Rais SAMIA aingilia kati sakata la FEI TOTO "Muacheni mtoto, sio vizuri kugombana na Mtoto"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 116

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Год назад +7

    safi sana mama tunatakiwa kukuza vipaji siyo kuuwa vipaji roho mbaya haifai

  • @annemyombo8089
    @annemyombo8089 Год назад +6

    Asante sana mama.
    Mungu akubariki sana sana mama,

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 Год назад +3

    Mashaallaah mama Allah bless you and your country ameen

  • @saidamustafa5446
    @saidamustafa5446 Год назад +2

    Asante Sana mama shukran hakika wewe ni mama Bora. Nimefurahishwa Sana kauli yako italimaliza hili tuendelee na mengine.
    Allwah akulipe heri. Amin

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Год назад +4

    Asant mama samia nakupongeza kwa wito wako wakuislika Timu ya wananchi lkn binapsi nimefurahi uliposema issue ya feii toto fainest wa mpira tanzania asante mama

  • @DM_15
    @DM_15 Год назад +5

    Hatimae ndondo cup imejulikana kwa mama I like thic

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Год назад +5

    Waswahili wanasema mcheza kwao hutunzwa asante mama

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Год назад +7

    MAMA TUMEFURAHI SANA JUU SWALA LA FEI TOTO NINGEKUWA JIRANI NINGEKUBEBA MGONGONI. NAKUPENDA SANA SANA MAMA KIPENZI CHETU

  • @lohaigirgis5457
    @lohaigirgis5457 Год назад +3

    I like you mama Samia suluhu hassani simamia hicho kwa neno la mwenyezi mungu akuongoze

  • @kassim117
    @kassim117 Год назад +4

    Yani noma mama Samia nakupa hauna baya

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Год назад +3

    RAIS SAMIA SAFI SANA, UZIDI KUONA MBALI. YANGA MUACHIENI KIJANA APAMBANE NA KIPAJI CHAKE POPOTE ANAPOPATAKA MSIMZUIE NA MABARUA KIBAO ETI YA UTOVU WA NIDHAMU. ACHANA NAE NA AENDELEZE KIPAJI. AFCON INAMHITAJI MJUE.

  • @estheramos8261
    @estheramos8261 Год назад +7

    Mama 😂😂😂😂 Kwamba wamuache mtoto

  • @josephjosiah3224
    @josephjosiah3224 Год назад +5

    Mtoto vyake viboko mama mtoto washauri wake walimponza ila sawa kauli yako itafanyiwa kazi asante kwa kulimaliza hili

  • @habibndyeshobora6848
    @habibndyeshobora6848 Год назад +2

    Nampenda mama huyu!!!!!! M/ Mungu azidi kukulinda, akupe umri mrefu ,afya, hekma , amiin!!!!!

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Год назад +5

    Wasipofanyia kazi mambo ya fei akuna kuwasaport kwa lolote mbuzi ao .wa mwache mtoto aende msimbaz

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Год назад +1

      Kwani Simba wameenda Yanga kumtaka Fei wakakataliwa? Haitatokea Yanga wamwachie Fei kinyume Cha taratibu, sheria na kanuni zinazoongoza mpira, hapo hakuna siasa!

    • @yusuphngamela5611
      @yusuphngamela5611 Год назад

      Hasipotusapoti mbna 2025 sio mbali na sisi hatumsapoti

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Год назад

      Unatumia akili kweli au ushabiki unakusumbua? Fei ni nini mbele ya Yanga? Fei Ni mmoja na kundi lake wana influence (ushawishi) gani kwa mstakhabali wa nchii mpaka utishie kutomsapoti Rais? Fei Ni mtu mmoja, Yanga ni taasisi ya Wananchi yenye ushawishi, kuamua na kutenda. Ina uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa mwenendo wa masuala ya kijamii na yakafanyika. Ebu punguza mihemko, tafakari kabla ya kuropoka!

