SLM all Dr Abdul sema kweli wachana na hao wanatoa comment za unafik wamepewa kitu kidogo wakuzuuie usiesme kweli ndugu inshsllah mungu atamlipa joho kwa dhambi zake moto mtupu
Asalm alkm Dr.majid may Allah protect u.hawa watu ni wahalifu madhaalim wakubwa hawa kina joho.Allah atawatosha na Allah atatuhifadhi watu wa msa.hawajui wala hata hawana khoufu ya dhulma.Allah yupo anawaona.ipo siku yao.haipo mbali..Dr majid Allah yu pamoja na ww
31.4 billion Ksh amekodisha private jet kwenda Dubai kumwangalia Raila.Kumamako Joho alafu wataka kuwa Rais,labda women rep ndio utapata ama mzee wa mtaa
While it was opposition time the governor of Mombasa was always talking about Mombasa, saying that some poeple from up country want to steal your ports. I don't know how it came to be so after the hand shake. Na nyinyi ma MPs nyote teteeni watu wa pwani. Don't live your brothers alone. The man eater is surrounding all of you. It will be you time to be eaten.
Dr Amkeni habari zake ni za ukweli, uhakika na kuwamsha watu wa Mombasa na Kenya nzima.please Dr Amkeni my brother Don't Land here in KENYA,these people they kill you like they do to sadat but Alhamdulillah he is saved.WE LOVE YOU Dr Amkeni the people of coastal region and Kenya . please please my brother Dr Amkeni stay safe until 2022 Insha Allah people of Mombasa will vote you as the Governor of Mombasa 001, Allah akupe maisha na umri mrefu.
Dr joho anastahiki kuwa msanii na wala sio governor sbb being a govener ni majukumu.na huyu ni mchumi kaipata cheo hiki ili tuu achume mali ya umma.majukumu hayawezi anapendeza kuimba na kukatika kiuno juu ya jukwaa.charactaless govener never seen before.khain
jamani ukisikia hizo pesa ziliotumika na ukifananisha machakos wametumia pesa kidogo sana na amejenga hospital ngapi na ambulance school karibu 5 mpya kabisa wazee wanafatwa mpaka majumbani na kutibiwa bara bara zao hata nairobi hakuna hebu fikirieni jamani,
Ndo maana anaharibu mali ya waja...hana uroho ya wakenya na udhaifu wao. Kisha wana mombasa...vipi nyinnyi mwandokezewa siri zote hizi na mumekaa tu ndee!!!Kwanj kumuingoa Joho na familia yake watoke nguvuni ina washinda?!?Na ni pesa zenu zinaharibiwa,mwangalia tu?!? Wake up n take actions...this family is abnormal.childten who needs to be curbed n taken to court n jailed! Dkt Amken All this evudence. Pass it to the law!! Stop asking the gang to call you for what?!? Send the report to the right authorities if theirs law in kenya By now they shoukd have been arrested! Or u pass thr same info. To the same sYndicate investigating him on Artul brothers cases of drug traficking!
So painful! We shall Revisit! Tutawanyaganya vyote na tuwa funge! Za mwizi ni "40" Mzee tuna kusikia tena sana zidii kuongea "Kizazi kipiya hiki" tuta pambana nao vilivyo. In the mean time wakuguze hata ki nywele kichwani watajuta!! ✌🏾 ✊🏾
Joho MTU wa Moroni pesa zote amekula pesa za kwa vijana kibarua mbona no kwa watu Fulani wengine kwa chifu ukienda mpaka uhonge ndio uandikwe jina lsko kwenye Nazi kwa vijana
Dkt Amken.. Send the report to the law With evidence such as these incrimating.. Pass the dossiet to Jicho Pevu n right Lawyer Let them be arrested ifnur factsnare real.. Or send info to interpol there in London.. These us damning info and worth immeadiete arrests!
Tulia tuli Maneno yako hata kwenye kanga yapo, Huwezi kushusha Nyota ya Hassan joho, wewe Mzee umri ushskwenda nenda katubu, unaongea ssnaaa, hatutaki kukuelewa kwenda zako
Joho apora hella za wanyonge kwa kizazi chake cha kesho na kesho kutwa lakini mwenyezi mungu atatulipia sisi.
SLM all Dr Abdul sema kweli wachana na hao wanatoa comment za unafik wamepewa kitu kidogo wakuzuuie usiesme kweli ndugu inshsllah mungu atamlipa joho kwa dhambi zake moto mtupu
Sema sema kweli wanafiki Hawataki uongee
Asalm alkm Dr.majid may Allah protect u.hawa watu ni wahalifu madhaalim wakubwa hawa kina joho.Allah atawatosha na Allah atatuhifadhi watu wa msa.hawajui wala hata hawana khoufu ya dhulma.Allah yupo anawaona.ipo siku yao.haipo mbali..Dr majid Allah yu pamoja na ww
31.4 billion Ksh amekodisha private jet kwenda Dubai kumwangalia Raila.Kumamako Joho alafu wataka kuwa Rais,labda women rep ndio utapata ama mzee wa mtaa
Ukweli kabisa
Kweli kabisa
Shukran sanaa Mungu akulinde hata kma vibaraka njaa wa joho wanataka leta mambo ya dini ila tunawapotezea maguruwe hao
While it was opposition time the governor of Mombasa was always talking about Mombasa, saying that some poeple from up country want to steal your ports. I don't know how it came to be so after the hand shake. Na nyinyi ma MPs nyote teteeni watu wa pwani. Don't live your brothers alone. The man eater is surrounding all of you. It will be you time to be eaten.
