Aliyekua MGANGA maarufu ATUBU | aweka hadharani UTAPELI NA USHIRIKINA UNAOFANYIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2019
  • Al Akh Bakari Akida Nuru akitoa Kalima katika msikiti wa Ansaar Muslim Youth Center Barabara ya 19 mara baada ya swala ya ijumaa ya tarehe 05 julai 2019.
    Aliweka wazi siri za mizimu na uganga wa kienyeji..

Комментарии • 106

  • @ramadhanamour1315
    @ramadhanamour1315 4 года назад +3

    Shekh ugnga hasa upo na niyakweli unayofanyiwa maana ya majini yapo na sihiri yaani uchawiizupo haya ni maneno Allah (s w ) na mganga wa kweli hasa kitu cha mwanzo anakueleza yy anamtegemea Allah na ww uganga hukusoma uliosoma utapeli c uganga maana acli ya kwenu mulichukuwa fungo tu la mji kwajili ya kuzwiya vita kwaiyo kutokana na uzito w maisha wameigiza tu uganga na hawakupewa uganga kwahyo usome maana mashekhe wakubwa Kama Sleman bin Alawi nk waliganga Ila Uje Zanzibar usome elmu tiba c hiyo ulosoma ww iyo ni elumu ya utapeli

    • @abdulwahidmsellem1964
      @abdulwahidmsellem1964 4 года назад

      Ramadhan maneno yako sadaktaa👏👏

    • @zoey2635
      @zoey2635 Год назад

      ACHA kutetea ushirikina wewe ,huo si uislam ,mwislam kumtegemea mungu pekee ACHA kutetea shirki Rudi madrasa ukasome elimu sahihi

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 года назад +3

    Waislam kazi mnayo mtatoka tuuu uko kwenye nguvu za giza amna mganga atae ona uflme wa Mungu amna wa kitabu wala wa chale wotee wachawi na ndio nyinyi waislam mnawafuga ayo majini kwetu jini ana nafasi apa anakemewa tuu kwa jina la Yesu anakimbiaa mganga wetu Sisi ni Yesu tuu amna ndumba wala makombe yotee kuzimu.....damu ya Yesu ni ngao Yetu amna damu ya kondoo wala mbuzi wala kuku wala ng,ombe apa ni Yesu tuuu waislam tokeni ukooo kwa majini...watu wangu waangamia kwa kukosa maharifa...

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 4 года назад +2

      Hhhhh Wakati Mskanisani mapepo kibao kila kukicha twawaona Waumini wa Kikristo wakitolewa Mapepo, yaliwaingiaje wakati walishampokea/wanamwamini Yesu?!

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 года назад

      halaf kanisani kuna sanamu wanaaabudia sanam et
      bikra maria tusamehee makosa yet..... huon
      kama ww huna akili kabsaa kuabudia sanamu.
      Lkn
      makanisa yote n ya shetan
      ndio church of satan yapo meng tu huku marekani
      yapo mengi
      majanusa ta shetan
      tena huku hawafich wanaandika tu
      CHURCH OF SATAN
      CHURCH OF LUSIFA
      yako mengi tu huku makanisa hayooo.
      sasa ww unajiita mm naenda kanisani kuabudu
      waabudu shetan kanisan hakuna mungu huko n lusifa tu !

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 4 года назад

      BASI KAMA NI KWELI NAKUSIKITIKIA WEWE MAANA BIBLIA INASEMA NABII YAKOBO BABAKE YUSUFU ALIPOKUFA NI WAGANGA WALIOMPAKA DAWA MWILI WAKE KUUHIFADHI NA YUSUFU NDIYE ALIYEWAITA WAIFANYE KAZI HIYO HIVYO BIBLE NDIYO YA KWANZA KUUTHAMINI UGANGA KABLA MTUME MUHAMMAD S.AW HAJAJA NA QURAN.KAMA UGANGA NI UCHAWI BASI UCHAWI HUU UMO KATIKA BIBLE MIAKA MINGI KABLA QURAN HAIJAJA ,NA UKISOMA QURAN HUWEZI KUTA HABARI ZA UGANGA KAMA ILIVYO KTK BIBLIA
      USHAHIDI HUU HAPA
      Mwanzo 50
      2 Yusufu akawaagiza watumishi wake waganga, kwamba wampake baba yake dawa asioze. Waganga wakampaka dawa Israeli.
      3 Siku zake arobaini zikaisha, maana hivyo hutimizwa siku za kupaka dawa. Wamisri wakamlilia siku sabini.@Mimi mimi

