PHINA: MIMI SIO VANESSA/USINIFANANISHE/NA PANYA/ ALIFANYA MAKUBWA/ WE HUOGOPI?
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
No she will never tie Miss Vee’s stiletto lace Daaah
She will never be as brilliant as Lady Vee
Kama huna bifu nae au tofaut nae kwa nn panya acha kiki mdgo wangu maisha niwatu bwana unazingua Kama ulisema hivyo ambayo hatujapenda usemi huu tujuane
Ama kweli binadam hamkosi chakusema nyie mashabiki mnavomtukana mbwa kenge je kwani kunamtu anafanana nambwa au kati yenu kunaalie fanana napaka au nguruwe tuseme tu ukweli acheni matusi hayatawasaidia chochote zaidi yakupotezq mda wenu kuweka mabando nakumsikiliza bado mnatakiwa kutafakali ww ata ukiwa anasura mbaya imekomaaa lakin mm naona haya mambo mnatukana nabado hamuwezi kumpunguzia hatuwa zake ndiyo vanesa nimwanamziki wakike wapekee ambae hapa Tanzania nakumbuka ata nand aliwai kusema kuwa anataka apige kazi hadi ampite vanesa lakin ata mdogowake bado hakuzifikia nyao zadadaake nivile tu tuache midomo yetu kukaa kutukana wasanii wetu wanaotufanya tujifunze jinsi yakupambana nakufikia malengo tunaishi hapa duniani kwakushindania ugari yan pesa ndo chakula chetu maana yadunia yanatisha tujifunze kuwalekebisha wasanii kutotumia midomo yetu kuwasema vibaya wenzetu
Radio imeajili wasomi tupu safi sana
Uwezi kufanana na vee mwenyewe elimu yako na ya vee ipi ndio muhimu. Ukipelekwa kotini vee anakuiga chini
V money nyie ile namba haigawanyiki acheni kufananisha Vanessa na vitu vya hovyo
Acheni ujinga kila mtu na bahati yake Sawa vee mnae msema mbona yilo kimya nyie vihelehele Ila phina ulo vizuli mmmwaaha ❤❤❤❤
Kwanza umekomaaa sana kama unamika 50 alafu unamfananisha na Vanessa msenge wewe dada huna lolote
Hapa ni nyumbani
Salimu hajasikiliza we hauogopi
Sarrah kikya nakupenda Sana ♥️
Matako wee acha kutafuta kik kwa Vee hata theluthi humfikii kwa chochote sio saut wala muonekano
Kwan Vanessa yy ananini
Mbwa kachoka wewe aja kujifananisha na mtoto wa kishua
Mwili mzuri cn uwo ndio mwili wa dance
acha kuwa proud
wale wa hall one tujuane
Usitembeleye ku jina ya Vee....
🎉🎉🎉
Hivi vee mdee aliendaga b s s
Wewe unamzidi nini Vanessa unaposema unakosewa heshima kuitwa vee.
Humfikii kwa kila kitu
Phina is more than Vanessa kimziki. Vanessa ni House wife Tu. Yakuwa na kipaji cha mziki na ndomana aliacha mziki.
@@rajumrecords711jishauwe
Hiiiiiiiii muangalien huyu @@rajumrecords711
😂😂😂😂😂msukuma acha kiki
Sasa si uongee kiswahili dada, na kwa dharau hizo jiangalie unaweza usifike mbali licha ya kuwa na kipaji
Huwez kufanana na vee hata kwa kidogo mbwa wewe,,, vee alikua hatongozi wanaume malaya wewe
Vanesa uwezi mfananisha na huyo kituko ajui kuvaa surayake imekomaa. Uwezi kumfananisha na vee kabisa amfikii hata robo vanesa kuvaa na vingi 😂😂😂😂
Wewe koma kumwita vee panya ,we hujion ulivyo wewe ?? Ebu nikwambie Jins unavoonekana upo kama Sanam la bis min
Kwanza una mcopy vee ukubali usikubali
Tatiz wanaon wakikubal km hadh yao itashuk ila kumuig mtu ni competition ambay inamfany muigaji kukuz kipaji chake but wabishi hao kukubalian n ukwel
Piga pigo zako usiibie au mnashea bwana nini acha wivu yaani kama yeye ni panya wewe ni kunguru..... yaani hatuja penda kabisa.nilikuwa nakukubali sana ila ahhh umeniangushaa sana dah kweli dunia sio mbaya ila wanadamu ndio wabaya puhhhh
Wasukuma wanazalau sna
Siyo kweli, hii ni yake binafsi.
Kivipi??
Mbwembwe za mwanz nilijua hujui kiswahili
Kikeke nakubali