SIKILIZA KISOMO CHA KUFUNGUA VIFUNGO VYOTE MWILINI UCHAWI NK.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 151

  • @khadijaahmedy3210
    @khadijaahmedy3210 Месяц назад +3

    Yaa Allah nakuomba nifungue vifungo vya uzazi,rizki,mwili wng ndoa yng iondoshe magomvi kama nilifungwa kupitia Dua hii nifunguke Yaa rabbi kupitia Dua hii bi Idhin llah

  • @AminaMwavita
    @AminaMwavita 14 дней назад

    Eee mola wangu nakuomba unilipie ubaya wote nililotendewa n unikinge n uadui wote kwenye maisha yng n family yng utupe risiki za kazi tutimize malengo yetu Amin yarab 👐 🤲

  • @WardaSuleimn
    @WardaSuleimn 4 месяца назад +4

    Shukrani san sheikh alah akubark. Naomba sana allah .anifanyie wepesi niweze kupata mume mwema na anifanyie wepesi ktk maisha yang inshallah 🙏🤲

  • @Kubanda-zl7lt
    @Kubanda-zl7lt 14 дней назад

    Asante sana hostadhi kwa kisomo hiki mungu azidi kukupa nguvu , ila nikikuwa natetemeka nilivyokuwa nasikiliza

  • @SalmaMohamed-k1s
    @SalmaMohamed-k1s 3 месяца назад +2

    Amina rabilalamin Mwenyezi Mungu nifungulie riziki nakuniondolea vifungo vyote

  • @AbubakariMiraji-j6y
    @AbubakariMiraji-j6y 4 месяца назад +3

    Mwenyezi mungu naomba vifungo vyote vilivyopo kwenye mwili wangu riziki yangu maisha yangu vyote vikafunguke ehee mwenyezi mungu nisaidie

  • @MaimunaKhamis396
    @MaimunaKhamis396 3 месяца назад +4

    Mungu wangu nifunguo mwili kama kuna mtu kanifanyia ubaya basi nakukabidhi mola ndio hakim wa hakiii juu yangu nifunguwe vifungo voteee ndani ya mwili wangu niwekee nuru ya mwanga kwenye mwili kila aliye nikusudia ubaya aliye nikisudia husuda basi mungu ni nyooshee 😢

  • @HajraMohammed-y8f
    @HajraMohammed-y8f 5 дней назад

    Amiin kwa wote mloomba dua na mm namuomba allah anilipie kwakila alienifanyia ubaya mm na watt wangu na atufungue kila tulipofungwa kwa ubaya

  • @MwasitiRamadhani-md8wt
    @MwasitiRamadhani-md8wt 18 дней назад

    Wallaah toka nianze fuatilia hizi dua mwili wangu umekiwa mwepesi allaah awalipe mashehe wetu

  • @khadijaahmedy3210
    @khadijaahmedy3210 Месяц назад

    Ee mola wng nakuomba unilipie ubaya wote niliotendewa na unikinge na uadui wote kwenye maisha yng na familia yng,kazini kwangu.aamin

  • @MorineAchy
    @MorineAchy 9 дней назад

    Mungu baba naomba vifungo vyote vya nguvu ya Giza iniondoke Kwa jina la yesu

  • @zahrakazungu5026
    @zahrakazungu5026 3 месяца назад +3

    Mwenyezi Mungu anifungulie milango ilio fungwa na kuchukiwa😭😭😭🙏🙏🤲🤲🤲

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Yaa rabi naomba uwafanyie wepesi watoto wangu katikaa kazi zao na masomo yao na uwaepushe na maadui

  • @Fatumabakari-m8g
    @Fatumabakari-m8g 15 дней назад

    Ya Rabi mola wangu nifungulie milango wa kuolewa ishaallh ni mm fatuma bakari

  • @ZenaBuheti
    @ZenaBuheti 12 дней назад

    Yaarabi nifungulie vifungo vyote vilivyonifunga katika maisha yangu inshallah

  • @YumnaSwedy
    @YumnaSwedy Месяц назад

    Mwenyez mungu nifungulie kizaz changu Amen

  • @rahmabakari6444
    @rahmabakari6444 Месяц назад

    Ewe mola wangu mtukufu naomba unifungulie vifungo nilivyofungwa mimi na familia yangu vifungo vya kichawi, mizimu, majini binadamu tunaowajua na tusiowajua, vifungo tunavyovijua na tusivyovijua. Ewe mwenyezi Mungu niondoshee mimi na familia yangu utasa wa kukubalika utasa wa uchumi