    • @allyberto7617
      @allyberto7617 4 года назад

      Uislamu ni njia ilionyooka

    • @najmamakame9881
      @najmamakame9881 3 года назад

      Mimi Mimi @we ni hayawan tena mfano wa kitimoto huna akili umeona utofaut wa waislma na ushirikina ila kwa sababu wewe niwamoton ushapigwa muhuri ...kasome kwanza bibilia ndyo uje ropwakwa humu hakuna uganga katka Qur'an ila bibilia imekiri uchawi unafaa na uganga pia unafaa

  • @affaanothmaan6287
    @affaanothmaan6287 5 лет назад +1

    Subhana'llah

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 4 года назад +1

    Allah akufanikishe bro

  • @raiswamaraishalisi8426
    @raiswamaraishalisi8426 Год назад

    Shukran sana
    Mwalimu

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 3 года назад +1

    Alla akusamehe

  • @abodetidings8392
    @abodetidings8392 3 года назад

    nice

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 года назад +3

    Waganga wote mungu awaalani kuna mganga mmoja alinitomba na sikufanikiwa

    • @sandraaljabry3788
      @sandraaljabry3788 4 года назад

      Ahahahaaaaa

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 4 года назад

      Na kwa nini wewe ukakubali kutombwa ndugu dah!!!!!

    • @fediliaulomi4969
      @fediliaulomi4969 4 года назад

      @@mamussi6872 aliniambia ndio dawa yenyewe

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 4 года назад

      @@fediliaulomi4969 hiyo ndio mitihani ya waganga waendapo wanawake cha kwanza hukimbilia uzinifu

    • @fediliaulomi4969
      @fediliaulomi4969 4 года назад

      @@mamussi6872 awanipati tena sasa ivi nimetubu nimeokoka ni mwenyekiti wa akina mama kanisani naubiri yesu alie hai

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 4 года назад

    Hata hapa nzega maeneo flani ya Nyasa kunafamilya moja inapenda sana mambo ya waganga walisha ingizwa mkenge na mmasai mmoja mpaka Leo hawajapata walichokua wanaitaji

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    😂😂😂 Safi sana

  • @abdullahkassimu6804
    @abdullahkassimu6804 2 года назад

    Apana ndugu yangu uganga utapeli upo na uganga wa kweli upo ila wengi wao wanakuwa matapeli lkn waganga wengine wanamtegemea ALLAH pekee maana yeye ndo mponaji

    • @zoey2635
      @zoey2635 Год назад +1

      Hakuna Cha uganga wa kweli shiriki ni shiriki tu haina mjadala muslamu kweli utegemea mungu na shirki ni dhambi ya kwanza kwa ukubwa ukafa ujatubia makazi yako motoni mile tukasome jamani elimu sahihi

    • @user-od1xx3tk9y
      @user-od1xx3tk9y 3 месяца назад

      Hakuna mganga mkweli kua na iman ya kungu. Mungu anapokupa mtihan anakupima utamshukuru au utamkufuru!! Kumkufura ndui kwenda kwa waganga. Lkn hakuna mganga asiye mshirikina wote waongo tu. Kama ni wakweli waseme siku zao zakufa au akwambie ww utakufa lin na muda gan

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 месяца назад

    sema chama cha WACHAWI!!

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 4 года назад

    Bora uokoke

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 4 года назад

      Walokole/walioloka wanapi(wamempakia Yesu) na Wanamapepo/Mashetani...! TATIZO mmezowea kurithi kukariri bila kufanya tafiti halisia. Angewaongopea ameokoka/amempokea Yesu na kuuwacha Uislamu kaingia Ukristo hapo mngezidi kwa Comments zenu za kuamini kibubusa/bila elimu/tafiti! Kwa Waislamu huwezi kuona/kukuta Misikitini kukifanyika masuala ya kutoana Mashetani/Mapepo but Makanisani ndo kwenye kufanyika kutowana mashetani na Uchawi/Ushirikina (Mazingaumbwe) huita miujiza.

  • @user-xd3ru7tn9v
    @user-xd3ru7tn9v 3 года назад +1

    Mashuzi

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад

    Yesu gani rirebabu.rakizungu ndio.nriyabudu.atanikiwa.nmerara.simwabudu.kafamwakajana.muegereza yure Uyo yesu wako.

