❗Unafanya kazi kimazoea.🍵🍻🍹.❗ Recently Videos zako hazina mafundisho wala muelekeo... Matangazo yanaingiza Pesa ndio, ila mashabiki wako kama sie unatuachaa.. Kuna vipaji vipya vinakuja 🙄🙄.. Kubaki juu lazima ubadilike..👍 Kimawazo na kinyakati na kupokea ushauri.. . Lakini bado nakukubali. Bless
Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
Safi sana Joti unakuza vipaji asaivi huyu dada yupo kwenye movie ya haikufuma sinema zetu
Nawaaambieni JOTI NI SHIDA HAKAMATIKI NI MKONO WA MKONG'OLE ...WEKA LIKE ZA KUTOSHA KWA HUYU BAHARIIIIIAAAAAAAAAAA MPAMBANAJIIIIIIIIIII😂🤣🤣🤣🤣🤣
Like inakusaidiaje wew badala ya kulik video nilike comment una wenge nin dingii wise
A
@@munamamirisho2466 Hao waomba Likes ni wasenge utasema hizo likes zinawasaidia. Kama hilo li Kibasa jitu zima kabisa nalo linafanya mambo ya kitoto!
Lucas you really got me laughing hard this time Hahahahahaha Paka!!!!!
Nimetegea tena nikachelewa... Mmmh mashabiki mko imara kweli🔥🔥🔥🔥
Hakuna Kama Joti....Tunaokubaliana na hili Tujuane kwa Likes hapa...😅😅😅😅🔥🔥🔥
Yesu
Yani 2nakufatiliya Huku Kenya na wanangu sana, Bongo nzima nadhani hakuna anaye kutoa
Nimewahi Aisee, waliochelewa kuangalia sababu zipo; kuujua muda wao na ubusy wa Majukumu
Gonga like kama unaangalia uko kitandani
Hahaaaaaaa wengine tushaamka kuhudumia waarabu
😄😄😄😄😄😄😄 uwiii 7 energy,, wazungu watatumaliza aki
ntafute
Hivi wewe unaeisoma hii comment humpendi Joti kweli? Asa kama unampenda mbona #hu_like? Like twende sawaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Ukipata like unapata hela au
Zigo hilo oo na 7night.
It's marvellous,
Mwanaume kujifananisha,na,mwanamke ni rana,kubwa,sana,sasa,we joti endelea,tu ila mwisho wake utaujua
Sizani sizani sizani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leonime wahi jamani like zenu hapa. kama nanyi nimiongini mwa wanao mpenda joti
I like the way he acts big love from kenya
From Congo 🇨🇩 mnipe like
😂😂😂😂😂😂ww joti ni noma paka kakupata😂😂😂
Nishai nakukubalisanaaa kakangu Firdaus from 🇬🇧
Joti punguza matusi,basi yan tumehami a kwadulvan wew bhan unazngua
Congratulations Mr Nishai
You made my night sir 🔥🔥🙌🏾
Habiba😍😍😍😍😍.
Huna njaaa tu sasa ukiwache kwasabb ya huyo mjamaa watu wengine nao kwa kujipa hahah wapo kama hao wanasusia chakula best move
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aiseeee joti ni nomaaa
Paka mtu kapatana na paka mwezake.🤣🤣
Number one ☝️
Mchekeshaji wangu mda wote
😂😂😂
Mtombangile kitwango
Kweli aisee ni paka la bar...maana si kwa manjonjo hayo.
