" MAPANGA TUACHIE CCM" CHADEMA MARA YAWAONYA VIJANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025, CHACHA HECHE AWAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 9

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 18 дней назад

    Hongera ndugu unaongea ukweli Mungu! Mungu akulide daima ndùgu katika mapambano ya kudai haki katika Taifa letu.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 18 дней назад

    Hata sasa Mungu atafanya njia,Ameni.

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 19 дней назад

    Kuhusu elimu umenena kwa sababu Watanzania kwa kweli hatuna elimu bali tumeingia madarasani tukakaririshwa ndiyo maana hatuwezi hata kuona umuhimu wa kuisoma katiba au kufuatilia bajeti ya nchi akija kiongozi hasa huko vijijini wanamwona kama mtu wa tofauti hakuna tofauti na wakati wazee wetu walipowaona watu weupe kuanzia Waarabu mpaka Wazungu wakawatetemekea wakapewa shanga wakatoa almasi
    Afrika kwa ujumla inateketea kwa kukosa elimu yenye kufikirisha kugundua kutambua kudadisi na kutoa jawabu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 19 дней назад

    Nyie wenyewe kwa wenyewe mnatekana

  • @Hemedally-o9x
    @Hemedally-o9x 19 дней назад

    Acha porojo mmetudhulimia ndugu yetu kachukue kitabu Cha msema kweli mzee slaa mtajijua mkoje

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 19 дней назад

    Magufuli atakumbukwa daima na hamtaingia kamwe kupata dola nyie wskulya ngumi tupu na na kuwafanya wake zenu watumwa

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 19 дней назад +1

      Jifunze kwanza umakini kuandika ndipo uwe una comment! Sifa za kimihemko zinaaibisha

    • @AbdallahShaabani
      @AbdallahShaabani 17 дней назад

      Ww nilijinga nyau kabisa achana na kabila la mara kabisa

    • @DanisNwita-il8zg
      @DanisNwita-il8zg 11 часов назад

      Acha chuki ww unawajua wakuryaaa