeleka chooni au😂😂😂

    • @salhamrisho8138
      @salhamrisho8138 3 года назад

      @@anoldjose7793 akili za masomo na upeo zaidi

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 3 года назад

      Na wewe tafuta asie na akili mwenzio mfanye maisha

  • @ramadhanimsowello9021
    @ramadhanimsowello9021 3 года назад +8

    Hongera

  • @nurusandi1626
    @nurusandi1626 3 года назад +2

    So inspiring 😘

  • @beatricesamuel2836
    @beatricesamuel2836 3 года назад +1

    Ameeleza vzr sana
    Hongera Joan

  • @zuberimohamedi255
    @zuberimohamedi255 3 года назад +4

    Kiswahili kigumu kuliko kidhungu japo mama na baba na kwenu uswahilin

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Год назад

    Kumbe ndio huyu demu aliyesomeshwa na Nikki ...halafu nimesikia yule mtoto sio wa Nikki...au nimechanganya mafaili
    Kama ni kweli noma sana.. mchumba hasomeshwi

  • @salhasaid9667
    @salhasaid9667 3 года назад +1

    Hongra...

  • @activestudios.
    @activestudios. 3 года назад +3

    SAFI SANA NJOONI NIWAPE KAZI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila MUNGU fundi sana yani mtu mwenye elimu ya FORM FOR ANAKUJA KUAJIRI WATU WENYE CPA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tutafute PESA NDUNGU ZANGU.

  • @glorymutalemwa296
    @glorymutalemwa296 3 года назад +10

    Congrats

  • @getruderichard8376
    @getruderichard8376 3 года назад

    This is so inspiring.... wooow👩‍🎓👩‍🎓

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael3473 3 года назад +1

    Hongera Mama zuri

  • @caindunke8526
    @caindunke8526 3 года назад +3

    1:01 Madam Aisha ♥️

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 года назад +13

    👏👏👏👏

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 3 года назад

    nikki take my word mwanamke hasomeshwi bro wait yajayo yanafurahisha

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад +16

    Mie napendekeza aende akaajiliwe kwa professor Kishimba tuu ili amkumbushe kuwasaidia wazazi ikiwemo kupokea simu zao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 3 года назад +3

    Dah kwnz ni mzr

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Год назад +1

    Mmh uyu mwanamke sio MTU mzuri atakuja mtenda Nikki kwa kitu kikubwa sio kizuri tupo mtakuja sema

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Год назад +1

    NASIKIA WAMEACHANA DNA INASOMA MTOTO SIO WA NICK.AKI WANAWAKE TUNA DHAMBI

  • @tonyshineafrica8278
    @tonyshineafrica8278 3 года назад +5

    Nikki si tulikubaliana mwanamke halipiwi ada vp tena umetusaliti

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 Год назад

    Nimekuja hapa baada ya kusikia tetesi za DNA kumkataa mtoto.

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 3 года назад +4

    Hongera Sana! Lakini umeboa Sana! Kwanini unaulizwa maswali kwa kiswahili fasaha kabisa, lakini unajibu kwa kuchanganya na kiingereza kwanini?

    • @smavilifestyle2471
      @smavilifestyle2471 3 года назад

      Kwan shida iko wapi...hujaelewa?.au ndo vile tu kuleta ubishan..kingereza ni lugha rasmi ya pili hapa Tz..sasa shida iko wapi kuchanganya,alaf vitu vingine ni mazoea jaman,si kila mtu huongea kiswahili fluently wengine mpaka wachanganye wala sio kuringa ni mazoea tu..

  • @lightnessdominick6887
    @lightnessdominick6887 3 года назад +23

    Jamni Hawa wanaume mnawatoaga wapii 😂

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 3 года назад +4

      Vipi bado hujapata mwana wa uume shangalicious , karibu kwetu geza ulole na geza ulale tuko wengi tunafanya kilimo cha pweza na maembe na kushona suti viraka pia

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side 3 года назад +10

      Mnakaa mnaringa mkiwa vijana mkizeeka ndoa mnaililia

    • @lightnessdominick6887
      @lightnessdominick6887 3 года назад +2

      😂😂😂😂

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side 3 года назад +3

      @@lightnessdominick6887 nipe Snapchat yako nikuadd nione mzigo kama upo wakuolewa

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 года назад +6

      Wanaume kama nikki wapo ila shida unamsomesha mwanamke asiyejitambua akimaliza anakigeuka anakuona sio wa maana anapata mwingine wakati umempambania kinachotokea wanaume wanaonekana hawaaminiki!!!