  • @msekwakhamisi9065
    @msekwakhamisi9065 2 года назад +1

    Huyu nakaa nae mji mmoja ety saiv amerudi tena kweny uganga anaidhalilisha dini mpuuzi

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 Год назад +1

    Sauti yako tu yatosha na ujasiri wakongea haki ww unatakiwa kua mwalimu , Ulamaa

  • @myself4128
    @myself4128 5 лет назад +4

    Waganga karibu wote ni waislamu
    Sioni hata ajabu,masheikh wengi ni washirikina wakubwa,karibuni kwa Yesu

    • @ibnually7428
      @ibnually7428 5 лет назад +1

      Ndugu kuwa muelewa huyo sio Sheikh
      Na kichwa cha habari kimeandikwa "MGANGA ATUBU" nn maana ya kutubu?

    • @khamisothman1154
      @khamisothman1154 5 лет назад

      Dezire Heza si kweli, wako waganga wengi tu ni wakristo, hasa maeneo ya bara.

    • @tabukinga6757
      @tabukinga6757 5 лет назад

      Unauthibitisho au unakurupuka tu

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 лет назад

      Dezire Heza qurani ni mfumo wa binaadam

    • @nyamogafamily4262
      @nyamogafamily4262 4 года назад +1

      Hakika wengi wanaokoka ,,YESU mwema,ukifatilia Walikuwa mashekhe wakubwa

  • @ibnually7428
    @ibnually7428 5 лет назад +2

    Sio wote wanaojifanya wana masheitwani, wengine wanawaingia kweli kabisa

  • @hadija846
    @hadija846 4 года назад

    Makubwa

  • @kibindamtotombonasomolakoh7694
    @kibindamtotombonasomolakoh7694 5 лет назад +2

    Shekhe wallahi waupotosha umma yapo ya ukwel lakn mengi ulyoyaongea hapo hayana ukwel

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад

    Kikombe chababu.arikua.nani sio.mkristo.arikua Nani eti waganga waisiramu Amna mkristo unaishiwapi tembeauwone

    • @eddieeddie2755
      @eddieeddie2755 2 года назад

      kajifunze kuandika , elimu za watu wazima bado zipo.

  • @suleimnally2385
    @suleimnally2385 4 года назад +1

    Shekhe je kurogwa inakuaje kama yote ni uongo

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Год назад

    Mfundisheni Quran huyu

  • @ramazubery2641
    @ramazubery2641 4 года назад +2

    Sema wewe ulikua tapeli

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah2978 4 года назад +1

    Huyu mwehu muongo tu inamaana hao watoto wanaodondoka shule wanafanya makusudi

  • @chifuayubu4315
    @chifuayubu4315 4 года назад

    sikuhizo Na sisi tunatoa ushuhuda

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah2978 4 года назад +1

    Wewe muongo bhana mashetani wapo na uganga upo na waongo pia wapo

    • @rojahdaudi9306
      @rojahdaudi9306 3 года назад

      huyu nadhani alizidiwa mahali haswa kwenye zinaa sasa ajificha msikitini lakini Allah hafichi mnafiki

    • @mohamedibrahim7732
      @mohamedibrahim7732 Год назад

      waganga tulieni leo mme umbuka acheni na brother awaumbue ni rahatu sana

  • @mwaitatv7973
    @mwaitatv7973 5 лет назад

    Asee huyu jamaa alikua mganga mfawidhi.

  • @hudaaalhussein3841
    @hudaaalhussein3841 4 года назад +2

    Afadhali umeacha umekuja kwa Allah dini yetu imekataza uchawi,km mtu hajui ajue

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад

    Upako manayake nn ndiouwo.uganga.wakirsto.wapo SIO.waisiram.ayomakosa unataka kutureteaudin.wewe.vip .eti waisram hidunia.

  • @ahmadikauru6592
    @ahmadikauru6592 4 года назад +1

    Sawa nimekusoma kwaiyo
    Inamaanisha uchawi akuna

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 4 года назад

      Uchawi upo ispokua uyu alikua tapeli.lakini wachawi wapo tena wengi.dawa iliokua bora kutegemea ALLAAH tu.

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад +3

    UGANGA SIO KHARAMU ILA NAMNA YA KUUFANYA HUO UGANGA NDIO PENYE SHIDA.

