Kuhusu elimu umenena kwa sababu Watanzania kwa kweli hatuna elimu bali tumeingia madarasani tukakaririshwa ndiyo maana hatuwezi hata kuona umuhimu wa kuisoma katiba au kufuatilia bajeti ya nchi akija kiongozi hasa huko vijijini wanamwona kama mtu wa tofauti hakuna tofauti na wakati wazee wetu walipowaona watu weupe kuanzia Waarabu mpaka Wazungu wakawatetemekea wakapewa shanga wakatoa almasi Afrika kwa ujumla inateketea kwa kukosa elimu yenye kufikirisha kugundua kutambua kudadisi na kutoa jawabu
Hongera ndugu unaongea ukweli Mungu! Mungu akulide daima ndùgu katika mapambano ya kudai haki katika Taifa letu.
Hata sasa Mungu atafanya njia,Ameni.
Kuhusu elimu umenena kwa sababu Watanzania kwa kweli hatuna elimu bali tumeingia madarasani tukakaririshwa ndiyo maana hatuwezi hata kuona umuhimu wa kuisoma katiba au kufuatilia bajeti ya nchi akija kiongozi hasa huko vijijini wanamwona kama mtu wa tofauti hakuna tofauti na wakati wazee wetu walipowaona watu weupe kuanzia Waarabu mpaka Wazungu wakawatetemekea wakapewa shanga wakatoa almasi
Afrika kwa ujumla inateketea kwa kukosa elimu yenye kufikirisha kugundua kutambua kudadisi na kutoa jawabu
Nyie wenyewe kwa wenyewe mnatekana
Acha porojo mmetudhulimia ndugu yetu kachukue kitabu Cha msema kweli mzee slaa mtajijua mkoje
Magufuli atakumbukwa daima na hamtaingia kamwe kupata dola nyie wskulya ngumi tupu na na kuwafanya wake zenu watumwa
Jifunze kwanza umakini kuandika ndipo uwe una comment! Sifa za kimihemko zinaaibisha
Ww nilijinga nyau kabisa achana na kabila la mara kabisa
Acha chuki ww unawajua wakuryaaa