Kisima Song Bhazunize ( Part 2 ) By Maningu Touch Tz

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #Kisima #Mpya2024

Комментарии • 32

  • @JohnLumanija
    @JohnLumanija 21 день назад +1

    Kaz nzuri xanaaaa,,,,

  • @UgooUgoo-g6z
    @UgooUgoo-g6z Месяц назад +1

    Karibu nyankomogo kisima next year

  • @Paulomashiku-i3o
    @Paulomashiku-i3o 11 дней назад +1

    Watakubali tu huu mwaka tumeteseka sana watu wa bariadi acha na sisi tuiteke asili

  • @felefumagaka6975
    @felefumagaka6975 Месяц назад +1

    Wewe ni mashine ya wasukuma nakukubali sana

  • @GabrielsimonKilulya-ek7dc
    @GabrielsimonKilulya-ek7dc 3 месяца назад +2

    Unapo mtukana mtu jiangalie sana sawa shabikia mziki mziri ndugu yangu usijaribu kuwatukana watu

  • @MathiasSanjo
    @MathiasSanjo 12 дней назад +1

    Kweli kisima jembe

  • @nicholauslupimo2851
    @nicholauslupimo2851 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri Sana ila umetunyima chorus

  • @LidiaRobati
    @LidiaRobati Месяц назад +1

    Katika wasanii wa asili hiki kichwa hakika wakukifumania na kukijua kinaplan ghan katika game la kisasa hakika hayupooooh... Hakika 𝐊𝐈𝐒𝐈𝐌𝐀 𝐍𝐘𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐌𝐀𝐉𝐀𝐁𝐇𝐀𝐋𝐀 Huna mfano wa kukutaftia njia simuoni katiga game hili

  • @busunguJohn-mr5zi
    @busunguJohn-mr5zi 3 месяца назад +1

    Bhudala bujiga one salute msalimie ng'wanampigachai unatisha

  • @IsayaJuma-z9e
    @IsayaJuma-z9e 2 месяца назад +1

    Ni lazima uje kila m2 mashabki wake ko ningumu kukulazimxha umpende kisma au gude ,,ila kwangu mm kisma tupo juuu

  • @SamweliMasalu
    @SamweliMasalu 2 месяца назад +3

    Pamoja san kaka

  • @AmosiMichael
    @AmosiMichael 3 месяца назад +1

    Nakubali kaka unajua mzici

  • @sylivestermpanda5107
    @sylivestermpanda5107 3 месяца назад +2

    Kisima hakika wewe huna mpinzani wanajaribu kubwabwaja TU ila kamwe hajapatikana wa kulinganishwa na wewe huo ndo ukweli wakatae wakubali huo ndo ukweli kwanza unakipaji Cha sauti ambacho huwezi kukipata Kwa msanii yeyote wa Ngoma za kisukuma nakukubali sanaaaaaaa!!! Nakupenda mnooooo!!! Nimimi mfanyakazi mwenzake na eng Joseph seleman tubanga ndani ya kasulu kigoma tunakukubali mdogowetu chapakazi mpaka wabanwe kuharisha hao wanao kuponda.

  • @FrancisSagenge
    @FrancisSagenge 3 месяца назад +1

    Bro unajua bhna,,,upewe maua yako🫡

  • @NdalahwaKahema
    @NdalahwaKahema 23 дня назад +1

  • @AmosiMichael
    @AmosiMichael 3 месяца назад +1

    Unatishi kaka

  • @SamwelThomas-r4t
    @SamwelThomas-r4t 17 дней назад +1

    Bhazunize

  • @NtemiGambishiMageme
    @NtemiGambishiMageme 3 месяца назад +1

    Acha kumzarau mtu hiyo ni kazi yake fanya yako usilolijua ni la usku wa giza hamuwez gude ulikuwepo tena usiludie

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 3 месяца назад +2

    Yani wewe boya wewe gude gude humuwenzi falawewe

    • @massanja221
      @massanja221 3 месяца назад +2

      Kaz yetu ni kupat burudani tu acha waimbane asili inachangamka

    • @Emma562
      @Emma562 3 месяца назад +2

      Sisi bana haya tuhusu kabisa tusikilizeni nyimbo tu mambo mengne tuachane nayo ÑIDHAM jamañ jaman

    • @MasanjaSamweli-b3r
      @MasanjaSamweli-b3r 3 месяца назад +1

      We fala tu unatukana kama nani au nani kakwambia kamuimba gude au shobo tu na ulimbukeni😢

    • @RachelThomas-ox3jr
      @RachelThomas-ox3jr 3 месяца назад +1

      Jaman povu la nn ss hayatuhusu tusikilize nyimbo mkiingilia yasiyowahusu hamna mtakachoambulia afu wao wanajuana msijejiumiza bureee

    • @Fabian-i2h
      @Fabian-i2h 3 месяца назад +2

      Hajamtaja gude wala nan, uboya unatoka wap.