MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 145

  • @elizabethprosper6031
    @elizabethprosper6031 15 дней назад

    My perfect doctor❤
    Mungu akupe maisha marefu😊

  • @philemonrichard8082
    @philemonrichard8082 Год назад +10

    Doctor mm kichwaa kinauma hii niwiki ya pili na mwili huchoka sana nakuwa najoto jingi hasa wakati was usiku

  • @issasamson8909
    @issasamson8909 Год назад +3

    Daktari mm Nina kizunguzungu kikali Sana kichwa kinaishiwa nguvu kabisa na kinayumba chenyewe mishipa inakaza,macho yanauma sioni vzr

    • @happyadam8301
      @happyadam8301 10 месяцев назад

      Ww ni mim kinakua kizito mpk macho yanauma

  • @shomaryzonga4902
    @shomaryzonga4902 3 года назад +2

    Nashida docta naomba namba nikueleze

  • @abdikarimmohammed205
    @abdikarimmohammed205 3 года назад +2

    Daktari tafathali mm naumwa sana na kichwa almost 7 years mpka sai nimezoe dawa na kama sijakula inaniuma sana utaweza nisaidia aje tafathal niko nairobi

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 2 года назад

      Pole sana ata kuva best Friend angu Ana ttzo hili nahittaj kumsaidia

  • @saphiagimmy2050
    @saphiagimmy2050 2 года назад +2

    Mimi naitaji msaada wako doctor kichwa kinaniuma kwenye utosi hadi kwenye USO kama nikifanya mazoezi kinaniuma kama mawenge

  • @neemaeppah2992
    @neemaeppah2992 3 года назад +2

    Jamani aliyepona na tatizo la kichwa aje atusaidie na sisi

  • @samweldiamond502
    @samweldiamond502 4 года назад +5

    Docta namba zako nimuhim kwetu cc wagonjwa

  • @cgko3929
    @cgko3929 4 года назад +4

    dakitari naunwa sana na kichwa pande moja shida ninini

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Год назад +1

      We kam mm kuzunguk jicho la kulia kwa ndan mmmh ad ninywe vasograin sa sijui shid ni jicho

    • @ImeldaHanzuruni
      @ImeldaHanzuruni 5 месяцев назад

      @@faidhamyovela179kama mm umetumia nn ukapona yaani sina raha ikifika asubuhi

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 5 месяцев назад

      @@ImeldaHanzuruni kipanda uso iko ila ukimywa vasograin kinaachia mm kinarudig baad ya miez au mwezi hiv

  • @lilianjoshua477
    @lilianjoshua477 3 года назад +5

    Me kichwa kinaniuma kama vichomi vinavyochoma kwenye meno na masikio Sana kila mara lkn hasa nikipata stress

  • @bamburisundayschoolchurchb4861
    @bamburisundayschoolchurchb4861 4 года назад +2

    Doctor Mimi yangu imefura kwa komo gafla, baada ya kupaka dai kwa nywele

  • @dainesdaudi5683
    @dainesdaudi5683 3 года назад +1

    Jaman msaada wenu kichwa kinaniuma sana nimesha angaika sana

    • @provianmandago5443
      @provianmandago5443 2 года назад

      Naomba kujua maumivu ya kichwa yanayoambatana na homa

  • @lovederyare6756
    @lovederyare6756 5 лет назад +4

    Dct me nna swali niliandikiwa dozi ya power safe cndano 7 ila baada ya kuanza kuchoma hizo cndano mpk na amaliza kichwa kinauma tu sas hv nna siku ya 3 toka nimalize cndano lakin bado kinauma tu

    • @Swafia-Abdallah8
      @Swafia-Abdallah8 3 года назад +2

      Doctor mimi Niko na Shida ya kuumwa na kichwa upande wa kushoto,at the centre

  • @lovederyare6756
    @lovederyare6756 5 лет назад +3

    Kichwa kinauma sana sana upande wa kulia mbele na nyuma

  • @mchambuzi9089
    @mchambuzi9089 3 года назад +1

    Towen huo wimbo unatuketea keroooooooooo. Kma tuko Club

  • @NuuruKassim
    @NuuruKassim 5 месяцев назад

    Doctor habari mm Nina shida na mttz y kichwa MN kinanikaza sana mbele ya uso mpka nyuma lkn juu kinauma lkn maumvu yk kwa mbli ss ttz nn

  • @priva7421
    @priva7421 2 года назад +1

    Samahan doctor Mimi mishipa ya kichwa unaniuma shida itakua ni Nini?

