DCI infaa sai ushukuru mungu mana ndio mda sahihi wakujua mtu anaeza kusimama nawewe wakati washida labda huyo mkeo alikua hakupendi alependa ulicho kua nacho tu napia fahamu hili nijaribu nalamda litaisha anaetaka kutoka kwenye maisha Yako mruhusu mungu napia usuhuznike🙏🙏Kila kitu mungu ndie ajuae
Aki DCI ametumiwa mashetani moaka kwake ikaingia kwa bibi ndio akose namna, but the good work he did, God we pray restoration of everything. Jesus come and stand with this man.
People worry too much yet they pray to the One who Owns everything...We should learn to trust God fully na tuache Ile tunasema ni kama Mungu haskii maombi yangu
We need the no. Of our DCI. He is very depressed. Please let's not blame our DCI. He needs our prayers and our support. He is a good Man. But we need his no. Not the way it was done in ayubus time
Pole sana DCi God will fight for you wanawake wengine aki why cant sge understand her husband ona sasa hii pombe pesa ingenunua maziwa badala ya pombe huyu mwanamke ni mmoja wa wale mme akigonjeja atamuacha pekee yake
Yaani this Woman loved her husband DCI because of his money not love !!.. Why vyenye ameloose job ndio humtaki tena sababu amekuwa maskini fukara that's in humor. Instead ushikilie bwanako for better for worse ni matusi tu!,,, Afande has saved many souls, Congratulations Afande 🎉🎉🎉for good job. We love you ❤❤❤
Uyo mwanamke anamzidi hata shetani polesana DCI uyo mwanamke alikuwa somtu sahihi kwako uyo ni Mungu ametaka kukuonesha rangi halisi ya uyo mwanamke DCI utarudi kazi nakama hukurudi Mungu atakupea ingine huwezi juwa Mungu kakuepusha nanini apo kati.🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Our own DCI I'm a good single mother nasio wanawake wote ma devil wapo wengi tu wazuri like me here.dci nakupenda tu Bure njoo tusukume maisha huku naks❤
Ata kama tuko Kwa cheo now I realize we need God intervention ,Huyu DCI tafuta Mungu we don't fight in fresh en body but with principalities en rulers of the world.
Dci kindly just sign up that divorce paper huyu mwanamke seems amekua akikulana na huyo GUKA wacha Aende shetani pepo mbaya akaoleke na yeye, trust our beloved Father he will make away 4U
Like seriously.....yani mtu akikosa job hana maana tena Swali tu, ispokua kuwekewa job yeye ashawai fanya job agalamike askie vienye Kaz hukua na challenge,May God open a door for you since you are devoted to your work
That wife of DCI was there in marriage cause of good life Ona sasa vile kazi imeisha sio juu yakuwa upset ama ulevi Ni miss understanding juu ya kazi powa ya utumishi kwa Wote huyo ako na kamutu and she is so young kuwa na roho mbaya Aki God forgive jz
Director Kitoo tafadhali sana advice DCI not to drink because of suspension God is going to answer our prayers na utarudi kazini we hujafukuzwa wala usijali na usijali utarudi tu
Kweli kabisa wewe mwanamke jaribu kumsaport mumewe. Kazi ni kitu kidogo sana . Kuna familia hazina hata hiyo kazi lakini kuna upendo. Rudi kwa mume wako tafadhali.
Ndio wanaume siku zote naawambia mkioa angalieni mtu anakupenda juu ya pesa ama anakupenda jinsi ulivyo.....coz according to me this lady alipenda ur wealthy akukupenda jinsi ulivyo....like mwanamke n yule anafaa akupenda ukiwa uko nacho ama ukiwa hauna guys kuweni makini sana kwa watu mnaoweka kwa nyumba zenu .....kama unagree na mm pinga like .......huu n mda unafaa mke asimame na mumeo sio kumrovoke
Apana d.c.i hata mtoto huzaliwa n kukufa ,,tafuta mwangi akupee kunection y majuu n usahau kama ulikua n bibi watoto watakutafuta waikiwa wakubwa,,enda majuu n ubadilishe laini
Anamsaidia coz when jay exposing this videos we have other peoples with mercy will help including us u don't the kind of work we r doing jay continue .
