Kweli maana walizani mama Samia ataweka sura yake najua Mkapa nadhani alikataa na kusema haina haja kila siku mtabadirisha sura za not? Hakuweka sura yake inabaki kuwa tutakumbuka alikuwa Rais wetu yatosha
Na mimi pia nakupenda umaarufu ila nyerere na habedi karume hawa tuache hata kwenye umeme kodi ya mwezi bado na dozo mbona kwa hizi pesa tunaomba miasa kwa wenzetu kinawakati unakumbuka hata matokeo ya nyuma ila atuwezi kumpata rais kama maguu na nyerere Mungu atusaidie sana katika uchangiaji wa 2025
Wekeni noti ya elfu hamsini na nyie hamuoni wezenu wana nusu lialy wana lialy moja wana lialy tano wana lialy kumi wana lialy ishilini wa lialy hamsini sada sisi jamani elfu kumi mwisho ushauri wangu kwa serikali tengenezeni noti ya shilingi elfu hamsini
Hamna noti hapo hiyo ni mbinu inayotumika kujua akili za watu ,kwamba wangapi wataropoka na wangapi watakaa kimya ni maunjaja tu inayotumika kujua akili za watu
Ata hauna sababu ya kuchafua pesa zetu hii ni kama kanza ndani ya moyo tunao marais wawili pendwa baba wa taifa nyerere na mh: mgufuli wetu aki umetumbusha uchungu wewe nenda kaae kwako maana tulishajua kuwa umewahi kuwa rais hatujapinga hilo lakini kwenye pesa
ATUKOME NA WALA ASILIOTE HILI..! Hana adabu! Mtu anapewa heshima sawa na Baba wa Taifa wakati hana alichokifanya kwa Tangayika zaidi ya kuua wamasai na kuuza bandari zetu tulizoendeleza tangu uhuru! samia anataka kuitwa mama huku akituuza kwa waarabu? Ni nini alicholifanyia Taifa atake kuwekwa kwenye pesa? nani anataka kumkumbuka huyu mwanamke?
Kwa maoni yangu mimi naona noti hii nimuhimu kuwepo ili ijulikane kuwa ktk Taifa letu Tumewai kuongozwa na Mama shupavu ninzuri pia hata kwa uwakilishi wanawake wote nchini hii ni heshima kwetu watanzania pia imebaransi ktk pande mbili tumekuwa na noti ya Baba wa taifa pia kwa sasa Mama anastaili sana.
@@shedracksebastian3090 mama ako wewe sio mamaetu sisi kila siku tunalia watoto wanapotea watu wanauliwa hali imekua ngumu ajira hatuna vijana wanahangaika tu pesa imekua ngumu alafu eti mama shupavu eti iwe kumbu kumbu kumbu kumbu gani nzuri basi.
Haya tupige kura kasmu majaliwa na huyuDemu nanianafaa kuwekwakwenyehiyonoti{tunacheza sarakasi jamani🤸♂️🤸♀️💃💃🏄♀️🏄♀️🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️Hiimiaka {5} niyamoto jamani}
❤❤❤❤ makopa kwa nyerere na karume tu ndio waass watu amina
Mwacheni Mzee Nyerere na Mwinyi waendelee Daima milele.
Shujaa ni magufuli na nyerere 2
Kweli kabisa
Mkwawa na Machief wote sio mashujaa sio history imepotoshwa saana
@@DamassiKastuli kwa kuwa ni wakristo sio?
Waweke picha ya Makonda raisi kijana sio awo wazee awana ela nimaneno tu tumewachoka
Mijadala ya kipuuzi inaanza...
ikiwa kuna ukweli kuusu ili noti,basi ichi itaelekea pa baya 😂😂😂.
isiwe kweli
Sio nzuri mwacheni nyerere tu
Ajira hatoi ila kumtukuza ndo mnaweza ,, 😂😂 kweli hata shetani anawashilika wake
Hata huko kwa mabwanazenu ulaya, serikali zao hazijaweza kuwajiri wanachi wao wote, hizo ni fikra za majitu mavivu,
Ajira ni Majaliwa ya Mungu
Fanya kazi acha lawama.
zaidi ya watu elfu90 wanahitimu kwa mwaka unataka wote muajiriwe na serikali alafu nyanya awauzie nani fikiria kijana akili yako imelala
Umeona eeh?
