Brigedia Jenerali mwingine wa JWTZ alivyoagwa leo
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Brigedia Jenerali Dominic Mrope leo July 12, 2017 alipewa heshima zake za mwisho na JWTZ ikiwa ni ishara ya kumaliza muda wake kulitumikia Jeshi hilo na sasa anastaafu kwa mujibu wa sheria.
Kama umeona askari wakushoto arivyo taka kuanguka gonga likee
Hakika nimoja kati ya ndoto yangu niliyoipenda na mpaka sasa ipenda na nitaendelea kuipenda kwani ndoto yangu nikulilindaamani ya nchi yangu ya Tanzania japo sijafanikiwa kujiunga na jeshi lakini nitafanikiwa tu nitaendelea kupambana mpka hatua ya mwisho ili niweze kufanisha ndoto yangu
Congratulations Sir General. You have made us all Proud and Thank you for your Service.
Hongera afande Mrope. Mwenyezi Mungu akuzidishie afya na maisha mema.
nzuri Mungu ibarik Tz
Hongera sana afande acha sisi tupambane
P1sana waziii
Hongera kamanda kwa kustaafu kwa heshima zote
Namuona nkambi
Ongera zake kwa utumishi ktk jeshi la Nchi yetu. Kila la kheri mr mrope dominic,
Duuuh mkuu huyo upande wa kushoto mbona kama hayupo sawa naona kataka kudondoka,,kapepesuka wakati wakitembea mwendo wa pole
Kijana mwenye elimu ya kutosha, mzalendo, jasiri kazi ya kufanya ni hii. Usipoteze muda,nenda JWTZ.
MUNGU ibariki Tanzania
STRONG ARMY JWTZ
nc
Good gwaride
wenye nchi ndo hao
Daa R. I. P wadepo luten matitu aman
Pole Sana ila hongera afande bcz wengine bado tunapambana kikosini huku.
2:22 huyo sio brigedia jenerali ni meja janerali... Ana mkasi.. Nembo na nyota mbili...
Ezekiel Basaya unajifanya unajua sanaaa,,,,,
Waandishi wa Habari wawe wanauliza cheo hiki ni gani sii kujiandikia kwa taaluma zao za TSj si unaona anaaye hoji kasema Meja Gen
Yaaa uko sahihiii kabisaa mkubwaa,,, Kama hawaelewii vyeo vya jeshi waulizee kwanzaa
Aliyestafu ni brigedia hivyo ni vyeo vipya acha kukariri bro
Jenerali ana mkasi, ngao na nyota. Nyota moja ni Brigedia Jenerali, Nyota mbili ni Meja jenerali, nyota tatu ni Luteni Jenerali, na Mwisho nyota nne ni Jenerali Kamili.
Saf cn makamanda wetu.
Huyo mkuu wa kushoto wa mbele
Mara pap mkuu wa mkoa somewhere
nawashauri watengeneze bunduki wao so zakununua