Fix You: Mwanamke, haya ni Mambo Usiyoyajua kuhusu Wanaume, Fahamu jinsi ya kuishi na 'Mama's Boy!'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 130

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 2 года назад +11

    Tangu kipindi kianze show ni nzurii lkn hii dada irine umeuwaa ni hatar sana kila nilichokua nataman kusikia kipo tena kwa maelezo mepesi yanaelewekaaa safiiii sanaaa......sns to the world 💃💣💣💥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 2 года назад +27

    Let me give thanx to my brother Sky This is more than a tv,ukweli ni kwamba Dunia inahitaji content nzuri kama hizi Napata kila kitu bapa SNS ur my family since day 1 Fix You it's my favourite proggram 😊🙌🔥🔥

    • @mosesmkumbukwa9920
      @mosesmkumbukwa9920 2 года назад +1

      Heeh we jamaa upo hadi uku mzee 😂

    • @Mcsceo
      @Mcsceo 2 года назад

      @@mosesmkumbukwa9920 Huku ni uwanja wa Madini so lazima Tupate madini mkuu

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      ​@@mosesmkumbukwa9920kachepuka....

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +22

    Napenda sana hiki kipindi kwasababu, dada anauliza maswali nyeti sana

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 2 года назад +9

    Huyu baba ni 🔥mrudishe huyu baba kwa mara nyingine tafadhali tunahitaji kujifunza zaidi.

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 2 года назад +5

    Waaho nice kipind naenjoy balaa na sns nice content 👏❤

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +8

    Asante, please mlete tena bado tunamhitaji 😉😁🇨🇭🇹🇿❤

  • @zainabuabdulahi5012
    @zainabuabdulahi5012 Год назад +3

    Yaaani kizazi hichi ni kweli kuna mama's boy wengi ambao wapo sahii na mahusiano yanapata vurugu juu hatuna uelewe wa kuishi na wanaume kama hawa, lakini chamsingi ni wazazi pia waelemishe jinsi ya kulea watoto wao. Kudekezwa kumezidi

  • @IreneSantu-fd7kb
    @IreneSantu-fd7kb 10 месяцев назад

    Mh! Nimepona jamani asante sana Pastor🥰

  • @djwifivevo
    @djwifivevo 2 года назад +2

    Nipo hapa kutoka Tik Tok.... napenda sana mawaidha yanayodhihirishwa kwenye hiki kipindi.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Месяц назад

    Daaah eh mungu kwa hakika kipindi nakipenda mpaka bas

  • @nuriyatihgeorgekhan6042
    @nuriyatihgeorgekhan6042 2 года назад +4

    Napenda saana jinsi ulivyo hasa puwa yako na macho yako pia

  • @dullabenz5343
    @dullabenz5343 2 года назад +16

    Lilian Mwasha mara hii ameku mentor toka aje kwa show yako umekua vizuri zaidi.

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 года назад +3

    Irene leo kweli umeleta mtu mwenye experience hasa

  • @smay9
    @smay9 Год назад

    Big up my brother, Mungu wa Mbinguni akubariki mno, thanks for updating us

  • @echolude
    @echolude Год назад +1

    Man, this man just captured what i've been grappling with but not quite making sense. Thank you Irene and Deo! (listening from the states)

  • @Digalatz
    @Digalatz 2 года назад +5

    Kweli Kabisa Walimu Niwengi

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад +6

    Mada mzuri 🥰

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 года назад +2

    Pastor nakubaliana na wewe kabisa wanaume wanapenda sifa sana hawapendi kushindwa lkn kitu kimoja nimeona kwao wanaheshimiana wao kwa wao sio kama sisi wanawake

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 2 года назад +4

    I really enjoy de xhow

  • @nyarkamrumbeayoma6886
    @nyarkamrumbeayoma6886 2 года назад +1

    Hv na Tanzania tuna ma saikolojisti wazuri sana 👍🏽

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Год назад

    🔥🔥🔥 ni atali

  • @prisca4612
    @prisca4612 Год назад

    Wow! Amazing 👏👏👏

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 года назад +4

    Yupo sahihi 💯

  • @aminakassim831
    @aminakassim831 Год назад

    Daaaaaah nimezijua siriii

  • @sheilaally9490
    @sheilaally9490 2 года назад +4

    Wanahitaji ku heal inner child yao

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 2 года назад +2

    Jamani 👂👌🙌❤❤

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 2 года назад +3

    Genius 📌

  • @thierrytiti886
    @thierrytiti886 2 года назад +1

    Sukambi mtetezi wa wanaume 🤗

  • @salomekombo215
    @salomekombo215 2 года назад +1

    Asnte dada irene tuomba mlete tena pastor ana mambo matamu asiee nimepata kitu kizito big up broh🤝

  • @peptalk_by_kriss6237
    @peptalk_by_kriss6237 2 года назад

    Na kama
    mwanaume hajafunguka moyo wake (Kuwa Vulnerable) GivingUp control, Bado hajakupendaa🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @zuhuralugenge6649
    @zuhuralugenge6649 2 года назад +5

    Nimejifunza vitu vipya san leo

  • @annamnyari7127
    @annamnyari7127 2 года назад +2

    Nakubaliana na pastor kabisa kwamba misingi ya maisha kwa mtu yeyote yule inajengwa ndani ya miaka (4-13) kwa maisha ya baadae utakayo ishi.