Mama samia mitano tena au basi muweke picha ya p diddy...😂😂😂
Hatutak kwa nn wasiweka magufuri mama akalare hatutak
Picha zibaki 2. Kwa waasisi wa Taifa. Nyerere na Karume tu.
Binaadamu anaweza kuwateka watu akili akavumbua kitu na watu wakaamini mengi tutayasikia... mungu tusaidie
Ahsante Mama. Mitano Tena.
Mbona hamkuweka picha ya MAGU ??
Nashaangaa
ILA KAMA WANGE MUENZI MUASISI WA TAIFA INGEPENDEZA. MAANA INAIMBWA: KAMA SI JUHUDI ZAKE MWL.NYERERE. TAIFA LINGEKUWA WAPI?
Mama samia shikamooo mitamo tena na pesa tunataka picha yako big up❤❤❤❤❤❤
Alokuwa hatak kuitumia aniletee mie mama yangu nampenda sana mkizimkaz mwezangu
Wekeni picha la diamond au alikiba sio hicho kibibi chenu
wewe hee😂😂😂
@@khadijaacute 🤣🤣🤣🤣🤣nn tena
itaekwa picha ya mama ako alokosa malezi ya kukufundisha tabia njema. ndio alivokufundisha hivo mama ako kudharau na kukejeli wazee wa wanzio
😂😂😂😂😂
@@LatifaCharles siku zote mtu hujali cha kwake hongera sana mama unaupiga mwingi
Nice massage
Wangewek picha ya magufuli jembe nasiuyo
Haikubaliki notihii inafanana nanotiya shilingi kumi ya zamani jamani nyerere watanzania tuendeleekumuasisitu hatutaki man yang,'autena kwenyenoti😂😅
Mungu atutetee watanzania
Kweli maana walizani mama Samia ataweka sura yake najua Mkapa nadhani alikataa na kusema haina haja kila siku mtabadirisha sura za not? Hakuweka sura yake inabaki kuwa tutakumbuka alikuwa Rais wetu yatosha
Duh, kampeni mpaka kwenye hela zetu! 😂😂😂
Kuna cha ajab Mitano tena
🙆♂️🤣
MiradAyo ndo wa kweli
Yaaani namba mungu amalize uongozi wake salama huyu mama halafu aje huyo Rais mwengine mtakae mkubali nione mtakavyo msifia
Yes
Hata wamu weke kuku kwenye noti shida iwe Ina fanya kazi tuu. Na iwe halali
Hapn huyo mam hatakiwiiii iwekwe picha y magu
Raisi Samia ameangusha nchi ya Tanzania. Sidhani kama ni haki hata yeye kueka picha yake.
Mwacheni Nyerere kwenye pesa za Tanzania 🙏
Weken ya picha ya mtetez wetu jpm magufuli ❤
Not yenyewe itashuka thamani bora waeke picha hapa kazi tu magufuli😢
Kwani uliyokuwepo inamakosa gani mbona value ni ile ile. Tunataka picha ya nyerere hapo mhusisi wa Taifa
Taifa gani? Tunataka ya Karume sio Nyerere
@@OmerSuley-gl7goww nae mshenz tu km washenz wengine
Porojo nyingi za nini???!! Kwani si tuliungana. Tanganyika na Zanzibar kuleni chuma icho 😂😂😂😂
Ushungi unawakosesha raha na wala sio sura
Wapinge muungano tu
Namie naziomba wanipe mimi kwa wale wasio zitaka kuzitumia hela halali za Rais wetu pendwa mama wa kiz mkazi kutoka znz.
