Simba walikuwa wanatengeneza team kumzunguka Chama. Hili ndo lilikuwa tatizo kubwa na lilikuwa linaathiri sana saikolojia ya wachezaji wengine. Team kama Yanga zimefanikiwa zaidi kwa sababu wanacheza ki team zaidi. Kumruhusu Chama kuondoka ni moja ya Gharama tulizoingia kwa manufaa mazuri zaidi ya Simba siku za usoni
Kaka kuanzaa leo mm ni jean charse bonge la fund hh-h- ushasikia wap mtu anaitwa jean alaf anakuwa mbovuu we tafuta mtu yoyote anae itwaa jean anakuwa mbovu
Hiyo map word mdeizingushia Tanzania rangi yake pekee then mgeweka logo ya CROWN FM nashauri ingekaa unyama ila mpaka hapo kiba ushauaaaa👍💪💪💪💪💪
au sio
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉@@zombiiUpdates
Nmepata sehem sahihi ya michezo Congole crown mmewezaaaa
Congo mon bon pay🔥🔥
Simba walikuwa wanatengeneza team kumzunguka Chama. Hili ndo lilikuwa tatizo kubwa na lilikuwa linaathiri sana saikolojia ya wachezaji wengine. Team kama Yanga zimefanikiwa zaidi kwa sababu wanacheza ki team zaidi. Kumruhusu Chama kuondoka ni moja ya Gharama tulizoingia kwa manufaa mazuri zaidi ya Simba siku za usoni
Simba msimu ujao itakua yamoto sn mana sio kwa usajil huu tulioufanya ❤❤kata funua iyoooooh 🔥🔥🔥 Crown juuuuuuh
Mambo mazuri sana kila tukiamka tunaamka na crown hahah crown nipatam sana kwa vipengele vyote 🇧🇮
Tupo pamoja sana crown fm❤
Jeff now anachambua mpira
Hongeren sana wachambuzi wetu kwauchambuzi wenu 🎉
Geff mwanetu delight anatua united au co
Crowi nawakubali sana
nawapenda sana
Crown ndio habari yamjin 🎉🎉🎉
Hiii nistudio au chumba cha mseleee
Juma bonye kutoka VIKINDU Nawapata apo StudiO
Jemedari na oruma nusra wamuharibu geof lea😂😂😂
Hamna camera
Vp kuusu mpanzu hansi
Wooow crowmis my choice so msisahau kua mtaani Kuna mashabiki wenu wengi San hvyo tunaomba mtuandalie matamasha yatakayo watangaza zaidi.
Kazi nzuri sana
Msimu ujao simba sc inatakiwa ifanye kweli kikubwa apo ni kocha kuwa na mfumo ambao wachezaji wataweza kutumia vzr
Mpe salam Diara😂😂😂😂😂
Simba nguvu moja❤❤
Nice
Kwel mposawa ila maik mziweke lebo maana mpogood
🎉🎉🎉🎉🎉
Juma bonye kutoka VIKINDU Kaka jean chars Simba WamelambA dume
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
Tupo pamoja
Kaka kuanzaa leo mm ni jean charse bonge la fund hh-h- ushasikia wap mtu anaitwa jean alaf anakuwa mbovuu we tafuta mtu yoyote anae itwaa jean anakuwa mbovu
Walete na mwalimu ambaye ataendana na hao wachezaji
Mko vizuri sana
Jengen hao player wakikomaa tunatua tunabeba 😂😂😂
Jitahidini kuitumia KISWAHILI bora msichanganye changanye
Jitahidi kuelewa kingereza, kuna vitu ni rahisi na inakuwa vizuri zaidi vikitajwa kwa majina ya Kingereza.
❤
Kazi nzuri
Naam
Tafadhali usiwape siri hiyo ya huyo forward nataka waumie
❤❤❤nice uchambuzi
💪💪
Vipi mbona hii mumeiweka Lisa limoja wakati tushaona nimasa mawili
Jof lea unachambu vili sana
Usifurahishwe na usajili tusubili ligi ianze tutajua mbivu na mbichi
Hapa ni nyumbani pamenoga sana
Kiukweli crown mnatisha
Juma bonye kutoka VIKINDU Simba wanamtambulisha fei TotO kaka HANS
Noma
Kwa sasa Azizi atabaki kuwa Azizi huyo mwingine tumsubili uwanjani ligi yetu tunaijua wenyewe kaka
Hapa ni home
Tumehaza pamoja
Awadhihno here
Moja na mbili ndani ya crown fm
Wadau wanasema Jeff wa clouds amerudi
Hansi lafaeli noma unawajua wachezeji wote wa Simba walio sajili a upewa maua yako umepoa kaka😂😂😂😂😂
Kamela ipo mbali
❤❤
Jefu asaiv kabadilika sana yuko vzr