Rais Ruto aagiza makundi mbalimbali kuteua wawakilishi kwenye mazungumzo ya kitaifa
HTML-код
- Опубликовано: 28 июн 2024
- Ofisi ya rais imeanzisha mpango wa kuhusisha vijana katika mazungumzo siku mbili baada ya Rais William Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2024 kuwa sheria. Barua kutoka kwa mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei imewataka washikadau kutoka sekta mbalimbali kuwasilisha majina ya wawakilishi katika kamati itakayobuniwa ya kutatua maswala yaliyoibuliwa na vijana wakati wa maandamano ya kupinga mswada huo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, Rais William Ruto aliendeleza mikutano yake na viongozi wa kidini katika ikulu ya Nairobi, leo akikutana na maaskofu kutoka kanisa la (AIPCA).
GenZ hawana waakilishi,unataka waakilishi ili uwahonge no way just speak na sisi tutakujibu kwa social media .tumesema hatukutaki sasa ,kazi yako kuharibu nchi kuhonga wabunge kupitisha hoja zako kwanini .
Kabisaaaa hakuna leader,they will be bought up asap
There must be leaders ngoja utaona ni nyinyi ni wachache hawakupata kakitu
True hao pia wataturuka atutaki viongozi ,kiongozi ni kila mtu
Amewashika mateka
Hatuna haja na kuongea na wewe sai is too late pls Mr zakayo ok
We are tribeless
We are partyless
We are leaderless
🇰🇪🇰🇪❤🇰🇪🇰🇪
Simple📌
Thank you?
Yes yes yes 🎉 viva
Exactly
Powerful
WE WILL STOP GOING TO CHURCH. WE CAN PRAY FOR OURSELVES
Religions were created to control masses.
This are hypocrites be warned
Yesss
😊😊😊😊when he not flying he is lying
Haha 😄 🤣 😂 umeona now he's lying
😂😂😂😂
We don't trust pastors coz the hypocrisy in them its alarming
After death fear pastors.
@@whitneyngati4750 pastors there work is to maintain peace to both parties wenye walichoma ni criminals I agree sisi tuliandamana peacefully
Pastor nganga ako na sisi kwani umesahau
😢sio baba wetu we don't trust church chat hypocrisy and betrayal 😮😮 narcissistic behaviour
Pastors wako side ya Ruto juu wanapewa vibahasha every sunday
Mnataka wawakilishi ndio muwateke nyara...na wenye mlichukua si mrudishe...shame on this government. Too bad wallah.
Nonsense, too late . Let the compromised church meet him. He has no moral authority to continue leading having killed children. His voice nauseates.
Can you lead
@@isaiahmuyekho6703keep quiet nonsense!!you sound stupid and dumb in one sentence
@@isaiahmuyekho6703 you can you lead 🚮
Who will believe or trust Ruto surely? This man can very compromise even 1000 people. A true sweet talker
Vasco danganya ni mwongo kuliko shetani
Atawadanganya na 1k pekee akuna mazungumzo
Why let kenya burn bcs of all these? Let him serve his term and leave...Kenyans will regret burning their country
@@susannangurai3348 kenya was burnt economically long time ago by the so called leaders
@@michaelkauku9714 well said my brother....it was burnt economically but sio vijana kukufa....pls aki let's just all calm down and wait for 2027 pls
Ruto has to go , no negotiations
Sis.. itabaki umezoea Ruto is our President.
Ukienda Uganda utapata Museveni. Take your pick.
@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8tithen Wacha abaki na uinga wake state house na hao mapastor ,,let 2027 come
Why let kenya burn bcs of nonsense
Ilikuwa ni Finance bill...sasa amekubali kusikiza.....sasa ni Ruto must go? Hawa ni watu wanataka inchi ichomeke na hawa ni wakora na idlers...They need to be dealt with
Na mbona aliua vijana githurai@@susannangurai3348
Hawa ma bishop ndio wametuharibia kenya yetu wanapokea hongo
Wanafaa kusalimiwa pia
Hatukubaliani na ww ata nukta moja💯💯cha msingi uende home ukalime juu hiezi kuendesha KENYA.