  • @mussaseif4939
    @mussaseif4939 3 года назад +1

    Saw dada

  • @neemamasala7167
    @neemamasala7167 3 года назад +1

    Hongeraa mama

  • @maryleonard6773
    @maryleonard6773 Год назад

    Wazazi matapeli... Walikua wanajuwa analipa ada Leo hii wana mpiga chini saa mziki...🥺

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад

    Video ime recommend leo hii baada ya kuachana na NICKY

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 года назад +13

    Mama amchukue awe mkaguzi mkuu wa hesabu za serekali

  • @abiollashayo5698
    @abiollashayo5698 3 года назад +3

    darasa la saba 7B mwenzangu upo wap nikusomeshe QT, haya maisha kwel ndege wafanana nao huruka pamoja...

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 3 года назад

      😁😁😁

    • @fraviusmanyika7521
      @fraviusmanyika7521 3 года назад +2

      Umejuaje Abiolla, na ndokwanza naandaa hapa fee's ya QT mwakani, coz miaka miwili sikitu bhana ukiamua.

    • @happykamera6001
      @happykamera6001 3 года назад +1

      Nipo hapa

    • @assilaa2007
      @assilaa2007 3 года назад +1

      @@fraviusmanyika7521 Nipange vizur hebu ukishatoka hapo QT ukafaulu vizur unaweza kupat chet cha from 4???? na ukaend chuo?????

    • @assilaa2007
      @assilaa2007 3 года назад +1

      Nisaidien kujua hizo ratiba za QT

  • @sandalalutubija235
    @sandalalutubija235 3 года назад +4

    Lakin kingine mkiwa mnahojiwa nawandishi muwe munajibu kiswahili make nchi yetu ndohivyo

  • @jessejulius9735
    @jessejulius9735 3 года назад +1

    Hongera sana

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 3 года назад

    dah hongera sana dada umetambulika kwenye jopo la mahasibu wakuu wa taifa ila sio kazi rahisi kufikia hapo

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 3 года назад +2

    Manzi wangu Ex Communication Engineer. 😷😷😷acha tu nijue daraja.. yaani zile za maji uungia aje!!?? Tanzania 🇹🇿 mpe msimamizi wa bweri.. hela., dolla elfu name $8000 kuanzia 😃😃😃😃😃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸 afunge barakoa

  • @lufundishason1510
    @lufundishason1510 3 года назад

    Mwana anajua ku interview

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 3 года назад +2

    Kila mtu na alivyoopangiwa bwana,msituchoshe aisee

  • @evelynmonica1019
    @evelynmonica1019 3 года назад +3

    Hongera dear

  • @jonaselisha1100
    @jonaselisha1100 3 года назад +2

    Sio mchumba ni Mke wake acheni ujinga

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад

    Hivi itakuaje mwanaume akimsomsha mwanamke na kisha badae mwanamke amkatae mwanaume. Anarudisha garama au hapo inakuaje??

  • @Mwakitwange
    @Mwakitwange 3 года назад

    Somesheni hao wakina Mwajumaaa muone motoooo

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 года назад +6

    Punguza "kidhungu!" Utachapia. Kama bado!

    • @josephinekimaro761
      @josephinekimaro761 3 года назад +2

      Hata akichapia cyo ishu tena she is the best already😂😂😂

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 года назад

      @@josephinekimaro761 Is she?

    • @wahabmkazi7902
      @wahabmkazi7902 3 года назад +1

      Wacha akiteme bhana kidhungu safi

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 года назад

      @@wahabmkazi7902 😂😂

  • @sirmazina3
    @sirmazina3 3 года назад

    Mimi sielewi anakuwaje mchumba wakati wameshazaa naye, tuwe serious na mambo ya uchumba

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 3 года назад +1

    Hongera lakini unanikwaza kingereza sana kuliko lugha yetu , hata kama ni msomi.

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 3 года назад +8

    👏👏👏👏💪🏿

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 Год назад

    Mh Dc na ujanja wake wote akasomesha mchumba, wakati wahenga walisema mchumba hasomeshwi.

  • @Smart_FundamentalFx
    @Smart_FundamentalFx Год назад

    And your not together 😔

  • @octavianmasala3862
    @octavianmasala3862 3 года назад

    Ongera

  • @_cocostudio
    @_cocostudio 3 года назад

    Sio miss huyo ni Mrs Respect that kaka

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 3 года назад

    Ndugu Mwandishi hapo hakuna cha mwaka wa ngapi. Kuna levels.

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 3 года назад

    NomA sanaaa

  • @mandiaomari5073
    @mandiaomari5073 3 года назад

    Dah kua CPA T inawezekana

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 3 года назад

    Mchumba au mke?

