VUNJABEI Amjia JUU MWIJAKU kisa DIAMOND/Koma kunitajataja

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mfanyabiashara @fred_vunjabei amjia juu @mwijaku baada ya kumshindanisha utajiri na Staa wa muziki @diamondplatnumz
    .
    Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika…
    “Ni kweli tunahitaji huduma zenu kwenye
    biashara zetu, lakini ifike point mziheshimu brands za wateja wenu na mahusiano yao na watu wengine, kuna maisha baada ya mitandao ya kijamii.
    Nimeshakuonya mara nyingi, nilikufungulia mpaka mashtaka ukatuma watu yakaisha, nasema mara ya mwisho nakuomba ukome mara moja kunitaja au kutaja kampuni yetu "VUNJABEI" kwenye mambo yako.”
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 28

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 10 дней назад +5

    Huyu mwijaku ni mjinga Sana!!!! Huyu mwijaku kichwa chake. Mduara kweli

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 10 дней назад +8

    Mwijaku ana stahili kustakiwa ni mropo kaji sana na anapen da sifa sana anadha ni kila mtu anapend a sifa wengine hawa pendi sifa ujue bora ashtakiwe

  • @SifaEmma
    @SifaEmma 10 дней назад +9

    Mwijaku na Harmonize Mzee Popo ni kizazi cha chuki na Uchawi... Anjella ❌😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mahamoudmroivili16
    @mahamoudmroivili16 10 дней назад +4

    Kwa Diamond platnumz kuhusu hela zake, youtube tu inatosha. Piga isabu views moja kwa acounte yake anapata buku moja, piga isabu elf moja ata mpaka milioni 50 kwa wimbo moja

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 10 дней назад +2

    Anataka kutengeneza ugomvi baina yao, matajiri au wafanyabiashara wanasaidiana au biashara zao zinasaidiana kwa namna moja ama nyingine

  • @CamweziKarashnekov
    @CamweziKarashnekov 10 дней назад +2

    Naahidi kumpiga mwijaku siku titakutana.serekali hili msilingiliye kama mnavyoacha ujinga uzagae mkiwa mnaona.nintamnyoosha kama mlishindwa

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p 10 дней назад +5

    Kweli vunja bei mwambie akome ombaomba huyo chizi

  • @ashuramanya9282
    @ashuramanya9282 10 дней назад

    Kunzungumziya siyo vibaya nijuu anatakaga kuzidisha..nakutaka kuvunja eshima za watu siyo vizuri ivo ..inakuwa kama wana ugomvi nakusema vibaya...ila ayo maisha ya mitandawoni siwezi kuweza..roho yangu fupi.

  • @paulokenedy4090
    @paulokenedy4090 10 дней назад +6

    DIAMOND KIZAZI KINGINE NYINYI MUACHENI

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 10 дней назад +2

    Diamond nimoto wakuoteambali asifanishwe nawatu wahovyo

  • @Robloxgamingkids
    @Robloxgamingkids 10 дней назад +1

    Bro, diamond he’s the boss bro 💵💵💵💵💵

  • @user-wp7ik4sg3q
    @user-wp7ik4sg3q 10 дней назад +1

    Watanzania kwani hamjui diamond za kitanzania bilioni 27 ila mwingine ambao mnamzungumzia yeye ako na pesa za kitanzania bilioni 8😂😂😂😂

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 9 дней назад

    Jamani hv masudi kesi inaendeleaje......kwa nini hamumfungi huyu mwijaku anapenda ropokaropoka alafu ajifunzi kwa babalevo mwenzie anamipaka kwa watu

  • @user-fz1kh9in2c
    @user-fz1kh9in2c 9 дней назад +1

    Mwinjaku mgombanishi tu

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 10 дней назад

    Diamond ni level za kina MO DEWJI na kina GSM...Vunja bei bado mtoto anaejifunza kutambaa hata kutembea kwenyewe bado

    • @hansyhusseinjr.4966
      @hansyhusseinjr.4966 10 дней назад

      Broo kwa mo ni uongo kabisa maana hata Cristiano Ronaldo hajafika utajiri wa mo

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 9 дней назад

    KWA UELEWA WANGU MDOGO MEIJAKU HANA KOSA
    VU JA BEI ANAONEKANA ANA MATATIZO TU NA MWIJAKU,KWA HILI HANA KOSA,
    ILA LILE NA MASOUD KIPANYA ALIFSNYA KOSA.

  • @swamadujumanne795
    @swamadujumanne795 9 дней назад

    Mwijaku anachangamsha gem watu wa Tanzania hivyo ndivyo mnavyopenda maana hata tv na redio mlikosa vyakuzungumzia ila kwasasa mwijaku kawapa kontent

  • @AbirahIssa
    @AbirahIssa 6 дней назад

    Wote maskini tu mimi siwezi kuongea matajiri atuongei. sifa mbaya wanatuzidi umarufu tu.

  • @mahamoudmroivili16
    @mahamoudmroivili16 10 дней назад +2

    Mwijako yule anafirwa tunamjua ushahidi tuano

  • @Divar01-tx8wl
    @Divar01-tx8wl 10 дней назад

    Tok Dunia iubwe akun tajili Alie tok tanzania Aku fik top 20 na adi Dunia itapo Isha aitakuja kutokea waachen weny pes waongee EB achen iz bhan Kwa uchum gan ap tanzania inchi tajili Dunia zin kimbizan asa mdudu mmoj kweny Kanchi ambok Kan jitafut af tajili Kwa shilling ebu utoto huuu

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 10 дней назад +2

    Mwijaku uchawa hauwezi tatizo lake anakuaga kama mwehu😂

    • @ashuramanya9282
      @ashuramanya9282 10 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂mwehu mwehu...pole mkee wake kweli.

  • @user-wp7ik4sg3q
    @user-wp7ik4sg3q 10 дней назад

    Sikiliza niwaambie vunja bei ametumia akili angalia diamond ako na followers wangapi halafu pia kuna followers wangapi je ni mafanikio ya nguo ila diamond ni mwanamuziki tena mfanyabiashara wengi ambao wanaenda kwake then vunja bei fair poteza maka customer wa diamond ambao wanakuja kununua kwake😂😂

  • @jabiristeven
    @jabiristeven 10 дней назад +1

    Kimeumana 😂😂😂😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 10 дней назад

    Chuki haijengi