HUKUMU YA TALAKA NA EDA. SHEIKH KISHK
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 01/05/2009 . Mada ikielezea hukumu za talakana eda, ni hukumu gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Alhamdhulillah sheikh kishki Allah akubariki sana kwa mawaidha mazuri
Shukrani sheikhe Nurdin Kishki kwa mawaidha mazuri yaliojaa mafunzo na hekima nyingi juu yake nime kuelewa vzr
Shukran kwakupata mafunzo
JAZAKALLAHU KHAIR
Jazakallah
MASHA ALLAH
MashaAllah
Masha Allah
MaashaAllh
Sheikh Kishk na wanawake pia nao watusumbua sana sio ni mwanamume opeke yake ana makosa
Ni majanga makubwa sana
Asalamu aleikum warshma tullahi wabarakatu shekh naulizaje mume amempaa mke wake talaka hio niyatatu alitoa ya kwanza yapili hii niyatatu mume akampaa mke wake talaka kwa hasira bila kukusudia shekh jee huyo mume atakua anaruhusiwa kumregelea huyo mke huyo mke atakua ni wake bado
Assalaam allaykum Kama umechoka na dharau au Tabia zake inafaa kudai taraka
Asalamaykum shehe talaka tatu kwa pamoja inasihi
Shekh naomba jibu lako
Jifunze quran kusoma kuandika kama hautojali
Aslmlykum mm nimfw nah mume Ila huyu mwanaume tulitngn takirbn miak mitatu nikaend kuzaa nje nae yey akaend kuzaa huk je mm ni halali kukaa eda naomba jibu tafdhn kshki
Sheikh naomba no.yako ya simu
Asalam aleikum samahani mwanamke ambae aliomba talaka kwa kulazimishwa tendo kinyume na dini je eda yake ni ipi nijibu nipate kuelewa
Nmepewa talaka mbili n mume wngu yko safari alimalinza miaka mitatu baada y hio miaka mitatu bado hajarudi akanitumia talaka nawenza kaa eddah au n vile nmekaa hio miaka siwenzi kaa
Shehe nina swal kama ikitokea nmeachwa yan nimepewa talaka kabsa huku nina ujauzto ntakaa eda mda gani?
Eda yako itaisha pindi tu utakapojifungua