  • @songorajackson6757
    @songorajackson6757 5 лет назад +2

    Dr mi kichwa mi nina shida ya kichwa no zangu

  • @ndeshfosekaaya
    @ndeshfosekaaya Год назад

    Docta mimi niko arusha naumwa sana mishipa ya kichwa piresha hilipanda kichwani

  • @khadijasalum132
    @khadijasalum132 3 года назад +2

    Dokta nimekuelewa Sana shukran

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 3 года назад +2

    Dr please naomba namba yako mimi kichwa kinanisumbua sana Ni mwaka wa nne naomba unisaidie please

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 День назад

    mpaka mishipa yaniuma kwenye komo pande mbili za ubongo maumivu makali kwa kichwa

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 3 года назад +1

    Naomba no yenyu

  • @NasibuFikiri-de5bu
    @NasibuFikiri-de5bu Год назад

    Nammm kichwa kinauma pand zot

  • @KimtaiLimo
    @KimtaiLimo Месяц назад

    Daktari nimehisi maumivu ya kichwa huu ni mwaka wa tatu naomba usaidizi tafadhali

  • @akhtarrashid7793
    @akhtarrashid7793 5 лет назад +1

    Doctor mie naumwa na kichwa hii week nshachumwa sindano mbili za maumivu lakin bado kinauma

  • @husnamushi1163
    @husnamushi1163 5 лет назад +10

    Mimi kichwa kinanitesa mno doctor mpka nakosa amani yaani mnoooo mpk nais kuchangnyikiwa

    • @mercyhealthcare5695
      @mercyhealthcare5695 3 года назад

      Nikusaidie +255 625 780 510

    • @raidenmaverick8191
      @raidenmaverick8191 3 года назад

      I realize I am quite off topic but does anybody know of a good place to stream new series online?

    • @cadetate3023
      @cadetate3023 3 года назад +1

      @Raiden Maverick try flixzone. Just search on google for it :)

    • @jaxxonleighton4105
      @jaxxonleighton4105 3 года назад

      @Cade Tate Yea, I've been watching on Flixzone for years myself :D

    • @raidenmaverick8191
      @raidenmaverick8191 3 года назад

      @Cade Tate Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D Appreciate it!

  • @MamaRujahna-qc6em
    @MamaRujahna-qc6em 11 месяцев назад

    Doctor naumwa Sana kichwa na miaka 20 tu nikienda hospital wananipima uti na wingi wa damu lakini tatizo bado haliishi

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Год назад

    JAMAN NAOMBEN NAMBA YA HUYU DOCTOR PLZ😭😭😭😭😭

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr 9 месяцев назад

    Mimi nimichale yamjicho laupande umoja

  • @atarasilahyera1929
    @atarasilahyera1929 4 месяца назад

    Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho

  • @michaelmshani3665
    @michaelmshani3665 4 года назад +2

    Doctor kweli unayo ongea kwamba madaktari wengi awafati historia ya mgonjwa

  • @aminashabani4586
    @aminashabani4586 Год назад +1

    Doc,mbona nahisi ndani ya kichwa changu kuna tembea wadudu upande wa kulia ,baada ya hapo kichwa changu kinauma cana ,shida ni Nini doctor nisaidie

    • @SamiraNifashasssc-vn9bx
      @SamiraNifashasssc-vn9bx 9 месяцев назад

      Ilotatizo linasumbuwa kabisa atamimi niivio naisi kama wa dudu wanatembea

  • @gladnessterry2465
    @gladnessterry2465 2 года назад

    Doctor huo wimbo jamn toeni hatusikii

  • @HappnassMasatu
    @HappnassMasatu 6 месяцев назад

    Namba zako doctar plz

  • @fatumahamis4257
    @fatumahamis4257 3 года назад +2

    Hujambo daktari,Mie nimeumwa na kichwa SASA week2 tafadhali nielekeze doctor.

