PST DR. NGARUIYA - INTERPRETATION OF DREAMS
HTML-код
- Опубликовано: 9 май 2022
- Join this channel to get access to perks:
/ @pastorngaruiya
HEALING,POWER AND GRACE IS FROM GOD.HE WILL BEAUTIFY YOUR LIFE.
FOR PRAYERS AND CHURCH SUPPORT CALL/SMS 0710180200
#PASTOR NGARUIYA
Am here after kutoka kwa the Ambassador of Peace.... Baruthi
Thank you Pastor, im Nancy i hv encountered such dreams, seeing people eating food, seeing human waste, i struggle to pray looking for words , laziness of praying, forgetting the scriptures i hv to keep on reading again and again, i hate joining fellowship and what to say, i cant understand the questions while my fellow brethren flow in words how i miss to be blessed like them, pray for me for a break through, i believe nd Amen as you pray.
Very true one of our frd in Saudi alidungwa sindano na cucu now she is late
Thank you so much PST, I believe Mungu ananifungua kutokana na hii spiritual husband
God bless you pastor Ngaruiya for this topic na kutuombea Sisi wenye tunafanya kazi gulf.Nimeokoka na Huku vita ni vikali.But our God is faithful and his mercies are everlasting.Mimi kwenye nafanya kazi hizo vitu ziko za kulinda Mali,Mzee WA huku amejaribu kunitoa kafara,kunirushia magonjwa but Mungu amenipigania.I thank God coz chochote huwa ananipangia Mimi huonyeshwa Kwa ndoto nafast nafunga.So akijaribu Jambo Lolote Mungu ananipigania.So amebaki kunimanipulate daily na ndoto za spirit of backwardsness,poverty na confusion.Hawa watu ni evil.Huku ni uokoke vizuri na ushi kusoma neno,kuomba na kufunga nimepigana vita na hizi demons mpaka territorial demons.My Lord Jesus Christ has been my saviour.Hapo Kwa vifo mingi ni za kuliwa then wanasema mtu alijiuwa.Ni mengi nimejionea Huku gulf,naishi kuombea wakenya wenzangu coz mambo yako Huku,we are at the mercies of our Lord.Zidi kutuombea hizo ndoto mbaya zituondoke.Leo nilikuwa naota na chupa ya olive oil ikiwa na damu ndani na ilikuwa imebaki kama quarter ijae, ilikuwa kitchen na kulikuwa na Giza.Nikajuwa hiyo ni sacrifice inatakikana.Kukawa na sauti nyumba yangu ya mtu mweupe ameva nguo nyeupe akaniambia usiogope.Nikamka na kuomba.
Gulf si mchezo nilifurugua kazi ikaisha juu ya maombi.kafara nilifanyiwa ni Neema ya Elohim niko uhai siku ya leo na damu ya Yeshua Messiah.
This is very true coz it happened to me when my bro was killed.he always came to me to explain how he was killed untill I was prayed for by my pastor
Very true pastor,I went through hell in gulf,I was even kneeling to pray,nakuwa slapped,most of time naskia nikiwa pressed my life is a testimony kuona I'm still a life.
Thank you Rev you all help me spiritual
Thank you man of God for the word of God. As for me I'm in gulf and I have experienced such dreams in this year. Mimi hata sijawahi kuota ndoto kama hiyo juu nilishindwa ni ndoto ama ni nini? Katika hiyo nyumba nilikua nimelala then niliona boss wangu amekuja akanikalia kwa mgongo nikiwa nimelala akaanza kuninyonga from behind,kifua amenibana hadi nilikua naskia uchungu huku ameniyonga. It was terrible then kibahati nikaamka haiiii! Hata kuelezea ni ngumu juu even after kuamka nilifeel the same pain. Haki niliomba na nikakemea but after few days tulikosana na huyo boss na nikachange nyumba. In the next house niliota the same but a different man . Naomba Mungu aendelee kunipa nguvu ya kuomba
Sure hyoya ngaoni nina ukweli nimeyashuhudua mungu tukomboe
Amen , we are covered by the blood of Jesus Christ.
In every dream or vision there is positive en negative side of it.the most important is to pray about it.kuna aina tatu za ndoto.first from Elohim, second from your own (muihoro wa ndeto) en third one from devil.
Sure my neighbor is a Muslim Kikuyu woman and Somali man very wicked people they manipulate my husband My whole life they fight me day and night because I'm very prayerful,I relate very well with what you are saying,God talks to me whenever they go for majini and I get power I pray in tounges and I fill in the spirit they are damaged but it's a battle field,pray with me, I wish one day they get saved and I believe they will
Very true pastor am a victim too this spirits are real and true,when I wake up at 3pm kuomba nasikia presence za mtu kwa room yangu and some strange voices hadi unaogopa kuomba...twahitaji maombi huku it's not easy here at Gulf
This is true pastor 🤦♀️lakini mimi nilikataa hizo vitu kulala na mimi na ikakuwa shinda kwa hiyo nyumba ikabidi nitoke ata kama sijalipwa 😂washidwe katika jina la yesu.
