MKRISTO AZUA ADHANA MPYA DUNIANI WAKIWA NA PASTOR WAO MATATA! 😂

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • ‪@StraightPathDawah‬ tuko katika jitihada za kufikisha ujumbe wa Uislamu kwa watu wote. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Комментарии • 79

  • @boslayogero8329
    @boslayogero8329 Год назад +13

    Am a Cristian but I like the procedure of Ramadan the way he ask questions in a polite way

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +4

      U will become Muslim ishallah

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 Год назад +1

      Thats what our DEEN (religion) t us @an-nahl 16/125

    • @mozaalmanji4466
      @mozaalmanji4466 Год назад

      ​@@alzawahirabdallah2299 ap

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 Год назад

      Ogero we need people who are open minded, Bible iko clear haifiji jambo, kuu hyu pastor anaongea vitu zake.

    • @MohamedAhmed-ns5mi
      @MohamedAhmed-ns5mi Год назад

      Bro tunakupenda kama ww unavo penda matendo yandugu yetu Ramadan u will become muslim inshallaha

  • @adenmohamed5935
    @adenmohamed5935 Год назад +8

    Ma sha Allah May the Almighty Allah bless you and your your family Jannahtul Firdous

  • @maryamjuma1980
    @maryamjuma1980 Год назад +5

    Allah awahifadhi mashekhe wetu awalipe kheri juu ya kazi yenu hii na atukutanishe nae kipenzi chetu mtume Muhammad( s. a. w)

  • @classicboyrahib903
    @classicboyrahib903 Год назад +3

    Watching from Tanzania

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Год назад +2

    Mashallah shukran sheikh ramadhan kwa kazi mzuri ya dawaah Allah awahifadhi nyote na team yako hadi mkono kwa mkono mpka peponi

  • @mohamednuh5087
    @mohamednuh5087 Год назад +7

    Congratulations 👏 brother watching Kutoka Mozambique continue your efforts

  • @hassadube225
    @hassadube225 Год назад +5

    Masha ALLAH sheikh wetu Ramadan Allah akujalie kheri hapa dunia na kesho aqra insha ALLAH

  • @wakawakakhamis9558
    @wakawakakhamis9558 Год назад

    Amin shekh ramadhan na mashekh wengine allah awabarik na awalipe pepo kwa kujitolea kwa ajili yake amin

  • @sakow747
    @sakow747 Год назад +1

    Mashaalah try never give up

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Год назад +2

    Mashallah kazi nzuri mungu akuzidishiye afaya wwe najop lako sheh ramazan uzidi kuledeza uwislam kueneya nakutakiya ramazan mubarak

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Год назад +3

    Masha Allah 🥰

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Год назад +2

    Allah atuhifadhi shekh ramadhan

  • @hamisiomaryi1699
    @hamisiomaryi1699 Год назад

    Allha hawatie nguvu nakheli mashee wetu kwa kazi kubwa mnayo fanya

  • @tahlil2015
    @tahlil2015 Год назад +2

    Mansha Allah Ramadani.
    Ramadan kreem🎉!!
    Christian Youth are Confused and Pastor can't even Help.

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Год назад +1

    Unatfta andiko, nani mimi😂😂😂😂😂😂

  • @mukandamaakbar599
    @mukandamaakbar599 Год назад +1

    Masha'Allah Allah awabariki kua kazi zenu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +1

    Mashallah Allah

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana380 Год назад +3

    kipindi kizuri sana sound iko poa, mada iko poa Allah akubariki sheikh Ramadhan

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Год назад

    MashaAllah ramadhani mwenyezimungu akuzidishie elmu watching you from UK

  • @aminamahamud9333
    @aminamahamud9333 Год назад

    MashaAllah
    Da'wa kweli hii

  • @KKK-v6j
    @KKK-v6j Месяц назад

    Mashallah 🎉🎉🎉

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +4

    Pastor can’t help.

  • @husha6372
    @husha6372 Год назад +1

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Mbona Sheikh Mohammed Yusuf hatuna muona Kwa muda mrefu Sana

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Год назад +1

    Mash Allah tabarakallah

  • @ruu6592
    @ruu6592 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 iyo adhan noma

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад

    MashaAllah

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Год назад +1

    Hiyo ndio shida kubwa kusikokuelewa maandiko. Mungu kaumba kwa sura yake maana yake ni mungu aliumba kwa sura alivuomfikiria kiumbe yake anaviomtaka. Kama vile seremala katengeza kitu kwa sura yake.

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад

    Hawa vijana wastaarabu kweli. Mwenyezi Mungu awajaalie kila la kheri duniani mpaka akhera

  • @husha6372
    @husha6372 Год назад +1

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu tena huyo dada Esther AMEvaa hisabu kama muislamu

  • @fridahmulongo2697
    @fridahmulongo2697 Год назад +1

    Mashallah ustadh wetu na imam Allah awalipe kheri

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Год назад +1

    Waluhya wanatisha! 😂

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +2

    It’s always John 3:16 which never mentions Jesus by name. Rather the verse God sent his only child when there’s a dozen children of God in your Bible.

