Wakulima kutoka Dar es salaam hadi Dakawa mashamba ya mpunga
HTML-код
- Опубликовано: 21 июл 2020
- Ni kikundi kipya cha vijana ambao tumeajiliwa ktk kazi tofauti ila tuna amini ktk kilimo ...
Karibu ktk mkutano wetu wa kilimo tarehe 2 August ..pale Jaromax .... ili usikie fulsa ya kilimo
Hapo sauti ipo sawa kaka, niombe namba ya simu ndugu yangu
0764 536 790 hiyo kwanza sio sawa
Na mashamba vipi yanapatikana kiurahisi?
Mashamba yapo kaka
Kaka nahitaji kujiunga kwenye group lenu naomba muongozo naomba namba yako
+255 764 536 790 check me whatsapp karibu
Habari kaka