Thanks pastor me I always dream with my mother tukiwa na yeye kwa nyumba mzee sana and she's no more
Amen praise Heavenly Father
lm waiting to hear from you savant of god I'm watching from saudia buraidah qassim
Amen Jesus and Amen 🙏🏿
Very true pastor...once in a while naotanga nikihave sex naamkanga nikiwa chini sana kiroho hata sitaki kuomba but now I will pray Mungu anipe neema nisirudi nyuma
Tuned♥️
Ngai urohingiria cioneki na iroto ciakwa
tuned in
Please also pray for me in Italy. I also usually experience those things once in a while.
First dream nliota vile nlikuja gulf inaniogopesa till today 😭😭😭ata sionagi Kama ni doto ju nliamuka after kuachiliwa it was very really
Usiache kuomba na ukiomba omba kimoyo moyo moto na damu ya yesu iwe ndani yako dada ukiamka omba ukifanya kazi zako ambia mungu akutangulie na usipewe mabaki ama chakula ujui kwenye wametoa be smart nimepitia alot alot and that's why nakushow ivo na oga na chumvi ile kubwa na room yako mimina hiyo chumvi na kidogo eka kwa poket ya nguo unavaa utakua poa nilichanuliwa na uwamini huwa hazisikizani na hiyo chumvi utakua poa
Pastor Ata mmi nataka kuombewa niko gulf na Kuna ndoto niliota madam akiniambia ur days are numbered...na niliomba sana
New comer from miharati mahinga🙏
Amen
Eating in the dream machakula huwelewi😭😭😭 na watu hujui places hujui. Siku yenye ita land Kenya hivi nakunja direct kwa church i really need deliverance
Pray against attacks like stagnation,delays,sickness,backwardness ,failures.
@@mamafavour21 hey mama favour unaeza nisaidia niliota nimeona 1111 kwa sky
Very true
Mimi najua nakuanga na hunduma ndani yangu,, lakini sijijui
That's true about gulf
every marriage or ministry is at war. We seriously need to pray at all times. poop is defilement and shame
True pastor from nikunje huku gulf ndoto zenye Mimi na dream ni za watu waliokufa. Na Kuna hizi owl I always dream nazo . But Mungu hunipea nguvu na naomba nikiwa kwa ndoto Zina melt zinaisha. Then Kuna ingine nimeota mara mbili. Nikinyonyoa matiti , cos the first day I struggled with the man in the dream alisema hatuwezi kukuacha hivo.
Wah niliota pia waiguru akininyonya matiri.then namfanyia kilesbian 🙆🙆🙆but I always pray heard
@@maryemmanuel3735 omba sana ba uamini kemea hiyo spirit na ulale na Bible
mimi niliota na waiguru alikuja kwa kitanda yangu aka niambia nimsongee but we did nothing but was very surprised. i have never met her in reality
I always so number in my dream,
Nataka nikuwe na neema ya kijua vile ninaota kwasababu mara nyingi sielewi
Praise the Lord Jesus... thank you for this platform...I'm DINNAH from Eldoret am saved... kindly help me understand this dream...in the first part I saw the sun releasing red smoke and I started running....in the second part I was taken to my home and again I saw the sun on the ground not that bright.. Aman appeared with some big metal cup to cover the sun and as I looked up on the tree near our home I saw the sun again shinning... please help me understand... thank you
Call me with this number 0710180200
Say a word for my son mteganishe na roho ya shushu yangu aliekufa,nilipotoka gulf niliambiwa ati alikua anaambia watu shosh huwa anakam wanaongea na mimi nilimuuliza akakataa kabisa(Alex mutiso)
Hey pastor pliz niombee nimepitia magumu machungu kutharauriwa bila sababu, nikumbuke niachanishwe Na hayo maroho Na mungu atakubariki.
Pastor at times I do get dreams but by the time I wake up I can't exactly remember what I dreamt, how can I be helped out of this? I always pray before I sleep
Surely it's very true huku kulala ni sida.mimi naionaga maroho Surely kulala ni shida
Ukiota na nyumba kubwa ikiwa inajengwa,niliona sisi tukileta mawe
It happens even in my real life I feel something getting in my body going down my stomach,to my back and my pri...the..prts
Wooiye
@@pastorngaruiyaI need your contact please
Last week idreamt a snake 🐍 entering in my private part..
Hello pastor am Nancy help me to understand some of my dreams, I always dream with my late father, my 2 uncle and when they appear in my dream something must be wrong at home. Another one I dreamt with my neighbor and he is late too and he was telling me to be very care on my way someone has put witchcraft on my way I step on it he told me to jump when I was to jump I wake up. Another I saw a screen ikiwa na picha nusu za wanawake na mwangaza ilikuwa mingi ilikuwa inafanya nisione wote majina yao kila mtu alikiwa ameandikwa kwa nini hanjapewa na wengine wameolewa na nikama hawanjaolewa juu waancha mabwana wao wanaendea wengine wa kado .