  • @whimsymaverick3057
    @whimsymaverick3057 3 года назад

    Tumieni Kiswahili

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Год назад

    Alipojitolea kukusomesha ukaamua kumzawadia mtoto wa mtu dah hii dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lixenelbeverest6837
    @lixenelbeverest6837 3 года назад

    Vzr niki duuh ulimsomesha , wnwke wa cku hz

  • @hamzamwilaphy2902
    @hamzamwilaphy2902 3 года назад +1

    Mchumba wa Nick wa pili amekuwa hoja! Muwe wabunifu kutafuta habar mchanganyiko. Kuna taarifa zinaweza kuwasaidia watu wengie. Ni habari lakini siyo potential information

    • @elibarikimkumbo1086
      @elibarikimkumbo1086 3 года назад +1

      Hudhani kwamba jinsi ilivyoandikwa ndo imetufanya tuwepo hapa. Binafsi nadhani njia rahisi ya kutaka waandishi wabadilike ni sisi sote tusingekuja hapa kuisikiliza, ni wazi wangeadilika. lakini kama tuka hapa ,maana yake ni kwamba za iana hii ndo zinatuvuta. Nawaza tu

    • @hamzamwilaphy2902
      @hamzamwilaphy2902 3 года назад

      @@elibarikimkumbo1086 ni channel kubwa lakini wanaandika petty issues kiukweli naona wanapoteza credibility yao. Havari hiyohiyo imeandikwa zaidi ya mara tatu kwa kubadilisha tu vichwa vya habari.

    • @elibarikimkumbo1086
      @elibarikimkumbo1086 3 года назад

      @@hamzamwilaphy2902 Nakubali lakini hoja yangu ni kwamba..kama sokoni watu hawanunui nyanya za kijani utapeleka? Namqqnisha sisi walaji ndio tunaosababisha na sio wao.

    • @hamzamwilaphy2902
      @hamzamwilaphy2902 3 года назад

      nakubaliana na wewe pia. Wanatumia advantage ya sisi walaji kushabikia habari kama hizo

  • @reubenbisanda5772
    @reubenbisanda5772 3 года назад +6

    Punguza kiingereza kingi,ongea Swahili unaongea na WA Tanzania

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 3 месяца назад

    Role modal kachafua hali ya hewa
    Kawa nini sijui tena

  • @hollinessgodlisten387
    @hollinessgodlisten387 3 года назад +1

  • @cinterproductscinterproduc8606
    @cinterproductscinterproduc8606 3 года назад +1

    ❤️❤️❤️🤗👏

  • @melkzedeckmaimu8344
    @melkzedeckmaimu8344 3 года назад

    Yaan bngo ukiw wa mhshmiw bs unvikw vyeo vy ktsh. Hku tnsoma vy ktsh no emply

  • @hksags4748
    @hksags4748 3 года назад +5

    Kuna watu wanakojoa pazuri.

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 3 года назад

    Jamaniii nitoweni hushamba hi amm amm ammm inakuaje

  • @oliverdarema2736
    @oliverdarema2736 3 года назад +1

    Imenigusaa

  • @rosemarymnkondo6512
    @rosemarymnkondo6512 Год назад

    🥺🥺♥️♥️

  • @sashashamsia6894
    @sashashamsia6894 3 года назад +7

    Natamani angekuwa ndo demu wangu. Ningeringaje

    • @farajambigo7702
      @farajambigo7702 3 года назад

      😄😄😄

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 3 года назад +5

      Huyo uliye nae muwezeshe

    • @mwantumubakary6638
      @mwantumubakary6638 3 года назад +6

      Kama unaombwa hela ya salon unazima simu kusomesha ungeweza 🤣🤣🤣

    • @sashashamsia6894
      @sashashamsia6894 3 года назад

      @@azizamohd5728 mademu wengine mizigo. Utatupa pesa tu ni kuwaacha kama walivo

    • @sashashamsia6894
      @sashashamsia6894 3 года назад

      @@mwantumubakary6638 unaona akili hizi za ovyoo. Yani nywele ndo waona la maaaana

  • @msungatv1034
    @msungatv1034 3 года назад

    Kwani analevel gani sielewi diploma au degree mbona mboyoyo nyingi ivo

  • @larryking623
    @larryking623 3 года назад

    🤝🏽

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 3 года назад +2

    Badae anatokea colo mmoja anafumua demu,Nikki tena ataonekana kiazi Nyie Life hili shaurieni nomaa sanaa

  • @costantinebahakaso3736
    @costantinebahakaso3736 3 года назад +1

    Mchumba gani kazalishwa? Sema hawala

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 3 года назад

    🥰🥰

  • @dennismacha9941
    @dennismacha9941 Год назад

    wanawake wakijua kingereza wanasumbua

  • @rohityalsina1840
    @rohityalsina1840 3 года назад

    Tusikie umemchoma moto 😏😏😏

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 года назад

    Jamani mrembo huyo Diamondplatnumz siamuajiri pale wasafi media beautiful with brain 🧠 wakina aaliyah hawana degree cpa

  • @leonardflavour7533
    @leonardflavour7533 3 года назад

    Hiz elim za darasan now hazim maana san mack unawez kuw nay na bad ukaw fukal wa kutupw 😥😥😥

  • @activestudios.
    @activestudios. 3 года назад

    Mmmmmh!!!! 🙄