Yeye ni Jehovah Official Video - Tumaini Shangilieni Choir
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Hakuna jambo lolote lililofichika machoni pa Mungu.
Mioyo na nafsi zetu vyote vi wazi mbele zake.
Niende wapi niukimbie uso wako,
Niende wapi nijiepushe na roho yako.
Wimbo huu unatutafakarisha mahusiano yetu na MUNGU, na kuziweka safi nafsi zetu maana hatuna cha kumficha Mungu.
Tumaini Shangilieni Choir,
/ tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir
Jamn huyu Dada anaimba hv hamwez kutuuzia yan tufanye kama wachezaji ligi kuu nimsajili kwenye kwaya yangu halaf huyu mama kwenye kinanda hebu mpe sh 100 mm ntalipa 🤣🤣🤣 Mungu awabariki
Huyo mama anayepiga kinanda ananikosha sana
hii video imetoka very much clear kuliko video nyingi za Tumaini kwaya, hii ndo best!! wimbo mzuri, picha clear!!!
❤❤❤❤wawuuu jmn mama kinanda ni nex level.hatar sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu wa bariki Sana tumaini choir kwa utumishi Dr lupaa
Huyu dada anaimba vizuri Kama bahati wa aic changombe,Mungu ambariki huduma yake iende mbele zaidi
Amen Amen
Mbarikiwe sana..toka umri mdogo nafuatilia hii kwaya..kuna wimbo wa muda kidogo siukumbuki jina ila nadhani mtaukumbuka "bwana hatendi jambo bila taarifa" Nadhani ni album ya "silaha ya ushindi" hiyo album huwa inanikumbusha marehemu baba yangu..kama naweza kujua pa kuupata ningeshukuru mno..mbarikiwe sanasana
I listen to this song..kama Mara tano kwa Siku...siwezi kujificha na USO wa Mungu.. Mbarikiwe sana
Yaaani nishaurudia huu wimbo zaidi ya mara kumi ila utamu ndio unazidi yaani haupungui. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kwa kuendelea kumtykuza Mungu kwa njia ya uimbaji.
Kweli kumtumikia Mungu kuna raha yake,hamna kuzeeka....kuna baadhi nawaona kwanzia album ya kwanza kabisa na bado wapo wanapendeza🔥...tumaini always my best choir.
Mungu aibariki hii kazi yetu
Tumaini shangilieni Choir. You are Blessing us Kenyans living Japan!!! May you continue to be used of God!!!
Mama wa kana ya galilaya ameimba vizur mnoo
Everything about this album is speaking. Nimekua nikisikiza kutoka last week but leo ndio Mungu amenijalia kucomment. Niseme tu ukweli...ninapo ona wana choir waa kutoka kitambo.. haswa mama yangu hapo , keyboardist huyu mama mweupe, soloist wa wimbo was nimo vitani... watoto nawo hawaku baki nyuma.....nijasikia kufarijika sana. I can tell that this album is going to be one of the best albums ever produced. Endeleeni na moyo huwo huwo....more grace in His service
I completely agree with your assessment. Na kingine kizuri ni kuwa wanafundisha kids kutumia talanta zao👏🏾👏🏾
Very vital. Watoto are the leaders of tomorrow
Mungu azidi kuwa bariki saana watumishi wa bwana nawapenda mnoo
Huu Wimbo ni mzuri mno hakika umenibariki sana atukuzwe ktk kanisa na atukuzwe ktk kristo milele na mileleee eeee hakika Mungu yupo
Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mnoo kuliko tuyawazayo au tuombayo kwa kadiri ya nguvu itendayo ndani yetu
Amen
AMINA SANA, BARIKIWA
Sina namna ya kuzungumza kwa jinsi mnavyonibariki katika uimbaji wenu. Everything is perfect from music to vocal, upako ndo usiseme. Ndoto yangu ni kuwaona live na naamini Mungu atanipa kibali. Mbarikiwe sana "Tumaini Shangilieni!"
