MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA
Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.
Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki
Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.
Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030
Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.
Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?
Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.
Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.
Mungu awabariki sana ndugu kwa kuwatetea watanzania yetu.
Mpina ameshinda mpaka hapo
MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA
Mpina tunakuombea haki tz haipo mungu akushindie
Mpina Mungu akubariki songa mbele
Kesi ya nyani jaji ngedere huwezi kushinda maana serikali hii inawatetea wezi
Brother MUNGU akubariki sina kingine zaidi ya kukuombea
Umeshindwa kesi sababu kesi yako Haina mashiko/ na ushahidi. Poteza pesa kuwapa mawakili
KWAHIYO BUNGE LIKISEMA WATU WOTE WAUWAWE, MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUIGILIA!.
TZ KUNA MAMBO YA AJABU SANA😢
Ndo halijasema sasa
Ni nani atakuja ifanya mihimili hii iwe huru ili haki iweze kutendeka
Hee haujui tuu, yaani umewashitaki wanaosikiliza kesi tatizo hilo. Labda kama kuna njia nyingine.
Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.
Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika
Sanaaaa
Mdogo wangu mpina hii ndo Tanzania. Kamata waiba kuku funga sana. Vigogo wateuliwa mhhhh
Africa haitaendelea kamwe kama sheria zetu zinachaguwa. Haki ndiyo yenye kufanya nchi in aendelee.
Big show
Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki
Hapo ndipo utajua ukisikia maneno yasemayo kukosa imani na mahakama!!!?!!!
Mbona hamutuonyeshi live kama Kenya?😮
Kesi ya ngendele huwezi pelekea nyani Alimalize
Umesema kweli tupu, hii nchi Ina wenyewe, na wenyewe ndio wenye kuajiri watoa HAKI.
Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.
Mpina najua umesoma, nafasi haichukuliwi ukiwa unazungumza Natumia nafasi hii bc sio kuchukua
Mahakama ndo chombo cha MWISHO cha utoaj Haki,,,kw maamuzi hayo Ni Kua mahakama sio chombo cha MWISHO cha utoaj Haki ,,na mahakama Ni ndogo kw bunge
Tatizo ni katiba jaji anapokea maelekezo papana kiongozi muinyoshe nnchi polepole
Aibu tu mpina.ajielewi
@@fidelismwakanyamale6787 Unajua fika wewe ndiye hujielewi ama kwa kuwa wewe sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwa kuwa CHAWA wa Mama.
Mpina ana akili nyng kuliko wazaz wako ww unasema hajitambuwiiii
Mpina hajitambuiiii😂😂ngoja mawakili watafune pesa zake
Maana Hawa munawashitaki wanakinga ya madaraka hata nyie ccm ambao hamna vyeo mutakuwa munaonewa chadema wanapo dai katiba mpya sio ubaya
Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030
Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.
Mpina bhana
Kama mahakama haina nguvu juu ya muimili wa bunge ni ajabu watawezaje kuwa na nguvu juu ya serekali
mwarobain wa haya yote ni katiba bila ivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?
Hiyo Mahakama Inashidwaje kutoa Haki Maana ya Mahakama ni nn ?
Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.
akili si kuwa na fuvu tu bali kufuatilia jambo kwa undani
Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.
@@trueprophet7627 kwahiyo ww unajiona una akili sana?hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@matiredms917 chukulia kwamba unajua kwa mtazamo wako
@@matiredms917 hapana kaka. Hawa wenye viwanda hawafuati bei elekezi za sukari. Niamini mimi. Lakini pia imeanza kuadimika mitaani
Sikio
Supa Huna akili kichaawewe mpina anawatetea we unaweka ushabiki
Jamaa amekosa kazi, baada ya kupigwa pini kuingia Bungeni.
Hizi 🧠🧠 hasa kwa vijana zinafanya nchi yetu ibaki kwenye utawala dhalimu wa CCM.
Pamoja nakutoka bungeni lakini anavuma kisiasa siasa ni popote
Kosa wameliona lipo lakin mahakama inaliogopa bunge ,kweli katba mpya ni lazima
Wewe Mpina wacha Ujinga wewe huna hoja yoyote unataka kutrendi tu mitandaoni
Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika