Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Bwana ninajua-Nitangulie Bwana-Hakuna Mungu mwingine by pst Collins Khisa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024

Комментарии • 336

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 2 месяца назад +45

    Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya Albert Chalamila kupost akiucheza🙏❤️

  • @irenekimaro6523
    @irenekimaro6523 Месяц назад +27

    Tuliokuja kuutafuta bahada ya muheshimiwa chalamila kupost akicheza tujuane kwa like

  • @cosmaskisilu6692
    @cosmaskisilu6692 17 дней назад +4

    Huu ni wimbo ulioimbwa ndani ya Roho....huu wimbo umejaa Yesu

  • @Rehema-r7s
    @Rehema-r7s 10 дней назад +3

    Ndio bwana unaniwazia mema katika maisha yangu🙏🙏🙏 nitashind kwa jina la yesu ❤

  • @user-allan448
    @user-allan448 3 месяца назад +8

    Nababarikiwa sana na hizi worship zako mtumishi wa Mungu,hebu Mungu akuinue kiwango cha mataifa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @noelatsole5552
    @noelatsole5552 4 дня назад +2

    Amen, Amen Amen,ninasikiza nyimbo zako Kila wakati nikirudia Hadi naona mbingu zikifunguka,barikiwa sana

  • @MeshackLashaki-wg3nc
    @MeshackLashaki-wg3nc 4 дня назад +2

    Aki mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, ok na mimi nabarikiwa nikiwa samburu County maralal🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 3 месяца назад +11

    Jamani baba anasauti ya baraka na inapenya ndani ya mioyo yetu inuliwa baba amina

  • @carolkegendo8772
    @carolkegendo8772 3 месяца назад +15

    Nitangulie bwana Kwa kazi zote za mikono yangu....I need u more than ever

  • @CollinsBokose
    @CollinsBokose 11 дней назад +1

    Wimbo huu imeniguza hadi niwazia mengi ambayo nimeyapitia, ubarikiwe mtumishi wa mungu.

  • @SalineAmolo
    @SalineAmolo 2 дня назад +1

    This song really blesses my heart, a day cannot end without listening to it.Bwana najua unaniwazia mema mwokozi wangu😢😢😢.Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏🙏.

  • @reginahdavid7949
    @reginahdavid7949 3 месяца назад +22

    Hakika kunaye Mungu anayeinua wasiojiweza barikiwa Sana mtumishi .

    • @Solomonmutisya-fj8hw
      @Solomonmutisya-fj8hw 2 месяца назад

      Hakika wimbo huu umenigusa moyoni najua Mungu ako nampango mwema Amen.

    • @ThierryAvoci
      @ThierryAvoci 2 месяца назад

      Mon redapteur et vivant

  • @jecintamutisya3295
    @jecintamutisya3295 2 месяца назад +7

    Hakika hakuna Mungu mwengine kama Jehovah, inuliwa Baba yetu wa mbinguni

  • @violetmillicent
    @violetmillicent 23 дня назад +2

    Akika mtumishi ubarikiwe nimeskia kwa gari nikienda kazi hadi nikaulizia dereva akaniambia nimepata ubarikiwe sana

  • @user-mh7qz8yo5p
    @user-mh7qz8yo5p 2 месяца назад +1

    Hakuna....Hakunaa Mungu Mwingine aliye kama Mungu

  • @CalvinChivatsi
    @CalvinChivatsi 3 месяца назад +8

    Hakika mungu wa mbinguni akubariki Sana mtumishi wa mungu nyimbozako ,zimenisaidia Sana barikiwa saana

    • @jamesrono8848
      @jamesrono8848 2 месяца назад

      ❤such powerful worship.God bless you man of God

  • @florencekatumbi4744
    @florencekatumbi4744 Месяц назад +1

    The song has Blessed me sana,
    Glory be to God,
    Be Blessed Man of God 🙏🙏

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 3 месяца назад +5

    Amen i receive in Jesus name please pray for me this morning i receive in Jesus name amen 🙏🙏🙏

  • @catherinenjeri8242
    @catherinenjeri8242 9 дней назад +1

    The song carries the presence of God 🙏🙏🙏

  • @jamesrono8848
    @jamesrono8848 4 дня назад

    Waah this song reminds me the prayer that Moses made to God .Wen He called him.And surely went with him Wen God walks with you Will surely succeed.

