Asant mama samia nakupongeza kwa wito wako wakuislika Timu ya wananchi lkn binapsi nimefurahi uliposema issue ya feii toto fainest wa mpira tanzania asante mama
RAIS SAMIA SAFI SANA, UZIDI KUONA MBALI. YANGA MUACHIENI KIJANA APAMBANE NA KIPAJI CHAKE POPOTE ANAPOPATAKA MSIMZUIE NA MABARUA KIBAO ETI YA UTOVU WA NIDHAMU. ACHANA NAE NA AENDELEZE KIPAJI. AFCON INAMHITAJI MJUE.
Unatumia akili kweli au ushabiki unakusumbua? Fei ni nini mbele ya Yanga? Fei Ni mmoja na kundi lake wana influence (ushawishi) gani kwa mstakhabali wa nchii mpaka utishie kutomsapoti Rais? Fei Ni mtu mmoja, Yanga ni taasisi ya Wananchi yenye ushawishi, kuamua na kutenda. Ina uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa mwenendo wa masuala ya kijamii na yakafanyika. Ebu punguza mihemko, tafakari kabla ya kuropoka!
Dr. Samia Suluhu, wewe kweli ni mama na unaujua uchungu wa mwana hata kama atakuwa amekosea, Feisal ni mtoto na kama alifanya makosa pia anahitaji kusamehewa na kuacha aruke na mabawa yake.
Ahsante sana mama,kusema kweli uchungu wa mwana aujua mama pekee!! Maana baba yeye hakuliona hilo kwakua tu sio yeye aliyemzaa FEI hivyo hata kipaji chake kikipotea haimhusu!
Kwenye mambo ya kisheria hakuna kuoneana huruma na tunaomba mama aelewe fei alichofanyA ni kibaya na anastahili adhabu ili iwe fundisho kwake na wenzake na kumkumbusha mtoto maana yake nini kisheria fei hayupo kundi hilo la kitoto ............samahani mama.............yanga oyeeeeeee
Kuna mengi kwenye hii hotuba.. huyo mtoto ndo maana kibri imemjaa..hana nidhamu.. eti eng aondoke yanga,ndo yeye arudi yanga.. ondoka fey. GSM na wenzake hawabinywi kwenye biashara zao ili faida..mbinyo upi?wenzake?
Mtoto Kawa mjeuri hajali mkataba na anajiona super star akidhani mkataba hauna maana yoyote. Wengine wakiiga alilofanya,kutavurugika ligi NBC. Mchezaji akiamka vibaya ,Sina furaha naondoka, hii haikubaliki. Mlimalize bila kuachia nafasi kwa wengine kuiga ujinga huu, kwani ligi itavurugika ,kila mchezaji akiamua kuondoka wakati anaotaka.
Kiongozi muungwana alolelewa na wazazi lazima awe na busara hongera dada yangu samia watu wazima haipendezi kugombana na watoto sio hishima hongara samia
ASANTE SANA KWA SWALA LA FEI TOTO. TUNATAKA VIPAJI VISIPOTEE ILI KUDUMISHA TIMU YA TAIFA LETU. MAMA TUNAKUPENDA SANA KWAKUTATUA MIGOGORO MINGI. WEWE NIMPENDA AMANI ASANTE SANA. MUNGU AKUWEKEE MKONO WA BARAKA NA AMANI NA MAISHA MAREFU ASANTE SANA.
Wewe unaesema Mtoto jeuri unakosea... Imagine wewe ni Mzazi Mtoto amekukosea utaendelea kumpa adhabu au kumnyima chakula mpaka lini? Ifike wakati unamhurumia tu umpe uhuru wa kile anachokitaka bhana... Mama nae kaongea yake ya moyoni.
