Mfanyabiashara S.K. Macharia amewasilisha kesi ya Directline mahakamani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Mfanyabiashara S.K. Macharia amewasilisha kesi mahakamani ili kurejesha umiliki na usimamizi wa kampuni ya bima ya directline, akidai alinyanganywa umiliki na wakurugenzi fulani waliotumia fomu bandia. Kupitia kwa mawakili wake, daktari macharia ametaka yeye, mkewe na wanahisa wengine kutambuliwa kama wamiliki halali, baada ya uchunguzi kupata kuwa shilingi bilioni 8 zimefujwa na wakurugenzi bandia. Pia anataka wakurugenzi hao bandia kufunguliwa mashtaka.

Комментарии • 1