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 года назад +2

    Asante nimejifunza

  • @loycep7785
    @loycep7785 2 года назад +1

    Asante sana Pastor kwa mafundisho mazuri ya mahusiano kumjua mwanaume sasa kazi kwetu na Mungu atusaidie

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 2 года назад +1

    Ama kweli friji haigandishi@ Irene♥️😘

  • @omarmahirizi-km8dc
    @omarmahirizi-km8dc Год назад

    Weeee huyu ni moto sana

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 2 года назад +1

    Nakuelewa sana pastor.

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 2 года назад

    Pastor ametufunua sana, kweli anaijua sana psychology

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 2 года назад +6

    Duh! Nimemkubali huyu jamaa. Yuko vizuri

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 Год назад

    Mamaz boy inaumiza sana

  • @magrethmhando5966
    @magrethmhando5966 2 года назад +12

    Woooh this was worth watching and listening 🤗🤗

    • @edithmende1975
      @edithmende1975 2 года назад

      Mawe siyo ya kawaida kweli hili ni darasaa

    • @apansiandossa4801
      @apansiandossa4801 2 года назад

      Unaitendea haki taaluma na kipaji chako Irene, hongera sana

    • @lovvy854
      @lovvy854 2 года назад

      Kabisa👌👌✌️

  • @Glorie711
    @Glorie711 Год назад

    Nawapenda sana kwa mafunzo yenu mazuri ❤❤❤

  • @KagemuloKashumba
    @KagemuloKashumba Год назад

    Na enjoy life tu...hili darasa napata mia😂😂😂

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 2 года назад +1

    Uwueeeh nmepata kitu apo thanks pastor

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 года назад +1

    Hongera sana wewe dada

  • @christinenibampa2675
    @christinenibampa2675 Год назад

    Ndomana ma chawa Wana win 😅

  • @LacksonTungaraza
    @LacksonTungaraza 2 года назад +12

    This's a masterpiece advise

    • @padilijamesmikomangwa519
      @padilijamesmikomangwa519 2 года назад

      He is conflating, lying, missing and pandering so many things. He thinks promiscuousness and ambitious men make MEN. Big lie. Identity is what makes men, men love sex, money and power is a coat we have to wear to move through life. This dude doesn't know what he is saying.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      ​@@padilijamesmikomangwa519welcome to the stage...we are eager to listen ur thoughts😊

  • @Mcsceo
    @Mcsceo 2 года назад +3

    Here We are again..😊

  • @angelmsacky5067
    @angelmsacky5067 2 года назад

    Ni kwel🙌

  • @obreydenzel7643
    @obreydenzel7643 2 года назад +1

    Worth hearing

  • @christinenibampa2675
    @christinenibampa2675 Год назад

    Ila kasema kweli

  • @hashawacompany7362
    @hashawacompany7362 2 года назад +1

    NI FIRE

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 2 года назад +1

    Upo sahihi sana

  • @rahelkiula1988
    @rahelkiula1988 2 года назад +1

    Nakipataje kitabu hicho Irene

  • @abdoulkarimnibigira8643
    @abdoulkarimnibigira8643 2 года назад

    Shukran saaana.

  • @omarmahirizi-km8dc
    @omarmahirizi-km8dc Год назад

    Kaka deo hapo kwa wanaume ni kweli hawawi sawa na hili nimewai kuliona maskani na wanavyo ongea

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +1

    Kweli kabisa 😍😍😍

  • @kingboss25
    @kingboss25 2 года назад

    Samahani, Je huduma Ya Kisaikolojia kutoka kwa huyu pastor inapatikana wapi Nina Uhitaji sana wa Hio Tiba 🙏

  • @zaqiamhando6522
    @zaqiamhando6522 2 года назад +1

    Nime fixsika🙌❤

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +5

    Tunaomba umlete kila wiki yaani huyu ni gwiji wa mafundisho ya mahusiano kiboko ya tiba anatufaa sana wana sns

  • @roseliku531
    @roseliku531 2 года назад +1

    Party 2 plz jamani daaa yani vitu vizito na vya maana

  • @anneotieno1037
    @anneotieno1037 2 года назад +5

    Hongera Irene. Kipindi kuzuri sana. Naweza pataje hicho kitabu?

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha 2 года назад

      Thanks dear! Kitabu anakiuza mwandishi, mwisho ametaja namna anavyopatikana

  • @mariej6962
    @mariej6962 2 года назад +3

    This was good. I left a guy simply because hakuwa mtu wa kusimama kivyake. Kila mazungumzo yanayohusu plans zake lazima family member atajwe humo, sijui mama, sijui kaka, ebo!. Nikasema kama ni kupenda nahitaji kukupenda wewe siyo ndugu zako, nikaona nitakosana na ukoo wake mzima.