    • @mohammedabubaker1042
      @mohammedabubaker1042 3 года назад

      Ndugu yangu uganga upo lakini ni shirki na ni haram ila kama una tibu kwa mitishamba

    • @zoey2635
      @zoey2635 Год назад

      Rudi darasani kasome uganga ni ushirikina ACHA kutetea shirki utaangamia Rudi darasani ukasome

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 лет назад

    Mhm jina anshika fimbo balala duniaa tusikiaa mengu nduniani. Sùbhanallah

    • @halfaniisale3401
      @halfaniisale3401 4 года назад

      Wewe hukua mganga tapeli umegeuza mtndo wakutapeli natanga waganga walishaisha sanamatapeli wauwaj wachonganish fulanimchaw hskunachamana dawazpo majniwapo wetapeli

    • @halfaniisale3401
      @halfaniisale3401 4 года назад

      Yani mlikuamatapeli mbona huludshi ulivyo waibia shnyanga ujinga mlokua mnafanya haupo Wala hakuna kutoa vtu

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 3 года назад

    Njo kwa Yesu wewe ndugu ndo kuna wokovu

  • @ramadhanimohammed7062
    @ramadhanimohammed7062 3 года назад +1

    Ujielewi wewe njaaiyo

  • @omarymajiwa3714
    @omarymajiwa3714 4 года назад

    Mmmh huyu jamaa sijamuelewa kabisa

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад +2

    WEWE UNAONGEA TU LAKINI HUJAKUTANA NA VIUMBE MZEE. NGOJA SIKU WAKUINGIE KICHWANI HALAFU TUJE TUJUULIZE

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila uyu jamaa kaongea ukweli tupu 👌👌👌👌👌👌ayo mambo utayakuta kwa waislam tuuu maana amna mganga mkristo....

    • @doemusa9977
      @doemusa9977 4 года назад +1

      Sio kweli waganga dini zote wapo

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 4 года назад +1

      Wacha unazi/ushabiki wakijinga ndomana mnakuwa wajinga kwa kung'ang'ani Biblia, Kanisa, Ukristo na Mungu mkuu Yesu bila kufanya tafiti halisia. Waganga Wakristo wamejaa kibao mitaani. Jamaa anaongea ikweli chamcngi kufanyia kazi uwe Muislamu/usiwe Muislamu. Waislamu 2nacmamia haki ukilona haki unaifuwata na ukiona batiti unaiwacha hata lkama batiri hiyo instoka/umerithi kwa Wazazi. But nyie Eakristo wa2 wa kutithi mambo/imaa bila kufanya tagiti halisia. Nawala kwa maamuzi hayo jamaa hajicfu kuwa ameokoka/(hana dhambi)ameokolewa na m2me Muhammad S.A.W. kuoka cku ya Kiama utaokokaje ungali duniani?! But Wakristo hujinadi wadhaokolewa (hawana dhambi) coz eti damu ya Yesu ilomwaguka msarabani imewakomboa/imewaondolea dhambi. Mnadanganywa mmerithi dhambi ya Asili(dhambi ya Adam na Hawa)ilhali Adam na Hawa walishasamehewa tangia Mbinguni. Wakristo mnachezewa akili na Wapagani wanawaficha ukweli kuwa dhambi ya Asili/dhambi mlitorithi ni dhambi ya kumkataa Mungu wa Ukweli/kumkataa ALLAH/kutojisalimusha(kunyenyejea/kusilimu) kwa ALLAH mmerithi/mnarithi kiburi/ujeuri wa Shetani na dhambi hiyo haisameheeki/hamjasamehewa hadi Msilimu/Muwe Waidlamu.

    • @selemanmzeru5058
      @selemanmzeru5058 4 года назад

      Doe Musa kweli dini zote wapo waganga na wachawi pia wasiongope waislm tu

    • @hudaaalhussein3841
      @hudaaalhussein3841 4 года назад

      Na kule kanisani mapasta wanavyopandishana,ni hayohayo tu,mambo ya kiganga ni mambo ya kimila za watu flani

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 года назад +1

      ha! wakristo cio waganga
      wakristo n wapiga ramli
      etl nabll nmeoteshwa na munguuub
      hahahahaha
      wakristo kweli wajinga huwez kumkuta muislamu ajiite nabiiii aanatoa mafuta ya upako
      wakristo ndio waganga sana icpokuwa wakristo joz n wajibga et mtu anakutoa na kukupa dhambii
      hahahahaha !
      namshukur mungu kuwa muislamu

  • @hashimnamanolo4018
    @hashimnamanolo4018 4 года назад

    Mimi nipo south Africa bibiria wanaozeshea wasenge kamauamini njoo uwone.arafu.wewe.unasema.kitabu chamungu.je Dodoma VIP

  • @udazakikoti2878
    @udazakikoti2878 3 года назад +1

    Mimi ni naamini upo uganga na upo utapeli, huyu jamaa amekabiziwa utapeli siyo uganga

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 года назад

    BLAH BLAH BLAH TUBIA TUU YOU STILL YOUNG END OF THE STORY 😄😐😯

  • @mlishomigila2685
    @mlishomigila2685 3 года назад +1

    Wewe ndiyo ulikuwa tapeli lakini watu wanatibiwa wanapona muongo wewe