In every marriage there's ups and downs and in every situation we as human being supposed to understand each other in love. Love isn't about wealth, disability or health but created inside our hearts. Things might come and go but if sincerely we love each other will stand and hold each other no matter what. She hv done a big mistake of showing her true colors at this time her hubby hv lost his job. It's not the end of life but just a begining. They still hv a long way to go . Was she staying with him because of job or bcoz she loved him. Was him to her an ATM or a hubby. If she's that clever when her hubby was working she could hvbn doing something productive to support them at such a moment. Marriage is an organization started with two agreed ppl who have decided to invest on it
Our brother, our friend DCI i understand what you're going through but i just humbly request not to drink, this will not solve anything but will affect your health. God has a reason as to why it happened, trust God He will never fail you, you've been faithful serving our nation in your job, we are praying with you, you're going to get your job back.
DCI, thank God you have known the kind of woman you have been calling a wife. Her love was on your job, not you! Seek Jesus Christ, get saved and seek deliverance immediately
Hii nahisi ni mpango ya Govenor & teacher maana teacher ameachwa na Mr Mwangi na baba Derick anataka achwa na mama Derick... Hii ni issue ya baba Derick
Take heart ur DCI, God is in control n everything will be alright. U will definitely get back ur work coz u were suspended when in line line of duty of rescuing people who were being kidnapped by the criminals.
Kitoo c kila kitu una post , io vidaa inaharibia cv io jamaa achana na izo vtu bana mshaanza kuniboo, already mshaanika his family na mnajua vzur iko na enemy na hana gun , you should respect that guy
You loosing your Job is just away the Almight God wanted to expose the woman. It's time to have a reflection over your life and don't drawn in alcoholism.
Why do women behave like this? Even when you expect your husband to provide as ascribed in the Bible, I believe it's also fare for ladies to also do some hustles because employment doesn't last forever. At least you can chip in when your husband is down. Life is quite hard these days and one hand can hardly sustain a family
Huyo alipenda pesa kwani kuwa suspended job n kitu ya kupika makelele surely, kwani yeye hakuwa na kitu hiyo miaka yote hata sahii angekuwa kwa magoti kuomba
I wish you guys don't post more of this officer you are going to disgrace him n expose him and his family. Please don't forget kwenye huyu DCI amewatoa
Bt jay hara yeye anakosa kila kitu kwake ni content afande anakwambia nisindikize kwa governor uwe kama security unaanika mtandaoni tena unaambia governor ati mbona unaita dci usiku nkama dci alikutuma
Huyu mwanamke ni mjiga sana ,hajui kuna wanaume upoteza kazi nahuwezi jua , nakumbuka wangu alikuwa anapoteza kazi naenda kuuza chapo na maharagwe nikirudi home namletea hadi sigara ,nampa pesa ya mfuko atokee kama wanaume wale wengine inje myani unaficha uchi wa bwanako ,ata siku watu watakuja kujua wanashagaa amepata kazi nyingine
All things work for good for them that love God this happened so that dci can know the woman he married also I think it’s a deal of baba derick because mama is asking for Devore so baba derick wants dci to feel him coz he was involved in this case
Jay leta pay bill tumchangie DCI
Yeah 👍👍👍 juu kusema ukweli ako na depression ak
J ni kama ana lenga hii story ya kumchangia DCI , mimi nimeandika tumchangie lakini waapi,
Kwel j bona ana lenga
Jey maneno ya DCI towa mtandaoni I feel like 😢😢😢 juu alikusaidia so story zake plz delete
Nikiona hivi nasikia 😭😭 navile uliokoa maisha ya Kitoo na Mwangi, Jay saidieni DCI God atawa bless
So alikuwa hapo juu ya pesa ama very sorry Our DCI 😢😢😢we are at our knees
Our DCI needs professional help....drinking is not the solution. Alternatively, he can be a private investigator... My thoughts though.
God isn't human being, he will definitely fight this battle with no delay
let him go to a power true man of God
remember many are called but few are chosen
To go to prophet Kakande
The lord we worship is a living God may he sanctify his mighty powers over DCI with protection 🙏🙏
Uyo ni mungu amekuonyesha kua uyo mke wako cyo wa maana katika maisha yako shukuru mungu pegine wako kimoja na gavana 👿
Very true
Our Dci maybe God wants to open new doors for you.
DCI infaa sai ushukuru mungu mana ndio mda sahihi wakujua mtu anaeza kusimama nawewe wakati washida labda huyo mkeo alikua hakupendi alependa ulicho kua nacho tu napia fahamu hili nijaribu nalamda litaisha anaetaka kutoka kwenye maisha Yako mruhusu mungu napia usuhuznike🙏🙏Kila kitu mungu ndie ajuae
God is in control Mr DCI,, don't mind God is still working on it be humble Men.
