PHINA: MIMI SIO VANESSA/USINIFANANISHE/NA PANYA/ ALIFANYA MAKUBWA/ WE HUOGOPI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 39

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Месяц назад +4

    No she will never tie Miss Vee’s stiletto lace Daaah
    She will never be as brilliant as Lady Vee

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Месяц назад +21

    Kama huna bifu nae au tofaut nae kwa nn panya acha kiki mdgo wangu maisha niwatu bwana unazingua Kama ulisema hivyo ambayo hatujapenda usemi huu tujuane

    • @reymathomas1562
      @reymathomas1562 Месяц назад

      Ama kweli binadam hamkosi chakusema nyie mashabiki mnavomtukana mbwa kenge je kwani kunamtu anafanana nambwa au kati yenu kunaalie fanana napaka au nguruwe tuseme tu ukweli acheni matusi hayatawasaidia chochote zaidi yakupotezq mda wenu kuweka mabando nakumsikiliza bado mnatakiwa kutafakali ww ata ukiwa anasura mbaya imekomaaa lakin mm naona haya mambo mnatukana nabado hamuwezi kumpunguzia hatuwa zake ndiyo vanesa nimwanamziki wakike wapekee ambae hapa Tanzania nakumbuka ata nand aliwai kusema kuwa anataka apige kazi hadi ampite vanesa lakin ata mdogowake bado hakuzifikia nyao zadadaake nivile tu tuache midomo yetu kukaa kutukana wasanii wetu wanaotufanya tujifunze jinsi yakupambana nakufikia malengo tunaishi hapa duniani kwakushindania ugari yan pesa ndo chakula chetu maana yadunia yanatisha tujifunze kuwalekebisha wasanii kutotumia midomo yetu kuwasema vibaya wenzetu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Месяц назад +5

    Radio imeajili wasomi tupu safi sana

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 Месяц назад +2

    Uwezi kufanana na vee mwenyewe elimu yako na ya vee ipi ndio muhimu. Ukipelekwa kotini vee anakuiga chini

  • @shaffihiddy9281
    @shaffihiddy9281 Месяц назад +5

    V money nyie ile namba haigawanyiki acheni kufananisha Vanessa na vitu vya hovyo

  • @IbrahimZumba
    @IbrahimZumba Месяц назад

    Acheni ujinga kila mtu na bahati yake Sawa vee mnae msema mbona yilo kimya nyie vihelehele Ila phina ulo vizuli mmmwaaha ❤❤❤❤

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Месяц назад +7

    Kwanza umekomaaa sana kama unamika 50 alafu unamfananisha na Vanessa msenge wewe dada huna lolote

  • @Lebabaz
    @Lebabaz Месяц назад +2

    Hapa ni nyumbani

  • @oscartv3571
    @oscartv3571 Месяц назад +1

    Salimu hajasikiliza we hauogopi

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 Месяц назад +1

    Sarrah kikya nakupenda Sana ♥️

  • @tyseed
    @tyseed 25 дней назад

    Matako wee acha kutafuta kik kwa Vee hata theluthi humfikii kwa chochote sio saut wala muonekano

  • @MiriamMaiz
    @MiriamMaiz 29 дней назад

    Kwan Vanessa yy ananini

  • @neemaabdu1091
    @neemaabdu1091 Месяц назад +2

    Mbwa kachoka wewe aja kujifananisha na mtoto wa kishua

  • @IbrahimZumba
    @IbrahimZumba Месяц назад

    Mwili mzuri cn uwo ndio mwili wa dance

  • @blandinamanongi8818
    @blandinamanongi8818 Месяц назад

    acha kuwa proud

  • @godlivermsokatz
    @godlivermsokatz Месяц назад

    wale wa hall one tujuane

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Месяц назад

    Usitembeleye ku jina ya Vee....

  • @FelinucMalilwa
    @FelinucMalilwa Месяц назад

    🎉🎉🎉

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 Месяц назад

    Hivi vee mdee aliendaga b s s

  • @GaspalMgassa
    @GaspalMgassa Месяц назад +5

    Wewe unamzidi nini Vanessa unaposema unakosewa heshima kuitwa vee.

    • @GaspalMgassa
      @GaspalMgassa Месяц назад +1

      Humfikii kwa kila kitu

    • @rajumrecords711
      @rajumrecords711 Месяц назад

      Phina is more than Vanessa kimziki. Vanessa ni House wife Tu. Yakuwa na kipaji cha mziki na ndomana aliacha mziki.

    • @ZahraSaid-hh6wi
      @ZahraSaid-hh6wi Месяц назад

      @@rajumrecords711jishauwe

    • @AshaAli-f9s
      @AshaAli-f9s Месяц назад

      Hiiiiiiiii muangalien huyu ​@@rajumrecords711

    • @EuniceDaniel-p4o
      @EuniceDaniel-p4o 24 дня назад

      😂😂😂😂😂msukuma acha kiki

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 Месяц назад +2

    Sasa si uongee kiswahili dada, na kwa dharau hizo jiangalie unaweza usifike mbali licha ya kuwa na kipaji

  • @irenejoh1242
    @irenejoh1242 Месяц назад

    Huwez kufanana na vee hata kwa kidogo mbwa wewe,,, vee alikua hatongozi wanaume malaya wewe

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Месяц назад +1

    Vanesa uwezi mfananisha na huyo kituko ajui kuvaa surayake imekomaa. Uwezi kumfananisha na vee kabisa amfikii hata robo vanesa kuvaa na vingi 😂😂😂😂

  • @EliasDenis-lb9pl
    @EliasDenis-lb9pl Месяц назад

    Wewe koma kumwita vee panya ,we hujion ulivyo wewe ?? Ebu nikwambie Jins unavoonekana upo kama Sanam la bis min

  • @winfridanzembi6677
    @winfridanzembi6677 Месяц назад

    Kwanza una mcopy vee ukubali usikubali

    • @AshaAli-f9s
      @AshaAli-f9s Месяц назад

      Tatiz wanaon wakikubal km hadh yao itashuk ila kumuig mtu ni competition ambay inamfany muigaji kukuz kipaji chake but wabishi hao kukubalian n ukwel

  • @Helena97829
    @Helena97829 Месяц назад

    Piga pigo zako usiibie au mnashea bwana nini acha wivu yaani kama yeye ni panya wewe ni kunguru..... yaani hatuja penda kabisa.nilikuwa nakukubali sana ila ahhh umeniangushaa sana dah kweli dunia sio mbaya ila wanadamu ndio wabaya puhhhh

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Месяц назад +2

    Wasukuma wanazalau sna

  • @AshaAli-f9s
    @AshaAli-f9s Месяц назад

    Mbwembwe za mwanz nilijua hujui kiswahili

  • @jescamariki8498
    @jescamariki8498 Месяц назад

    Kikeke nakubali