  • @rosenjau3576
    @rosenjau3576 6 лет назад +6

    dokta me kichwa kinawaka noto utosini na saa nyingine nasikia ganzi kichwa kizima shida ni ni dokta naitaj msaada

    • @tanzaniangirl1980
      @tanzaniangirl1980 6 лет назад +2

      Tatizo lako ndo tatizo nililo nalo

    • @gracekikonda7628
      @gracekikonda7628 6 лет назад +1

      DOKTA.mwanangu.anasumburiwa.na.kichwaa.marakwamara
      .akirudi.shure.macho.anasema.yanauma.na.kichwa.naomba.ushauri.wenu

    • @gracekikonda7628
      @gracekikonda7628 6 лет назад +2

      DOKTA.naomba.msaada.wa.namba

    • @dahappy5879
      @dahappy5879 4 года назад +3

      Mi naumwa Kama wewe vip umepata matibabu na mm unisaidie

    • @loveneselia3070
      @loveneselia3070 4 года назад

      Ata mm jaman tena adi mishipa

  • @mariammuya5177
    @mariammuya5177 9 месяцев назад

    Naomba no ya doctor 11:07

  • @aishaaboubakar7147
    @aishaaboubakar7147 7 лет назад +2

    me dokt kinaniuma kichwa sana nahic km mishipa inanibana sana kichwa kizima hd shingo yote ht kuongea najickia shida sana. sa sijui utanishaur vp.

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 6 лет назад

      Nazani aisha tatzo lako ni kama langu vipi hadi saiv umefanikiwa kama umefanikiwa nielekeze namm mana nimemaliza tiba zote sijafanikiwa bado

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 6 лет назад

      Aisha Aboubakar

    • @sweetheartschannel7120
      @sweetheartschannel7120 6 лет назад

      Aisha Aboubakar namba yangu hii hapo kama unatumia WhatsApp nitafte +255779804000

    • @emmanuelkigola7955
      @emmanuelkigola7955 6 лет назад

      Aisha Aboubakar mambo vipi hata mm nasumbuliwa na kichwa sjui.tatzo nn

    • @emmanuelkigola7955
      @emmanuelkigola7955 6 лет назад

      sweethearts channel ww kina mda gani toka kianze kuuma

  • @theclamassewe3629
    @theclamassewe3629 4 года назад +1

    Daktari namba yako tafadhali tuandikie tupate hata maelekezo kidogo tafadhali

  • @hemedsabuni3869
    @hemedsabuni3869 5 лет назад +1

    Dr.naomba namba yako kichwa change kinasumbua

  • @Reemttt-j7o
    @Reemttt-j7o 2 года назад

    Doctor naomba number yako mmangu ana tatizo la kichwa tafadhali xana ajiwezi kwa ssa wallahi nisaidie

  • @magrethmichael2426
    @magrethmichael2426 Год назад

    Mnapatikana wapi

  • @MwandiweSalum
    @MwandiweSalum 7 месяцев назад

    Samahan doctor naomba namba yako nnashida sana naomba unisaidie

  • @najmagoa4727
    @najmagoa4727 4 года назад +2

    Dokta tupe namba yako

  • @najmagoa4727
    @najmagoa4727 4 года назад +1

    Mm dokta niko na meno yauma wiki mbili sasa na kichwa nacho pia nakisikia kizito nimemeza dawa lakini wapi

  • @theclamassewe3629
    @theclamassewe3629 4 года назад +1

    Dokta baba angu alipata stroke miaka minne nyuma, alitibiwa akawa anaendelea vizuri kabisa hadi akawa anaweza kutembea mwenyewe lkn saivi anasumbuliwa sana na kichwa mfululizo yaani akipoi kila akipimwa tatizo alionekani anapewa dawa za maumivu tuu lkn hazisaidii, tunashindwa kufika muhimbili sababu ya hali uchumi, kapimwa hadi site scanner lkn hamna kitu....

    • @mercyhealthcare5695
      @mercyhealthcare5695 3 года назад

      Nikusaidie +255 625 780 510

    • @yusrat1141
      @yusrat1141 2 года назад

      Yani me Sina lakuongea nateseka sana nakichwa DOCTAR tusaidie

  • @rosyotieno7271
    @rosyotieno7271 3 года назад

    Dr naomba namba

  • @emanuelmacha9827
    @emanuelmacha9827 4 года назад +2

    Doctor ninatatizo lakuumwa kichwa upande mmoja wakushoto je kunatatizo gani au nitumie dawa gani

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 4 года назад

      Mambo broo alikupa no zake dokta

    • @najmagoa4727
      @najmagoa4727 4 года назад

      Mambo broo alikupa no zake dokta

  • @latifakalunde3565
    @latifakalunde3565 4 года назад +2

    Kichwa kinanisumbua sana kama.kinawaka moto jaman sijui shida nini ,hakipoi na kuna muda Kama nawaka moto

  • @khadijayussufsaid134
    @khadijayussufsaid134 3 года назад

    Mi nakaa naumw n kichw upand mmj c maumiv makal bali upand huu huu nahc km kun kitu kinanikandamiza nahc km kit

  • @ludoviclimo4153
    @ludoviclimo4153 3 года назад

    Mimi nasikia nachomwa namisumari kichwani ninini?

