JOHO ANAVYO IBIYA WATU WA MOMOBASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 114

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 4 года назад +5

    Joho apora hella za wanyonge kwa kizazi chake cha kesho na kesho kutwa lakini mwenyezi mungu atatulipia sisi.

  • @abdillahihassanali159
    @abdillahihassanali159 4 года назад +12

    SLM all Dr Abdul sema kweli wachana na hao wanatoa comment za unafik wamepewa kitu kidogo wakuzuuie usiesme kweli ndugu inshsllah mungu atamlipa joho kwa dhambi zake moto mtupu

    • @feisalsaid3105
      @feisalsaid3105 4 года назад +1

      Sema sema kweli wanafiki Hawataki uongee

  • @feiruzsaid4867
    @feiruzsaid4867 4 года назад +3

    Asalm alkm Dr.majid may Allah protect u.hawa watu ni wahalifu madhaalim wakubwa hawa kina joho.Allah atawatosha na Allah atatuhifadhi watu wa msa.hawajui wala hata hawana khoufu ya dhulma.Allah yupo anawaona.ipo siku yao.haipo mbali..Dr majid Allah yu pamoja na ww

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 4 года назад +12

    31.4 billion Ksh amekodisha private jet kwenda Dubai kumwangalia Raila.Kumamako Joho alafu wataka kuwa Rais,labda women rep ndio utapata ama mzee wa mtaa

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma3114 4 года назад +2

    Shukran sanaa Mungu akulinde hata kma vibaraka njaa wa joho wanataka leta mambo ya dini ila tunawapotezea maguruwe hao

  • @esthernzisa6284
    @esthernzisa6284 4 года назад +4

    While it was opposition time the governor of Mombasa was always talking about Mombasa, saying that some poeple from up country want to steal your ports. I don't know how it came to be so after the hand shake. Na nyinyi ma MPs nyote teteeni watu wa pwani. Don't live your brothers alone. The man eater is surrounding all of you. It will be you time to be eaten.

  • @islamicnewschannel2551
    @islamicnewschannel2551 3 года назад +1

    Dr Amkeni habari zake ni za ukweli, uhakika na kuwamsha watu wa Mombasa na Kenya nzima.please Dr Amkeni my brother Don't Land here in KENYA,these people they kill you like they do to sadat but Alhamdulillah he is saved.WE LOVE YOU Dr Amkeni the people of coastal region and Kenya . please please my brother Dr Amkeni stay safe until 2022 Insha Allah people of Mombasa will vote you as the Governor of Mombasa 001, Allah akupe maisha na umri mrefu.

  • @feiruzsaid4867
    @feiruzsaid4867 4 года назад +6

    Dr joho anastahiki kuwa msanii na wala sio governor sbb being a govener ni majukumu.na huyu ni mchumi kaipata cheo hiki ili tuu achume mali ya umma.majukumu hayawezi anapendeza kuimba na kukatika kiuno juu ya jukwaa.charactaless govener never seen before.khain

  • @firozabdallaabdalla2328
    @firozabdallaabdalla2328 4 года назад +3

    Dr mwenyezi mungu atakupatia ujira wako insha allah

  • @abdurahmanali2901
    @abdurahmanali2901 4 года назад +3

    Mungu akupe kila laheri

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 4 года назад +5

    Kenya nchi imekithiri ufisadi

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 4 года назад +4

    Tuambie nchi watokayo mababu za Joho tujue, kama ni Tanzania, Uganda, Somalia ama Sudan. TUAMBIE TAFADHALI TUPATE FAIDA

  • @haribuharibu3029
    @haribuharibu3029 4 года назад +4

    Mnalilia uongozi kumbe mule jasho la maskini.......jannah yenu duniani akhera ni kuni za jahannam.

