PART 2: UTAJIRI WA DJ ALLY B MWENYE MIZUKA NDANI YA GARI, ASIMULIA MSOTO ALIOPITIA BAADA YA KUJA DAR
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Ally Seleman Simba maarufu kama Professor, DJ Ally B… aliyejipatia umaarufu kutokana na mizuka ama Vibes zake Kwenye kazi yake na haswa hivi karibuni akiwa ndani ya Gari zake za kifahari.
Ameanza kazi toka mwanzoni mwa mwaka 2000 baada ya kumaliza Darasa la Saba… shule haikuwa kipaumbele chake.. hakupenda shule wala hakupenda kusoma, ikamlazimu kufanya kazi ngumu za ukibarua ili apate pesa.. ya kujikimu Maisha… na haikutosha akafanya mpaka kazi Kwenye Daladala na bado mambo hayakuwa mazuri..
Guys mbona background music iko loud sana mpaka inatupa shida kusikiza maneno ya msingi
Kwel kabisa
Kabisa wanazingua kinoma
Wamefanya kuficha malalamiko mihusika asijiskie ileeee😅😂
Me hata sikutaka maliza mb zangu
Kweli kabisa aisee
Hili lijamaa hii interview nzima limeongea points tupu yani👏👍
huyu jamaa ni hustler na ana mind kubwa saba big up mzee ur a hustler with good heart
Background music is louder than the interview someho
nimependa sana conclusion remarks zako mtangazaji. zimekaa kisomi mno and uplifting as well. kwa DJ ally B, keep being yourself and open your arms to people so as to pay way for them as well.
Daah one day yes but am gonna to wait it,siku ya mungu ni siku sahihi i believe this
Background inaboa sana
Wa kwanza leo like zenu nikiwa omani
Basi wekeni muziki kabisa tujue moja, mnatuchosha
Mshauri Wangu Acheni Ushamba Wa Mabiti Sasa Sauti Ya Biti Ya Kazi Gani Kwenye Mtu Kusema Mambo Yake Ya Kimaisha
Tafuta ela chalii
Mshauri ama ushauri
Hapo kwakweli hiyo ukilelewa vizuri na wazazi wako na hawana roho mbaya sijui kama wewe utakua na roho mbaya hata mimi nimelelewa vizuri na wazee wangu kiukweli sijawahi kuwa na rohombaya sema nimelipwa rohombaya sana
Ka #IST kakupeleka watoto shule😎
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na nusu aisahau, kidogo tu isingehesabiwa
Mnazingua background iko juu san
Nzr interview sema daah background ikojuu Sana aisee
Interview nzuri, idea ya shooting nzuri ila angle mmekwama, background music mmekwama, Mtangazaji yuko tense sana
Huyu mwamba nilimwona ni mtu akitoa msaada apendi kurecodi
Hiyo background music mmezingua,sauti ipo juu sana hasikiki fresh
Rudieni hii clip 😢😢😢 background music imecover sauti nzima
Background music ipo high sana nanitoa kwenye mood kabisa yani inanichanganya
Dah jamaa anaongea fact sana yupo sahihi sana🥰😍🤩
Background music 🎶 iko juu sana
Hii kitu IPO damuni saaaaana God bring me a way to reached this
Uwe na akili Timamu Basiiii💝💥💥💥💫💫💫
Sauti please!! Mike sound very low. Check on it please.
Asumaniiiiii uuuwiii 😅😅😅😅😅 jamaaa ana vibe kinoma 💪💪💥💥💥💥
Huyu mwamba nlikua nkifkiriaga n mnajeria flan
Kumbe chalii ya moshi,
Mwambie moshi habar ya mujin ni red Stone,
La Liga ishadanjaga ktambo .
One day yes 🙏🏾
Sasa meweka hiro back sound yanini story nzuri mmeiyaribu kwa upuuzi usio na mana 🤦🏾♂️
Sauti ina kwazaaaaaaaaaaaaaaaaa
Great!
Mm muislam na ni mwanafunz ila nimeskiliz hii enterview nimemkubal sana uyu jamaa na nimejifunz kitu kikubw sanaa alaf anatoa real life
Very smart guy👏👏👏👏
MAKOSA MANNE(4) HATARI WANAYOFANYA WANAUME KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!
Mwanaume Hakikisha unajiepusha na makosa haya. Makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....
1.Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia kama Hali ya kawaida,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi.
2.Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto Hii,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.
3.Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hili, Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.
