Uteuzi za wanachama wa ODM kama mawaziri, yazima mazungumzo ya Gen Zkuhusu utawala bora

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Matukio ya kisiasa hivi karibuni, ikiwa ni pamoja na teuzi Za wanachama 4 wa ODM katika baraza la mawaziri la Rais William Ruto, yanaonekana kuzima mazungumzo ya kitaifa yaliyoanzishwa na GEN Z kuhusu utawala bora. Kwenye majukwaa ya kisiasa, ajenda imerejea kwenye siasa za watu fulani, na kama anavyoarifu Ibrahim Karanja, kujipanga upya kwa wanasiasa kwa mara nyingine kunatishia gumzo muhimu kuhusu maslahi ya wakenya.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 31

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian 2 месяца назад +5

    Jameni ni lini Vijana wataajiriwa ikiwa bado mnawarudisha waliofika menopause kwa serikali..... useless.

  • @johnkariukimungai5211
    @johnkariukimungai5211 2 месяца назад

    We can now talk since my tummy is full😂

  • @kimathi7118
    @kimathi7118 2 месяца назад +2

    Sasa Joho ni uongozi Bora,

    • @bethkibebe2501
      @bethkibebe2501 2 месяца назад

      Let him show us what he did in mombasa kama govern for 10 yrs

  • @kitony
    @kitony 2 месяца назад

    It’s sad the agitation ended with Katarina becoming a cs

  • @blessedramsey396
    @blessedramsey396 2 месяца назад +2

    Ati yazima Gen z!! We are going to fight...we must liberate this country.

  • @sasourgeneral206
    @sasourgeneral206 2 месяца назад

    BIG UP RAHIM KARANJA

  • @antonykioko9709
    @antonykioko9709 2 месяца назад +1

    Sasa kuungana kwa serikali na. Raila. ndio ilikuwa inaadamanisha nchi

  • @chrispineochieng3612
    @chrispineochieng3612 2 месяца назад

    I am becoming worried with Nation....

  • @elisamotv
    @elisamotv 2 месяца назад

    Politics is a dirty game.

  • @STEVEKASINAOfficial
    @STEVEKASINAOfficial 2 месяца назад +1

    😢😢😢😢

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 2 месяца назад +1

    Ruto is a cunning politician usicheze na yeye

  • @chucknose
    @chucknose 2 месяца назад

    Tuko pabayA Leo kuliko jana

  • @bethkibebe2501
    @bethkibebe2501 2 месяца назад

    Hapo hakuna new faces,bt the corrupt faces.

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 2 месяца назад

    Raila Amolo Odinga alikuwa na kiherehere sana hata yy angetulia akae kando banaa angonjee 2027

  • @AishaOmaromar-w2t
    @AishaOmaromar-w2t 2 месяца назад

    😂😂😂😂gashagwa ameosogea haraka karibu na ruto asiwe na baba karibu 😂

  • @christine848
    @christine848 2 месяца назад

    Any reaction is triggered with a bad experience, the government should be curious as to WHY?

  • @STEVEKASINAOfficial
    @STEVEKASINAOfficial 2 месяца назад +1

    Wajaluo saa hii ni nyi wasaliti😂

    • @OumaOduori
      @OumaOduori 2 месяца назад +1

      GenZombie hawakuwa na ukabila? Hili la Waluo limetokea wapi?

    • @brianwilly-yj3od
      @brianwilly-yj3od 2 месяца назад

      ​@@OumaOduorizombie ni ww mbwa ww

  • @VictorOsinde
    @VictorOsinde 2 месяца назад

    Waja Fanya tana alafu tupewe matiangi

  • @kimathi7118
    @kimathi7118 2 месяца назад

    Conman and Zakayo are evil. RIP 60 gen Z killed under RailaRuto

  • @josephnganga8010
    @josephnganga8010 2 месяца назад

    Raira ata ruto anajua Hana akili,Raira nikama mtoto ng'ombe ya mtu