  • @ShabanSalum-l1v
    @ShabanSalum-l1v 19 дней назад

    Yaaah Allah nakuomba unifungulie vifungo katika mwili wangu niondolee maradhi yanayomisumbua mwilini mwangu

  • @nasraAl-b1w
    @nasraAl-b1w 3 дня назад

    Yaarabi nifungulie vifungo vyote vilivyofunga katika maisha yangu inshaallh

  • @husnakimaro9419
    @husnakimaro9419 4 месяца назад +2

    Ewe mwenzi Mungu kupitia Dua hii mlango wa kumi na moja matarajio ufunguliwe Amiina

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Yeah rabi nakuomba unifanyie wepesi nipate mume mcha mungu na hofu ya m mungu pia unifanyie wapesi wa kuuza nyumba yangu

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Yeah rabi nakuomba nakuomba unifungulie milango ya rizki na unijaalie mume mwenye hofu ya m mungu na upendo

  • @neemahalima5440
    @neemahalima5440 8 месяцев назад +1

    Amina ninadhukuru tunaponywa kwa neema ambayo mwenyezi Mungu ameweka ndani yenu mungu awabariki sana kwa kila utaji ambao mnautaji katika kuenrza habari njema kwa kila mtu wa aina yoyote mbarikiwe sana

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад

      Ameeen inshaa allah

  • @SaadaAlly-s6k
    @SaadaAlly-s6k 2 месяца назад

    Ya Allah naomba unifungulie milango ya riziki,nifungulie nipate mume wa ataenipenda na ataempenda mola wangu

  • @AsiaMtwange-p4p
    @AsiaMtwange-p4p 2 месяца назад

    Ya Tabi mola wangu nifungulie milango ya riziki pia nifungulie milango ya kuolewa yarabi Amiin🙏🙏

  • @deovlaksshao4797
    @deovlaksshao4797 Месяц назад

    MUNGU wangu naomba mume wangu abadilike awe imara katka Ibada na ajae katik Iman ya kweli

  • @HusnathJames
    @HusnathJames Месяц назад +1

    Ya Allah kupitia DUA hii nakuomba uniondoshe kwe vifungo vya kiuchumi na unijalie afya njema kwa yeyote alienifanyia ubaya kwenye mwili wangu asiweze kufanikiwa kwa jina lako ya Allah

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 8 месяцев назад +5

    mashallah sheikh Mhmd uncle J Allah akupe kheri nyingi tunakufata sana from Canada 🇨🇦 ❤❤❤❤❤

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад +1

      Maa shaa Allah shukran sana naomba tuendelee kua pamoja inshaa allah

    • @Anasymasudi
      @Anasymasudi 5 месяцев назад +1

      asalam alykum

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 4 месяца назад

    Eeh yarabi mkarimu, ni wewe pekee na kuabudu na kukuamini, kupitia dua hii, nakuomba ukanipe kila hitaji la moyo wangu,Ameen🙏

  • @MaimunaKhamis396
    @MaimunaKhamis396 3 месяца назад +1

    Ya Allah naomba unifungue kupitia kisomo iki nifungulie mambo yangu ninyooshee ya kher mola wangu

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Allah akupe nguvu nguvu kaka angu akupe maisha marefu ishaallah

  • @AnnaDume-y4t
    @AnnaDume-y4t 3 месяца назад +2

    Ya Allah 🙏 naomba nifunguke kupitia kusomo hiki inshallah

  • @rahmaomary5134
    @rahmaomary5134 8 месяцев назад +1

    Maashaa Allah,Allah akufanyie wepesi mambo yako.Nimesikiliza dua hii leo hii baada ya maghrib,wallaah nilikuwa nawaki mgumu saana,mapigo ya moyo yalikuwa kasi,joto kali,mwili kutikisika,vitu kutembea mguu wa kulia,na mwili kustuka hasa mgongoni

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад +1

      Dooh pole Sana dada rahma ila jitahidi usiache kusikiliza hicho kisomo Kwa mda wa siku 21 asubuhi na jioni utaondokewa na matatizo inshaa allah

