Mapishi ya Biringanya / Mabiringanya Matamu Sana/ Eggplant Recipe / Tajiri's Kitchen
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- RECIPE ZENGINE KAMA HIZI ⬇️.
Kuku na Mboga Mboga /Baked Chicken & Vegetables /Kuku wa Kuoka ➡️ • Kuku na Mboga Mboga /B...
Rosti la Bamia/ Nyama na Nazi /Okra Meat & Coconut Cream/ Mabenda ya Nazi na Nyama➡️ • Rosti la Bamia/ Nyama ...
Jinsi ya Kupika Rosti la Bamia, Biringanya ,Mabenda, Nyanya chungu /Vegetables Recipe ➡️. • Jinsi ya Kupika Rosti ...
Jinsi ya Kupika Vitungu Vya Mviringo Vitamu Sana /Onion Rings Crunchy ➡️ • Jinsi ya Kupika Vitung...
Spinach Recipe /Jinsi ya Kupika Mboga ya Majani na Mambo Muhimu ya Kuzingatia➡️. • Spinach Recipe /Jinsi ...
Ugali / Mboga ya Majani /Sembe ,Mchicha na Samaki /Ugali , Fish & Amaranth /Full healthy Recipe ➡️ • Ugali / Mboga ya Majan...
FACEBOOK : TAJIRI'S KITCHEN ➡️ / tajiris-kitchen-100334...
INSTAGRAM : TAJIRI'S KITCHEN ➡️ ...
#mboga #mapishi #swahilifood #kenyafood
Verry good food thanks tamu tamu
Rostiiiii🤤🤤🤤 mashallah bado wali thuuuu😋😋
Kabisa tena, yani utakula hadi usinzie 🤣🤣🤣
Nmependa nzur
Asante mama umenifundisha vitu vingi mpaka sasahivi nimeheshimika kupitia wewe 🥰🥰🥰🙏
Nafurahi sana kuskia ,na karibu sana 🥰
Wow nice napendaga mapishi yako asqnte napendaga yakipikwa mazur ni matam
Asante sana
Tajir's kitchen super
Shukran 🥰
Looks very delicious
Thank you..Mungu akuweke uendelee kutufundisha
Ameen.......atuweke sote dear ❤️
Asante, nimepika leo nikapenda sana. Sijawai pika biringanya tamu kama hii ya leo
Haya niyapate Na kipande cha papa na ugali,,utamu ju ya utamu 😋
Aki you cooked them so well
Heee Wajulia sana hun, yani umetaja huyo Papa mate yanitoka natamani nimpate😋
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 haha…pole, i know
Hebu njoo ule hadi ubebe
@@terryskitchen337 😋
Haiya...HIYO ni recipe TAMU XANA..imekaa kama achari maembe... love from Mombasa MAGONGO MKOMANI KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I came back to watch it so I can make it exactly because it looks delicious I will ad beef broth
😍😍😍Hope you will enjoy habibty
Maa shaa Allah
Maa Shaa Allaah
Napenda sana mapishi yk
Shukran sana
Yummmmmm na Ka sima soft
Wajulia 😋
Sisi Huku tanzania,tunaita mabilingani!😊👌🏻
Yeah, ni sawa tu sis
❤asante sana mum kwakunifunza kupika piringnya
Masha Allah
Mashallah mpishi
😍😍😍
Sijawahi kujua ya egg plant MashaaAllah looks so delicious ♥️ asante I don’t really like eggplant I eat it in a blue moon I think it’s time for it after seeing this 😊
Nilikuwa sipendi eggplant lakini tangu nianze kula Mediterranean food, I fell in love with eggplants, I cook lots of different recipes from it.
Masha llah ❤❤
So good
Apo upate kaugal laini na mziwa mmbo ni yummy 😋
Wajulia sana dear
Yummy 🤤🥰🥰
Yeah🥰
Looks very delicious...
Thank you
Very delicious
Thank you
I love egg plant 😍
Yeah it's so yummy 😋
Mwiko kama wa oman
Hallo plz tuonye achari ya biringanya
Yanavutia nyanya chungu napendaga kuyakataga ivyo
Mambo mazuri … I love your recipes xxx 😘
Jamba sana unaeza piga kbx
Tamuu
Looks very nice! Recipe is easy to follow too! 😀
Thank you dear 😘
Mashallah shukrani habiptiy maana hapa nimeletewa fuko la mabinganyi kama yote kwa pishi lako nimekuelewa vizuri wacha nikapike na mie
Karibu sana habibty na jienjoy kwa utamu ulio hapo 😋👌
Yummy but mm huwa sipendi spices nyingi
Utaweka kiwango chako tu dear
Yummy
😋😋😋
Ukikosa izo green pepper unaeza ukaweka Hoho instead??
Yeah unaweza weka zozote tu dear
Shukran 👍
Inaoendeza sana nitajaribu
👍
Asante sana
Karibu sana
😁
Jinsi ya kupika halwa sijaona
My Dada kwani biringanya haimenywagii
Ukipenda unamenya dear, but SD kwetu nyumbani sikuwahi kuona wakimenya hadi hivi😊
🤪
Nadondokwa mate
😋😋😋
Cook with mavuta only
❤❤❤❤❤❤❤😂❤
Upate na wali wa nazi na tafi
Heee utakula hadi usinzie 🤣🤣🤣
🙄🙄😋😋😋
😍😍