Dr Amkeni habari zake ni za ukweli, uhakika na kuwamsha watu wa Mombasa na Kenya nzima.please Dr Amkeni my brother Don't Land here in KENYA,these people they kill you like they do to sadat but Alhamdulillah he is saved.WE LOVE YOU Dr Amkeni the people of coastal region and Kenya . please please my brother Dr Amkeni stay safe until 2022 Insha Allah people of Mombasa will vote you as the Governor of Mombasa 001, Allah akupe maisha na umri mrefu.
Dr joho anastahiki kuwa msanii na wala sio governor sbb being a govener ni majukumu.na huyu ni mchumi kaipata cheo hiki ili tuu achume mali ya umma.majukumu hayawezi anapendeza kuimba na kukatika kiuno juu ya jukwaa.charactaless govener never seen before.khain
Dr mwenyezi mungu atakupatia ujira wako insha allah
Mungu akupe kila laheri
Kenya nchi imekithiri ufisadi
Tuambie nchi watokayo mababu za Joho tujue, kama ni Tanzania, Uganda, Somalia ama Sudan. TUAMBIE TAFADHALI TUPATE FAIDA
comoro
Mnalilia uongozi kumbe mule jasho la maskini.......jannah yenu duniani akhera ni kuni za jahannam.
sipati picha joho angekua kwetu bongo na.hz pesa alizochukua anko magu angemyongaa wallah😂😂😂😂😂
jamani ukisikia hizo pesa ziliotumika na ukifananisha machakos wametumia pesa kidogo sana na amejenga hospital ngapi na ambulance school karibu 5 mpya kabisa wazee wanafatwa mpaka majumbani na kutibiwa bara bara zao hata nairobi hakuna hebu fikirieni jamani,
Asalam Aleykum ALLAH ata lipa in shaa ALLAH
INSHALLAH
Joho mwisho wake ni mbaya sana na atapata kifo cha uchungu sana yeye na wafuasi wake
JOHO KWAO N TANGA,TANZANIA SIO MOMBASA KWAHVO JOHO N MKIMBIZI...🗡🔨🛠⚒..
Ndo maana anaharibu mali ya waja...hana uroho ya wakenya na udhaifu wao.
Kisha wana mombasa...vipi nyinnyi mwandokezewa siri zote hizi na mumekaa tu ndee!!!Kwanj kumuingoa Joho na familia yake watoke nguvuni ina washinda?!?Na ni pesa zenu zinaharibiwa,mwangalia tu?!?
Wake up n take actions...this family is abnormal.childten who needs to be curbed n taken to court n jailed!
Dkt Amken
All this evudence.
Pass it to the law!!
Stop asking the gang to call you for what?!?
Send the report to the right authorities if theirs law in kenya
By now they shoukd have been arrested!
Or u pass thr same info.
To the same sYndicate investigating him on Artul brothers cases of drug traficking!
dah,, niko +255 ,,lkn kwa mipasho hiyo , kweli Joho ajitathimini mara mbili km kuna ukweli wowote...
Send the entire dossier on Joho to ethicds and anti corruption
Truthful is Truth
Uyu kiboko haha
Waleykum musalaam warhmatulwahi wa barakatuh Amiyn
Joho anajipendekeza kwa Raila ili asipelekwe marekani kwa tuhuma za madawa ya kulevya. Joho amebaki na kujipendekeza kwa Raila tu
Kaburi inawangojea
Waaleikumussalaam Dr Amkeni
Dahh this is touching
Swadakta
Salamalhekum .baba asante kwa helimu . Ndio mana mombasa pablik bich wamechukuwa
Asante bbangu ulikuwa wapi? wakati wote huwo babangu hukutuerevusha
👏👏👏👏👏👏👏
Upandacho ndio utakachovuna, ukipanda mazuri utavuna mazuri na ukipanda maovu utavuna maovu
Mashaallah hatuogopi kufa Dr toboa
Uyu ayuko Kenya. Haeziongea ivi akiwa area. Ako UK
Mbona hua mnamchagua huyo joho😭😭😭Hapo ndo mnakosea
Na omba ndugu zangu za pwani tu amke sasa wacha ku lala tutashutuka pwani Isha uzwa badaye hakuna kitu tutaweza kufanya tuamkeni
hao mca wenyewe watashindwa wengi ni ODM na waizi kama wao wanpawa magari wataogopa kupokonywa na HATIMY amewaweka cona akiwapa anawawekea masharti
Unazungumza ivi kumbe uko UK😂😂. Uezi zungumza ivi na uko 254
Ahmed
Ww Mohamed unanini ww wamtetea nn sasa
Sasa na wewe mzee wangu si ungekuwepo katika khayo maandamano ingependenza zaidi
Ukikuwa ww inatosha ama nawe unapakatwa na joho
Umri umekuwacha Mtubie mola wako wacha kuropokwa....