  • @exodustvtanzania
    @exodustvtanzania Год назад +11

    Nimeielewa sana kauli ya Mama hapo ameona mtete mzenji mwenzake

    • @ameirdarueshi2593
      @ameirdarueshi2593 Год назад +1

      Acha chuki izoo

    • @almasrluhagami1497
      @almasrluhagami1497 Год назад

      Ukabila na udini ndo unavoendelezwa hivi na wapumbavu

    • @MasoudSultan-ks6kc
      @MasoudSultan-ks6kc Год назад +1

      Wacha ubaguzi

    • @rajabu4692
      @rajabu4692 Год назад

      Ulaaniwe shetani mkubwa wewe hao aliowaita ikuru wote ni wazenji....??
      Punguza makasiriko

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      ​@@almasrluhagami1497 makondo alisema sealant ya tanzania inaongozwa na kanisa mbona hujasema hilo

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Год назад +1

    Imeishaaaa hiyooo Mama.....🔥🔥🔥♥️

  • @joycechuki8258
    @joycechuki8258 Год назад

    Fei toto ni Mzanzibar lazima mama amtete bhana 😅

  • @josephjosiah3224
    @josephjosiah3224 Год назад +2

    Safi sana kwa kauli hii

  • @SimaiHassan-qn3xv
    @SimaiHassan-qn3xv Год назад +2

    Da hatar.😢😢😢😢

  • @deboramwalubwelo4184
    @deboramwalubwelo4184 Год назад +2

    Nampenda Rais wetu huyu

  • @abdallahmzee7677
    @abdallahmzee7677 Год назад +1

    Asante mama nimekukubali sana

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 Год назад +3

    Kwel rais ume ongea hawa hawajitambui mpaka uwashikie bakora

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Год назад

    Good speech Mama yetu mpendwa., Mama mlezi.

  • @suleimanamlima6023
    @suleimanamlima6023 Год назад

    Hongera Dauda

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Год назад +2

    Asante mama hao hawana hurumawanamkomoa

  • @naimame763
    @naimame763 Год назад +1

    Big gap mom ❤

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад +2

    Dr. Samia Suluhu, wewe kweli ni mama na unaujua uchungu wa mwana hata kama atakuwa amekosea, Feisal ni mtoto na kama alifanya makosa pia anahitaji kusamehewa na kuacha aruke na mabawa yake.

  • @tanzaniampya570
    @tanzaniampya570 Год назад +3

    Wakafanyie kazi kauli hii ya mama

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Год назад

    HUYU MAMA SIJUI ANAFELI WAPI MBONA YUKO VIXUR SANA WAKUSAIDIE HAO UNAO WACHAGUA WAFUATILIE TATIZO HUWAFUATILII

  • @richardtimoth7865
    @richardtimoth7865 Год назад +3

    Mama nimekuelewa

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Год назад

    Ahsante sana mama,kusema kweli uchungu wa mwana aujua mama pekee!! Maana baba yeye hakuliona hilo kwakua tu sio yeye aliyemzaa FEI hivyo hata kipaji chake kikipotea haimhusu!

  • @msikamanoartgroop8730
    @msikamanoartgroop8730 Год назад +2

    Umenena vyema mama ila huyo unaemuita mtoto nae angefuata utaratibu

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 Год назад +5

    Kwenye mambo ya kisheria hakuna kuoneana huruma na tunaomba mama aelewe fei alichofanyA ni kibaya na anastahili adhabu ili iwe fundisho kwake na wenzake na kumkumbusha mtoto maana yake nini kisheria fei hayupo kundi hilo la kitoto ............samahani mama.............yanga oyeeeeeee

