Vanessa Mdee & Rotimi: Vanessa anunuliwa Nyumba ya Tsh Billion 1.1 Marekani Siku ya Valentines
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- EXCLUSIVE INTERVIEW ya Vanessa Mdee na Rotimi, Vanessa ameongelea kuwa Mama, jinsi anavyojisikia na alivyohangaika kuweza kupata ujauzito wa mtoto wao Seven.
Siku ya Wapendanao Duniani (Valentines Day), Mchumba wake Vanessa (Rotimi) alimnunulia nyumba Florida, Marekani ya gharama ya $500,000 sawa na kama Tsh Billion 1.1 ambayo ina vyumba 6, mabafu matano na maelezo mengine yote Vanessa kaelezea katika interview hii.
Wema Sepetu aliwahi kucomment kwa Vanessa Instagram baada ya kuposti picha za ujauzito wake, Jibu, la Wema lipo ndani humu na kwa wanawake wengi ambao wamekua wakisumbuliwa na kupata watoto! ambapo wamekuja na App yao ya mtandaoni, forthebetter.me/ ukiingia hapo utaweza kupata ushauri, kujifunza, kuona maisha + more
Siku ambayo Rotimi anagundua Vanessa mjamzito unajua ilikuaje? Vee amemwaga stori zote hapa, Tazama Full Interview ya RO & VEE kwenye The LilOmmy Podcast, Subscribe channel hii, LilOmmyTV, Like video hii, Comment & Share video hii kwa Whatsapp na mitandao yako ya kijamii.
#LilOmmy #VanessaMdee #Rotimi
Let's Coonect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
Jux ulikuwa unamcheleweshea TU MAISHA yake hiyu dada.. couple iko good Sana hii
So Congratulations CashMadame kwa kumiliki nyumba Malekani🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Ndio maan Jux analia Jamaa anammiliki kama stage ya festival nice one vee money kwa kuhongwa jumba moja Kali in USA.
Yaani hata akisema anampenda unaona ana feel moyoni lakini mapenzi ya bongo wanaonyeshana wanapendana wanarusha picha inst kumbe ndani kunawaka moto big up vanesa
Hahahaha Hahahaha Hahahaha 🤣🤣🤣🤣
Yani hii ndio Nzuri kabisa Nitaenda Kujiunga vee money Haina Umbeya ni unaenda kujifunza Maisha sio kule kwa App ya Dada mkubwa Asilimia kubwa Ni Umbeya Tuu na kufatilia maisha ya watuu
Kweli ww ni King 🤴lilommy
Yaan unajua mpaka unaboa mm nakutakia maisha marefu ili hizi raha tuzidi kuzipata pia Mungu azidi kukupa maarifa
We need more of this couple’s interview.
Noted
De real definition of King of interview ✊Unajua Ommy
Kizazi sana 👊
Ni aje twambie?
Kweli Mungu anakupa wa kufanana nae. Ro & Vy are very creative, both together are amazing
This is very nice. Keep it 💯 bro Ommy and all the best to Vee and Rotimi
Interview zako nazipenda unafanya vzr munyama mwingi sana 💖💖💖💖🙏🙏😍 congratulations Vanessa kupata mume mwema❤️❤️❤️❤️❤️
Half Man Half Amazing.. Kizazi Sanaa💪👌
Good Chances kwake na familia we love her
Sweet gal you are loved.Big up Rotimi you are one in a million ❤️
Love from Burundi 🇧🇮
So kwanini hiyo App hawakuiweka kwenye PlayStor kuna wetu wengi kama mimi hapa hatujui hiyo ingine website ya kueza kuyichukua
Hongera v Mungu azidi kukulinda katika penzi.lako
OMG! I love this woman....Bless Up Vee And Ro...God Bless You Always🙏,,One Love✌
Juste Say congratulations To you vee because your couple is so Amazing.
Ommy mnyama Wa afrika mashariki yani kizazi sana kwa mahujiano daaah. Unatisha mzee
Beautiful❤❤❤❤Hongera sana Vee
I miss you Vanessa kwa kumbusha lugha kiswahili tunajivunia kuzaliwa Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Half man ! Half AmazingLY 💥💥🔥⚡💥🔥
Sema mshikaji yuko humble sana
I like this interview vee and ro so lovely 🥰 love from Sweden 🇸🇪 hongereni jamenii na hongera pia ommy kwa interview nzuri ❣️🙌
Hey Sweden sehem gani.? Stockholm?
Asante, enjoy
Safi Sana V na R Mungu awaongeze ktk maisha yenu Inshallah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
May this marriage last forever Amen. Love you vee gal and king rotimi. Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
Hawa napenda maisha yao juma anaumia sana japokua anasema hana neno.
Vanessa anajua kujiweka karb na mme wake kt ambacho wanawake weng wanafer utaona hapa kna mda akizungumza kiswahili. Anahis mwenzie asiwe mpweke inabd amrudie kimtindo
Hata mie nmeiona hiyoo❤️❤️❤️
Kwakweli anajua na Mimi nimeiona hiyo
Vee she's so smart❤️🥰
Unaakili sana ww kumbe umeringundua hilo🥰
@@catherineelias5108 yeah 🥰🥰
Genius Combination.