Ona sasa mwenyebusara mama yetu kaona hakuna haja ya kumung'ang'ania dogo wamwache aende zake ,roho safi kawaida hushinda roho chafu za wanaojiita et matajiri au wawekezaji
Mikataba ipi ya haki Utopolo wahuni tu umesahau issue ya Morrison km sio kakomaa kudai haki yake si angeliwa walikuwa na mpango gani na Morrison km sio kumfanyia uhuni
safi sana mama tunatakiwa kukuza vipaji siyo kuuwa vipaji roho mbaya haifai
Asante sana mama.
Mungu akubariki sana sana mama,
Mashaallaah mama Allah bless you and your country ameen
Asante Sana mama shukran hakika wewe ni mama Bora. Nimefurahishwa Sana kauli yako italimaliza hili tuendelee na mengine.
Allwah akulipe heri. Amin
Asant mama samia nakupongeza kwa wito wako wakuislika Timu ya wananchi lkn binapsi nimefurahi uliposema issue ya feii toto fainest wa mpira tanzania asante mama
Hatimae ndondo cup imejulikana kwa mama I like thic
Waswahili wanasema mcheza kwao hutunzwa asante mama
MAMA TUMEFURAHI SANA JUU SWALA LA FEI TOTO NINGEKUWA JIRANI NINGEKUBEBA MGONGONI. NAKUPENDA SANA SANA MAMA KIPENZI CHETU
I like you mama Samia suluhu hassani simamia hicho kwa neno la mwenyezi mungu akuongoze
Yani noma mama Samia nakupa hauna baya
RAIS SAMIA SAFI SANA, UZIDI KUONA MBALI. YANGA MUACHIENI KIJANA APAMBANE NA KIPAJI CHAKE POPOTE ANAPOPATAKA MSIMZUIE NA MABARUA KIBAO ETI YA UTOVU WA NIDHAMU. ACHANA NAE NA AENDELEZE KIPAJI. AFCON INAMHITAJI MJUE.
Mama 😂😂😂😂 Kwamba wamuache mtoto
Wamuache aende kwenye timu aipendayo
😂😂😂😂😂
Mtoto vyake viboko mama mtoto washauri wake walimponza ila sawa kauli yako itafanyiwa kazi asante kwa kulimaliza hili
Asante kwake mama
asante sana mama yanga wanamtesa sana fei toto
Nampenda mama huyu!!!!!! M/ Mungu azidi kukulinda, akupe umri mrefu ,afya, hekma , amiin!!!!!
Wasipofanyia kazi mambo ya fei akuna kuwasaport kwa lolote mbuzi ao .wa mwache mtoto aende msimbaz
Kwani Simba wameenda Yanga kumtaka Fei wakakataliwa? Haitatokea Yanga wamwachie Fei kinyume Cha taratibu, sheria na kanuni zinazoongoza mpira, hapo hakuna siasa!
Hasipotusapoti mbna 2025 sio mbali na sisi hatumsapoti
Unatumia akili kweli au ushabiki unakusumbua? Fei ni nini mbele ya Yanga? Fei Ni mmoja na kundi lake wana influence (ushawishi) gani kwa mstakhabali wa nchii mpaka utishie kutomsapoti Rais? Fei Ni mtu mmoja, Yanga ni taasisi ya Wananchi yenye ushawishi, kuamua na kutenda. Ina uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa mwenendo wa masuala ya kijamii na yakafanyika. Ebu punguza mihemko, tafakari kabla ya kuropoka!
Nimeielewa sana kauli ya Mama hapo ameona mtete mzenji mwenzake
Acha chuki izoo
Ukabila na udini ndo unavoendelezwa hivi na wapumbavu
Wacha ubaguzi
Ulaaniwe shetani mkubwa wewe hao aliowaita ikuru wote ni wazenji....??
Punguza makasiriko
@@almasrluhagami1497 makondo alisema sealant ya tanzania inaongozwa na kanisa mbona hujasema hilo
Imeishaaaa hiyooo Mama.....🔥🔥🔥♥️
Fei toto ni Mzanzibar lazima mama amtete bhana 😅
Safi sana kwa kauli hii
Da hatar.😢😢😢😢
Nampenda Rais wetu huyu
Asante mama nimekukubali sana
Kwel rais ume ongea hawa hawajitambui mpaka uwashikie bakora
Good speech Mama yetu mpendwa., Mama mlezi.