4.Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu
Mwanaume Usifanye tena makosa haya,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.Kama uko serious Wasiliana nasi sasa,Tuma ujumbe JENGA AFYA kwenda WhatsApp namba 0784161431AU piga simu Usaidiwe mapema
Conscious
punguzeni sauty y beat iyoo, inakera xana
Jamaa yuko vizuri sanaaa!!!!!
Bro anashusha madini tu mwanzo mwisho
I really like it
Asuumani uwiiiii!!! 😂
BACKGROUND YA MUSIC IPO JUU SANA, Inakera
Mmekuaje sikuhizi background music inafifisha mada husika... Mnafelii
Background music kills the vibe,you cab do better.toeni version bila background music tutaangalia tena
Background music iko loud sana.. maswali mengine yanajibiwa hatusikii nini kaulizwa
Saut amna kaka ayo tv back ground zero
Mnajua kabisa sauti ni ndogo af mnaweka bed😡😡😡
Ane jua mapai like apa
Mbona kelele kuliko sauti ya chalii aisee
Sasa hii background sound mmeweka yanini hatusikii maongezi Millard Ayo umeanza matitizo sisi hatutaki hiyo tunataka kusikiliza maongezi
😆😆😆😆😆😆stak matatizo ya mjomba shangazi daaaaaa saf Sana hiyo nimeipenda
Huuu ananipa hamasa natamani ata nijifinze u deejay 😅
Jitaidini kupunguza background music…. Jamaa kaua ana madini hatari
Background music imezingua
Kaz nzuri
Ukiwa uko mteee daahhh esse niga partiu minhas costelas 😂
Nataka mutuweke ile ishara ya kukata video ✂️
Ohhhh ila 8yo background
✊🏾
Qmmake huo mziki wa kazi gan sasa
Iyo saut ina boa bhan. Mnatukera
sasa jamani mnaweka interview na background music hata hatusikii anachoongea
Background music banaaaa😢
Gooda
🔥🔥🔥
Kwan huwa hamuikagui kaz kabla hamjaiaplod?
Sauti ipo chini xana 🗣️🗣️
Sasa kwanini hamja punguza sauti hiyo?!
Nkubari san mzee wng
Background kubwa ya nn wazee media kubwa kbs nyie mnakua kama sio professional
Sauti mbona inakatika hatuskii
Sound hakuna
Sound ya Mziki mkubwa sana
Toeni music hamsomi feedback???
Background music😊Qmmk
Huyu jamaa huyo mwanamke kama anaakili ya maisha ajenge kiakili bila jamaa kujuwa ajenge kwa siri tu kama anapewa pesa na mumewe
Hv waandaji wa vpnd sometimes sjui mnakuwaga kama hamkagui kazi zenu kabla ya kuzirusha mmetuletea habari au mziki tuambieni moja basi so boring ☹
Kula bastora ya kihindi
Mungu ndio anajua muda na mahali sahihi
Kinachotusumbua wanadamu ni magubu kila mahali 😁😁😜
saff kiswahili yetu iyo naikubal #moshi
Athumaniiiiiii
Saut iko chini Kinyama
Kweli kufanikiwa ni katika juhudi
Mbona hamfiki muendako
Nasemaje nasemaje Kula Nyama nyamaza weeee kelele waachie mbwa uko kula bunduki ya punda 😁😁dj wangu wa Dunia
Eti bamdogo hajala, so what... Usiniletee ungese ha ha haaaa
Ponda Mali kufa kwaja 😅
Mara paap hufi
kusikia tabu sauti ndogo
Mlizipeleka wapi hizo dola laki 🤣
😂😂😂Utakuwa PyoMpyohahh
We unamichongo yako bhana huwezi tu kusema kwa hapo, hapa tanzania hamna dj anaelipwa milion 3 hata iwe ofic gani 😒
Rudien kuedit saut mnaboa
Mwamba anaishi
Hivi magari mawili ni utajiri?
Mbona sauti iko chini
Sasaa hyo bitii mmeweka yann nanyie utafkirii co millard ayo kwendaa zenuuu
Hahaha
Mwamba nikajua mzi mbwambwe kumbe mtz
Tena mswahili
Najua wote tutakufa ila wengi watu WA hv vifo vyao vinakuwa Kwa vitu walivyo vipenda na wanavyovifanyia sifa
Umaskini noma joo
Mambo ya kifo nn
Tafuta pesa ww acha uchawi mtoto mdogo sanaaa ww acha mwamba ale maishaaa asuuumaanii enx bro
Kwel sina pesa
Pata pesa na umetokea kwenye mazingira magumu na ukahustle sana mpaka ukatoboa utaona kama anatamba ila pambana ukamate pesa ndo utaelewa anachofanya
Jenga nyumba brow hakuna aijue kesho