PART 2: UTAJIRI WA DJ ALLY B MWENYE MIZUKA NDANI YA GARI, ASIMULIA MSOTO ALIOPITIA BAADA YA KUJA DAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Ally Seleman Simba maarufu kama Professor, DJ Ally B… aliyejipatia umaarufu kutokana na mizuka ama Vibes zake Kwenye kazi yake na haswa hivi karibuni akiwa ndani ya Gari zake za kifahari.
    Ameanza kazi toka mwanzoni mwa mwaka 2000 baada ya kumaliza Darasa la Saba… shule haikuwa kipaumbele chake.. hakupenda shule wala hakupenda kusoma, ikamlazimu kufanya kazi ngumu za ukibarua ili apate pesa.. ya kujikimu Maisha… na haikutosha akafanya mpaka kazi Kwenye Daladala na bado mambo hayakuwa mazuri..

Комментарии • 117

  • @Almas120
    @Almas120 Год назад +44

    Guys mbona background music iko loud sana mpaka inatupa shida kusikiza maneno ya msingi

  • @fredkasuga9740
    @fredkasuga9740 Год назад +6

    Hili lijamaa hii interview nzima limeongea points tupu yani👏👍

  • @jheleneo
    @jheleneo Год назад +2

    huyu jamaa ni hustler na ana mind kubwa saba big up mzee ur a hustler with good heart

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Год назад +14

    Background music is louder than the interview someho

  • @piiwizy
    @piiwizy Год назад +1

    nimependa sana conclusion remarks zako mtangazaji. zimekaa kisomi mno and uplifting as well. kwa DJ ally B, keep being yourself and open your arms to people so as to pay way for them as well.

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Год назад +6

    Daah one day yes but am gonna to wait it,siku ya mungu ni siku sahihi i believe this

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 Год назад +24

    Background inaboa sana

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +9

    Wa kwanza leo like zenu nikiwa omani

  • @samsonkivuyo9548
    @samsonkivuyo9548 Год назад +10

    Basi wekeni muziki kabisa tujue moja, mnatuchosha

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +7

    Mshauri Wangu Acheni Ushamba Wa Mabiti Sasa Sauti Ya Biti Ya Kazi Gani Kwenye Mtu Kusema Mambo Yake Ya Kimaisha

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Год назад +5

    Hapo kwakweli hiyo ukilelewa vizuri na wazazi wako na hawana roho mbaya sijui kama wewe utakua na roho mbaya hata mimi nimelelewa vizuri na wazee wangu kiukweli sijawahi kuwa na rohombaya sema nimelipwa rohombaya sana

  • @stephenlupia3058
    @stephenlupia3058 Год назад +5

    Ka #IST kakupeleka watoto shule😎

    • @verifierempire
      @verifierempire Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @gloryglory7553
      @gloryglory7553 Год назад

      Na nusu aisahau, kidogo tu isingehesabiwa

  • @nolascomwinuka5528
    @nolascomwinuka5528 Год назад +4

    Mnazingua background iko juu san

  • @esthermahatane9923
    @esthermahatane9923 Год назад +2

    Nzr interview sema daah background ikojuu Sana aisee

  • @aloycesambuta9937
    @aloycesambuta9937 Год назад +1

    Interview nzuri, idea ya shooting nzuri ila angle mmekwama, background music mmekwama, Mtangazaji yuko tense sana

  • @chaztz1782
    @chaztz1782 Год назад +11

    Huyu mwamba nilimwona ni mtu akitoa msaada apendi kurecodi

  • @abdulazizjuma2743
    @abdulazizjuma2743 Год назад

    Hiyo background music mmezingua,sauti ipo juu sana hasikiki fresh

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Год назад +2

    Rudieni hii clip 😢😢😢 background music imecover sauti nzima

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Год назад +2

    Background music ipo high sana nanitoa kwenye mood kabisa yani inanichanganya

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Год назад +1

    Dah jamaa anaongea fact sana yupo sahihi sana🥰😍🤩

  • @bonnymsd8116
    @bonnymsd8116 Год назад +1

    Background music 🎶 iko juu sana

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Год назад +1

    Hii kitu IPO damuni saaaaana God bring me a way to reached this

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Год назад +2

    Uwe na akili Timamu Basiiii💝💥💥💥💫💫💫

  • @collinslanya1544
    @collinslanya1544 Год назад +2

    Sauti please!! Mike sound very low. Check on it please.

  • @barakakamuga4474
    @barakakamuga4474 Год назад +2

    Asumaniiiiii uuuwiii 😅😅😅😅😅 jamaaa ana vibe kinoma 💪💪💥💥💥💥

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Год назад +3

    Huyu mwamba nlikua nkifkiriaga n mnajeria flan
    Kumbe chalii ya moshi,
    Mwambie moshi habar ya mujin ni red Stone,
    La Liga ishadanjaga ktambo .