  • @alisalim9483
    @alisalim9483 4 года назад +2

    sipati picha joho angekua kwetu bongo na.hz pesa alizochukua anko magu angemyongaa wallah😂😂😂😂😂

  • @kenyayetoyeto
    @kenyayetoyeto 4 года назад +4

    jamani ukisikia hizo pesa ziliotumika na ukifananisha machakos wametumia pesa kidogo sana na amejenga hospital ngapi na ambulance school karibu 5 mpya kabisa wazee wanafatwa mpaka majumbani na kutibiwa bara bara zao hata nairobi hakuna hebu fikirieni jamani,

  • @drockyacrobatics3373
    @drockyacrobatics3373 4 года назад +5

    Asalam Aleykum ALLAH ata lipa in shaa ALLAH

  • @viva0015
    @viva0015 2 года назад

    Joho mwisho wake ni mbaya sana na atapata kifo cha uchungu sana yeye na wafuasi wake

  • @faizabbas4620
    @faizabbas4620 4 года назад +3

    JOHO KWAO N TANGA,TANZANIA SIO MOMBASA KWAHVO JOHO N MKIMBIZI...🗡🔨🛠⚒..

    • @nikitambuthia6108
      @nikitambuthia6108 4 года назад

      Ndo maana anaharibu mali ya waja...hana uroho ya wakenya na udhaifu wao.
      Kisha wana mombasa...vipi nyinnyi mwandokezewa siri zote hizi na mumekaa tu ndee!!!Kwanj kumuingoa Joho na familia yake watoke nguvuni ina washinda?!?Na ni pesa zenu zinaharibiwa,mwangalia tu?!?
      Wake up n take actions...this family is abnormal.childten who needs to be curbed n taken to court n jailed!
      Dkt Amken
      All this evudence.
      Pass it to the law!!
      Stop asking the gang to call you for what?!?
      Send the report to the right authorities if theirs law in kenya
      By now they shoukd have been arrested!
      Or u pass thr same info.
      To the same sYndicate investigating him on Artul brothers cases of drug traficking!

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 4 года назад +2

    dah,, niko +255 ,,lkn kwa mipasho hiyo , kweli Joho ajitathimini mara mbili km kuna ukweli wowote...

  • @hassanmohamed8352
    @hassanmohamed8352 4 года назад +2

    Send the entire dossier on Joho to ethicds and anti corruption

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 4 года назад +2

    Truthful is Truth

  • @ruu6592
    @ruu6592 4 года назад +3

    Uyu kiboko haha

  • @mohammedali7803
    @mohammedali7803 2 года назад

    Waleykum musalaam warhmatulwahi wa barakatuh Amiyn

  • @viva0015
    @viva0015 2 года назад

    Joho anajipendekeza kwa Raila ili asipelekwe marekani kwa tuhuma za madawa ya kulevya. Joho amebaki na kujipendekeza kwa Raila tu

  • @firozabdallaabdalla2328
    @firozabdallaabdalla2328 4 года назад +2

    Kaburi inawangojea

  • @haribuharibu3029
    @haribuharibu3029 4 года назад +1

    Waaleikumussalaam Dr Amkeni

  • @suhelmohammed341
    @suhelmohammed341 4 года назад +1

    Dahh this is touching

  • @allyally5124
    @allyally5124 4 года назад +3

    Swadakta

  • @hawatognola4022
    @hawatognola4022 3 года назад

    Salamalhekum .baba asante kwa helimu . Ndio mana mombasa pablik bich wamechukuwa

  • @esharamadhani554
    @esharamadhani554 4 года назад +1

    Asante bbangu ulikuwa wapi? wakati wote huwo babangu hukutuerevusha

  • @ruu6592
    @ruu6592 4 года назад +2

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @gilbertmangola4699
    @gilbertmangola4699 2 года назад

    Upandacho ndio utakachovuna, ukipanda mazuri utavuna mazuri na ukipanda maovu utavuna maovu

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 4 года назад

    Mashaallah hatuogopi kufa Dr toboa

    • @kinara5365
      @kinara5365 4 года назад

      Uyu ayuko Kenya. Haeziongea ivi akiwa area. Ako UK

  • @karrytv9630
    @karrytv9630 4 года назад

    Mbona hua mnamchagua huyo joho😭😭😭Hapo ndo mnakosea

  • @firozabdallaabdalla2328
    @firozabdallaabdalla2328 4 года назад +1

    Na omba ndugu zangu za pwani tu amke sasa wacha ku lala tutashutuka pwani Isha uzwa badaye hakuna kitu tutaweza kufanya tuamkeni

  • @kenyayetoyeto
    @kenyayetoyeto 4 года назад +1

    hao mca wenyewe watashindwa wengi ni ODM na waizi kama wao wanpawa magari wataogopa kupokonywa na HATIMY amewaweka cona akiwapa anawawekea masharti

