Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Amina nabarikiwa sana dada na huduma yako na nimeacha mapambo Kwa ajili ya jumbe zinazo sema mapambo ni dhambi ubarikiwe saana
Mungu wa mbinguni atusaidie sisi wanawake wengi ukiwaambia kuwa mapambo ni dhambi wanaona km umewewuka na ulokole unakuchanganya,kumbe tumepata neema ya kujua kweli
Mimi najifunza Mambo mengi mno ya ufalme wa MUNGU kupitia ninyi ,Mbalikiwe mno watumishi mnajitaabisha nafsi zenu hata kuyapata mafunuo haya
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen mbarikiwe sana
Makanisa yanayokataza mapambo ni machache sana.Tuombe kwa bidii Ewe MUNGU mkuu sema nasi tuongoze ktk sheria yako takatifu.ktk KRISTO YESU ameen
Mbona makanisa mengine awasemi mapambo lakini nawashukuru sana nmebadilika nmeacha mapambo kabisa
Hongera mno! ACHA kabisa na DHAMBI zote, utamwona YESU Mwana wa Mungu baada ya maisha haya!
Dada ubarikiwe kwa huduma yako. Ninabarikiwa sana na huduma yako. Amen
Mungu atusaidie sana 😔
Mubarikiwe sana kila mara ninapo sikia hushuda n pata n yangu kwa hivyo umbi n mungu atusamehe kila sekunde
Mungu anaanza kuhesabu zambi ndogo ndogo kama umeshindwa kwa kidogo kikubwa utaweza
Amen
Ameni
Kwa sasa MAKANISANI kite mapambo NDO mahubili MAANA wamesema bila kujipamba hawaplewi na waume zao watawaacha aaaaaa NJIA ya mbinguni Ni nyembamba
Mungu wangu, makanisa hayo hayapo hasa sisi tunaokaa mikoani
Mungu sasa tunafanyaje karibia makanisa yote hsyakemei hayo?
Yaani Mungu atusaidie
Ameni barikiwa sana mtumishi
Uku kwetu akuna kanisa ata moja linalokataza mapambo
Wapi Hapo mtumishi wa Mungu?
@@mwigarleysaid5406 Niko Kenya kilifi county
Hata dodoma sijaliona kama kuna mtu analijua plz nifahamishe
Ameen Ameen
Ameni mungu atsaidie
Amen barikiwa
Amen Mtumishi ubarikiwe sana
God mercy
Hizi ni siri za ajabu sana Yesu nisaidie.
Amen 🙏
Amen Asante
Mungu akubariki mtumishi kupitia ushuhuda huu niko tayari kuacha mambo yote
Amina asante sana Bwana wetu Yesu Kristo
Amina kweri wanaohubiri kweri ni wachache. Bwana yesu atusaidie
MUNGU atusaidie kanisa langu halikemeii
Part 1na Part 2 zipo wapi? Tunazihitaji piya
Nashukulu MUNGU Akubaliki
None sense
Amen Amen
Amen.
Amina
Amina.
Mwenye masikio asikie,Kuingia Mbinguni si Lele mama
Amina nabarikiwa sana dada na huduma yako na nimeacha mapambo Kwa ajili ya jumbe zinazo sema mapambo ni dhambi ubarikiwe saana
Mungu wa mbinguni atusaidie sisi wanawake wengi ukiwaambia kuwa mapambo ni dhambi wanaona km umewewuka na ulokole unakuchanganya,kumbe tumepata neema ya kujua kweli
Mimi najifunza Mambo mengi mno ya ufalme wa MUNGU kupitia ninyi ,Mbalikiwe mno watumishi mnajitaabisha nafsi zenu hata kuyapata mafunuo haya
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen mbarikiwe sana
Makanisa yanayokataza mapambo ni machache sana.Tuombe kwa bidii Ewe MUNGU mkuu sema nasi tuongoze ktk sheria yako takatifu.ktk KRISTO YESU ameen
Mbona makanisa mengine awasemi mapambo lakini nawashukuru sana nmebadilika nmeacha mapambo kabisa
Hongera mno! ACHA kabisa na DHAMBI zote, utamwona YESU Mwana wa Mungu baada ya maisha haya!
Dada ubarikiwe kwa huduma yako. Ninabarikiwa sana na huduma yako. Amen
Mungu atusaidie sana 😔
Mubarikiwe sana kila mara ninapo sikia hushuda n pata n yangu kwa hivyo umbi n mungu atusamehe kila sekunde
Mungu anaanza kuhesabu zambi ndogo ndogo kama umeshindwa kwa kidogo kikubwa utaweza
Amen
Ameni
Kwa sasa MAKANISANI kite mapambo NDO mahubili MAANA wamesema bila kujipamba hawaplewi na waume zao watawaacha aaaaaa NJIA ya mbinguni Ni nyembamba
Mungu wangu, makanisa hayo hayapo hasa sisi tunaokaa mikoani
Mungu sasa tunafanyaje karibia makanisa yote hsyakemei hayo?
Yaani Mungu atusaidie
Ameni barikiwa sana mtumishi
Uku kwetu akuna kanisa ata moja linalokataza mapambo
Wapi Hapo mtumishi wa Mungu?
@@mwigarleysaid5406 Niko Kenya kilifi county
Hata dodoma sijaliona kama kuna mtu analijua plz nifahamishe
Ameen Ameen
Ameni mungu atsaidie
Amen barikiwa
Amen Mtumishi ubarikiwe sana
God mercy
Hizi ni siri za ajabu sana Yesu nisaidie.
Amen 🙏
Amen Asante
Mungu akubariki mtumishi kupitia ushuhuda huu niko tayari kuacha mambo yote
Amina asante sana Bwana wetu Yesu Kristo
Amina kweri wanaohubiri kweri ni wachache. Bwana yesu atusaidie
MUNGU atusaidie kanisa langu halikemeii
Part 1na Part 2 zipo wapi? Tunazihitaji piya
Nashukulu MUNGU Akubaliki
None sense
Amen Amen
Amen.
Amina
Amina.
Amina
Mwenye masikio asikie,Kuingia Mbinguni si Lele mama