toka VHS mpk uku bado tupo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
kwaya yangu nawapenda sana
Hakika kila nitakakoenda yeye Mungu yupo. tena milele na milele. Mungu awazidishie maono ya kumhubiri yeye
Yahwe awabariki mno
Tangu enzi za nuhu mpaka leo npo na nyie
Mungu akubariki sana
Tunafurahiya choir ongera kwaku endelesha kazi ya Mungu nimetambuwa nyinyi njooo mume imba nakuliliya jahovah uko wapi ....na mwana mupotevu album tunapenda sana nimeona musician moja solist akiimba ndani ya nyimbo hii ali he played solo in that ancient album Niko mucyungaji Kigali ahsatnti kwakutubariki kwa nyimbo tuko pamoja
Nawa salimu wa pendwa. Wa choir Tumaini shangilieni
Wow , 😍 Utuukufu Kwa Yesu , Da Witty umetisha saaaana , napenda sana hi familia,
Ni kweli Jehova anapatikana mahali pote,Mungu awabariki sana
Ipo Faida kubwa Sana Katika Kumtumikia Mungu
Mungu azidi kuwabariki
Sololist big up mmeimba vzur mno na mebarikiwa ..salute
St James Shangilieni.....the only choir whose singing style has not changed like others. Ata niskie audio nutakuwambia tu ni st James. Mungu azidi kuwabariki sanaaa.
Tumaini Shangilieni Mungu awabariki Kwa viwango vyote mnanibariki sana nawapenda sana
Mbarikiwe sana jamani
Bwana wetu Yesu kirsto awe pamoja nanyi Katika huduma hii ya kumtukuza munguuu
Wimbo mzuri sana nawapenda mungu awainue nimeusubir kwa hamu kubwa
My favourite choir of all times St. James Tumaini Arusha. Mnanibariki sana Mama Rwezaura and whole Choir.
Hamjawahi kutuangusha. Another great song
everything in point👌👌👌👌nawaona mbali sana watumwa wa Bwana! na hatimae mzidi kuwa hodari katika Kristo!
St James Tumain Shangilien Choir....the best choir ....Ahsante kwa nyimbo nzur BARAKA ZIWE JUU YENU
Umeongea The best kwel ♥♥♥
Amazing
Mungu awabariki sana mwanibariki sana
Mungu ambariki mwalim wenu anapambana sana
Mungu.nimwema
My all time favoritti choir.....God bless you for all these songs... Atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno.....
Repeat mode on... Can't stop
Marthaaaa love youuu duh hongera mdogo wanguu
Mungu azidi kuwa bariki,, nous suivons vos chansons depuis DRC(Congo) Jésus Christ bless you
Wow...so amazing song. Nafurahi kuwaona watu baadhi humo kweli wamewekeza their lives kwenye uimbaji katika hiyo kwaya. Yaani nakumbuka since Shangilieni album nawaona hawa members still standing and singing na kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji. I really love you guys...bado ndoto yangu haijatimia kwenu ninyi. Tuombe uzima na baraka, Mungu atafungua tu njia. God is good, all the times..🙏🏾
One of my favourite from Futa Machozi Album! 👌 And what a beautiful video! 😍😍❤️
Nous Bénissons vraiment ELOHIM DIEU pour cette production qui annonce l'évangile du SALUT car le monde a besoin de la vie sauve. C'est pourquoi la bible dit dans 1 Timothée 2:3-4 que:" ELOHIM veut que tout le monde soit sauvé et parvienne à la connaissance de la vérité... Soyez aussi béni mes chers frères et soeurs en CHRIST.
Kati ya nyimbo zinazonibariki
Amen kila sehem Mungu yupo
barikiwa sana Tumain Choir tuko pamoja tangu enzi hizo.......
Hongereni na huduma yauimbajii nakumbuka Sana kwaya yangu
Nabarikiwa Sana na nyimbo hii
What i can say is “ the song is lit 🔥 “ Mbarikiwe sana my favorite choir of all time .
Duuuh! Nawapenda sana katika kumtumikia mungu nawafatilia albam ya kwanza mpaka sasa mungu azid kuwaweka kwenye uwepo wake,.