  • @kinara5365
    @kinara5365 4 года назад

    Unazungumza ivi kumbe uko UK😂😂. Uezi zungumza ivi na uko 254

  • @abdurahmanali2901
    @abdurahmanali2901 4 года назад

    Ahmed

  • @ayshenagib6462
    @ayshenagib6462 4 года назад +2

    Ww Mohamed unanini ww wamtetea nn sasa

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 4 года назад

    Sasa na wewe mzee wangu si ungekuwepo katika khayo maandamano ingependenza zaidi

  • @abudimuddy517
    @abudimuddy517 4 года назад +2

    Umri umekuwacha Mtubie mola wako wacha kuropokwa....

    • @makenakendi282
      @makenakendi282 4 года назад +2

      Asema ukweli

    • @abudimuddy517
      @abudimuddy517 4 года назад

      @@makenakendi282 hana ukweli wowote ni chuki ndio amezidisha... hana busara hata kidogo wala hana heshima

    • @makenakendi282
      @makenakendi282 4 года назад +3

      Ww kama ushakatiwa tulia

    • @makenakendi282
      @makenakendi282 4 года назад +3

      Ww hata hauna hayaa unaongea hivo

    • @abdulrahmanomar9201
      @abdulrahmanomar9201 4 года назад +2

      Mkweli ni ww funga hilo kundu lako @abudi muddy

  • @ahmedbadbess8462
    @ahmedbadbess8462 4 года назад

    You are not producing any evidence otherwise it just remains they are merely false allegations... Utaendelea kuongea mpaka koo ikutoke😁

  • @maggiemamaafricaofficial7080
    @maggiemamaafricaofficial7080 4 года назад +12

    Joho mwizi number one

  • @naushadalhuwaliaalhuwalia918
    @naushadalhuwaliaalhuwalia918 4 года назад +6

    Sema sema baba pasua mbarika,namtu akikutukana tunae hatumuachi tutampa kali bure

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 4 года назад +4

    Joho asili yake ni tanzania moa mayomboni tanga ndio kwao mombasa ni mgeni tu wengi awajui ilo

  • @mbindembinde2037
    @mbindembinde2037 4 года назад +4

    Pesa za county zaliwa na maslayqueen...kina n tewa, dxb, kyalo na dimpoz

  • @esharamadhani554
    @esharamadhani554 4 года назад +3

    Subhana Allah joho😭😭😭tulikuwa hatujui subhana Allah🤭mungu hatakusameh 👉

  • @ayshenagib6462
    @ayshenagib6462 4 года назад +6

    Mungu ni hakim

  • @ngugz24
    @ngugz24 4 года назад +3

    So painful!
    We shall Revisit! Tutawanyaganya vyote na tuwa funge! Za mwizi ni "40"
    Mzee tuna kusikia tena sana zidii kuongea "Kizazi kipiya hiki" tuta pambana nao vilivyo. In the mean time wakuguze hata ki nywele kichwani watajuta!! ✌🏾 ✊🏾

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 4 года назад +3

    Subhanallah mombasa sisi kulala ni kama kawa ukiamsha watu watu wanakurudisha na wewe ulale tutaamka siku likupilizwa parapanda

  • @mwakugomba
    @mwakugomba 4 года назад +2

    Waga najiuliza kwa nini mr william king, a very bright fellow, alikubaki kua deputy governor! Why?

  • @abdillahihassanali159
    @abdillahihassanali159 4 года назад +2

    Joho MTU wa Moroni pesa zote amekula pesa za kwa vijana kibarua mbona no kwa watu Fulani wengine kwa chifu ukienda mpaka uhonge ndio uandikwe jina lsko kwenye Nazi kwa vijana

  • @ayshenagib6462
    @ayshenagib6462 4 года назад +4

    Ajijengee kaburi la pesa pia

  • @nikitambuthia6108
    @nikitambuthia6108 4 года назад +1

    Dkt Amken..
    Send the report to the law
    With evidence such as these incrimating..
    Pass the dossiet to Jicho Pevu n right Lawyer
    Let them be arrested ifnur factsnare real..
    Or send info to interpol there in London..
    These us damning info and worth immeadiete arrests!