  • @NaomiNanjala-fp5ho
    @NaomiNanjala-fp5ho 2 месяца назад +2

    Bwana naijua mawazo unayoniwazia ni mema,pastor nyimbo zako zabariki sana may the lord bless you and your team🙏🙏

  • @ruthdaudi6699
    @ruthdaudi6699 Месяц назад +1

    Wimbo huu umeponya moyo wangu nilikuwa katika mawazo mengi sikuwa najua nifanye nini katika hali ninayopitia lakini nikiposikiza wimbo huu nikapona na kupata furaha moyoni mwangu.ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU.

  • @everlynenyakegita9184
    @everlynenyakegita9184 26 дней назад

    Oh this is the best place to be.l like gospel songs and l am blessed🙏🙏🙏

  • @wanjareri2013
    @wanjareri2013 Месяц назад +1

    Nitangulie Bwana kwa kila jambo kwani siwezi bila wewe 😭😭😭😭😭.

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 6 дней назад

    Wimbo huu anabariki hop wenye utamani kua waimbaji sasa fuatilia hapa kuna siri.

  • @duncankibiwott4195
    @duncankibiwott4195 Месяц назад +2

    Singing this song with understanding and seriousness really opens heaven's for those who mean it

  • @oderoadu3267
    @oderoadu3267 2 месяца назад +1

    I'm learning with age that my breath and entirety is dependent on Christ Jesus! 🙏

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 2 месяца назад +1

    Ooh, Yes Lord Hallelujah ..

  • @GodwinRwiza
    @GodwinRwiza 6 дней назад

    Mungu akubariki sana Kwa kuugusa moyo wangu Kwa wimbo huu.

  • @user-xk8bg3bg9x
    @user-xk8bg3bg9x 28 дней назад

    The song has good message and it help us how to be strong in this journey of faith❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏,,, barikiweni Sana Wana wa mungu,,, mungu yupo upande wetu siku sote❤❤,,amen

  • @esthermunguti5160
    @esthermunguti5160 Месяц назад +1

    Amen, nitangulie bwana kwa bidii yote ninayofanya kufungua maono yangu, bariki pia kazi ya mikono yangu, amen

  • @ChristinMulongo-vn7hv
    @ChristinMulongo-vn7hv 3 месяца назад +1

    Nitangulie Bwana kwa hii country ya wenyewe Natamani kufika kwa country yangu nikutumikie. Baba yangu

  • @briannzuki
    @briannzuki 2 месяца назад +2

    Bwana nitangulie kwa kila kazi ya mikono yangu dadiii

  • @passionatequeenofhrt5252
    @passionatequeenofhrt5252 Месяц назад

    Hakuna Mungu mwingine aliyekama wewe..Ahsante Mungu

  • @johnmaramba3057
    @johnmaramba3057 2 месяца назад +2

    Indeed God is good. His goodness has located me for ever.

  • @achiengvelinda940
    @achiengvelinda940 Месяц назад

    Only God knows how I love this song 🙏🙏🙏🙏

  • @user-dj3nq8mm3d
    @user-dj3nq8mm3d 3 месяца назад +3

    Hakika mungu anatuwazia mema glory to God 🙏🙏

  • @user-po1ch8mv3j
    @user-po1ch8mv3j 3 месяца назад +2

    Man of God you have blessed my life with hte nice worship. May the almighty God uplift you higher.

  • @AliceKiarie-t2j
    @AliceKiarie-t2j Месяц назад

    Am blessed
    Have never bumped into this great worship but God’s spirit led me here today
    Be blessed man of God

  • @Musunguproduction
    @Musunguproduction 3 месяца назад +2

    Napenda hizi nyimbo,,sauti ya malaika na beat za mbinguni, God bless you for this composition.

  • @tituscheruiyot7011
    @tituscheruiyot7011 3 месяца назад +4

    Ameeen hakuna mungu aliye kama wewe

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 2 месяца назад +1

    Hakika yeye mungu akuna mwingine kama yeye amen amen

  • @francismutembei
    @francismutembei Месяц назад +1

    You are a blessing to me man of God.

  • @user-cl3ih2mm6k
    @user-cl3ih2mm6k 2 месяца назад +1

    Very comforting n worshipping chorus!!!

  • @HenryMwinami-ky7lr
    @HenryMwinami-ky7lr 3 месяца назад +4

    Hakuna Mungu mwingine aliye kama wewe,Baba na mama, ni ukweli kabisa

  • @alice-sd1sv
    @alice-sd1sv 3 месяца назад +1

    These worship songs always touches my soul.

