Ndio m.mke mweusi Ana mapenzi ya kweli maana anahofu ya kuachwa na akiachwa bc atachukua mda kupata mwengine na m.mke mweupe anajua akiachwa weupe wake ni rahisi kupata mwengine
Tutowe somo kidogo kwa mkojani na kwa wengine: talaka moja mwanamke hatolewi kwenye nyumba pia eda sio siku 90 yani miezi 3 bali ni hedhi tatu kwa anaepata hedhi na ambaye hapati hedhi ima kwa udogo au kwa kufikia umri wa kukata tamaa na hedhi huyo ndio anakaa eda miezi mitatu. Na Allah ndio mjuzi zaidi.
Mkojani ata Kama movie lakin muwe mna tumia akili uwezi muacha mtu njiani vile una kuja huku una ongea mda wote huo unge peleka hospital au nyumbani then ndio umfate sele
Sijawahi pata lake hata moja leo naombeni basi
Wa Kwanza Mimi Leo kama unamkubali Mkojani GONGA LIKE HAPA
Ila hyu chandim anajuw sana tumpe maua yake🎉🎉
naomba like zangu jamani from Tanzania
Mchojqni jimependa apa kbx❤❤❤❤❤❤❤
Mkojan fanya mazoez kitambi hicho au ndio ukojani huo
Kazi njema , mafunzo na burudani tele.Hongera🎉 Wakuu.
Chandimu utakuja yaipia kwa yote😢
Wanawak wakipenda wanapend kweli jamani
Apa viola umeact kweli mmpenzi kulia tu bwana mwenyewe boya tu
Mkojani namkubali kama mze majuto yani una act kama yeye
Em t0en maon s0 kusem wakwanza mimi
Wa kwanza kutoka South Africa jamani nipeni like zangu
Natamani sana kuja South Africa..mnisaidie
Nimepata mwenzangu wa south Afrika oyooo🎉🎉🎉
South Africa ya vingunguti
Wa kwanza nipeni like zangu please🙏🙏
Chandimu sie tupo pale
Chandimo você é muito mão e depois vai se arrepender
Mkojani utaniachishaa hadi nimeunguza nyama leo 😂😂😂
Mkojani filani zote hii umetisha from muscaty oman
Daaaa chandim namuona mbali sana anaonekana atafata nyayonza mkojani
Hatali 😂😂
Mkojani anajua sana....na chandimu ni kama mtoto wake kweli wanaendana sana
Wa pili jamani
Wale wanao Angalia Hadi mwisho ndo tuna comment tujuane
Selemaniio unanifurahishaa sanaaa
Selemani kama selemani😅😅😅😅😅
Nimeipenda sana hii Movie.
Ila inavyo onekana Mkojani atamuowa Ver
Kizazi cha tiktok 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkojani uko juu bos 😂
Team mkojani gang muko vizuri sana 💯💯 💯
Team mkojani hoyee!!!
Mkojani uko vizur kwenye dini mashaallah❤
Tena black beauty wana mahabba mzee we acha tu
Mkojani atachukua mzigo huu mtakuja kunambiaa
Mkojani yaani siwezi amini kwa subra hii yaani umecheza movie bila makofi kupiga chandimi😂😂😂😂😂😂
Huo mshati wa mkojan
Big up mkojani walai hakuna kama wewe
Wahi mm from Oman
Mkojani na Chandimu jau saana😂😂😂😂😂
Aaah we mkojan ni Zaid ya talented man
Nimekuwa wa kwanza leo mkojan gang
Apa full package Burundi na elimu mkojani Kaka we kiboko 12 ifate mda hu
Chandim anapenda jimqma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Ila mkojani na chandimu bwana🎉
Sele kama hamonaizi kwa majimama
Sijuwi kama niko wangapi nipeni maua yangu 🎉🎉🎉🎉
Ndio m.mke mweusi Ana mapenzi ya kweli maana anahofu ya kuachwa na akiachwa bc atachukua mda kupata mwengine na m.mke mweupe anajua akiachwa weupe wake ni rahisi kupata mwengine
😂😂😂😂😂😂 mkojani unatembeaje et shob
😅😅😅😅chandimu kawa jiniazi😅
Anko jani katisha🎉🎉🎉
Sele mijimama is typing
Good good 👍🏾
Sijakuzoea hivyo mkojan mbona humtii makofi huyo kiumbe anakupanda kichwan😂😂😂😂
Dah sele😢😢😢😢
Dini yangu Haa u laa I Haa u laaa i
Wakwanza leooooo
Nipo hapa from 🇰🇪
Wangapi mim😊
Kama kuna mtu ana tabia ya Sele basi tutachomwa moto sana😢😢
Hii kali sana mkojan kumuweka na Ringo afadhal kdg 😂😂
🎉🔥🔥🔥
Honger❤❤❤ mkojan
Oya iyo nyimbo koi iachie mapema nimiielewa kazi
Song kali sana yn
Tutowe somo kidogo kwa mkojani na kwa wengine: talaka moja mwanamke hatolewi kwenye nyumba pia eda sio siku 90 yani miezi 3 bali ni hedhi tatu kwa anaepata hedhi na ambaye hapati hedhi ima kwa udogo au kwa kufikia umri wa kukata tamaa na hedhi huyo ndio anakaa eda miezi mitatu.
Na Allah ndio mjuzi zaidi.
Mashallah ❤❤❤❤
Mambo ni fire from kenya
Asanteni mpo vizuri sana. 24.04.24.
😂Zz😊
😂😂😂😂 mkojan bwana
Mkojani ata Kama movie lakin muwe mna tumia akili uwezi muacha mtu njiani vile una kuja huku una ongea mda wote huo unge peleka hospital au nyumbani then ndio umfate sele
100% sure🎉
it's true
❤❤❤
🎉
🔥🔥🔥
🔥🔥
Nice
❤❤❤❤
Sele ❤❤
taraka au talaka
TALAKA
😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉
🤝
Ndio
❤♥️♥️♥️♥️
🎉🎉🎉🎉❤
😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂🎉
shukran
😅😅😅😅😅😅😅
🎉🔥🔥🔥
❤❤❤