HUKUMU YA TALAKA NA EDA. SHEIKH KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 01/05/2009 . Mada ikielezea hukumu za talakana eda, ni hukumu gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.

Комментарии • 22

  • @KadirMamito
    @KadirMamito 18 дней назад

    Alhamdhulillah sheikh kishki Allah akubariki sana kwa mawaidha mazuri

  • @waridhassan5870
    @waridhassan5870 3 года назад +1

    Shukrani sheikhe Nurdin Kishki kwa mawaidha mazuri yaliojaa mafunzo na hekima nyingi juu yake nime kuelewa vzr

  • @aishaaisha7097
    @aishaaisha7097 3 года назад +1

    Shukran kwakupata mafunzo

  • @abubakarhillary6103
    @abubakarhillary6103 3 года назад

    JAZAKALLAHU KHAIR

  • @hamidanoor5307
    @hamidanoor5307 3 года назад

    Jazakallah

  • @zainabmusa2006
    @zainabmusa2006 2 года назад

    MASHA ALLAH

  • @jumasoulja3569
    @jumasoulja3569 2 года назад

    MashaAllah

  • @yusuphhamadi8777
    @yusuphhamadi8777 3 года назад

    Masha Allah

  • @fatumamuiya6089
    @fatumamuiya6089 3 года назад

    MaashaAllh

  • @isaacally7686
    @isaacally7686 2 года назад

    Sheikh Kishk na wanawake pia nao watusumbua sana sio ni mwanamume opeke yake ana makosa

  • @OmaryMsema-jm7fg
    @OmaryMsema-jm7fg 11 месяцев назад

    Ni majanga makubwa sana

  • @hudaaahmed657
    @hudaaahmed657 2 года назад +1

    Asalamu aleikum warshma tullahi wabarakatu shekh naulizaje mume amempaa mke wake talaka hio niyatatu alitoa ya kwanza yapili hii niyatatu mume akampaa mke wake talaka kwa hasira bila kukusudia shekh jee huyo mume atakua anaruhusiwa kumregelea huyo mke huyo mke atakua ni wake bado

  • @khadijajamal8878
    @khadijajamal8878 Год назад

    Assalaam allaykum Kama umechoka na dharau au Tabia zake inafaa kudai taraka

  • @hidayaali6721
    @hidayaali6721 2 года назад

    Asalamaykum shehe talaka tatu kwa pamoja inasihi

  • @hudaaahmed657
    @hudaaahmed657 2 года назад

    Shekh naomba jibu lako

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandika kama hautojali

  • @zaharakilei8232
    @zaharakilei8232 Год назад

    Aslmlykum mm nimfw nah mume Ila huyu mwanaume tulitngn takirbn miak mitatu nikaend kuzaa nje nae yey akaend kuzaa huk je mm ni halali kukaa eda naomba jibu tafdhn kshki

  • @FatmaAbdalla-su2vb
    @FatmaAbdalla-su2vb Год назад

    Sheikh naomba no.yako ya simu

  • @shufaamohammed5973
    @shufaamohammed5973 2 года назад

    Asalam aleikum samahani mwanamke ambae aliomba talaka kwa kulazimishwa tendo kinyume na dini je eda yake ni ipi nijibu nipate kuelewa

  • @fatumamnyenze9696
    @fatumamnyenze9696 Год назад

    Nmepewa talaka mbili n mume wngu yko safari alimalinza miaka mitatu baada y hio miaka mitatu bado hajarudi akanitumia talaka nawenza kaa eddah au n vile nmekaa hio miaka siwenzi kaa

  • @harafahalfai2906
    @harafahalfai2906 2 года назад

    Shehe nina swal kama ikitokea nmeachwa yan nimepewa talaka kabsa huku nina ujauzto ntakaa eda mda gani?

    • @adamcode2185
      @adamcode2185 Год назад

      Eda yako itaisha pindi tu utakapojifungua