Amen blessed my lovely sister the power of testimony...jaman nlipoangusha cm 😢nilipoteza vingi aisee😢..yahn nakumbukaa ile week najiandaa kumsubiri pastor Adam Aston mbya .Kuja Arushaa .nmejiandaa kabsaa nijue itafanyikia Arusha side gani ili niende hyo semina nkapokee wokovu na Iman ya kwel😢 cm ikaanguka nkajikuta 😢imepita at cjui ni wapi😢 hapo ndo nilijua shetan kwel Yuko anafanya Kaz ktk hali yyote.😢at kwa kutumia cm alijua ningefatiliaa mahubir yote😢....bt cjachelewa nitarudia kuskiliza testimony zotee MUNGU n mwema nmepta cm.❤.... blessed shuhuda za kwel pmja na pastor Katunz .my sister..nice voice❤❤❤
Weeeh asante mungu kwa kuifahamu Siri hii..mm niko na swali mutumishi linaniumiza kichwa sana, swali langu ni nje?...kama mtu uliolewa na hukulipiwa mahari alafu umeachana na mume wako.. alafu ukaolewa na mwanaume mwengine hii ni dhambi pia...sikatai kuwa mume wa kwanza ndiye mume wako hata bibilia linatuambia, but nje? swali langu ni kuitwa mke ni uwe umelipiwa mahari na nje? kama hujalipiwa ww bado ni mke wa mtu ama ala...tafadhali naomba unifunulie hapo mutumishi mana hili linaniumiza kichwa sana hata Sina amani moyoni...hii dhambi nataka niepuke kwangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏..
Kupitia shuhudq zenu nimejipata nikibadilisha mienendo zangu nakufuata njia za yesu kristo mibarikiwe sana
Amen barikiwa.but jitaid kwenye jina la YESU MUNGU andika heruf kubwa n cyo ndogo au kifup
Mim pia
Amen blessed my lovely sister the power of testimony...jaman nlipoangusha cm 😢nilipoteza vingi aisee😢..yahn nakumbukaa ile week najiandaa kumsubiri pastor Adam Aston mbya .Kuja Arushaa .nmejiandaa kabsaa nijue itafanyikia Arusha side gani ili niende hyo semina nkapokee wokovu na Iman ya kwel😢 cm ikaanguka nkajikuta 😢imepita at cjui ni wapi😢 hapo ndo nilijua shetan kwel Yuko anafanya Kaz ktk hali yyote.😢at kwa kutumia cm alijua ningefatiliaa mahubir yote😢....bt cjachelewa nitarudia kuskiliza testimony zotee MUNGU n mwema nmepta cm.❤.... blessed shuhuda za kwel pmja na pastor Katunz .my sister..nice voice❤❤❤
Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa yesu Asante sana ninapenda shuhuda zenu YESU awabariki
Emen barikiwa sana tuna pona hiki ndio chakula kinacho stahili mungu akuzidishie umri mrefu usio chakaa kwa ujenzi wa kanisa lake Amen 🙏
Mbarikiwe tuu! Mbarikiwe tuu!
🙏🙏🙏
Ee mungu tusaidiye
Amen servant of God,be blessed for your work
Amina
Weeeh asante mungu kwa kuifahamu Siri hii..mm niko na swali mutumishi linaniumiza kichwa sana, swali langu ni nje?...kama mtu uliolewa na hukulipiwa mahari alafu umeachana na mume wako.. alafu ukaolewa na mwanaume mwengine hii ni dhambi pia...sikatai kuwa mume wa kwanza ndiye mume wako hata bibilia linatuambia, but nje? swali langu ni kuitwa mke ni uwe umelipiwa mahari na nje? kama hujalipiwa ww bado ni mke wa mtu ama ala...tafadhali naomba unifunulie hapo mutumishi mana hili linaniumiza kichwa sana hata Sina amani moyoni...hii dhambi nataka niepuke kwangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏..
Jibu nikwamba kuolewa siyo kuwekewa mahari apana. Kuolewa nivile mulikubaliana kuwa pamoja yaani kuwa mwili mmoja yaani kuishi pamoja Kama mke na mume
Amen nimebarikiwa
Asante sana maana kupitia shuhuda nimesaidika
mungu aendelee kuku barik maana mna tutoa kwenye giza
Muendelee kuokowa rohonyingi kamavile muliokowa yangu
Amen mungu ababarikisana tenasana
Nawapenda Sana shuhuda za kweli , Veronika mushi, na katunzi, aston , robat kenzo
Amina sana tunakupenda pia
Amen Asante
Tunakupenda pia
Ubarikiwe
Ahsante kwa ushuuda,lakini je ,iikuwa mtu ameolewa na huyo mume alikuwa na mke hata kama hawakuishi kwa muda,je hiyo ni ndoa?
Kazi yk ni njema, mama mchungaji
Amen
Ninani atakaye stahili?????????
Vipi kuhusu njia ya kalenda jaman
Kalenda ndiyo Mungu kaiweka ili ujue siku za uzazi .