  • @AminaYassin-q8m
    @AminaYassin-q8m 4 месяца назад

    Mwenyezi mungu anifungulie rizki zangu inshallah

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Yeah rabi nakuomba uniondoshee husband nakuomba uniondoshee uchawi mailing mwangu unijaalie rizki unipe afya njema amiin

  • @AngelRamadhan-l3g
    @AngelRamadhan-l3g 4 месяца назад +3

    Kwadua hii mungu atanifanyia wepesi

  • @AliSuleimanAli-j2o
    @AliSuleimanAli-j2o 3 месяца назад

    Ewe mwenyezi Mungu nfungulie matatizo yngu yakazin kwangu nyumbani hd familia yngu Yale yanayo nfika naomba uniepishie juma Suleiman

  • @HabibaHemedy-rs8uo
    @HabibaHemedy-rs8uo 3 месяца назад +2

    Ya Alla nijalie hery naridhki zahalali kusudi niwasaidie walionizunguka

  • @KAlmarri-qn7rr
    @KAlmarri-qn7rr 2 месяца назад +1

    Ya Allah nifungulie milanggo inshaallah

  • @khadijahabdala
    @khadijahabdala 3 месяца назад

    Yaallah takabbal duua nakuomb mola wangu nifungue vifung vyot viliv kwenye mwili wangu yaa rabby niepushe na husda za walimwengu eee mola wangu nijaalie mume mwenye kheir ns mim biidhn lillah inxhaallah😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @MbodzeNyanje
    @MbodzeNyanje 4 месяца назад

    Mwenyezi MUNGU,anifanyie wepesi kwa yale ninayopitia🤲🏻

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Pia naomba unifanyie wepesi wa kuuza biashara yangu ya nyumba Allah naomba msaada wako wateja waje

  • @Myone-r4v
    @Myone-r4v 4 месяца назад +1

    Ya rabi mola wang nifungulie milango yangu niweze kuolewa na salum masud

  • @Asmahoney-os4sw
    @Asmahoney-os4sw 3 месяца назад +1

    Ya Allah dua hii ikawe funguo Kwa mwanangu aweze kupata kazi yenye kheri nae

  • @Lulu-wt9dd
    @Lulu-wt9dd 3 месяца назад

    Mola wangu nakuomba unifungue vifungo vyote katika mwili wangu nijaalie lizki mtoe malazi mama yangu wafungue watoto wangu vifungo wawe na akili shuleni wajaalie Imani ya hofu juu Yako nahekima amina

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 3 месяца назад

    Allah nijaalie Mme mwema mweny kuwa Na hof Na Mungu Na ajue thamani ya mke,

    • @TURIYU
      @TURIYU  3 месяца назад

      Ameen mungu atakupa alie mwema inshaa allah

    • @ShamimShamy
      @ShamimShamy 3 месяца назад

      @TURIYU Amini 🙏 thuma amini

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 3 месяца назад +1

    Ya rabi mola wangu nifungulie milango wakuwa namafankio

  • @SalmaHamis-xs1mp
    @SalmaHamis-xs1mp 3 месяца назад

    Yarabi mwenyezi mungu. Naomba uniondolee vifungo mwilini. Mwangu na nijalie. Nipate mtoto kupitia kisomo hiki

  • @FatmaSaid-m6t
    @FatmaSaid-m6t 3 месяца назад

    Ya rabbi kupitia hii dua naomba uniondolee mifarakano na mpenz wangu tupatane🤲

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 месяца назад

    Kwa dua hii ya allah nifungulie mazito yote na uniponye na maradhi yangu

  • @SakinaRashid-qt1kw
    @SakinaRashid-qt1kw 6 месяцев назад +1

    Jazzakh Allah Kheir ustadhi kwa kisomo hiki

    • @TURIYU
      @TURIYU  6 месяцев назад

      Inshaa allah

  • @HumanTarian-c6t
    @HumanTarian-c6t 3 месяца назад +2

    Mashallaaah jazakallahul kher

  • @AmisaAmisi
    @AmisaAmisi 5 месяцев назад

    Wjazzakh alllah kheir allah akuweke maisha yenye barka

  • @nellymethews4111
    @nellymethews4111 4 месяца назад +1

    Masha Allah yaa Allah akuifadhi🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @fatumamasoud
    @fatumamasoud 8 дней назад

    Allahamdulilah jazakha allahurahim inshallah

  • @HajraMohammed-y8f
    @HajraMohammed-y8f 5 дней назад

    Kwahakika kisomo kizuri sn sn ni.mekipenda allah akulipe kheri hapa dunianj na kesho akhera