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 4 года назад +3

    Wanasiasa wanafanya wanayoyataka

  • @firozabdallaabdalla2328
    @firozabdallaabdalla2328 4 года назад +1

    Asalam DR wasema ukweli na mwenyezi mungu Skype towfiq na sisi pia hizo pesa zitakua Moto kwao

  • @khalifaabdulkadir9502
    @khalifaabdulkadir9502 3 года назад

    Mtu anitumie pls kwa nmber yangu +254792303503

  • @lollatwapachannel.5132
    @lollatwapachannel.5132 4 года назад +1

    Amkeni jamani ndugu zangu tutakauka tumenyonywa ya kutosha....

  • @khalifaabdulkadir9502
    @khalifaabdulkadir9502 3 года назад

    Naomba Nmber ya Dr Amkeni

  • @alisuleiman8110
    @alisuleiman8110 4 года назад +2

    Ribah

  • @mwamambomohamed3817
    @mwamambomohamed3817 4 года назад +1

    Jameni atari sana

  • @esharamadhani554
    @esharamadhani554 4 года назад +1

    Mungu akulinde haki

  • @ayshenagib6462
    @ayshenagib6462 4 года назад +1

    Msaada kwanani atakae kututoa kwenye dhuluma hii kubwa lkn watakufa vibaya

    • @kenyayetoyeto
      @kenyayetoyeto 4 года назад

      muandamane kudai haki yenu muna haki kujua

  • @mwamambomohamed3817
    @mwamambomohamed3817 4 года назад +1

    Ooohhh!

  • @abusalam7036
    @abusalam7036 4 года назад

    Niko na wewe DrAmkeeni na hawo wanaokula pesa hizo za ummaa kwa taarifa yao wanatia moto kwenye matumbo yao family hiyo hiyo moja wanapeana nafasi

  • @karamazaid6370
    @karamazaid6370 4 года назад

    Usichoke kuzungumza manenoyako yahaki watukweli wamelala twaumia sana

  • @hawatognola4022
    @hawatognola4022 3 года назад

    Manyasi hakuna ni plastic mimi ni gadena hapa 🇨🇭

  • @kenyayetoyeto
    @kenyayetoyeto 4 года назад

    badal ya matusi tumia akili pima maneno yako na heshma haiuzwi ni kujifundisha

  • @susankariuki449
    @susankariuki449 4 года назад

    You dont fear politicians?

    • @nikitambuthia6108
      @nikitambuthia6108 4 года назад

      Fear who created you aa their powers are more intense than those of your fellow humans!
      Regardless of their earthly title names!

    • @kinara5365
      @kinara5365 4 года назад

      He is not in Kenya. Haezi ongea ivi akiwa area. Uyu jamaa ako Uingereza

    • @susankariuki449
      @susankariuki449 4 года назад

      @@kinara5365 okay no wonder!

    • @kinara5365
      @kinara5365 3 года назад

      @Mrs Inziani ???

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 4 года назад

    Tulia tuli Maneno yako hata kwenye kanga yapo, Huwezi kushusha Nyota ya Hassan joho, wewe Mzee umri ushskwenda nenda katubu, unaongea ssnaaa, hatutaki kukuelewa kwenda zako

    • @abdulrahmanomar9201
      @abdulrahmanomar9201 4 года назад +4

      Asili yako wewe ni punda milia, hayawani mkubwa ulozoea kupelekwa huku na kule. Huyo mzee anaongea facts tupu jinga ww!

    • @salimsamir8286
      @salimsamir8286 4 года назад +1

      @@abdulrahmanomar9201 mpeukweli

    • @abdulrahmanmussa4479
      @abdulrahmanmussa4479 4 года назад +2

      Wallahi Mombasa Kuna watu ni mabunga balaaa yani joho dhulma za wazi wazi lakini hawaoni subhanallah

    • @naushadalhuwaliaalhuwalia918
      @naushadalhuwaliaalhuwalia918 4 года назад +3

      Malaya huyu namjua yuwatobwa mkundu wamuasha mbwa koko

    • @ngugz24
      @ngugz24 4 года назад +1

      @samira Fathi. We pia nakushuku mwizi. Jiongele peke yako wacha sisi wengine tumuelewe Mzee na tuta muelewa tena sana! Pumbavu wewe!