PART 3 ONYO KWA WANAOSALI MAKANISA YASIYOKEMEA MAPAMBO,NGUO ZA KIKAHABA NA DHAMBI .EMMANUEL SENAYON

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 44

  • @NimethNdelwa-zc9zj
    @NimethNdelwa-zc9zj Год назад +7

    Amina nabarikiwa sana dada na huduma yako na nimeacha mapambo Kwa ajili ya jumbe zinazo sema mapambo ni dhambi ubarikiwe saana

  • @happykabaka8981
    @happykabaka8981 Год назад +5

    Mungu wa mbinguni atusaidie sisi wanawake wengi ukiwaambia kuwa mapambo ni dhambi wanaona km umewewuka na ulokole unakuchanganya,kumbe tumepata neema ya kujua kweli

  • @elizathomas7442
    @elizathomas7442 Год назад +4

    Mimi najifunza Mambo mengi mno ya ufalme wa MUNGU kupitia ninyi ,Mbalikiwe mno watumishi mnajitaabisha nafsi zenu hata kuyapata mafunuo haya

  • @lydiahsambuli1606
    @lydiahsambuli1606 Год назад +4

    Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @beatricegerald7253
    @beatricegerald7253 Год назад +3

    Amen mbarikiwe sana

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Год назад +2

    Makanisa yanayokataza mapambo ni machache sana.Tuombe kwa bidii Ewe MUNGU mkuu sema nasi tuongoze ktk sheria yako takatifu.ktk KRISTO YESU ameen

  • @edinakibani8725
    @edinakibani8725 Год назад +2

    Mbona makanisa mengine awasemi mapambo lakini nawashukuru sana nmebadilika nmeacha mapambo kabisa

    • @qulasulle-hp1ni
      @qulasulle-hp1ni 3 месяца назад

      Hongera mno! ACHA kabisa na DHAMBI zote, utamwona YESU Mwana wa Mungu baada ya maisha haya!

  • @YusuKisingile-fs4hv
    @YusuKisingile-fs4hv Год назад +2

    Dada ubarikiwe kwa huduma yako. Ninabarikiwa sana na huduma yako. Amen

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula6189 2 месяца назад

    Mungu atusaidie sana 😔

  • @jacklinekhayechia4362
    @jacklinekhayechia4362 Год назад +1

    Mubarikiwe sana kila mara ninapo sikia hushuda n pata n yangu kwa hivyo umbi n mungu atusamehe kila sekunde

  • @MohamedSaid-uv7tq
    @MohamedSaid-uv7tq Год назад +1

    Mungu anaanza kuhesabu zambi ndogo ndogo kama umeshindwa kwa kidogo kikubwa utaweza

  • @jesusismyking5292
    @jesusismyking5292 Год назад +2

    Amen

  • @hdgHdhd-eu7vf
    @hdgHdhd-eu7vf 9 месяцев назад

    Ameni

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    Kwa sasa MAKANISANI kite mapambo NDO mahubili MAANA wamesema bila kujipamba hawaplewi na waume zao watawaacha aaaaaa NJIA ya mbinguni Ni nyembamba

    • @ibrahimshabani5918
      @ibrahimshabani5918 7 месяцев назад

      Mungu wangu, makanisa hayo hayapo hasa sisi tunaokaa mikoani

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад +1

    Mungu sasa tunafanyaje karibia makanisa yote hsyakemei hayo?

  • @LupinaSamsoni
    @LupinaSamsoni Год назад +1

    Ameni barikiwa sana mtumishi

  • @patricianyale
    @patricianyale Год назад +2

    Uku kwetu akuna kanisa ata moja linalokataza mapambo

  • @pudensianamhasi5364
    @pudensianamhasi5364 Год назад +1

    Ameen Ameen

  • @ShukuraniKeneth-z9p
    @ShukuraniKeneth-z9p Год назад +1

    Ameni mungu atsaidie

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 Год назад +1

    Amen barikiwa

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo2604 Год назад +1

    Amen Mtumishi ubarikiwe sana

  • @CarolineNkatha-wb5ys
    @CarolineNkatha-wb5ys Год назад +1

    God mercy

  • @yesutuatosha1460
    @yesutuatosha1460 Год назад +1

    Hizi ni siri za ajabu sana Yesu nisaidie.

  • @susiehollo7434
    @susiehollo7434 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @gracemutono5023
    @gracemutono5023 Год назад +1

    Amen Asante

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt Год назад

    Mungu akubariki mtumishi kupitia ushuhuda huu niko tayari kuacha mambo yote

  • @dadafrida9202
    @dadafrida9202 Год назад +1

    Amina asante sana Bwana wetu Yesu Kristo

  • @faridamndeme2751
    @faridamndeme2751 Год назад

    MUNGU atusaidie kanisa langu halikemeii

  • @amedeengendo
    @amedeengendo Год назад

    Part 1na Part 2 zipo wapi? Tunazihitaji piya

  • @KulwakKulwa
    @KulwakKulwa Год назад

    Nashukulu MUNGU Akubaliki

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 Год назад

    None sense

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Год назад +1

    Amen Amen

  • @mirrianlucas5479
    @mirrianlucas5479 Год назад

    Amina

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 Год назад +1

    Amina.