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Год назад +1

    One day yes 🙏🏾

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Год назад +3

    Sasa meweka hiro back sound yanini story nzuri mmeiyaribu kwa upuuzi usio na mana 🤦🏾‍♂️

  • @claudiabruno6354
    @claudiabruno6354 Год назад +5

    Sauti ina kwazaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @iddibarwani8859
    @iddibarwani8859 Год назад

    Great!

  • @ishamamyy2245
    @ishamamyy2245 Год назад +2

    Mm muislam na ni mwanafunz ila nimeskiliz hii enterview nimemkubal sana uyu jamaa na nimejifunz kitu kikubw sanaa alaf anatoa real life

  • @AndrewPaulsr
    @AndrewPaulsr Год назад

    Very smart guy👏👏👏👏

  • @ramadhanihamisi5596
    @ramadhanihamisi5596 Год назад +1

    MAKOSA MANNE(4) HATARI WANAYOFANYA WANAUME KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!
    Mwanaume Hakikisha unajiepusha na makosa haya. Makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....
    1.Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia kama Hali ya kawaida,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi.
    2.Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto Hii,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.
    3.Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hili, Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.
    4.Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu
    Mwanaume Usifanye tena makosa haya,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.Kama uko serious Wasiliana nasi sasa,Tuma ujumbe JENGA AFYA kwenda WhatsApp namba 0784161431AU piga simu Usaidiwe mapema

  • @msamanga2277
    @msamanga2277 Год назад

    Conscious

  • @officialMsafeybrown
    @officialMsafeybrown Год назад +2

    punguzeni sauty y beat iyoo, inakera xana

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 Год назад

    Jamaa yuko vizuri sanaaa!!!!!

  • @musangerwa9513
    @musangerwa9513 Год назад

    Bro anashusha madini tu mwanzo mwisho
    I really like it
    Asuumani uwiiiii!!! 😂

  • @nkelamalunde7057
    @nkelamalunde7057 Год назад

    BACKGROUND YA MUSIC IPO JUU SANA, Inakera

  • @raphaelonyango5690
    @raphaelonyango5690 Год назад +1

    Mmekuaje sikuhizi background music inafifisha mada husika... Mnafelii

  • @lucksonize
    @lucksonize Год назад

    Background music kills the vibe,you cab do better.toeni version bila background music tutaangalia tena

  • @emanuelmremi9729
    @emanuelmremi9729 Год назад

    Background music iko loud sana.. maswali mengine yanajibiwa hatusikii nini kaulizwa

  • @ashrafchande869
    @ashrafchande869 Год назад

    Saut amna kaka ayo tv back ground zero

  • @msumbufu_
    @msumbufu_ Год назад +4

    Mnajua kabisa sauti ni ndogo af mnaweka bed😡😡😡

  • @araphatmussa8599
    @araphatmussa8599 Год назад

    Ane jua mapai like apa

  • @harrymorgan4387
    @harrymorgan4387 Год назад +1

    Mbona kelele kuliko sauti ya chalii aisee

  • @djkayumba
    @djkayumba Год назад

    Sasa hii background sound mmeweka yanini hatusikii maongezi Millard Ayo umeanza matitizo sisi hatutaki hiyo tunataka kusikiliza maongezi

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 Год назад +1

    😆😆😆😆😆😆stak matatizo ya mjomba shangazi daaaaaa saf Sana hiyo nimeipenda

  • @remybuyenzi1856
    @remybuyenzi1856 Год назад +1

    Huuu ananipa hamasa natamani ata nijifinze u deejay 😅

  • @tinomasangia5511
    @tinomasangia5511 Год назад

    Jitaidini kupunguza background music…. Jamaa kaua ana madini hatari

  • @jerrymwakalindile7948
    @jerrymwakalindile7948 Год назад

    Background music imezingua

  • @daudmasawe4459
    @daudmasawe4459 Год назад

    Kaz nzuri

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 Год назад

    Ukiwa uko mteee daahhh esse niga partiu minhas costelas 😂

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Год назад +1

    Nataka mutuweke ile ishara ya kukata video ✂️

  • @sandrabernard751
    @sandrabernard751 Год назад

    Ohhhh ila 8yo background

  • @emmanuelmuniko17tz21
    @emmanuelmuniko17tz21 Год назад +1

    ✊🏾

  • @amazingvideo1075
    @amazingvideo1075 Год назад

    Qmmake huo mziki wa kazi gan sasa

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Год назад +6

    Iyo saut ina boa bhan. Mnatukera

  • @DoraKawawa
    @DoraKawawa Год назад

    sasa jamani mnaweka interview na background music hata hatusikii anachoongea

  • @elizabethmacoco1754
    @elizabethmacoco1754 Год назад

    Background music banaaaa😢

  • @twiser6029
    @twiser6029 Год назад

    Gooda

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha Год назад

    🔥🔥🔥

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Год назад

    Kwan huwa hamuikagui kaz kabla hamjaiaplod?

