PATANISHO : NILIMDANGANYA HUWA SITUMII DAWA ZA KULEVYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 13

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Год назад +1

    Hey 1st comment 🎉🎉🎉Sikuizi vijana wanatumia vitu mara miadarati,mara sigara kubwa mara pombe atakama ni mimi sitaki.

  • @OkumuFlorence-bb6tc
    @OkumuFlorence-bb6tc Год назад

    Waaaaah huyo n gaidii class 4 surely

  • @moreh462
    @moreh462 Год назад +1

    Wachana na msichana wa kitengela kijana. Enda huko ukambani ndani utapata bibi mzuri sana level yako

  • @Mukavana138
    @Mukavana138 Год назад

    Wueh since class 4 I wonder alikuwa na miaka ngapi Enzi zile😅😅😅huyu kuacha nashuku sana😅😅😅

  • @auntiepiarants2238
    @auntiepiarants2238 Год назад +1

    Kijana mihadharati imemkula brain 2yrs he is still waiting 😢😢😢

  • @mugezagapingi6168
    @mugezagapingi6168 Год назад +2

    Gidi unanivinja mbavu😅😅 eti sigara ndogo ama kubwa😂😂

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Год назад +1

    Jama alichezwa na ajui kama ali chezwa

  • @solomonoduor
    @solomonoduor 7 месяцев назад

    ukishaskia mutu anaitwa MUTINA jua ni kimoda dangamanya

  • @KitoMambo
    @KitoMambo Год назад +1

    Alianza kuvuta kuanzia class four bangi mhhh

  • @milkakamau1478
    @milkakamau1478 Год назад

    Tabia ya mlevi , mkumywa bangi is very different from a normal person

  • @justuskemboi2322
    @justuskemboi2322 Год назад

    Tafuta tu mwanamke mwingine. Io ni ishara kuwa amepata mwingine kulingana na venye jamaa ameelexea

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    kwa maelezo ya huyo jamaa mwanamke ameshapata bwana anampenda na hana mpango tena na yeye

  • @Amira1977-y
    @Amira1977-y Год назад

    HAKUNA MWANAMKE ANAKUBALIANA NA MUME KAMA HUYOOOOO!!!!! STRESS MAISHANI