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 2 месяца назад +2

    Ukweli kabisaaa mungu uyuko amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen

  • @janetwatiangu7409
    @janetwatiangu7409 Месяц назад

    am really blessed..Dear Lord remember me😭😭😭

  • @eliudsichangi2
    @eliudsichangi2 3 месяца назад +1

    More grace my covenant brother.... Being blessed with wonderful moment of worship

  • @josephinekivuva9128
    @josephinekivuva9128 Месяц назад +1

    Allelujah,thanks be to God

  • @DicksonKorir-nm7ce
    @DicksonKorir-nm7ce Месяц назад

    Be blessed pastor,hakuna mungu kama yesu...nimebarikiwa sana

  • @LizSonia-yq5cw
    @LizSonia-yq5cw 28 дней назад

    Am so inspired by your song's...l need to bless you abundantly Soon... Mpesa line ..🎉

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Месяц назад +1

    Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana kwa nyimbo zako nimeipata baada ya kuona kwa mh chalamila akicheza 🎉🎉🎉 nimebarikiwa sana

  • @nzuki40789
    @nzuki40789 2 месяца назад +1

    I tap the grace in you man of God in Jesus name 🙏🙏🙏

  • @gracemwinzi538
    @gracemwinzi538 3 месяца назад +1

    The kind of worship i like,God bless this man of God

  • @makenziejoseph
    @makenziejoseph Месяц назад

    Mungu akupeee tamanio la moyo wako🙏🙏🙏🙏🙏

  • @marrietamwelu7782
    @marrietamwelu7782 2 месяца назад

    Nisaidie bwana Familia yangu inapitia mambo magumu bwana. Magonjwa yanatuandama kutoka kwa baba, mtoto na kwa mama. Why all this God. I need you lord, rescue us from all these challenges God. Wipe my tears lord wipe my tears my business is not working out. We are experiencing stagnation in this family why all these God. Why am I always crying lord wipe my tears and rescue my family from financial problems, stagnation and sicknesses.

  • @chezariboy
    @chezariboy 2 месяца назад +1

    Safi sana mtumishi, real worshiping song, be blessed servant of living God.

  • @JudithNgowi
    @JudithNgowi 12 дней назад +1

    Hadi nalia ubarikiwe sana.

  • @MICHAELDESIGNER-fl2um
    @MICHAELDESIGNER-fl2um 2 месяца назад +2

    Ameen man of God ninabarikiwa Sana na huduma yako❤❤❤🤝🙏

  • @edithokello8365
    @edithokello8365 3 месяца назад +3

    You have been a blessing to me with your worship in

  • @Officialmusyawa
    @Officialmusyawa Месяц назад +1

    Continue with the same spirit apostle,unanileta kwa njia za mungu na nyimbo zako,,you got a talent,good voice of worshipping glory to God

  • @pallangyofamily
    @pallangyofamily Месяц назад

    Ni ujumbe mzito sana Kwa kweli

  • @user-pz9gj8ry1e
    @user-pz9gj8ry1e 3 месяца назад +3

    So encouraging, may God bless you and your team

  • @NeddyEshinali-um8nf
    @NeddyEshinali-um8nf 23 дня назад

    Glory to God be blessed watching from Saudia

  • @user-dk1df2me9j
    @user-dk1df2me9j Месяц назад

    Nitagulie bwana kwa maisha yangu ,kwa wokovu wangu kwa kila njambo bwana siwezi bila weweee😭😭😭😭😭

  • @user-qu2nr4fp7h
    @user-qu2nr4fp7h Месяц назад

    What a worship hakika Hakuna Mungu mwingine kama wewe

  • @TitusOtwane
    @TitusOtwane Месяц назад

    God bless you dear servant of the most High God keep blessing your your voice is so anointed by the power of the Holy Spirit .indeed unabariki mioyo ya wengi

  • @elijahtole1224
    @elijahtole1224 2 месяца назад

    Sifa kwa Mungu...na akubariki mno ukituinua wengi...

