VUNJABEI Amjia JUU MWIJAKU kisa DIAMOND/Koma kunitajataja
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Mfanyabiashara @fred_vunjabei amjia juu @mwijaku baada ya kumshindanisha utajiri na Staa wa muziki @diamondplatnumz
.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika…
“Ni kweli tunahitaji huduma zenu kwenye
biashara zetu, lakini ifike point mziheshimu brands za wateja wenu na mahusiano yao na watu wengine, kuna maisha baada ya mitandao ya kijamii.
Nimeshakuonya mara nyingi, nilikufungulia mpaka mashtaka ukatuma watu yakaisha, nasema mara ya mwisho nakuomba ukome mara moja kunitaja au kutaja kampuni yetu "VUNJABEI" kwenye mambo yako.”
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Huyu mwijaku ni mjinga Sana!!!! Huyu mwijaku kichwa chake. Mduara kweli
Mwijaku ana stahili kustakiwa ni mropo kaji sana na anapen da sifa sana anadha ni kila mtu anapend a sifa wengine hawa pendi sifa ujue bora ashtakiwe
Mwijaku na Harmonize Mzee Popo ni kizazi cha chuki na Uchawi... Anjella ❌😭😭😭😭😭😭😭😭
Niwakaanga sumu
Kwa Diamond platnumz kuhusu hela zake, youtube tu inatosha. Piga isabu views moja kwa acounte yake anapata buku moja, piga isabu elf moja ata mpaka milioni 50 kwa wimbo moja
Anataka kutengeneza ugomvi baina yao, matajiri au wafanyabiashara wanasaidiana au biashara zao zinasaidiana kwa namna moja ama nyingine
Naahidi kumpiga mwijaku siku titakutana.serekali hili msilingiliye kama mnavyoacha ujinga uzagae mkiwa mnaona.nintamnyoosha kama mlishindwa
Kweli vunja bei mwambie akome ombaomba huyo chizi
Kunzungumziya siyo vibaya nijuu anatakaga kuzidisha..nakutaka kuvunja eshima za watu siyo vizuri ivo ..inakuwa kama wana ugomvi nakusema vibaya...ila ayo maisha ya mitandawoni siwezi kuweza..roho yangu fupi.
DIAMOND KIZAZI KINGINE NYINYI MUACHENI
Diamond nimoto wakuoteambali asifanishwe nawatu wahovyo
Bro, diamond he’s the boss bro 💵💵💵💵💵
Watanzania kwani hamjui diamond za kitanzania bilioni 27 ila mwingine ambao mnamzungumzia yeye ako na pesa za kitanzania bilioni 8😂😂😂😂
Jamani hv masudi kesi inaendeleaje......kwa nini hamumfungi huyu mwijaku anapenda ropokaropoka alafu ajifunzi kwa babalevo mwenzie anamipaka kwa watu
Mwinjaku mgombanishi tu
Diamond ni level za kina MO DEWJI na kina GSM...Vunja bei bado mtoto anaejifunza kutambaa hata kutembea kwenyewe bado
Broo kwa mo ni uongo kabisa maana hata Cristiano Ronaldo hajafika utajiri wa mo
KWA UELEWA WANGU MDOGO MEIJAKU HANA KOSA
VU JA BEI ANAONEKANA ANA MATATIZO TU NA MWIJAKU,KWA HILI HANA KOSA,
ILA LILE NA MASOUD KIPANYA ALIFSNYA KOSA.
Mwijaku anachangamsha gem watu wa Tanzania hivyo ndivyo mnavyopenda maana hata tv na redio mlikosa vyakuzungumzia ila kwasasa mwijaku kawapa kontent
Wote maskini tu mimi siwezi kuongea matajiri atuongei. sifa mbaya wanatuzidi umarufu tu.
Mwijako yule anafirwa tunamjua ushahidi tuano
Tok Dunia iubwe akun tajili Alie tok tanzania Aku fik top 20 na adi Dunia itapo Isha aitakuja kutokea waachen weny pes waongee EB achen iz bhan Kwa uchum gan ap tanzania inchi tajili Dunia zin kimbizan asa mdudu mmoj kweny Kanchi ambok Kan jitafut af tajili Kwa shilling ebu utoto huuu
Mwijaku uchawa hauwezi tatizo lake anakuaga kama mwehu😂
😂😂😂😂😂😂mwehu mwehu...pole mkee wake kweli.
Sikiliza niwaambie vunja bei ametumia akili angalia diamond ako na followers wangapi halafu pia kuna followers wangapi je ni mafanikio ya nguo ila diamond ni mwanamuziki tena mfanyabiashara wengi ambao wanaenda kwake then vunja bei fair poteza maka customer wa diamond ambao wanakuja kununua kwake😂😂
Kimeumana 😂😂😂😂
Chuki haijengi