MPINA 'AGEUKA MBOGO' MAHAKAMA KUU/ ATANGAZA KUTINGA MAHAKAMA YA RUFANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 57

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 4 часа назад +2

    Mungu awabariki sana ndugu kwa kuwatetea watanzania yetu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 часа назад +5

    Mpina ameshinda mpaka hapo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 часа назад +2

    MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 Час назад +1

    Mpina tunakuombea haki tz haipo mungu akushindie

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Час назад

    Mpina Mungu akubariki songa mbele

  • @Burange666
    @Burange666 2 часа назад +4

    Kesi ya nyani jaji ngedere huwezi kushinda maana serikali hii inawatetea wezi

  • @dizzboss7526
    @dizzboss7526 4 часа назад +2

    Brother MUNGU akubariki sina kingine zaidi ya kukuombea

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 57 минут назад +1

    Umeshindwa kesi sababu kesi yako Haina mashiko/ na ushahidi. Poteza pesa kuwapa mawakili

  • @JOSEPHURUPIA
    @JOSEPHURUPIA 3 часа назад +4

    KWAHIYO BUNGE LIKISEMA WATU WOTE WAUWAWE, MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUIGILIA!.
    TZ KUNA MAMBO YA AJABU SANA😢

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 3 часа назад

      Ndo halijasema sasa

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 9 минут назад

      Ni nani atakuja ifanya mihimili hii iwe huru ili haki iweze kutendeka

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Час назад

    Hee haujui tuu, yaani umewashitaki wanaosikiliza kesi tatizo hilo. Labda kama kuna njia nyingine.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 часа назад +4

    Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 часа назад +4

    Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 Час назад

    Mdogo wangu mpina hii ndo Tanzania. Kamata waiba kuku funga sana. Vigogo wateuliwa mhhhh

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 51 минуту назад +1

    Africa haitaendelea kamwe kama sheria zetu zinachaguwa. Haki ndiyo yenye kufanya nchi in aendelee.

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 20 минут назад

    Big show

  • @Teddy-z4i
    @Teddy-z4i 2 часа назад +1

    Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo 2 часа назад +1

    Hapo ndipo utajua ukisikia maneno yasemayo kukosa imani na mahakama!!!?!!!

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 2 часа назад +1

    Mbona hamutuonyeshi live kama Kenya?😮

  • @esifhordmunyugu4687
    @esifhordmunyugu4687 3 часа назад +2

    Kesi ya ngendele huwezi pelekea nyani Alimalize

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 часа назад +1

      Umesema kweli tupu, hii nchi Ina wenyewe, na wenyewe ndio wenye kuajiri watoa HAKI.

  • @matiredms917
    @matiredms917 3 часа назад +5

    Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t Час назад

    Mpina najua umesoma, nafasi haichukuliwi ukiwa unazungumza Natumia nafasi hii bc sio kuchukua

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot 3 часа назад +1

    Mahakama ndo chombo cha MWISHO cha utoaj Haki,,,kw maamuzi hayo Ni Kua mahakama sio chombo cha MWISHO cha utoaj Haki ,,na mahakama Ni ndogo kw bunge

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs Час назад

    Tatizo ni katiba jaji anapokea maelekezo papana kiongozi muinyoshe nnchi polepole

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 2 часа назад +2

    Aibu tu mpina.ajielewi

    • @matiredms917
      @matiredms917 2 часа назад +1

      @@fidelismwakanyamale6787 Unajua fika wewe ndiye hujielewi ama kwa kuwa wewe sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwa kuwa CHAWA wa Mama.

    • @Teddy-z4i
      @Teddy-z4i 2 часа назад

      Mpina ana akili nyng kuliko wazaz wako ww unasema hajitambuwiiii

    • @NDEWARA
      @NDEWARA Час назад

      Mpina hajitambuiiii😂😂ngoja mawakili watafune pesa zake

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 часа назад +2

    Maana Hawa munawashitaki wanakinga ya madaraka hata nyie ccm ambao hamna vyeo mutakuwa munaonewa chadema wanapo dai katiba mpya sio ubaya

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 часа назад +1

    Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030

  • @bundalamashimi3042
    @bundalamashimi3042 18 минут назад

    Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 2 часа назад

    Mpina bhana

  • @mangiclaus
    @mangiclaus Час назад

    Kama mahakama haina nguvu juu ya muimili wa bunge ni ajabu watawezaje kuwa na nguvu juu ya serekali

  • @owenbonfance
    @owenbonfance 3 часа назад +1

    mwarobain wa haya yote ni katiba bila ivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 часа назад

    Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 2 часа назад

    Hiyo Mahakama Inashidwaje kutoa Haki Maana ya Mahakama ni nn ?

  • @supa7077
    @supa7077 3 часа назад +2

    Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.

    • @trueprophet7627
      @trueprophet7627 3 часа назад

      akili si kuwa na fuvu tu bali kufuatilia jambo kwa undani

    • @matiredms917
      @matiredms917 3 часа назад

      Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.

    • @supa7077
      @supa7077 3 часа назад

      @@trueprophet7627 kwahiyo ww unajiona una akili sana?hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @trueprophet7627
      @trueprophet7627 3 часа назад

      @@matiredms917 chukulia kwamba unajua kwa mtazamo wako

    • @supa7077
      @supa7077 3 часа назад

      @@matiredms917 hapana kaka. Hawa wenye viwanda hawafuati bei elekezi za sukari. Niamini mimi. Lakini pia imeanza kuadimika mitaani

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 3 часа назад

    Sikio

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 2 часа назад

    Supa Huna akili kichaawewe mpina anawatetea we unaweka ushabiki

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 часа назад +2

    Jamaa amekosa kazi, baada ya kupigwa pini kuingia Bungeni.

    • @csato9415
      @csato9415 3 часа назад +2

      Hizi 🧠🧠 hasa kwa vijana zinafanya nchi yetu ibaki kwenye utawala dhalimu wa CCM.

    • @Paulo-e4c
      @Paulo-e4c 3 часа назад +1

      Pamoja nakutoka bungeni lakini anavuma kisiasa siasa ni popote

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 2 часа назад +1

      Kosa wameliona lipo lakin mahakama inaliogopa bunge ,kweli katba mpya ni lazima

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 2 часа назад +2

    Wewe Mpina wacha Ujinga wewe huna hoja yoyote unataka kutrendi tu mitandaoni

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 часа назад +1

    Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika