MKUU WA WILAYA ATATUA MGOGORO WA WAKULIMA WA KATA YA MAMBO NA MKUNDI YA MTAE:

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2023
  • mkuu wa wilaya ya lushoto kalisti razalo alifanya mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha mambo kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro wa wakulima wa kijiji cha mambo na kijiji cha mkundi ya mtae.
    hata hivo wananchi hao walimtaka mkuu wa wilaya aitishe mkutano wa pande zote mbili kwa
    ajili ya suluhu hio ya wananchi wa pande zote mbili.
    pia ilitokea hoja ya mwekezaji,wa hoteli ya mambo view point ambayo pia mkuu wa wilaya alisema kua kwa sasa suala hilo lipo mshakamani hivo hawezi kuingilia mahakama.
    wakati huohuo wananchi wa kijiji hicho cho mambo walimpongeza mkuu wa wilaya kalisti razalo kwa kutoa ufafanuzi dhidi ya hoja hizo za wananchi.

Комментарии • 4

  • @saidathuman3395
    @saidathuman3395 10 месяцев назад

    Mh kazi ipo

  • @kianohasan5205
    @kianohasan5205 2 месяца назад

    Mh! Kehena ndima ahao

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 10 месяцев назад

    Tunahitaji hospital ya wilaya ya Bumbuli ikamilike haraka San

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 10 месяцев назад

    Tunahitaji hospital ya wilaya ya Halmashaur ya Bumbuli ikamilike haraka San