MEDICOUNTER: Vipimo vya uchunguzi vya MRI na CT SCAN ni vipimo vya aina gani?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Vipimo vya CT Scan na MRI vimeibuka na kuwa maarufu miongoni mwa watanzania katika siku za karibuni.
    Je, vipimo hivi vinatumika kuchunguza magonjwa gani na je, vinatumikaje?
    Daktari Mussa Ndokeki wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili anatoa ufafanuzi.

Комментарии • 27

  • @SamwelChimanyi
    @SamwelChimanyi 4 месяца назад

    Safi Sana Mama Samia Dkt

  • @christopherkalema2369
    @christopherkalema2369 3 года назад +1

    Hichi kipindi ni kizuri sana. Azam TV pls invest more in this. BIG UP

  • @kurwamtz1982
    @kurwamtz1982 5 лет назад

    daaa kwa mfano huwa ghalam zao zinzkuwaje ndugu

  • @witnessmmari9902
    @witnessmmari9902 2 года назад +3

    MUNGU tusaidie nilingia nikajihisi nipo kwenye jeneza

    • @elizabethmrema6598
      @elizabethmrema6598 Год назад

      Hahahaha wewe haliumizi jmn nipe uzoefu

    • @elizabethmrema6598
      @elizabethmrema6598 Год назад +1

      Nasikia huwa inapunguz umri wa kuishi🤣🤣🤣

    • @witnessmmari9902
      @witnessmmari9902 Год назад +1

      haliumizi ila ukiwa humo ndani unafuata maelekezo ya dactar mimi nilikuwa nasikia sauti inaniambia vuta pumziiii,achiaa heee nikawa najiuliza ndio nazima au

    • @zenamgwao6654
      @zenamgwao6654 Год назад

      @@witnessmmari9902 grama yake sh ngapi na hospital gan ipo hii

    • @winnierobby8382
      @winnierobby8382 Год назад

      VP lkn unaendeleaje

  • @jacklinemlowe717
    @jacklinemlowe717 Год назад

    Daaa hiki kipimo shikamo nilikaa nusu saa

  • @jumachakaya4334
    @jumachakaya4334 2 года назад +1

    Tatizo amsemi kwamba kipimo nishingap

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 2 года назад

    Iyo MRI inaweza kupima ugonjwa wa ngozi yaani kama ngozi ina fangasi sugu wasio pona

  • @billben9840
    @billben9840 2 года назад +1

    Mbon amjasena garama zake

  • @saidabeid8249
    @saidabeid8249 2 года назад

    Garama zake ni shilingi ngapi?

  • @hamismsugwa-hw6gh
    @hamismsugwa-hw6gh Год назад

    Je CT scan hata tatz lipo shingon au mdomon kwenye tonsils linawez onekana

  • @miriammwangi3363
    @miriammwangi3363 2 года назад

    Ni how much MRI ya ngogo

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 года назад +2

    Nina swali ukiingia humo unapigwa nusu kaputi au unaingia mzima maana mimi nina woga

    • @joycemaige716
      @joycemaige716 2 года назад

      Kama unaweza kukaa na kutulia hupewi dawa ya usingizi

  • @SamwelChimanyi
    @SamwelChimanyi 4 месяца назад

    Safi Sana Mama Samia Dkt