Na kulala ukiwa umeangalia juu am I the only one who dream bad if nikilala nimeface juu
Dreamt donating blood what is the meaning
Kuna rafiki yangu ako huku Saudi Arabia ameota analala na mwanamke tena akaota analala na mwanaume,akaota pia butterfly ikamkujia akaitandika teke ikaanguka huko kidogo akasikia uchungu kwa tumbo akaomba kesho yake akatapika sana tena akaota nyoka imekuja akaiona hivi inampulizia kitu chungu kama pilipili na anameza akaikemea akaamuka akaomba kesho yake akatapika sana do sasa hivi ako chini kiimani ako tu kuomba hawezi amerudi nyuma hajisikia na maombi wala neno so what you are saying is true watu wako gulf usiku wanakuwa tortured spiritually na wakiamka it happens physically asante kwa hili somo nomebarikiwa sana remember her on prayer also
No wonder vifo ni mob fanya hivi ambia rafiki yako kama kuna ile chumvi kubwa si the normal one. akienda kuoga atake karai aiweke iyo chumvi ndani aoge nayo kuanzia kichwa then atake chumvi amimine kwa room yenye analala mpaka chini ya bed then atake kidogo aweke kiasi kwa tissue aifunganishe aweke kwa pocket yake ya nguo anavaa ataona mabadiliko then akue na faith na aombe asiombe wakiona na asiombe akishout no no no kuomba huku ni ngumu unaomba ukijificha ata kwa bafu so usiwai onyesha mwarabu unaomba
Mambo wanazo zifanya hazi sikizani na maombi inakua ni vita nimepitia mm pia nilichsnuliwa na rafiki yangu mwambie afuate vile nimesema ataona mabadiliko hiyo chumvi afanye kisiri aichukue mapema aweke kwa room yake vitu anarushiwa ama zinamuingia zitatoroka huwa zinachomwa sasawa
Then learn to fast it's the best weapon trust me fasting and praying ukifanya kazi zako lords prayer anywhere lords prayer watashindwa waachane na wewe ama urudishwe ofisi I passed through alot the first house but mm si shindangwi ndio najipa nguvu nasema shetani hauna mamlaka hata kidogo kwangu na familia yangu unapigana na vita whatever you ask God that's what you'll be given ata kama nikutika kwa iyo hao uende kwa enye iko afadhali like me
Rebuke spiritual husband na wives
what does it mean if a lady dream in fight with his older son untill she injure him badly
Pray against spirit of Anger inataka imharibie mambo zake mingi
Pastor i have been dreaming and i pray about the dream but later inatokea , what am i supposed to do when i dream sir, and i also dream with food soooo much and also with my late father and am tired
Pastor i need prayers to separate me from the dead
Hello pastor niko gulf na ninaomba number yenye naweza kaongea na wewe kwa watsapp please I need deliverance na maombi mingi katika maisha yangu
Dreaming interpretation of new house
Ukiota Uko Kanisani Unahubiri Kuhusu Imani, alafu Madhabahu inatoka inasonga katitaki ya church, na hapo kwa madhabau kulikua na mtu amevaa kanzu ya white amelala hapo. Na Mchungaji Mwenye Kanisa hakuwa, washirika wote walishangaa, Mchungaji alipokuja pia akashangaa sana Na alikua
Na Rosary akaanza kuomba nayo but nothing changed what does it mean?
Angalia kanisa unayoenda imelala kiimani yaani iko tu na hakuna kitu ya kusoma wala ya kukusaidia huko na ndio maana mchunganji alikua anaomba na hakuna kitu kilibadilika.huyo mtu mwenye kanzu amelala ni hakuna imani yoyote humo kanisani na ndio unaona ukihubiri kuhusu imani.
Hapo kwa jembe, ni kwa sana.🤣
I always dream being on exam room,not once or twice 🙁🙁🙁
There is something God anataka u learn bt haulearn
@@mamafavour21 wuuuiiiii 🥺🥺🥺🥺
Church
Gani hii please
Kingdom seekers kitengela
@@shiphrahblessing284 Iko kitengela wapi
Mimi niliota nikipewa nguo ya purple na viatu ya purple,,tena nikaota nikifanya watu deliverance,,nanikaota nikiombea watu wagonjwa wanapona
I had same dream rebuking and calling JESUS..past 2days
You have a gift in you.so need to pray about it bcz soon you shall be praying for people deliverance
Oh, such a beautiful dream, you need to pray pray and pray! Don't allow that to be stolen.
Remember me in your prayers
You have a calling pray for it soo hard
Cjackia ukisema namba yako plz
Pastor Ngaruiya - 0710 180 200
You never reply texts
Kuvuta sigara
Mtu mwenye kiburi hapendi kuambiwa au kuelezewa
Hey pastor l have a sister who sees my late mother not in dream either walking, seated or travelling
Nimeota mara kadhaa nikipika chapo
Going through hard times
@@mamafavour21 hey