Wasije kudhubutu
MENGI NI TAKA TAKA ,MPENDA SIFAAAA NI TABIA ZA WAKINA MAMAAA
Sio sahii kabisa
Na mimi pia nakupenda umaarufu ila nyerere na habedi karume hawa tuache hata kwenye umeme kodi ya mwezi bado na dozo mbona kwa hizi pesa tunaomba miasa kwa wenzetu kinawakati unakumbuka hata matokeo ya nyuma ila atuwezi kumpata rais kama maguu na nyerere Mungu atusaidie sana katika uchangiaji wa 2025
Muacheni baba wataifa itapendeza nyinyi mulio kuepo jiwekeni kwenye vitenge ccm
Wekeni picha ya diddy
Wekeni noti ya elfu hamsini na nyie hamuoni wezenu wana nusu lialy wana lialy moja wana lialy tano wana lialy kumi wana lialy ishilini wa lialy hamsini sada sisi jamani elfu kumi mwisho ushauri wangu kwa serikali tengenezeni noti ya shilingi elfu hamsini
Sa si bora iwekwe picha yanguuu😢😂😢😂😢😂
Aiseh nimeumia Sanaa badara ya kumuweka Magu daaah akiamungu m2 akifa wanasahau mema yake
Kwani Nyerere vamekosa nini ndani ya nchi hii?
Mara paaaap,not picha ya mama kwenye not then kwenye uchaguzi wa rais kashindwa,patam hapooooo😂😂😂
Bhanaaa eeeeh anko magufuli au nyerere ndo wapaswa kuwa kwenye noti hiyoo sio huyo mama kilemba hakitoi
Hongera Trampo
Bora mngemueka magu
Heri akae nyerere
Huyo ndiye anayestahili kwani ni muasisi wa taifa na alitetea maliasili na bandari zetu.. sio huyo fisadi anayetuuza kwa waarabu..! Hana heshima hiyo!
Naona mmekaamdomo juu kutaja waarabu hamuoni makabila mengine ? Acha unyau ww@@josephgomalo41
Mkiacha hili mnashika lile ,mradi tu mko huru kusema lkn maneno yameponza mdomo ,Mungu yupo ndomnaleta laana
Hiyo noti haifai kabisa mama aibadilishe
kwanini wasituwekee picha ya kipenzi chetu magufuli ingewekwa picha ya magufuli hata pesa yenyewe ingekua na baraka lakini sasa hivi ndio nini tena
Maneno kuntu
magufuli ni mtume au?
@@MohdJuma-w6lkwahy samia ni mama wa mtume au 😏😏😏😏😏😏
@@LatifaCharles ww ndo umesema
@@MohdJuma-w6l ebu acha basi mm sitaki hy picha ata jina lake nikiskia nahs homa
Mimi ni mtu wa kwanza stoweza kuitumia hii noti
Shilingi elfu kumi 😂😂
Hatutaki huyu mama wamuweke hata magufuli tutashukuru
Naomba Noti zetu za Tanzania. Noti zote ziwe na picha za Baba Wa Taifa. Sababu aleio piganiya inchi ni Baba wa Taifa Nyerere.
Ni kweli yatosha picha ya Mwl Nyerere
Maana yake tanzania znz,😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tanzania bara tumeuzwa
Hapana notii ibaki ile ile nyrkundu alafu huyo mama hapna
Mtihani na kilio watanzania
Hamna noti hapo hiyo ni mbinu inayotumika kujua akili za watu ,kwamba wangapi wataropoka na wangapi watakaa kimya ni maunjaja tu inayotumika kujua akili za watu
Bira siasa tuheshimu sana Ile noti ya mwanzo so mm siungani na Hilo tuendelee kutumia ya mwanz
Rangi ya uumbaji wa muumba chanzo halisi nzuriii hatu taki nyekundu ni vita ufunuo 12:3
Bora picha ya jpm ingekuwa bora
Kweli kabisa 😢
Wew jamaa upewe maua yako👋🎉🤝🙏
Waweke picha yako basi
Macho yenyewe kama kanywa pombe ya mnazi 😂😂😂😂😂😂😂😂 ukoloni unaludi tanzania tuandaeni silaha vita inakuja 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Rais ni mama awe mfano kwa dunia
Wrkeni hata picha ya Sanam la posta Inatosha. Msi tusumbue
Wanataka kumfuta Nyerere kijanja
Si kweli
Jamani Wa Tanzania wenzangu,
Hata kama hu ungimko hoja yamtu, si vema kumtukana.