  • @ndeshfosekaaya
    @ndeshfosekaaya Год назад

    Nifanyeje?nipone

  • @MariamOmari-mj3te
    @MariamOmari-mj3te 8 месяцев назад

    Tunaomba namba yako naumwa nakichwa sana

  • @tabudominick9219
    @tabudominick9219 6 лет назад +4

    dokta mie sikio linauma saana

  • @safiam5285
    @safiam5285 3 года назад

    Mziki haina haja inakera

  • @innocentmugunda3369
    @innocentmugunda3369 4 года назад

    Jana nimeamka kichwa kinauma sana upande wa kulia na iliambatana na maumivu upande huo huo tatizo n nn

  • @RahmaRahma-ie6ey
    @RahmaRahma-ie6ey 2 года назад

    Sahani Dokta pole na kazii samahani naomba unitumie namba yako kwanjia ya Wasap Mimi sipo Tanzania ilinikueleze vizuri

  • @susanayiean4954
    @susanayiean4954 5 лет назад

    Dr t afadhali naomba number Yako niko na Shida ya kichwa

  • @kidotjames922
    @kidotjames922 7 лет назад +3

    Doctor mimi kichwa kina niuma sana Hali hii imetokea wakati napika chakula nikaanza kujiskia kizungu zangu mpaka sasa najiskia hivyo chini ya kitovu Pana kuwa kama panawaka moto

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 4 года назад

    Doctor husomi comment

  • @rabinzsinoya8160
    @rabinzsinoya8160 4 года назад +1

    Doctor mimi ninamatatizo ya kichwa naomba tuwasiliane kwa number hii araka iwezekanavyo, 0788 03 79 79

  • @daatydagharo7700
    @daatydagharo7700 5 лет назад +2

    Jamn ninapata maumivu ya ndani ya kichwa tena kuna wakati kama nasikia maumivu haya yana move yaani kama vile mafuta yakimwagika yanavyotambaa kwenye sementi. Dr naomba nisaidie hii ni mini na tuba take ni nn?

  • @saidbonge3033
    @saidbonge3033 6 лет назад +1

    doctor naomba namba yako

    • @godfreyedgar4112
      @godfreyedgar4112 5 лет назад +1

      Dr . Nakuomba nipigie kwenye namba0785-440-125
      Nina shida

  • @anithatheobardy5693
    @anithatheobardy5693 5 лет назад

    Docta nicheki chenye no 0677968632 plz

  • @frankkibuga6514
    @frankkibuga6514 6 лет назад

    docta nichek 0686556909

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 День назад

    mm daktari kichwa kina uma wiki ya pili hii kichwa kina ni bana kisha nasikia kiko kikavu nakisikia ubongoni alafu nasikia kumwa na macho maumivu nayasikia kwa macho na upande wa utosi na upande mbili na kizungu zungu

  • @atarasilahyera1929
    @atarasilahyera1929 4 месяца назад

    Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 День назад

    muko wapi daktari sehemu gani mm naishi mombasa

  • @mtatatvshow1044
    @mtatatvshow1044 4 года назад +2

    Dokta mimi naumwa nakichwa kwenye kisogo sijui tatizo nini

  • @zainaomar1545
    @zainaomar1545 День назад

    na mishipa yashingo kuniuma

  • @fadhilahzuberi4116
    @fadhilahzuberi4116 Год назад +2

    Tatizo mnaogea tu hamtoi namba hiyo ndio shida yenu

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts Год назад

      Na ukiuliza maswali Dr hajibu! Dr tunaomba itusaidie Kwa kutujibu maswali yetu...jamani kichwa kinauma vibayaaaa

  • @malkhamwinyi4246
    @malkhamwinyi4246 2 года назад +1

    Doctor mi mjamzito miez mitatu ila naumwa sana kichwa vp apo

  • @ummusalim5088
    @ummusalim5088 2 года назад +2

    Toenii miziki inakeraa

  • @zuenasaimon2224
    @zuenasaimon2224 4 года назад +1

    Docter mi kichwa kinaniuma upande wa nyuma, macho mpaka kifua kinaniuma naomba unisaidie

  • @thomasshija1135
    @thomasshija1135 3 года назад

    gharama yenu ya vipimo