Brigedia Jenerali mwingine wa JWTZ alivyoagwa leo
HTML-код
- Опубликовано: 11 июл 2017
- Brigedia Jenerali Dominic Mrope leo July 12, 2017 alipewa heshima zake za mwisho na JWTZ ikiwa ni ishara ya kumaliza muda wake kulitumikia Jeshi hilo na sasa anastaafu kwa mujibu wa sheria.
Congratulations Sir General. You have made us all Proud and Thank you for your Service.
Kama umeona askari wakushoto arivyo taka kuanguka gonga likee
Hongera afande Mrope. Mwenyezi Mungu akuzidishie afya na maisha mema.
nzuri Mungu ibarik Tz
Hakika nimoja kati ya ndoto yangu niliyoipenda na mpaka sasa ipenda na nitaendelea kuipenda kwani ndoto yangu nikulilindaamani ya nchi yangu ya Tanzania japo sijafanikiwa kujiunga na jeshi lakini nitafanikiwa tu nitaendelea kupambana mpka hatua ya mwisho ili niweze kufanisha ndoto yangu
Hongera kamanda kwa kustaafu kwa heshima zote
STRONG ARMY JWTZ
Hongera sana afande acha sisi tupambane
nc
Ongera zake kwa utumishi ktk jeshi la Nchi yetu. Kila la kheri mr mrope dominic,
P1sana waziii
Good gwaride
Kijana mwenye elimu ya kutosha, mzalendo, jasiri kazi ya kufanya ni hii. Usipoteze muda,nenda JWTZ.
Duuuh mkuu huyo upande wa kushoto mbona kama hayupo sawa naona kataka kudondoka,,kapepesuka wakati wakitembea mwendo wa pole
MUNGU ibariki Tanzania
wenye nchi ndo hao
Daa R. I. P wadepo luten matitu aman
Pole Sana ila hongera afande bcz wengine bado tunapambana kikosini huku.
Namuona nkambi
Saf cn makamanda wetu.
2:22 huyo sio brigedia jenerali ni meja janerali... Ana mkasi.. Nembo na nyota mbili...
Ezekiel Basaya unajifanya unajua sanaaa,,,,,
Waandishi wa Habari wawe wanauliza cheo hiki ni gani sii kujiandikia kwa taaluma zao za TSj si unaona anaaye hoji kasema Meja Gen
Yaaa uko sahihiii kabisaa mkubwaa,,, Kama hawaelewii vyeo vya jeshi waulizee kwanzaa
Aliyestafu ni brigedia hivyo ni vyeo vipya acha kukariri bro
Jenerali ana mkasi, ngao na nyota. Nyota moja ni Brigedia Jenerali, Nyota mbili ni Meja jenerali, nyota tatu ni Luteni Jenerali, na Mwisho nyota nne ni Jenerali Kamili.
Huyo mkuu wa kushoto wa mbele
Mara pap mkuu wa mkoa somewhere
nawashauri watengeneze bunduki wao so zakununua