  • @queenmunuo5269
    @queenmunuo5269 2 года назад +1

    Dada Irene nimependa kipindi naomba unisaidie kupata hicho kitabu pls

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Inawezekana ni kweli la kumbuka aliemsaidia ata Kama wameachana,

  • @Spiritualawakening2024-m4i
    @Spiritualawakening2024-m4i 2 года назад +2

    Good kipindi

  • @mnyampaa_kisasa
    @mnyampaa_kisasa 9 месяцев назад

    Hamna kitu, kila mwanamk atamjua mwanaum wake kivyake kwa aina na mazingira yake…hao wengi ma mentor sijui washaur ndo wa kwanza ndoa zak kuvunjika….😂😂

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 года назад +3

    Kipindi kipo poa sana

  • @agathamatambula538
    @agathamatambula538 2 года назад +1

    Duh siaminiki🙄🙄

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Год назад

    Mshauri mimi naomba msaada wa mawasiliano yako ili unishauri.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад

    Haya Iren nikionaga mambo yako basi huwa napenda kukuheshimu Kwa kutulia ili nifundishike au nifixiwe

  • @nancykimaro3845
    @nancykimaro3845 2 года назад +1

    🙌🙌🙌

  • @loicebaraza
    @loicebaraza 2 года назад +1

    Good job SNS,kazi nzuri Irene ,kudos

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 Год назад

    Yaani mumenitachi hapo kwenye over protected

  • @Abdulkarimidrissa
    @Abdulkarimidrissa 2 года назад +1

    Sns toka nimeanza kuwafatilia Leo mmenikosha kbs, halio yasema yote yamesha nitokea tayari

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 2 года назад +3

    Ndio maana uchawa upo kwa wanaume sio wanawake

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 2 года назад +1

    Masifa kabisa hahaha imekwisha hiyo pastor

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 2 года назад +1

    Imeisha hiyo🤣🤣🤣

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 2 года назад +2

  • @KagemuloKashumba
    @KagemuloKashumba Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 2 года назад +1

    Jmn mrudishe tena tunapata elimu

  • @paschalmkude7844
    @paschalmkude7844 2 года назад +1

    Aisee alicho ongea mwalimu nimemuelewa sana yaani natamani niwe kama yeye

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 2 года назад +3

    How do i get the books from this gentleman?

  • @alsam4881
    @alsam4881 2 года назад +4

    Ni kipindi kizuri kinaelimisha sana, Na naomba muongelee kuhusu wanawake wenye sauti kwa waume zao na kuwa control, na pia mke anakuwa na power kwa mume wake hadi anamtenganisha mume na ndugu zake .

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 2 года назад +1

    ❤️❤️

  • @mariamabdulazizi7987
    @mariamabdulazizi7987 2 года назад +2

    Anayo ongoa huyu pastor ni kweli kabisa, my ex husband alikua na insecurities na alikua muiga Sana kuniona nikifanikiwa

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +1

    Hapo kwa kapoteza malezi ya wazazi,ya shule na ya marafiki (Background) hapo hapo , yani iyo ndio challenges napitia na ex Bana wawatoto wangu after 22 years ya ndoa,I’m tired 💔😭💔

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 2 года назад

    Khaaa uyu n mm uwa nahisi hisi

  • @edmundmkwenda3608
    @edmundmkwenda3608 2 года назад

    Namba ya pastor plz

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 2 года назад

    Ss tufanyeje

  • @berthadenis1713
    @berthadenis1713 Год назад

    Hicho kitabu nakipataje

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +4

    Wengine ukiwapush wakisogea ndio hawakujui kabosa kabisa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 года назад +1

    Uyu jamaaa yuko vzuri kwenye kujua vitu vingi kama

  • @jacob9benny
    @jacob9benny 2 года назад

    kitabu tnakpta vp??

  • @njuuhjera9971
    @njuuhjera9971 2 года назад

    Nilikutana na mwnamme Mama's boy uuuwwwii hata alivyotaftiwa mke sikushtuka walahi zaid nilimuonea huruma huyo mwanamke

  • @felistermichael6547
    @felistermichael6547 Год назад

    Aisee nimecheka na nimejifunza sana kwakweli hiki kipindi kimenibariki mno

  • @gervaswandameno1339
    @gervaswandameno1339 2 года назад +2

    Hiko kitabu ntakipata wap

  • @raymondmacha3164
    @raymondmacha3164 2 года назад

    Nakipata wap icho kitabuu jaamn

  • @marcodaud1005
    @marcodaud1005 2 года назад +1

    Mchungaji kuna vitu umenigusa mimi nimelelewa na mama wa kambo tangu nikiwa na 3yrs lkn nina shida ya hasira hasa nikiudhiwa na mwanamke

    • @marcodaud1005
      @marcodaud1005 2 года назад

      @@fatmahashimu1487 kwann niwe hivi sasa? Zaman ilikua mwanamke akiniudhi nampiga ila siku hizi nimeacha akinichukiza yaan kumuacha ni kawaida sana na wala sijutii maamuzi yaan naona kawaida kabisaaa

  • @allymasoudi6780
    @allymasoudi6780 2 года назад +1

    kipindi kizuri