Aki DCI ametumiwa mashetani moaka kwake ikaingia kwa bibi ndio akose namna, but the good work he did, God we pray restoration of everything. Jesus come and stand with this man.
Imagine loosing your job,and having a trouble wife like this at home, DCI please turn to God things will be okay.
DCI don't trust in your job, trust God remember the job in the bible he lots everything but he keeps praying and to trust God
People worry too much yet they pray to the One who Owns everything...We should learn to trust God fully na tuache Ile tunasema ni kama Mungu haskii maombi yangu
@@ngenyveronicah9073very true, but ppls trust they job and rich and forgets who give them
Pay bill tumchangie he’s a good man saving kitoo
I support you in this.
Let's all pray for DCI to find his job back please
Please my God help this guy,we need you in service DCI
Bibi na bwana inakuwanga ni shida kwa raha,,but huyu wako alipenda pesa zako hakukupenda ww,
Kikuyu women noma
We need the no. Of our DCI. He is very depressed. Please let's not blame our DCI. He needs our prayers and our support. He is a good Man. But we need his no. Not the way it was done in ayubus time
I'd rather trust a car without brakes than trusting a lady,trust only mama but for DCI God will see you through don't lose hope brother
Your knees will save you our DCI
Let's support DCI. That's shouldn't be the end of life. Can we train you pick-up life. Paybill Number pls
Huyo bibi yake ni bibi wa kula pesa sio wa kuishi mungu akuokoe
Pole sana DCi God will fight for you wanawake wengine aki why cant sge understand her husband ona sasa hii pombe pesa ingenunua maziwa badala ya pombe huyu mwanamke ni mmoja wa wale mme akigonjeja atamuacha pekee yake
Yaani this Woman loved her husband DCI because of his money not love !!..
Why vyenye ameloose job ndio humtaki tena sababu amekuwa maskini fukara that's in humor. Instead ushikilie bwanako for better for worse ni matusi tu!,,, Afande has saved many souls, Congratulations Afande 🎉🎉🎉for good job. We love you ❤❤❤
Uyo mwanamke anamzidi hata shetani polesana DCI uyo mwanamke alikuwa somtu sahihi kwako uyo ni Mungu ametaka kukuonesha rangi halisi ya uyo mwanamke DCI utarudi kazi nakama hukurudi Mungu atakupea ingine huwezi juwa Mungu kakuepusha nanini apo kati.🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Huyo mwanamke sio wa kuweka coz DCI njia zake zifunguke atampenda tena huyo ni shetani walai
Huyu bibi yako hakua anakupenda mbona akudivorce kwani alikua anapenda pesa DCI mungu yupo nawe usijali umiza magoti na mungu atasimama
True
ALMIGHTY GOD, PLEASE COME THROUGH FOR OUR DCI. MAY YOU SEE HIM THROUGH IN JESUS MIGHTY NAME
I feel you pain officer 💪 but GOD is live and He will not forget about you 🙏 plz 🙏
Tuko magotini twakuombea mkubwa ak umefanya job poa sana
Our own DCI I'm a good single mother nasio wanawake wote ma devil wapo wengi tu wazuri like me here.dci nakupenda tu Bure njoo tusukume maisha huku naks❤
God have mercy on DCI he is your servant, he has done the best , God open a new door for this servants
Jay leta number y Mpesa ya DCI we do something ata kaa nikidogo
I posted same comment while ago but ni kama J hasomi comments za watu.
@@elkakaeli9956 itabidi asome
Na mfano ulirudi job na yy atakurudia ama
Jey see how you will assist hyo DCI,,,nikama ata ajakula anything,,,chrome bila food ni sumu.😢😢
Alafu kitoo usiwe ukinyowa hizo styles. It's a satanic point of connection. Otherwise we thank God for ur protection ,Amen.
Ata kama tuko Kwa cheo now I realize we need God intervention ,Huyu DCI tafuta Mungu we don't fight in fresh en body but with principalities en rulers of the world.
Dci kindly just sign up that divorce paper huyu mwanamke seems amekua akikulana na huyo GUKA wacha Aende shetani pepo mbaya akaoleke na yeye, trust our beloved Father he will make away 4U
Please Jay it's not good to expose this DCI's weakness the enemy will use against him
Dci be strong dear don't drink too much then u give chance to ur enemies
Lord have mercy to DCI
Wewe kitoo ni wa Mungu ❤🙏🙏🙏💯
DCI God will rewards you , being suspended to work is not the end of life ,God will open a way for you continue trusting him
Kitoo saindia DCI apate deliverance. Usifikiri mwalimu na governor wamenyamaza😢
Jameni si saiii ndo atakidnapiwa akiwa mlevi Jesus Christ 🙏🏽🙏🙏 simama na uyu officer arejese job atakua wazimu 🤔🤔🤔🤔God do something.
