PART 13 ONYO KWA WATUMIA UZAZI WA MPANGO NA WALIO TOKA KWENYE NDOA ZAO USHUHUDA WA ROBERT KENZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 28

  • @mkalma-i4q
    @mkalma-i4q Год назад +6

    Kupitia shuhudq zenu nimejipata nikibadilisha mienendo zangu nakufuata njia za yesu kristo mibarikiwe sana

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 Год назад

      Amen barikiwa.but jitaid kwenye jina la YESU MUNGU andika heruf kubwa n cyo ndogo au kifup

    • @esterpeter8556
      @esterpeter8556 11 месяцев назад

      Mim pia

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад +1

    Amen blessed my lovely sister the power of testimony...jaman nlipoangusha cm 😢nilipoteza vingi aisee😢..yahn nakumbukaa ile week najiandaa kumsubiri pastor Adam Aston mbya .Kuja Arushaa .nmejiandaa kabsaa nijue itafanyikia Arusha side gani ili niende hyo semina nkapokee wokovu na Iman ya kwel😢 cm ikaanguka nkajikuta 😢imepita at cjui ni wapi😢 hapo ndo nilijua shetan kwel Yuko anafanya Kaz ktk hali yyote.😢at kwa kutumia cm alijua ningefatiliaa mahubir yote😢....bt cjachelewa nitarudia kuskiliza testimony zotee MUNGU n mwema nmepta cm.❤.... blessed shuhuda za kwel pmja na pastor Katunz .my sister..nice voice❤❤❤

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Год назад +1

    Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa yesu Asante sana ninapenda shuhuda zenu YESU awabariki

  • @mwinyijumbe
    @mwinyijumbe 11 месяцев назад +1

    Emen barikiwa sana tuna pona hiki ndio chakula kinacho stahili mungu akuzidishie umri mrefu usio chakaa kwa ujenzi wa kanisa lake Amen 🙏

  • @wilkinssimkoko7920
    @wilkinssimkoko7920 Год назад +2

    Mbarikiwe tuu! Mbarikiwe tuu!
    🙏🙏🙏

  • @ApolinaStella
    @ApolinaStella 8 месяцев назад

    Ee mungu tusaidiye

  • @alice-sd1sv
    @alice-sd1sv Год назад

    Amen servant of God,be blessed for your work

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 Год назад +2

    Amina

  • @hdgHdhd-eu7vf
    @hdgHdhd-eu7vf 9 месяцев назад

    Weeeh asante mungu kwa kuifahamu Siri hii..mm niko na swali mutumishi linaniumiza kichwa sana, swali langu ni nje?...kama mtu uliolewa na hukulipiwa mahari alafu umeachana na mume wako.. alafu ukaolewa na mwanaume mwengine hii ni dhambi pia...sikatai kuwa mume wa kwanza ndiye mume wako hata bibilia linatuambia, but nje? swali langu ni kuitwa mke ni uwe umelipiwa mahari na nje? kama hujalipiwa ww bado ni mke wa mtu ama ala...tafadhali naomba unifunulie hapo mutumishi mana hili linaniumiza kichwa sana hata Sina amani moyoni...hii dhambi nataka niepuke kwangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏..

    • @zebrakacole5822
      @zebrakacole5822 4 месяца назад

      Jibu nikwamba kuolewa siyo kuwekewa mahari apana. Kuolewa nivile mulikubaliana kuwa pamoja yaani kuwa mwili mmoja yaani kuishi pamoja Kama mke na mume

  • @ktlm8787
    @ktlm8787 Год назад +1

    Amen nimebarikiwa

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Год назад

    Asante sana maana kupitia shuhuda nimesaidika

  • @idrisashaban5671
    @idrisashaban5671 Год назад

    mungu aendelee kuku barik maana mna tutoa kwenye giza

  • @RamazaniSulemani-x5h
    @RamazaniSulemani-x5h Год назад +1

    Muendelee kuokowa rohonyingi kamavile muliokowa yangu

  • @RamazaniSulemani-x5h
    @RamazaniSulemani-x5h Год назад

    Amen mungu ababarikisana tenasana

  • @lukapastory
    @lukapastory Год назад +2

    Nawapenda Sana shuhuda za kweli , Veronika mushi, na katunzi, aston , robat kenzo

  • @everlinekemunto267
    @everlinekemunto267 11 месяцев назад

    Ahsante kwa ushuuda,lakini je ,iikuwa mtu ameolewa na huyo mume alikuwa na mke hata kama hawakuishi kwa muda,je hiyo ni ndoa?

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 Год назад

    Kazi yk ni njema, mama mchungaji

  • @ktlm8787
    @ktlm8787 Год назад

    Amen

  • @ellynkya7216
    @ellynkya7216 3 месяца назад

    Ninani atakaye stahili?????????

  • @PaulinaJustus
    @PaulinaJustus Год назад

    Vipi kuhusu njia ya kalenda jaman

    • @happymvula
      @happymvula 8 месяцев назад

      Kalenda ndiyo Mungu kaiweka ili ujue siku za uzazi .