Hongera Dauda
Asante mama hao hawana hurumawanamkomoa
Big gap mom ❤
Dr. Samia Suluhu, wewe kweli ni mama na unaujua uchungu wa mwana hata kama atakuwa amekosea, Feisal ni mtoto na kama alifanya makosa pia anahitaji kusamehewa na kuacha aruke na mabawa yake.
Wakafanyie kazi kauli hii ya mama
HUYU MAMA SIJUI ANAFELI WAPI MBONA YUKO VIXUR SANA WAKUSAIDIE HAO UNAO WACHAGUA WAFUATILIE TATIZO HUWAFUATILII
Mama nimekuelewa
Ahsante sana mama,kusema kweli uchungu wa mwana aujua mama pekee!! Maana baba yeye hakuliona hilo kwakua tu sio yeye aliyemzaa FEI hivyo hata kipaji chake kikipotea haimhusu!
Umenena vyema mama ila huyo unaemuita mtoto nae angefuata utaratibu
Kwenye mambo ya kisheria hakuna kuoneana huruma na tunaomba mama aelewe fei alichofanyA ni kibaya na anastahili adhabu ili iwe fundisho kwake na wenzake na kumkumbusha mtoto maana yake nini kisheria fei hayupo kundi hilo la kitoto ............samahani mama.............yanga oyeeeeeee
Ombi la raisi ni amri
Hovyo roho mbaya tu😏
malizeni mgogolo mama kasema hapo sasa ety ooo sio la kihuluma hapo sasa
Asante mama kuwashaul yanga kumariza mizozoro na katoto
Sawaa mama
Safi
MTOT GANI TENA MAMA,
Asante mama
Hayo ndo mambo sokunyanyasana
ANAUTOTO GANI HUYU ANAKESHA KASIMAMIA KUCHA MPAKA ASUBUHI
Wat wengne hamjui kuandika habar
Kwafei mamaumeupigamwingi
Feitot kapotea azm
Kuna mengi kwenye hii hotuba.. huyo mtoto ndo maana kibri imemjaa..hana nidhamu.. eti eng aondoke yanga,ndo yeye arudi yanga.. ondoka fey.
GSM na wenzake hawabinywi kwenye biashara zao ili faida..mbinyo upi?wenzake?
Tozo tozo
Wapi kasema muacheni mtoto aende?
Kasema viongozi wakamalizane na Fei acheni kupotosha watu
Yanga chakula Cha mama hakiliwi Bure,dogo saiz hana Hela ,utatupa Bure sabub mmeshakula Cha mama
Mtoto Kawa mjeuri hajali mkataba na anajiona super star akidhani mkataba hauna maana yoyote.
Wengine wakiiga alilofanya,kutavurugika ligi NBC.
Mchezaji akiamka vibaya ,Sina furaha naondoka, hii haikubaliki.
Mlimalize bila kuachia nafasi kwa wengine kuiga ujinga huu, kwani ligi itavurugika ,kila mchezaji akiamua kuondoka wakati anaotaka.
Hello
Hamubinywi kazi kwenu sasa
Mama kama mama tunashukuru Kwa kuona kipaji Cha mwambaaa kinapoteaa
Wamuachie aende anapopataka ataki tena kucheza Yanga
Afate sheria aende zake akileata kibri twamnyoosha kama kawa
Naomba mama tusaidie na as wa wilaya ya mpwapwa kjj chinyika tupate michezo angalau
Kiongozi muungwana alolelewa na wazazi lazima awe na busara hongera dada yangu samia watu wazima haipendezi kugombana na watoto sio hishima hongara samia
😂😂😂😂😂😂 kawakomesha vihelehele
ASANTE SANA KWA SWALA LA FEI TOTO. TUNATAKA VIPAJI VISIPOTEE ILI KUDUMISHA TIMU YA TAIFA LETU. MAMA TUNAKUPENDA SANA KWAKUTATUA MIGOGORO MINGI. WEWE NIMPENDA AMANI ASANTE SANA. MUNGU AKUWEKEE MKONO WA BARAKA NA AMANI NA MAISHA MAREFU ASANTE SANA.