Tuheshimu Utu wa mtu na Mamlaka pia.
Duh uwiii nimesikia hadi kuchanganyikiwa kumbe uwongo
Hatutaki tena picha yenyewe ni bora ya jpm au nyerere au hata mwingni syo mama
Kila rais ata badirisha ela au
Inafanana na buku 😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wange bakia waasisi.wa nchi na picha za wanyama Kila rais akiwa madarakani awkiweka picha itakua sio sawa
Iko bomba
Ujue ni kweli kawaida ya viongiz wa Tz wanajisahau Kia tupo kwenye utandawaz lila kitu kipo waz wacpo sema wenyewe cmc tunazipata ughaibuni
Cjaipenda kabisa
Mbayaaa
Mnachezea pesa kweli
Si bora mtuwekee hata picha ya twiga hiyo noti itaeleweka zaidi.
Tanzania noma Sana Ni ya moto
Ata hauna sababu ya kuchafua pesa zetu hii ni kama kanza ndani ya moyo tunao marais wawili pendwa baba wa taifa nyerere na mh: mgufuli wetu aki umetumbusha uchungu wewe nenda kaae kwako maana tulishajua kuwa umewahi kuwa rais hatujapinga hilo lakini kwenye pesa
Iñapendeza Itolewe Ya Namna Hiyo
Wekeni sheikh nyundo
Huyo anafaa kuuwawa aingie juzi na anataka awe na hela ,,,nchi yenyewe inanuka shida
Mimi nailona yupo sahihi KWASABABU YEYE amekuwa RAIS WA kwanza MWANAMKE Tanzania binafsi naona wapo sahihi
Wamuweke John Pombe
Bora isiwe kweli
Pumbu zako kama vitunza mbegu vya nyumbu mwenye utapiamuli😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kwanza haifai
Saw tumewaelewa
ATUKOME NA WALA ASILIOTE HILI..! Hana adabu! Mtu anapewa heshima sawa na Baba wa Taifa wakati hana alichokifanya kwa Tangayika zaidi ya kuua wamasai na kuuza bandari zetu tulizoendeleza tangu uhuru! samia anataka kuitwa mama huku akituuza kwa waarabu? Ni nini alicholifanyia Taifa atake kuwekwa kwenye pesa? nani anataka kumkumbuka huyu mwanamke?
Isiwe ukweli kabisa miaka nenda rudi
🎉🎉🎉🎉
Kwa maoni yangu mimi naona noti hii nimuhimu kuwepo ili ijulikane kuwa ktk Taifa letu Tumewai kuongozwa na Mama shupavu ninzuri pia hata kwa uwakilishi wanawake wote nchini hii ni heshima kwetu watanzania pia imebaransi ktk pande mbili tumekuwa na noti ya Baba wa taifa pia kwa sasa Mama anastaili sana.
@@shedracksebastian3090 mama ako wewe sio mamaetu sisi kila siku tunalia watoto wanapotea watu wanauliwa hali imekua ngumu ajira hatuna vijana wanahangaika tu pesa imekua ngumu alafu eti mama shupavu eti iwe kumbu kumbu kumbu kumbu gani nzuri basi.
mama ni shetani
Zina toka kweri au
Na kwa jina la yesu isiwe kweli, na iwe ndoto ivo ivo bira awekwe magufuli na sio huyo
😢mi binafisi naona yuko sawa maana ndo rais wetu kwa sasa
No waweke ya simba la masimba tu sio uyo
Haya tupige kura kasmu majaliwa na huyuDemu nanianafaa kuwekwakwenyehiyonoti{tunacheza sarakasi jamani🤸♂️🤸♀️💃💃🏄♀️🏄♀️🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️Hiimiaka {5} niyamoto jamani}
Ni Nani Mamake sio demu? Pamb..........
Mmmh 😂😂 mbn kama elfu 1000 ya zaman,,,,,, waache tyu shuka yetu ya kimasai 😅😅,,,,,,,,,bora iwe uongo tyu