Asema ukweli
@@makenakendi282 hana ukweli wowote ni chuki ndio amezidisha... hana busara hata kidogo wala hana heshima
Ww kama ushakatiwa tulia
Ww hata hauna hayaa unaongea hivo
Mkweli ni ww funga hilo kundu lako @abudi muddy
You are not producing any evidence otherwise it just remains they are merely false allegations... Utaendelea kuongea mpaka koo ikutoke😁
Jinga wewe
Kichuzi
ahmed wewe yaonesha ni akili za marungi hizo
@@kenyayetoyeto marungi babako
@@ahmedbadbess8462 si nilikwambia mjinga wewe
Joho mwizi number one
Sema sema baba pasua mbarika,namtu akikutukana tunae hatumuachi tutampa kali bure
Joho asili yake ni tanzania moa mayomboni tanga ndio kwao mombasa ni mgeni tu wengi awajui ilo
Pesa za county zaliwa na maslayqueen...kina n tewa, dxb, kyalo na dimpoz
Subhana Allah joho😭😭😭tulikuwa hatujui subhana Allah🤭mungu hatakusameh 👉
Mungu ni hakim
So painful!
We shall Revisit! Tutawanyaganya vyote na tuwa funge! Za mwizi ni "40"
Mzee tuna kusikia tena sana zidii kuongea "Kizazi kipiya hiki" tuta pambana nao vilivyo. In the mean time wakuguze hata ki nywele kichwani watajuta!! ✌🏾 ✊🏾
Subhanallah mombasa sisi kulala ni kama kawa ukiamsha watu watu wanakurudisha na wewe ulale tutaamka siku likupilizwa parapanda
Waga najiuliza kwa nini mr william king, a very bright fellow, alikubaki kua deputy governor! Why?
Joho MTU wa Moroni pesa zote amekula pesa za kwa vijana kibarua mbona no kwa watu Fulani wengine kwa chifu ukienda mpaka uhonge ndio uandikwe jina lsko kwenye Nazi kwa vijana
Ajijengee kaburi la pesa pia
Dkt Amken..
Send the report to the law
With evidence such as these incrimating..
Pass the dossiet to Jicho Pevu n right Lawyer
Let them be arrested ifnur factsnare real..
Or send info to interpol there in London..
These us damning info and worth immeadiete arrests!
Wanasiasa wanafanya wanayoyataka
Asalam DR wasema ukweli na mwenyezi mungu Skype towfiq na sisi pia hizo pesa zitakua Moto kwao
Mtu anitumie pls kwa nmber yangu +254792303503
Amkeni jamani ndugu zangu tutakauka tumenyonywa ya kutosha....
Naomba Nmber ya Dr Amkeni
Ribah
Jameni atari sana
Mungu akulinde haki
Msaada kwanani atakae kututoa kwenye dhuluma hii kubwa lkn watakufa vibaya
muandamane kudai haki yenu muna haki kujua
Ooohhh!
Niko na wewe DrAmkeeni na hawo wanaokula pesa hizo za ummaa kwa taarifa yao wanatia moto kwenye matumbo yao family hiyo hiyo moja wanapeana nafasi
Usichoke kuzungumza manenoyako yahaki watukweli wamelala twaumia sana
Manyasi hakuna ni plastic mimi ni gadena hapa 🇨🇭
badal ya matusi tumia akili pima maneno yako na heshma haiuzwi ni kujifundisha
You dont fear politicians?
Fear who created you aa their powers are more intense than those of your fellow humans!
Regardless of their earthly title names!
He is not in Kenya. Haezi ongea ivi akiwa area. Uyu jamaa ako Uingereza
@@kinara5365 okay no wonder!
@Mrs Inziani ???
Tulia tuli Maneno yako hata kwenye kanga yapo, Huwezi kushusha Nyota ya Hassan joho, wewe Mzee umri ushskwenda nenda katubu, unaongea ssnaaa, hatutaki kukuelewa kwenda zako
Asili yako wewe ni punda milia, hayawani mkubwa ulozoea kupelekwa huku na kule. Huyo mzee anaongea facts tupu jinga ww!
@@abdulrahmanomar9201 mpeukweli
Wallahi Mombasa Kuna watu ni mabunga balaaa yani joho dhulma za wazi wazi lakini hawaoni subhanallah
Malaya huyu namjua yuwatobwa mkundu wamuasha mbwa koko
@samira Fathi. We pia nakushuku mwizi. Jiongele peke yako wacha sisi wengine tumuelewe Mzee na tuta muelewa tena sana! Pumbavu wewe!