King of interview mungu awe nawe
V money god bless you sister and your family
Congrats one more time V & RO ❤️❤️❤️
Amazing th MVP 👊 👊 👊 🇧🇮
Let’s gooo
Hongera vanesa
Here we go again MVP
Hukuuliza about music yake?we fans would love to know.Love from Kenya
Best couple 😍
The MVP,always on top
Lil Ommy Mtu Mbadi.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Lit 🔥 interview
Truly you guys make me feel better
Motherhood is beautiful when you have money and a loving husband. Otherwise ukiwa hauna pesa Na mwenye mimba amekuruka utajua hujui. Utakufa Na depression.
🤣🤣🤣
Giving me charmalagne vibes
You are the best always brother👑👑👑👑👑👑👑👑👑
Good interview but your introduction it’s quite long enough 🤨
THE MVP
Ukijumlisha maneno ya Rotimi na Lil Ommy hawatomfikia hata kidogo kwa maneno ya Vanessa ....
Mungu tu
A1, Hands Down!!!!
Congratulations to them
So congratulations veman I love so much
Ukiskia jina MVP ndio maana yake uniq interview
Let’s Go
@@LilOmmyTV wakimbizeeeeeee🥇🏅🤴
More wins to my Nigerian brother ro
Nakumpenda sanaaaaaaaaa dada vee and you husband😂
Waoh I love this
Awwww congrants
Your interviews are always the best and unique
King ov interview🙌🏽🔥🔥🔥
Nakukubali brother
Rotim yuko poa san hna noma kijana wa watu
Vee kissuu hatariii daaahhh
Yani huyo mtoto ni km mwanangu alikua hivyo hali kijinga ila kwa sababu ana njaa amekojoa lkn akiwa na isingizi analala bila hata kulia na naomba Mungu wanangu wote wawe hivyo wote
Vanessa
Kutoka Burundi ila nawapenda sana hawa watu
Mashaallah
Amazing 🔥
Hawa ndo wanaume sasa . Sio walamba midomo
Interview ya Kzaz tambweeee
LiLOmmy mwenyew kaishiwa pozi
Unyama n mwingi sana hapa
Let’s go
Mbona kama ro anaboeka na kiswahili😂😂😂😂
😂😂😂yan anaboeka haswaa
🔥🔥🔥🔥🔥
Kwani rotimi anaelewa kiswahili?
Nakukubali lying omy
😍😍😍
Unalipa mara Moja au
❤️🥰
👏👏👏👏
🔥 🔥 🔥 🔥
Kama ni investment hyo hela ungenunua Nyumba bongo ni bonge la jumba
ili aishi nani? investment means pesa irudi na faida wapate, ujenge bongo uingie hasara. Nop.
@@samniza1763 Nan kasema unaingia hasara?
@@eladiuspeter586 eladii
#aboi_4rm_makambako so unampatia moto juma ehee
Huwa napenda maswali yko kaka
Vi money nimekumiss
She talks too much 😂😂😂, rotimi is bored
were Lil Kim Speak English then si unajifanya oyea oyea! English kwako Lil Kim no patupu
Safi rotimi kwa kuiona Raman ya Africa shingoni
Jupia yye n mnageria
💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾
Jux anajaza mwili tu
Kulipa tena watu hawana helaa huku
Naona vee anaongea sana hampi nafasi rotimi... its so boring....
Nadhani kwa sababu anajua asilimia 90 ya wasikilizaji wa haya mahojiano ni watanzania na wengi kingereza ni tatizo ndio maana Ana ongea yeye anayeweza kuzungumza lugha zote mbili! ( nadhani ndio sababu)🙏🏿
Mzee wa kizazi uko poa sana
Tazama Umri na Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa mbalimbali wa bongo
👇👇👇
m.ruclips.net/video/5IaWx-DJrTc/видео.html
Oyeah yeah ni aubuuu Fujii kingereza unaongea broken english thr kiswahili Rotimi wa watu anakushangaa bora Aaliya angefanya hiki kipindi!
Half man half ameizer no one like you
#aboi_4rm_makambako sasa nyumba ss inatuhusu nn mjinga ww
She talks too much 😂😂😂, rotimi is bored... Lil ommy ulitakiwa uulize maswali ya kiingereza kwa rotimi... Maswali mengi yameenda kwa Vanessa
She is Gemini we naturally talk a lot but she is super star
Nyumba ya 5 millions marekani ni nyimbo mbovu
It’s $500,000 ,,, soma tena bila machoz kukulenga lenga 😂😂 nyumba ya billion moja man
Wewe mshamba tu utakuwa aujuwi kitu
Hater. Ni 500,000 dollars nkt.
Ivi unaijuwa 5 M $
😭😭😪 Alikiba ka lia sana Jana ume wahi ku muona aki lia 🤦 ebu jionee kilicho mliza king kiba😭👀
👇👇👇👇👇👇👀👀
ruclips.net/video/XTUsVzD7xKY/видео.html
Hi watu wa Mungu. Naomba sana support this gospel artist Vaileth. Bonyeza link hii kusikiliza nyimbo yake
ruclips.net/video/4NJlyOmIlk4/видео.html
❤️❤️❤️