Evil woman. She is only happy when the husband have a job.why don't she look for her own hustle. She gel her husband. Bure ya mwanamke.
Like seriously.....yani mtu akikosa job hana maana tena
Swali tu, ispokua kuwekewa job yeye ashawai fanya job agalamike askie vienye Kaz hukua na challenge,May God open a door for you since you are devoted to your work
Aki wanawake when God bless you with a good husband appreciate 🙏🏽 this man is innocent God helpers as women 🙏🏽
We love Dci so much. May God open doors for him.
That wife of DCI was there in marriage cause of good life
Ona sasa vile kazi imeisha sio juu yakuwa upset ama ulevi
Ni miss understanding juu ya kazi powa ya utumishi kwa
Wote huyo ako na kamutu and she is so young kuwa na roho mbaya
Aki God forgive jz
Director Kitoo tafadhali sana advice DCI not to drink because of suspension God is going to answer our prayers na utarudi kazini we hujafukuzwa wala usijali na usijali utarudi tu
Wah! My hubby lost a job after tumezaa 2nd born and i stood with him,mpaka akapata job ingine poa zaidi,huyu mwanamke a style up.
Jay msiachilie Dci hata mnaeza msaidia kutafuta job ingine,hata Mwangi Ako willing kumsaidia
Kindly request officer Oliver to apply for a job @ FBI or Scotland Yard
DCI Mungu anakuandalia sehemu kubwa kuliko hapo ulipo dont worry
This can't be true....Jay ..... Style up.Huu ni ujinga. Nothing seems real
Kitoo kaa ukijua uko hai kwa sababu ya DCI kaeni chini wewe na Director J mjue vile DCI atapata msaada hata kama ni paybill tafuta tumchangie.
Jay stop kumuaniika huyu DCI please muskets shida mingi musilete bibi kwa camera
Noo i feel for him jamani let's help him anyhow amefanya kazi nzuri badala ya kupewa tip ati anafukuzwa kazi why,why 😔😪
Kweli kabisa wewe mwanamke jaribu kumsaport mumewe. Kazi ni kitu kidogo sana . Kuna familia hazina hata hiyo kazi lakini kuna upendo. Rudi kwa mume wako tafadhali.
Ndio wanaume siku zote naawambia mkioa angalieni mtu anakupenda juu ya pesa ama anakupenda jinsi ulivyo.....coz according to me this lady alipenda ur wealthy akukupenda jinsi ulivyo....like mwanamke n yule anafaa akupenda ukiwa uko nacho ama ukiwa hauna guys kuweni makini sana kwa watu mnaoweka kwa nyumba zenu .....kama unagree na mm pinga like .......huu n mda unafaa mke asimame na mumeo sio kumrovoke
Dci umefutwa job Mungu akuepushana na huyo illuminati...go to pst Ezekiel alter have seen help many though wengi umdharau sana
Apana d.c.i hata mtoto huzaliwa n kukufa ,,tafuta mwangi akupee kunection y majuu n usahau kama ulikua n bibi watoto watakutafuta waikiwa wakubwa,,enda majuu n ubadilishe laini
DCI achana na Jay, hakusaidii chochote, he is ruining your life. Why is he exposing your lowest on camera?
Anamsaidia coz when jay exposing this videos we have other peoples with mercy will help including us u don't the kind of work we r doing jay continue .
Wanawake jamani
Wanawake jamani
Wanawake jamani
Nikiacha job unaniruka surely this is not the way you can treat your husband oh
In every marriage there's ups and downs and in every situation we as human being supposed to understand each other in love. Love isn't about wealth, disability or health but created inside our hearts. Things might come and go but if sincerely we love each other will stand and hold each other no matter what. She hv done a big mistake of showing her true colors at this time her hubby hv lost his job. It's not the end of life but just a begining. They still hv a long way to go . Was she staying with him because of job or bcoz she loved him. Was him to her an ATM or a hubby. If she's that clever when her hubby was working she could hvbn doing something productive to support them at such a moment. Marriage is an organization started with two agreed ppl who have decided to invest on it
Our brother, our friend DCI i understand what you're going through but i just humbly request not to drink, this will not solve anything but will affect your health. God has a reason as to why it happened, trust God He will never fail you, you've been faithful serving our nation in your job, we are praying with you, you're going to get your job back.