Aminaaa
Mbarikiwee saana nisaidiee namba za mwalimu was kwaya
Nawapendaaa kufaaaaa
The waiting is oveeerrr hallelujah
Ninawatambua Sana yangu enzi hizo.. Good work,, at least av seen the founders of this favourite choir
Mbarikiwe sana watumishi.Nyimbo nzuri sana
Mungu wangu na Baba yangu sifa na utukufu zikurudie wewe
Wimbo mzuri Sana aiseeeeeee. Excellent
waoooh nyimbo nzuri sana mbarikiwe mnooo.
Shalom watumishi wa Bwana mnanikumbusha miaka ya 1998, nilishiriki ibada mara kadha hapo nilivutiwa Sana na uimbaji wenu uliotukuka nimejikusanyia matoleo yenu kama sita hivi na kama lipo toleo jipya nalihitaji.Mbarikiwe sanaaa,
I've been waiting for it for long period now the full video is out. And the video is good everything is good. Mbarikiweee sanaaa endeleeni kutuletea nyimbo zenye kutubariki
🎹🎹 wa moto abarikiwe sanaa 🔛
Nimependa mpiga kinanda😍 asanten kwa wimbo mzuri
Utukufu zaidi ya utukufu, Hallelujah
Kwaya hii ni sehemu muhimu sana kwangu katika Kuendelea kumjua Mungu zaidi. MUNGU AWABARIKI SANA!!!!!
Naungana na ww ndugu katika kRISTO YETU hii kwaya imetukuza sana kiimani, MUNGU azidi kuwaweka
the best in east africa #blessed
Hongerani Sana watumishi wa hakika nimekuwa nikiwatilia Toka mwaka 1999 mpaka Leo mko vizuri mungu awabariki sana
Quality and successful
Good music Tumaini shangilieni choir ue a the best in the world I do Love them much ..
Bless
Bravo.
Mnanibariki sana Mungu awabariki
Ninaona jinsi mnavyowaandaa Vijana wa kesho, Mungu awabariki sana
mtumishi mrs wilson wewe unajua kuimba hiyo ndio sauti usikatishwe tamaa na wasiojua maana ya kuimba songa mbelel you are a mastervoice.
Wimbo mzuri sana pia. Nimebarikwa nao sana. Mbarikiwe sana nanyi
Daa siku mmekuja kimara sikuwepo Jerusalem kwaya niliumia sana aise mbarikiwe sana
Nafarijika sana kusikiliza tumaini kaya yangu Armani, naomba muendelee kuwaenzi walioifikisha hapa,barikiwa sana ninja arusha ntajumyuka nayi
Amen
Wow amazing
hv huyu ni mama wa kana ya galilaya?😄
Ndiyo
Wow! Another great song! God bless you Tumaini choir. You're a blessing even in Kenya
Tunafurahi kuona jirani zetu mpo pamoja nasi...tunawapenda
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
YEHOVA NISI USHINDI WETU..UNATUTANGULIA🙌💪..Mzidi kubarikiwa sana wapendwa
Be blessed Tumaini shangilieni choir.
Amen Amen
Woooooooo fantastic be blessed
Amen. thank you Tumaini Shangilieni Choir.my GOD YOU ARE JEHOVAH, AND YOU DON'T CHANGE. BE BLESSED FOR THIS UPLIFTING SONG.
You are a blessed Blessing! Mungu aendelee kuwainua kwa viwango vya juu!
Kazi nzuri wimbo mzuri mbarikiwe sana
The song is so much mwaaaaa........hamjawahi kutuamsha
You guys mnazidi kwenda level za juu🙏
GOOD VOCALIST,GODBLESSU,
awesome very very nice. atukuzwe Mungu kabisa milele
Soro uko vizuriii
Barikiweni sana Watumishi wa Mungu.
Kazi nzuri Safi wanatumaini
mbarikiwe sana tumaini, kazi yenu ni njema sana
Mnazidi kutubariki zaidi na zaidi.
Happy to see some of the old members
Atukuzwe
I love this my favorite choir
Amen 🙏 wonderful
Hongereni