  • @Azuu-rq6te
    @Azuu-rq6te 7 месяцев назад +2

    MaashaAllah Ustadhi, shukran kwa kisomo hiki jazakah Allah khair

    • @TURIYU
      @TURIYU  7 месяцев назад

      Ameen

  • @LucyPatrick-x6v
    @LucyPatrick-x6v 5 месяцев назад

    naomba Allah anifungue kupitia Dua jili aniwekee wepes maisha yangu

  • @SheilahMbilo
    @SheilahMbilo 4 месяца назад

    Mwenyez mungu anifanyie wepesi🤲

  • @Aisha-o4v
    @Aisha-o4v 8 месяцев назад +1

    Shukran Sana utd mm nilizaleo kusiliza hii duwa baada yaswala yalifajiri kunakitu nilisi kwenye futilangu la mkono wakuchoto nilisi mtetemeko kama marambili una faya kisha una puzik kisha una tetemeka tena badae nikasi maumivu kwambali chini ya unyayo karibu na kidole ngumb mngu huohuo😢 bada yahapo yakarudi tena sem yengine mngu huohuo

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад

      Oky hio ni aina ya ushaitwani wa kichawi dada Aisha hivyo kithirisha kusikiliza hio Dua ili upone kabisa tatizo ulilonalo inshaa allah

    • @Aisha-o4v
      @Aisha-o4v 8 месяцев назад +2

      Inshaallah Allah atufaye wepec naww akupe Uri mrefu weyeheri Na ww uzidi kutupa Kile alichokujalia Allah Sisi hazuna chakukulipa Ila Nina ima Allah ataenda kukulipa bidhinilai

  • @mainaally6197
    @mainaally6197 4 месяца назад +2

    Ewe Allah nakuomba kupitia Dua hii niondolee mikosi mabalaa nuksi mitihani yote vifungo mungu wangu niondolee 🤲

  • @FatmaBuda-q8r
    @FatmaBuda-q8r 6 месяцев назад +1

    Mashala kaka angu

  • @DanielaYazidi
    @DanielaYazidi 2 месяца назад

    Nakuomba ee Mora wangu nifungue vifungo vyote vinavyo nizuia kupata haki zangu baraka ridhiki mmume bora kwangu na watt wangu familia yangu ee mora wangu nifungue vifungo vyote

  • @FaidaAbedi
    @FaidaAbedi 7 месяцев назад +1

    Shukran sheikh kwa kusoma ichi

    • @TURIYU
      @TURIYU  7 месяцев назад

      Inshaa allah

  • @Mudrckii
    @Mudrckii 5 месяцев назад +2

    Sheikh asalamkum samahan san mm namba uniombie Dua nip ate mke maan kila ninapo enda sipati naomba uniombie duwa

  • @nellymethews4111
    @nellymethews4111 4 месяца назад

    O yaa Allah subhana Allah wafungulie wanangu milango yao Rasheed, oketch, Zainab, na daud, yaa Allah nakuomba subhana Allah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @MariamMohamedMohamed-o5s
    @MariamMohamedMohamed-o5s 4 месяца назад +1

    Yarabinifanyie wepesi Katika utafutaji Wangu WA riziki

  • @zainabusaidi8161
    @zainabusaidi8161 3 месяца назад +1

    Nashukuru kwa duwa na Mimi naitaji duwaa hii

  • @nellymethews4111
    @nellymethews4111 4 месяца назад

    Yaa Allah nakuomba kupitia Dua hi pokea maombi yangu Subhana Allah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏❤

  • @rukiamhaka123
    @rukiamhaka123 3 месяца назад

    ya Rabi nakuomba unifungulie milango yaliziki nakipato inshallah

    • @TURIYU
      @TURIYU  3 месяца назад

      Ameeen

  • @herziminamaige7383
    @herziminamaige7383 5 месяцев назад

    Jazzakalahu kheri ln shallah masha Allah

  • @ashantomola9142
    @ashantomola9142 3 месяца назад +2

    Ya Allah naomba unijaalie mume bora mwenye kuijua thaman ya mke na mwenye hofu ya Mungu🙏🙏 Ya Allah nakuomba umuepushe mama yangu na husda za wanaadam na pia muondoshee maradhi yanayomsumbua kila sku🙏🙏