DCI, thank God you have known the kind of woman you have been calling a wife. Her love was on your job, not you! Seek Jesus Christ, get saved and seek deliverance immediately
Nani anakumbuka vile afande aliambia Kito asilielie juu yeye ni mwanaume...sasa amejua saa zingine si kupenda kwa mtu kulia...but pole
Hii nahisi ni mpango ya Govenor & teacher maana teacher ameachwa na Mr Mwangi na baba Derick anataka achwa na mama Derick... Hii ni issue ya baba Derick
Lakini jay hungeonyeshana huyo DCI juu ulikua unajua job yake huangalii side ya DCI unaangalia side yako ya content
Stop exposing DCI ... Find a way to help him. Give us his direct number we send him something for upkeep
kwanini jay usitwambie vile tunaeza changia DCI we can change his life please
Take heart ur DCI, God is in control n everything will be alright. U will definitely get back ur work coz u were suspended when in line line of duty of rescuing people who were being kidnapped by the criminals.
Kitoo c kila kitu una post , io vidaa inaharibia cv io jamaa achana na izo vtu bana mshaanza kuniboo, already mshaanika his family na mnajua vzur iko na enemy na hana gun , you should respect that guy
You loosing your Job is just away the Almight God wanted to expose the woman. It's time to have a reflection over your life and don't drawn in alcoholism.
i blame jay hii story ingefika hapa kama wange stick to there plan kupata kito na mwangu but waliingia mambo iwahusu cult n kitu iko whole world
Why do women behave like this? Even when you expect your husband to provide as ascribed in the Bible, I believe it's also fare for ladies to also do some hustles because employment doesn't last forever. At least you can chip in when your husband is down. Life is quite hard these days and one hand can hardly sustain a family
Sanitize phone yake, she's with DCI because of money,period
Huyu mwanamke alikuwa na mwanamme mwingine,aache ubaya na mume wake .Yawezekana anafanya kazi na Governor 😢😢😢
True k tv why expose our beloved DCI when drunk and still drinking and how he's struggling with the wife, please look for another content
Huyo alipenda pesa kwani kuwa suspended job n kitu ya kupika makelele surely, kwani yeye hakuwa na kitu hiyo miaka yote hata sahii angekuwa kwa magoti kuomba
DCI usikunywe pombe . It will not solve your problems. Pombe will make you lose your tracks.
I wish you guys don't post more of this officer you are going to disgrace him n expose him and his family. Please don't forget kwenye huyu DCI amewatoa
Pole DCI Mungu ako pamoja na wewe ur a good man don't stress yourself
Jay open this video we see juu kwa nyumba ni sida Tena ni wewe ume wareta Anika KENI sida ni gani
Bt jay hara yeye anakosa kila kitu kwake ni content afande anakwambia nisindikize kwa governor uwe kama security unaanika mtandaoni tena unaambia governor ati mbona unaita dci usiku nkama dci alikutuma
Huyu mwanamke ni mjiga sana ,hajui kuna wanaume upoteza kazi nahuwezi jua , nakumbuka wangu alikuwa anapoteza kazi naenda kuuza chapo na maharagwe nikirudi home namletea hadi sigara ,nampa pesa ya mfuko atokee kama wanaume wale wengine inje myani unaficha uchi wa bwanako ,ata siku watu watakuja kujua wanashagaa amepata kazi nyingine
Kitoo ambia afandi asiwe na stress ,,,, wanaume ni kujituma afungue RUclips afanye kazi silazima kulazimisha mambo ako naujuzi atumie mkishikana
Maombi pap !!
This is devil's work or mission to destroy marriages, jobs, friendship. More prayers are needed.
Wanaume fungua macho
Naona wengi mko na wanawake kwa ndoa bcz of money
Siku unakosa pesa unapoteza bibi
Kitoo na jay achen na hii familiy yatakuja kuwatokea puwan sie tupo hap msije kutulilia hap nahuu ujinga wenu
Our dedicated DCI really is at his lowest moment.With a toxic wife the guy will be too depressed
Am in Massachusetts I support the idea of supporting the DCI we need Mpesa number or pay bill number he is good man though in stress.
Nyinyi mnachukulia mchezo mkitafuta content n mwenzenyu anaumia
Remember baba derick was paying him the money not got in a right way. Things got without God will always perish
All things work for good for them that love God this happened so that dci can know the woman he married also I think it’s a deal of baba derick because mama is asking for Devore so baba derick wants dci to feel him coz he was involved in this case
I wish am stable aki ,i would av take thiss dci nkae na yye,but GOD will come thru for you sir🎉🎉