Wewe unaesema Mtoto jeuri unakosea... Imagine wewe ni Mzazi Mtoto amekukosea utaendelea kumpa adhabu au kumnyima chakula mpaka lini? Ifike wakati unamhurumia tu umpe uhuru wa kile anachokitaka bhana... Mama nae kaongea yake ya moyoni.
Ona sasa mwenyebusara mama yetu kaona hakuna haja ya kumung'ang'ania dogo wamwache aende zake ,roho safi kawaida hushinda roho chafu za wanaojiita et matajiri au wawekezaji
HAJASEMA MUACHENI! AMESEMA MALIZENI,SASA TUKIMUITA HUYU MTOTO AKIKAIDI TUNAMWAMBIA MAMA,CHA KWANZA TUNAMPELEKA SIMBA KWA MKOPO AKALINDE KIPAJI CHAKE,AKIKATAA TUNAMWAMBIA MAMA KATOTO KAMEKAIDI
Sana tu anyooshwe awe mfano kwa wengine wenye kibri kama yeye
@@ziadasiliko3722 ww nawe je angekuwa mtoto wakoungeshadadia acha izo ww ni mtoto wa like mtoto wa mwenzio nawe pia wako
Kyando were!
Kw hiyo tu stop kumchangia Feitoto ?
Kwani nani aliekuwa akiwabinya????amemkusudia nani???
Kiwanja cha kigambon msha jenga ?
tunataka katiba hayo mengne badae
Mkataba ndiyo kila kitu sio kuoneana huruma kwenye mikataba
Yes itifaki lazma izingatiwe
Mikataba ipi ya haki Utopolo wahuni tu umesahau issue ya Morrison km sio kakomaa kudai haki yake si angeliwa walikuwa na mpango gani na Morrison km sio kumfanyia uhuni
Namuona bill
Kafanya nini mtoto wetu jamani?
Kime mlikuwa hamna sehemu ya kiwanja hii kz
Nawakumbuke mamaukishasematu wakumbuke hiyoniamli tayari
Usimuwekee Maneno Raisi amesema Kamalizeni hajasema kamuacheni..
.
Mama tatizo mtoto jeuri huyu
Sasa fei wakat wowote atakuwa huru.
Tatizo mtoto anakibri, unawaonea yanga mama
Hata wa kwako pia anaweza kuwa na kiburi, ikikutokea utamuua?
Nimemuona Kazumari bwana
😅😅😅 kafurai km mtoto wa kaka yke msaga sumu
Kauli ya Rais wa JMT ni amri na Sheria. Free FEI!! Ndo mtajua hamjui. Aachwe Katoto ka Mwisho!!!!
Manyumbu sisi km yanga atuna aja nae tumeshakinaishwa nae aende popote tupo na yanga yetu kwn tumefika apa birla yeye
Kauli yake sio sheria, soka sio siasa ametoa ombi sisi tutatekeleza ombi kwa kufata sheria wajeuli lazma tuwanyooshe
Ni aibu kumkomoa kijana mdogo kama Fei Toto mnamharibia maisha yake. Mwacheni aende atakako
YEYE ANAICHAFUA YANGA DAWA NI KUMPELEKA SIMBA KWA MKOPO
Afate sheria anayevunja sheria lazma anyooshwe
Kuna watu wanakufa njaa huku
Acha ufala ww boyA
Mtotohatakiwanamvurugatu
Mama anataka urais tena kampeni hzo
Hata kama
Atakuwa hiyo sio hoja
Asante Sana mama shukran hakika wewe ni mama Bora. Nimefurahishwa Sana kauli yako italimaliza hili tuendelee na mengine.
Allwah akulipe heri. Amin
Sawa mama