It's very unfortunate that one can dare to put a minor on contraceptives without her parent's consent. It's good you have now matured and was cauragious enough to move out from an abusive relationship. Wewe nawe ulikuwa too much.
Alilala na msichana mdogo. Lakini akaogopa kupelekwa Jela. Of course hakupenda vile ugumu wa mambo ya jela yalivyo.km kulalana na rape... Very unfortunate, kufanya mambo mbaya sana then kujuta baadae. Na maybe si 1st time. Hangependa sis au daughter wake wafanywe hivyo..... Kutofikiria, majuto ni mjukuu.
Kupotea unaota true love? She could have been furrrrrrrrr. Sasa kujiokoa hapa na pale ni elimu za gumbaru. Unless sijui nini tena. "Aliyataka mwenyewe, tia mkono upapase". Na bado ana smile ya mwaka. Heh !
Aiii, hakutoka mapema. Plus ana mtoto or watoto. She'll also be judged by that akitaka olewa tena. Tena sasa itabidi a low standards zake za mtu yule anataka in future. + in-laws hawapendi msichana ashazalishwa previously na mwanaume mwengine. So huko ikiwa ataoleka, it'll always nk kuna dark cloud kwa hiyo ndoa. On and on and on.... Na bwana ataendelea na maisha yake as if hana kwaruzo. Dem akifanya kosa kidogo atakua anakumbushwa vile hana bei tena. She now has to amass sooo much energy kuishi maisha ambayo married people don't worry about cz hawaku mess big time. Kuna wengi km yeye, but maisha yao si rahisi. Girls, sikieni na mshike sikio. Msifanye maisha yenu so complicated for the rest of your life. Mwiko ukivunjika, sio mwisho wa kupika ugali. Yes, true but, chungeni mwiko. Poor parents. Walijaribu yao yote but? Nae huyu mrembo, watoto wake watakua wakimsikiza? Ngumu sana, but I wish her all the best.
It's very unfortunate that one can dare to put a minor on contraceptives without her parent's consent. It's good you have now matured and was cauragious enough to move out from an abusive relationship. Wewe nawe ulikuwa too much.
Pole...but you will shine again
She's beautiful
Huyo mtu wa taxi aliwasema I wish ningepata contacts zake nitume za chai he is a great man
Kuna sindano ya miaka tano kweli? Miaka tano ni implant Kwani hukuwa unaskia kitu kwa mkono?
Nmependa huyu dame to sana she is beautiful and voice imenweza
A very insightful story....Good gal she turned her life around.
I enjoyed listening all through
Beautiful beginning butsad ending
Waaaah
Why wasn't she asked how old was she when she got married,
It's never too late girl 😞 you are still young and beautiful ❤️🤩
Alilala na msichana mdogo. Lakini akaogopa kupelekwa Jela. Of course hakupenda vile ugumu wa mambo ya jela yalivyo.km kulalana na rape...
Very unfortunate, kufanya mambo mbaya sana then kujuta baadae. Na maybe si 1st time.
Hangependa sis au daughter wake wafanywe hivyo.....
Kutofikiria, majuto ni mjukuu.
Stardard 8.😮😮😮 Onawe wari ona ndiuii
I find it hard to listen. A standard 7 gal! I can't stand it!
Kairetu naive 😢
That is true love keep it up beautiful woman you have will have good life because of your determination.
Kupotea unaota true love? She could have been furrrrrrrrr. Sasa kujiokoa hapa na pale ni elimu za gumbaru. Unless sijui nini tena.
"Aliyataka mwenyewe, tia mkono upapase".
Na bado ana smile ya mwaka. Heh !
Very good gal 👏 👌 ulitoka kwa hiyo ndoa mapema
Aiii, hakutoka mapema. Plus ana mtoto or watoto. She'll also be judged by that akitaka olewa tena.
Tena sasa itabidi a low standards zake za mtu yule anataka in future.
+ in-laws hawapendi msichana ashazalishwa previously na mwanaume mwengine. So huko ikiwa ataoleka, it'll always nk kuna dark cloud kwa hiyo ndoa.
On and on and on.... Na bwana ataendelea na maisha yake as if hana kwaruzo.
Dem akifanya kosa kidogo atakua anakumbushwa vile hana bei tena. She now has to amass sooo much energy kuishi maisha ambayo married people don't worry about cz hawaku mess big time. Kuna wengi km yeye, but maisha yao si rahisi.
Girls, sikieni na mshike sikio. Msifanye maisha yenu so complicated for the rest of your life.
Mwiko ukivunjika, sio mwisho wa kupika ugali. Yes, true but, chungeni mwiko.
Poor parents. Walijaribu yao yote but?
Nae huyu mrembo, watoto wake watakua wakimsikiza?
Ngumu sana, but I wish her all the best.
Wendo ni utumumu maa!!
😢
Gutiri uthomaga na riene
😅😮
Sorry gal
Why was the girl arrested and she was under age? The man is the only one who should have been in trouble for defilement.
Arrested, sio jailed in prison.
Sijui why the guy was not arrested.
💔💔👀👀👀😭😭😭😭🙏
Waiting
Hukia ni nini?
Standard 7 girl?...ware naughty nama nama kairetu, Alafu Kai family planning wamwiu?
No ukagerera hau
Nothing here wa Mwigitio..gal talk. Flop
Parents failure
Parents failure how?