  • @cyrilmgalike7830
    @cyrilmgalike7830 Год назад

    Sauti ipo chini xana 🗣️🗣️

  • @claudiabruno6354
    @claudiabruno6354 Год назад +3

    Sasa kwanini hamja punguza sauti hiyo?!

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Год назад

    Nkubari san mzee wng

  • @gadluck4362
    @gadluck4362 Год назад +1

    Background kubwa ya nn wazee media kubwa kbs nyie mnakua kama sio professional

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 Год назад

    Sauti mbona inakatika hatuskii

  • @benkani
    @benkani Год назад

    Sound hakuna

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 Год назад

    Sound ya Mziki mkubwa sana

  • @MultiKelvin1994
    @MultiKelvin1994 Год назад

    Toeni music hamsomi feedback???

  • @elifurahambowe510
    @elifurahambowe510 Год назад +1

    Background music😊Qmmk

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Год назад

    Huyu jamaa huyo mwanamke kama anaakili ya maisha ajenge kiakili bila jamaa kujuwa ajenge kwa siri tu kama anapewa pesa na mumewe

  • @noelkyando9490
    @noelkyando9490 Год назад

    Hv waandaji wa vpnd sometimes sjui mnakuwaga kama hamkagui kazi zenu kabla ya kuzirusha mmetuletea habari au mziki tuambieni moja basi so boring ☹

  • @mhadajr1122
    @mhadajr1122 Год назад

    Kula bastora ya kihindi

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад

    Mungu ndio anajua muda na mahali sahihi
    Kinachotusumbua wanadamu ni magubu kila mahali 😁😁😜

  • @rashid1860
    @rashid1860 Год назад

    saff kiswahili yetu iyo naikubal #moshi

  • @nkulikandusi5282
    @nkulikandusi5282 Год назад

    Athumaniiiiiii

  • @bensonsilivery8768
    @bensonsilivery8768 Год назад

    Saut iko chini Kinyama

  • @salminqr7958
    @salminqr7958 Год назад

    Kweli kufanikiwa ni katika juhudi

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 Год назад

    Mbona hamfiki muendako

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Nasemaje nasemaje Kula Nyama nyamaza weeee kelele waachie mbwa uko kula bunduki ya punda 😁😁dj wangu wa Dunia

  • @leitonyngayama6882
    @leitonyngayama6882 Год назад

    Eti bamdogo hajala, so what... Usiniletee ungese ha ha haaaa

  • @egankimaroregan7910
    @egankimaroregan7910 Год назад

    Ponda Mali kufa kwaja 😅
    Mara paap hufi

  • @kanonotechnology1140
    @kanonotechnology1140 Год назад

    kusikia tabu sauti ndogo

  • @directornyambilila2653
    @directornyambilila2653 Год назад

    Mlizipeleka wapi hizo dola laki 🤣

  • @FahamuZaidiChannel
    @FahamuZaidiChannel Год назад

    😂😂😂Utakuwa PyoMpyohahh

  • @rabiaiddi2884
    @rabiaiddi2884 Год назад

    We unamichongo yako bhana huwezi tu kusema kwa hapo, hapa tanzania hamna dj anaelipwa milion 3 hata iwe ofic gani 😒

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og Год назад

    Rudien kuedit saut mnaboa

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Год назад

    Mwamba anaishi

  • @richardmbwelwa7555
    @richardmbwelwa7555 Год назад

    Hivi magari mawili ni utajiri?

  • @BigDrones
    @BigDrones Год назад

    Mbona sauti iko chini

  • @fadhilichaula3501
    @fadhilichaula3501 Год назад

    Sasaa hyo bitii mmeweka yann nanyie utafkirii co millard ayo kwendaa zenuuu

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 Год назад

    Mwamba nikajua mzi mbwambwe kumbe mtz

  • @nurdinmkwachu28
    @nurdinmkwachu28 Год назад +2

    Najua wote tutakufa ila wengi watu WA hv vifo vyao vinakuwa Kwa vitu walivyo vipenda na wanavyovifanyia sifa

    • @dominicmosh648
      @dominicmosh648 Год назад

      Umaskini noma joo

    • @kmotivation1130
      @kmotivation1130 Год назад

      Mambo ya kifo nn

    • @iddyamosi153
      @iddyamosi153 Год назад +2

      Tafuta pesa ww acha uchawi mtoto mdogo sanaaa ww acha mwamba ale maishaaa asuuumaanii enx bro

    • @nurdinmkwachu28
      @nurdinmkwachu28 Год назад

      Kwel sina pesa

    • @Biggiey88
      @Biggiey88 Год назад

      Pata pesa na umetokea kwenye mazingira magumu na ukahustle sana mpaka ukatoboa utaona kama anatamba ila pambana ukamate pesa ndo utaelewa anachofanya

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад

    Jenga nyumba brow hakuna aijue kesho