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Год назад +1

    Ramadhan Kareem O Believers

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 Год назад +1

    Kanisa kiswahili ni kusanyiko la watu wawili na kuendelea. Yesu alichagua wanafunzi 12 na hilo ni Kanisa na yesu ndio kichwa cha Kanisa hadi leo

  • @paulinerathgeber1045
    @paulinerathgeber1045 Год назад

    Hakuna afikaye kwake bwana pasipo Yesu

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y Год назад +2

    Iam first vower

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 Год назад

    Hakuna binadamu ambae ange simama mbele ya sina gogi heti amhubilie yesu. Amfundishe maandiko yesu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Mchungaji anajitahidi kupingana na biblia lkn maandishi ktk biblia hayabadiriki. Lkn sheikh nawewe unashindwa kumuelewa mchungaji anapokwambia ni NJAA tu. 😂😂😂😂

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 Год назад +1

    Yesu aliingia kwenye masinagogi kwa ajili ya kuwa hubiria wayahudi na sio kuswalishwa

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Год назад

      Hao wayahudi walikuwa dini gani?

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Год назад

      Wapi kwenye biblia yesu anaswalisha kanisani

    • @salumuhamza
      @salumuhamza Год назад

      Kwani hayo maneno kua alienda msikitini kuhubiri umeyatia kitabu gani?

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +3

    Very sad even their pastors are confused, I don’t understand what they preach to this people. Pastor alisema hajui kama ukristo ni dini.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      Haipo kokote ukristo ni dini ukitaka kujua hilo jiulize biblia kitabu cha nabi gani wakati yesu kapewa injili je biblia kapewa nani

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Год назад

    Mwisho makanisa yataitwa scania naona majina ni mengi kila mtu anakanisa lake bora mkono uende kinywani

  • @wakawakakhamis9558
    @wakawakakhamis9558 Год назад

    Mimi ni baharia popote na nnchi yyt nnayo fika nawangalia nationality tanzania

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Год назад +1

    Huyu mzee akiri ndio hamna

  • @paulinerathgeber1045
    @paulinerathgeber1045 Год назад

    Believe in Jesus and we will discuss whatever you want

  • @kinawaka6858
    @kinawaka6858 Год назад +1

    Allah ni ninani? Allah ni ninani?

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 Год назад

    Kuna dini ya kiyahudi, na dini ya kikiristo na dini ya kislamu

    • @salumuhamza
      @salumuhamza Год назад

      Dini ya kikilistu na yakiyaudi umezisoma wapi?

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

    Kila nabi umekuja na kitabu chake je biblia kitabu alicho kuja nacho nani wakati yesu kaja na injili

  • @brenda1083
    @brenda1083 Год назад

    Afathali nisilimu

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Год назад +1

    Poa

  • @fredymziwanda1283
    @fredymziwanda1283 Год назад

    Hakuna uusilamu wa kiyahudi

    • @salumuhamza
      @salumuhamza Год назад

      Mwenyezimungu humuongoa amtakae wewe ukibaki huko basi hakuna kulazimishana katika dini

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Год назад

    Ndugu zangu wakristo musidanganywe waislam wanawadanganya hadharani mbele ya MUNGU hawamuogopi MUNGU Hawa YESU aliingia sinagogi la wayahudi waislam hawakuwa enzi ile ndo maana baada ya kuwafundisha lika 4:16--29 walianza kumshambulia ,ramadhani ulisema eti ndo ninyi waislam mulikuwa ndani tukitembea na akili yako basi ninyi si watu wa amani maana vs 29 mulimpeleka kwa mlima mumuue ila akatoka mikononi mwenu,mnadanganya watu eti YESU ni Islam poleni sana ,Imani yetu ni hii 1kor 8:6mungu wetu ni mumoja tuu yuko na BWANA YESU,kuhusu uungu wa YESU yoh 1:1filp 2:6 tito 2:13 alafu ninyi waislam mnachunguza maandiko mkidanganya watu eti mnampenda YESU ndo muwapate wakristo ila mko kinyume nae yoh 5;29 msipookoka mtajuta cku yaja YESU atabaki kuwa mkuu zaidi wote na ndie alama ya kiama njoni kwa YESU mupone

    • @salumuhamza
      @salumuhamza Год назад

      Kwanza wewe ni dini gani?

    • @salumuhamza
      @salumuhamza Год назад

      Maana hakuna dini inayoitwa ukristo

  • @boslayogero8329
    @boslayogero8329 Год назад +2

    Am a Cristian but I like the procedure of Ramadan the way he ask questions in a polite way

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 Год назад +1

      Welcome to AL-ISLAM

    • @eddasang9393
      @eddasang9393 Год назад

      Hiyo ni gear tu. Watch Christian Prince or Ex ahmad debates

    • @CandidoLuisBernabe
      @CandidoLuisBernabe Год назад

      Inabidi kuwaoneya uruma hawa wakristo wagumu kuyelewa kama watu walanivu isto é muito complicado para eles mais força chee ramazani salvar a vida eterna desses perdidos e muito obrigado bom trabalho.

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Год назад +1

    Mashallah