Historia ya Mwalimu Julius Nyerere ndani ya Makumbusho ya Taifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 7

  • @shabanimachite5179
    @shabanimachite5179 2 года назад

    mungu mkubwa

  • @jumannerizimbura6750
    @jumannerizimbura6750 2 года назад

    Hii nchi sijui, mimi sijui nani ataiambia tuendako siko IKASIKIA... Elimu yetu n aibu tupu

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 2 года назад

    Nimemsikia mhifadhi akisema samola mashel alikuwa Rais wa Mozambique na akasema Mozambique ni zimbabwe . MOZAMBIQUE Hoyee

  • @ayoubabdullrahaman6120
    @ayoubabdullrahaman6120 2 года назад +1

    Nani kamuweka hp huyu ...bado mtoto sn uwezo wake mdogo mno wa historia anachanganya mambo mno hii aibu...Mozambique ndio Zimbabwe wapi na wapi....bwana mdogo nenda shule tena hp hapakufai..

    • @bakermusa9033
      @bakermusa9033 2 года назад

      Ndo mjue shida ya kuwekana wajomba na wapwa kwenye nafasi nyeti kama hii ya kutoa elimu

    • @ayoubabdullrahaman6120
      @ayoubabdullrahaman6120 2 года назад

      @@bakermusa9033 yaah! nimekuelew sn ni tatizo kubwa sn dah!huruma sn ..

    • @LusajoMboli-ef2xx
      @LusajoMboli-ef2xx 7 месяцев назад

      Mhifadhi una mbwembwe nyingi za kuongea kuliko kuongea vitu sahihi. Jipange kwanza kufahamu unachofundisha kuliko kutanguliza mbwembwe