  • @lukasongera751
    @lukasongera751 Месяц назад

    God bless you nyimbo zako zaninua Kirkhope sana

  • @janemlelwa8618
    @janemlelwa8618 Месяц назад +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU wimbo ni mzuri sana unabariki na hakika uwepo.wa MUNGU upo.kwa kuisikiliza barikiwa sana ❤

  • @felistermutua1025
    @felistermutua1025 2 месяца назад +1

    Ameeeen powerful song

  • @dainamanase9322
    @dainamanase9322 3 месяца назад +1

    HAKIKA MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU BARIKIWA SANA FORM TANZANIA

  • @Antony-jv8dx
    @Antony-jv8dx 2 месяца назад +1

    Kwa hakika Mungu ni muajibivu be blesse so very much mtumishi wa mungu Amen

  • @maureennzioka8873
    @maureennzioka8873 19 дней назад +1

    Your songs are a blessing

  • @cleopamanus7787
    @cleopamanus7787 24 дня назад

    Finally nimempata.
    Great worship and voice too.
    God lift you and more grace be upon you to touch more hearts.

  • @lawreneetoleesilaba3533
    @lawreneetoleesilaba3533 2 месяца назад +1

    Amen Mungu anayejua mema anaweza yote

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 2 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen

  • @ongomaskills2390
    @ongomaskills2390 2 месяца назад +1

    Praise God paster...hiyo wimbo Ina bariki sana..God bless you

  • @peterekoyan9089
    @peterekoyan9089 24 дня назад

    Alleluhya I am blessed 🙌 😇 🙏
    God bless you mtumishi❤

  • @JenniferKisekimunathi-vc8lx
    @JenniferKisekimunathi-vc8lx 2 месяца назад +1

    Powerful worship God bless you,, amen amen

  • @jovinkamuri5624
    @jovinkamuri5624 2 месяца назад +1

    Great praises🎉🎉🎉🎉 continue with thät ministries

  • @eliyaraston106
    @eliyaraston106 Месяц назад

    Very powerful song that can draw closer to the Lord.

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 Месяц назад

    Barikiwa sana pastor wimbo iko safi sana amen amen

  • @josephatchai3611
    @josephatchai3611 2 месяца назад +1

    Sure hakuna Mungu kama yeye,na hatawai kuwa,Amen

  • @danielmwalia5390
    @danielmwalia5390 Месяц назад

    Sijaona namba PST, Mungu akubariki

  • @muthokastephen6066
    @muthokastephen6066 2 месяца назад +1

    Such a blessing song

  • @vivianakinyi1858
    @vivianakinyi1858 2 месяца назад +1

    God is always good... Anatuwazia mema🙏🙏

  • @AnaVicenteNhota-to2sb
    @AnaVicenteNhota-to2sb Месяц назад

    Amina Mungu awabarik watumushi wa Mungu ❤❤❤

  • @catherinemwangi4988
    @catherinemwangi4988 2 месяца назад

    Mungu wangu ninajua unaniwazia mema maana hakuna Mungu mwingine kama wewe. Unitangulie Yesu safari ni ndefu ninatamani kufika. God bless you man of God for the powerful worship.

  • @nelsonechesa2200
    @nelsonechesa2200 Месяц назад

    Ooh hallelujah utukufu Kwa Bwana wetu Yesu hakika hakuna mungu mwingine kama wewe nimejikuta nimepiga magoti mwenyewe be blessed 🙏🙏

  • @user-tg2me1py9b
    @user-tg2me1py9b 2 месяца назад +1

    Nitangulie bwana....kwa kila jambo amen amen amen...

  • @KAIYENTRANSPORTERS-SMCLTD
    @KAIYENTRANSPORTERS-SMCLTD 3 месяца назад +2

    Thanks for wonderful worship God bless you greatly

  • @agnesnyaboke-ex6lx
    @agnesnyaboke-ex6lx 2 месяца назад +1

    Hakika mungu anatuwaxia mema kila wakati❤❤❤❤❤ ameen

  • @user-fk8cd7to7x
    @user-fk8cd7to7x 2 месяца назад +1

    Powerful message

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo 3 месяца назад +1

    Haleluya haleluya haleluuuuya

    • @drpaulchirchir7611
      @drpaulchirchir7611 3 месяца назад

      God lead the way my desire is to arrive at my destination

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 2 месяца назад +1

    Amen amen mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen barikiwa sana amen amen

  • @user-yq2ot1rs9s
    @user-yq2ot1rs9s 3 месяца назад +1

    Ooh hallelujah,am much blessed

  • @user-ui3fs4jq8q
    @user-ui3fs4jq8q Месяц назад +1

    Mungu.akubariki.ndugu.uendelee.maana.inanitia.nguvu.alice.nikiwa.tanzana

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 Месяц назад +1

    Ubarikiwe sanaaa