  • @ELLvicto
    @ELLvicto Год назад +1

    malizeni mgogolo mama kasema hapo sasa ety ooo sio la kihuluma hapo sasa

  • @jemslingard7056
    @jemslingard7056 Год назад

    Asante mama kuwashaul yanga kumariza mizozoro na katoto

  • @MengiMtali-mj9me
    @MengiMtali-mj9me Год назад

    Sawaa mama

  • @innocentmgona3688
    @innocentmgona3688 Год назад

    Safi

  • @user-ht5dd5fy3k
    @user-ht5dd5fy3k Год назад +3

    MTOT GANI TENA MAMA,

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Год назад

    Asante mama

  • @platner5
    @platner5 Год назад

    Hayo ndo mambo sokunyanyasana

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 Год назад +1

    ANAUTOTO GANI HUYU ANAKESHA KASIMAMIA KUCHA MPAKA ASUBUHI

  • @user-pz3pb4pt7y
    @user-pz3pb4pt7y Год назад +1

    Wat wengne hamjui kuandika habar

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Год назад +1

    Kwafei mamaumeupigamwingi

  • @user-lj2qt8wm8x
    @user-lj2qt8wm8x Год назад

    Feitot kapotea azm

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +1

    Kuna mengi kwenye hii hotuba.. huyo mtoto ndo maana kibri imemjaa..hana nidhamu.. eti eng aondoke yanga,ndo yeye arudi yanga.. ondoka fey.
    GSM na wenzake hawabinywi kwenye biashara zao ili faida..mbinyo upi?wenzake?

  • @sarahmgalama3503
    @sarahmgalama3503 Год назад

    Wapi kasema muacheni mtoto aende?
    Kasema viongozi wakamalizane na Fei acheni kupotosha watu

  • @robertmasele9895
    @robertmasele9895 Год назад

    Yanga chakula Cha mama hakiliwi Bure,dogo saiz hana Hela ,utatupa Bure sabub mmeshakula Cha mama

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 Год назад

    Mtoto Kawa mjeuri hajali mkataba na anajiona super star akidhani mkataba hauna maana yoyote.
    Wengine wakiiga alilofanya,kutavurugika ligi NBC.
    Mchezaji akiamka vibaya ,Sina furaha naondoka, hii haikubaliki.
    Mlimalize bila kuachia nafasi kwa wengine kuiga ujinga huu, kwani ligi itavurugika ,kila mchezaji akiamua kuondoka wakati anaotaka.

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Год назад

    Hello

  • @teddywanjau-yx5sc
    @teddywanjau-yx5sc Год назад

    Hamubinywi kazi kwenu sasa

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 Год назад

    Mama kama mama tunashukuru Kwa kuona kipaji Cha mwambaaa kinapoteaa

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 Год назад +1

    Wamuachie aende anapopataka ataki tena kucheza Yanga

    • @ziadasiliko3722
      @ziadasiliko3722 Год назад

      Afate sheria aende zake akileata kibri twamnyoosha kama kawa

  • @Doten-zg3yl
    @Doten-zg3yl Год назад

    Naomba mama tusaidie na as wa wilaya ya mpwapwa kjj chinyika tupate michezo angalau

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Kiongozi muungwana alolelewa na wazazi lazima awe na busara hongera dada yangu samia watu wazima haipendezi kugombana na watoto sio hishima hongara samia

  • @jimmy5392
    @jimmy5392 Год назад

    😂😂😂😂😂😂 kawakomesha vihelehele

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Год назад

    ASANTE SANA KWA SWALA LA FEI TOTO. TUNATAKA VIPAJI VISIPOTEE ILI KUDUMISHA TIMU YA TAIFA LETU. MAMA TUNAKUPENDA SANA KWAKUTATUA MIGOGORO MINGI. WEWE NIMPENDA AMANI ASANTE SANA. MUNGU AKUWEKEE MKONO WA BARAKA NA AMANI NA MAISHA MAREFU ASANTE SANA.

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 Год назад

    Wewe unaesema Mtoto jeuri unakosea... Imagine wewe ni Mzazi Mtoto amekukosea utaendelea kumpa adhabu au kumnyima chakula mpaka lini? Ifike wakati unamhurumia tu umpe uhuru wa kile anachokitaka bhana... Mama nae kaongea yake ya moyoni.

  • @petermgosi5111
    @petermgosi5111 Год назад

    Ona sasa mwenyebusara mama yetu kaona hakuna haja ya kumung'ang'ania dogo wamwache aende zake ,roho safi kawaida hushinda roho chafu za wanaojiita et matajiri au wawekezaji

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Год назад +1

    HAJASEMA MUACHENI! AMESEMA MALIZENI,SASA TUKIMUITA HUYU MTOTO AKIKAIDI TUNAMWAMBIA MAMA,CHA KWANZA TUNAMPELEKA SIMBA KWA MKOPO AKALINDE KIPAJI CHAKE,AKIKATAA TUNAMWAMBIA MAMA KATOTO KAMEKAIDI

    • @ziadasiliko3722
      @ziadasiliko3722 Год назад

      Sana tu anyooshwe awe mfano kwa wengine wenye kibri kama yeye

    • @zubedaali4155
      @zubedaali4155 Год назад

      @@ziadasiliko3722 ww nawe je angekuwa mtoto wakoungeshadadia acha izo ww ni mtoto wa like mtoto wa mwenzio nawe pia wako

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Год назад

      Kyando were!