Joty wanipunga sana uko vizuri sana
The last advertisement about the energy drink is more funny than the original video
53 comments
Love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Paka hana kibariiiiii
nice sana
Hakiamungu joti kuna mahali mwingine unatia aibu 😀😀😀😀😀
Mimi joti hunifurahisha kuanzia matangazo yake 🤣🤣
Nishai gonga like kwake
Nauwa paka jamani
Tunaipataje hyo 7 night energy drink
nitafute
❗Unafanya kazi kimazoea.🍵🍻🍹.❗ Recently Videos zako hazina mafundisho wala muelekeo... Matangazo yanaingiza Pesa ndio, ila mashabiki wako kama sie unatuachaa.. Kuna vipaji vipya vinakuja 🙄🙄.. Kubaki juu lazima ubadilike..👍 Kimawazo na kinyakati na kupokea ushauri.. . Lakini bado nakukubali. Bless
Ben werner kivip mzee
Kweny msafar wa mamba na kenge wapo wakatisha taama lzm wa wepo ,tunywesh kwanza na ww ujuzi wako
We umefanya ipi ya kuelimisha pumbafu
Humu tumekuja kuchekeshana. Kuelimishana ni darasani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unataka kuwakomeza paka 😂😂😂
Hahhaha paka kafanya kweliii🤣🤣🤣🤣🤣
Tangazo nalipenda hili 😂😂😂😂😂😂 Kiboga!...
🤣🤣🤣🤣 kama mimi
Napenda madada km ww kumi kwa siku mashavu yatakuwa😯......😂😂😂😂🐱🐱
Kwa yeyote anayesoma hii..
nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
Joti uko vizuri....!!!.respect
Jamani joti uko peke yako Tanzania ndio unanifurahisha aiseeeew
5:21 hii gari nayo iko rada sana, mtoto anapendeza kweli kweli
Alikuwa anayarudia maziwaa et na hiyo vipi hàhha
*TANGAZO TUTAWEZANA* 😂😂😂
Umeanza kuharibu sikuiz mbona
Hamna kitu una2letea utumbo2
Dhuuuh yan huyu jamaa ni kiboko
Embu gonga like apa ka unamkubar joty
Demu anae ziwa natron 😂😂😂
Mm sitaki ata like jamanii 😂😂😂🤣🤣🤣
Daaah joti unatisha
utatuuwa joti bhna eti nauwa
Yan paka amekula had ugal
Nakukubali sana
_chama la wanatupia like kwanza ndio tuwende sawa kwa wale mnaooenda vituko via joti_
, ❤️❤️❤️😋😊😙😇
Ijumaa iliopita sijaona
Mume nitamanisha na ugali saizi 🤣🤣
joti ni noma🤣🤣🤣
😂😂😂 Joti huaga fala sana jamaa...
Nachekaaaaa kufa😂😂🇹🇿
Naona Leo watu hawana bundle! Siyo kwa uchache huu dk 40 under 1000
Yani hatari 🇨🇩🇨🇩🤣🤣🤣
Joti legend hakuna hata 1 nisiyoona
Leo watano mm naombeni like zenu
Sizani sizan sizaniii... Jot wew..?
Daaaah uyu Dada mrembo
Nauwaa
Wazee wa kila ijumaa tupo hapa
Paka balaa🤣🤣🤣
Nice
Team joti gonga like twende sawaaa
Joti u are best comedian for me🙏keep going bro
#Aaahahahaaaaaaaaaa!!!
Jamani pamoja 2nao mkubal jot
kama boxer 😅😅😅😅😅
kama box😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwa wale wapenziwa movie zakutafsiriwa kiswahili mbofya link hapa ruclips.net/video/mm7z0WAevow/видео.html
hahahaha haki ya Mungu Joti
Paka LA bar 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wengi wauza bar huwa hawali Kama hivyo ni Basi tu
Kibonga😅😅😅😅😅😅😅
Joti unajua saan we Jamaa
Joti msengeee😂😂😂😂😂😁
Joti kanimalizaaaaaaa
Tuko familia Nzima sahi tunacheka na vi2ko vyako
Mapema aaaaa joti ijumaa iliyopita ilipita free
PAKA NAUAAAA 😆😆😆😆
Jito ww niatar
😂😂😂TUTAWEZANA😂😂😂😂
Mmh paka paman pakaaa 😂😂
Perfect pambana ndo mahisha hayo bro
Dah nmewai Leo
Joti 🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥
Nishai mtombagile kitwango😁😁😁
He is the best comedian
Sizanii sizaniiiii hahahah jot wewee
Niko serios ingawa na sura ya tabasamu
Kali sana