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 7 месяцев назад +4

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU AKUJAALIE JANNA ❤❤❤❤❤

    • @TURIYU
      @TURIYU  7 месяцев назад

      Ameen shukran

  • @ZainabuSaid-f8b
    @ZainabuSaid-f8b 2 месяца назад

    Yeah rabi nifungulie mikosi yote niliyo nayo nahitaji mume mwenye hofu yako mwenye upendo

  • @aliah_amri
    @aliah_amri 4 месяца назад

    Ya Rabbi! kesho maenda hospitalini nifanyie wepesi na unifungulie milango yakila kitu na unipe afya hiliyo njema 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi 4 месяца назад

    Shukran maalim

  • @FatmaBuda-q8r
    @FatmaBuda-q8r 6 месяцев назад

    Asante kaka angu kwa suwa

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 6 месяцев назад +1

    Jaazakhallah kheir ❤

    • @TURIYU
      @TURIYU  6 месяцев назад

      Ameen

  • @ZamzamAbdhul-w2s
    @ZamzamAbdhul-w2s 5 месяцев назад +10

    Ya Rabi mola wangu nifungulie milango wakuolewa mm saumu ayub nakuomba

  • @SaidiKilobo
    @SaidiKilobo 4 месяца назад

    Jaazak allhah kher

  • @pilikipengele963
    @pilikipengele963 4 месяца назад

    Yarabi nifungulie yaliyo magumu na ndoa yangu isimame yarabi afya Kwa ajili yangu na family yangu yote.

  • @AbubakariMiraji-j6y
    @AbubakariMiraji-j6y 4 месяца назад +1

    Ehee mola wangu nijaarie nipate ndoa na mume bora

  • @luvunomgala1549
    @luvunomgala1549 4 месяца назад

    Mashallah,kupitia dua hii namuomba Allah anifanyie wepesi kwa kila jambo InshAllah

  • @ZuberiSadi
    @ZuberiSadi 4 месяца назад

    Amin

  • @Djididkdiididi-n1k
    @Djididkdiididi-n1k 5 месяцев назад

    Marshallh

  • @AsiaAbdalla-n6h
    @AsiaAbdalla-n6h 4 месяца назад

    Yaa Allah nifanyie wepesi kila penye uzito

  • @tausiabdallah6402
    @tausiabdallah6402 7 месяцев назад +1

    Isha allah Allah akujaalie kheri 🤲🤲

    • @TURIYU
      @TURIYU  7 месяцев назад

      Ameen shukran dadaangu

  • @rehemalilonga9329
    @rehemalilonga9329 6 месяцев назад +1

    Masha Allah

  • @naelahmed6533
    @naelahmed6533 4 месяца назад

    Ya rabi mola mjaaliye moto huyu nadia à zae kwa hara-kiri n'a salama

  • @gracesultanAlfred
    @gracesultanAlfred 3 дня назад

    yaa rabby nifungulie vifungoo vyote

  • @ashtube1333
    @ashtube1333 4 месяца назад

    MashaAllah

  • @FatumaRashidi-jk5ki
    @FatumaRashidi-jk5ki 5 месяцев назад

    Amina

  • @RajabAli-w7n
    @RajabAli-w7n 17 дней назад

    Amini Amini 🤲 🤲 🤲

  • @Mwanahawasued-ed8sw
    @Mwanahawasued-ed8sw 4 месяца назад

    Mi naomba mwenyez mung anisaidie niolew na baba mtot wang alphns ewee mwenyez mung niwekee weoes kuoitia dua hii

  • @AnisaYusuf-o1z
    @AnisaYusuf-o1z 2 месяца назад

    Yaarab nifunguli milango bahati zangu

  • @NeemaKizulege
    @NeemaKizulege 6 месяцев назад +1

    Inshaallah

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 4 месяца назад +1

    Yarab niindeshee vifungo vyote maradhi kila kilicho kibaya mwilini mwangu inshallah 🙏🙏🙏

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass 8 месяцев назад +2

    Mashallah

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад

      👍

  • @Zubida-v7r
    @Zubida-v7r 5 месяцев назад

    Amin 🙏🙏🙏

  • @Aisha-o4v
    @Aisha-o4v 8 месяцев назад +1

    Shukran usitazi kwa duwa

    • @TURIYU
      @TURIYU  8 месяцев назад

      Inshaa allah shukran