  • @shedyb990
    @shedyb990 Год назад

    Kw hiyo tu stop kumchangia Feitoto ?

  • @abuuhamza3284
    @abuuhamza3284 Год назад

    Kwani nani aliekuwa akiwabinya????amemkusudia nani???

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Год назад

    Kiwanja cha kigambon msha jenga ?

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Год назад

    tunataka katiba hayo mengne badae

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Год назад +1

    Mkataba ndiyo kila kitu sio kuoneana huruma kwenye mikataba

    • @ziadasiliko3722
      @ziadasiliko3722 Год назад

      Yes itifaki lazma izingatiwe

    • @michaelpaul2786
      @michaelpaul2786 Год назад

      Mikataba ipi ya haki Utopolo wahuni tu umesahau issue ya Morrison km sio kakomaa kudai haki yake si angeliwa walikuwa na mpango gani na Morrison km sio kumfanyia uhuni

  • @user-pg1tp3xr9q
    @user-pg1tp3xr9q Год назад

    Namuona bill

  • @hadija846
    @hadija846 Год назад

    Kafanya nini mtoto wetu jamani?

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Год назад

    Kime mlikuwa hamna sehemu ya kiwanja hii kz

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Год назад

    Nawakumbuke mamaukishasematu wakumbuke hiyoniamli tayari

  • @OfficialTeacherTz
    @OfficialTeacherTz Год назад

    Usimuwekee Maneno Raisi amesema Kamalizeni hajasema kamuacheni..

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Год назад +1

    Mama tatizo mtoto jeuri huyu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад

    Sasa fei wakat wowote atakuwa huru.

  • @tanzaniampya570
    @tanzaniampya570 Год назад +1

    Tatizo mtoto anakibri, unawaonea yanga mama

    • @bakarimmbaga2344
      @bakarimmbaga2344 Год назад

      Hata wa kwako pia anaweza kuwa na kiburi, ikikutokea utamuua?

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali9008 Год назад +1

    Nimemuona Kazumari bwana

  • @sulemanmagesa2181
    @sulemanmagesa2181 Год назад +1

    Kauli ya Rais wa JMT ni amri na Sheria. Free FEI!! Ndo mtajua hamjui. Aachwe Katoto ka Mwisho!!!!

    • @PhilomenaSteven-tq2tx
      @PhilomenaSteven-tq2tx Год назад

      Manyumbu sisi km yanga atuna aja nae tumeshakinaishwa nae aende popote tupo na yanga yetu kwn tumefika apa birla yeye

    • @ziadasiliko3722
      @ziadasiliko3722 Год назад

      Kauli yake sio sheria, soka sio siasa ametoa ombi sisi tutatekeleza ombi kwa kufata sheria wajeuli lazma tuwanyooshe

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Год назад

    Ni aibu kumkomoa kijana mdogo kama Fei Toto mnamharibia maisha yake. Mwacheni aende atakako

    • @linuskyando4155
      @linuskyando4155 Год назад +1

      YEYE ANAICHAFUA YANGA DAWA NI KUMPELEKA SIMBA KWA MKOPO

    • @ziadasiliko3722
      @ziadasiliko3722 Год назад

      Afate sheria anayevunja sheria lazma anyooshwe

  • @shehekhamis2906
    @shehekhamis2906 Год назад

    Kuna watu wanakufa njaa huku

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Год назад

    Mtotohatakiwanamvurugatu

  • @marcomushi-nd8ku
    @marcomushi-nd8ku Год назад

    Mama anataka urais tena kampeni hzo

  • @saidamustafa5446
    @saidamustafa5446 Год назад

    Asante Sana mama shukran hakika wewe ni mama Bora. Nimefurahishwa Sana kauli yako italimaliza hili tuendelee na mengine.
    Allwah akulipe heri. Amin

  • @MengiMtali-mj9me
    @MengiMtali-mj9me Год назад

    Sawa mama