Do what you want, president have offered himself for dialogue and if you don't want get your ass to street and see if you can get it.😂😂
@@philipchirchir7035Acha umama
@@philipchirchir7035you’re a reckless idiot who doesn’t understand anything
Now, repeat that without exposing your teeth and spitting murski everywhere. Take your nyani with you please!@@philipchirchir7035
You are very stupid,arm yourself with voter's card and vote him out in 2027, other wise naona mama zenu wakiwazika sana
He has not taken responsibility for the killings. He has not mentioned the Githurai massacre by police. This man CANNOT BE TRUSTED!
Vijana hawana kiongozi, labda tukutane mtandaoni.God help Kenya, peace, love & harmony, Kenya Moja si Kenya kwisha.
Hautaki kiongozi
Kabisa
Church inakuja sai after gen z wamekufa...nkt
Kwani Gen z waliendewa makwao?walijitakia kifo,na bado
Wakwende huko hao wafarisayo na wasadusayo, shikilieni hapo hapo mpaka zakayo aende Hague Kwa kuua watoto wetu
@@DavidNyamongo-un1scwewe ungenyamaza tu. Just sharrap!
Kwani hukuona nn kilifanyika Githurai 45,waliuliwa kwao usiku @@DavidNyamongo-un1sc
Tuzungumze nn
Ruto enda sugoi hatuna rais.
Just go
He brings all those children he killed back to life kwanza ndio tuongee
Genz hatuna kiongozi🇰🇪🇰🇪 kama anataka tuongee atuite sisi wote kenya nzima kwa kiwanja na akae kati kati kila mtu ajiongelele😂😂😂
Nakuunga mkono
AONGE NA 56 MILLION KENYANS DIRECTLY. KILA MTU NI LEADER. AKITAKA KUTUHONGA SOTE SAWA. HE CAN START BY SELLING ALL HIS PROPERTIES ALIPE DENI YA KENYA. NEXT, ADISSOLVE PARLIAMENT NA ARESIGN. PERFECT BRIBE FOR ME
Yes yes yes Aluta continua viva 💪
You are a genius!
💯💯
Leaders ndio he bribe them
We shall give Zakayo the names of the heroes who were fallen on Tuesday abonge nao
Ruto must go Ruto must go
Haina mjadala hilo limepita
Criminals tena!!! Kwani si wakenya? You must go.
Viongozi ni wale walidedi
Good point. Aende awaamshe aongee nao
GEN-Z Hatuna kiongozi,hawa ma askofu waache ujinga
Washapewa pesa
Appoint yeyote tumumalize hatutaki ujinga
Hata izo kanisa tutagoma kuenda,hakuna hata mmoja wa hao ma Bishop wameenda kutembelea waathiriwa
True kabisa. They are quick to visit statehouse but can go to KNH
@@erickjuma7643 tuwaweke kwa group moja na Mps halafu tutaenda kwa salimia one by one ,any body anaji associate na zakayo yenye ni adui
For real 😮😮😢
Akih😢 so sad
Hatuna kiongozi sisi
😂😂😂😂😂nakupenda sana❤
Stop importing problems
Hao maskofu walafi hatuwataki
Ilepesa walikua wanapatiwa imeisha .no more money laundering in churches.
Ruto Must Go Na Wote Walio Vote Yes Watoke Wote .They Must Go Home Na Hawa Mapostor Tuwanyoroshe Pia
Divede and rule strategy
He's even outlining agenda he wants to be discussed. This guy does not get it and wont get it. He is still overlooking the issues Gen Z has outlined including his resignation😂😂
Imagine😢
Shenzi kabisa
Point
That's what I'm wondering. Yaani he just doesn't get it 🤦🏽♀️🤦🏽♀️
Ruto must go
Ruto must go, we
You want him to go where. To your home?
He ain't going anywhere, ata 2027
He is going nowhere. People with low reasoning capacity like you matter economics are the one shoutig ruto must go day in day out .
We will never forget
Hao wenye watachaguliwa si atawaua wote 😢😮
Give him another chance maybe ame reform
To keep things transparent, I think the discussions should be aired live on the internet...
Some of the youths who rejected the finance bill might not be economists or well versed with politics so it might be easy for the govt to tune them to their song
Kiongozi wa gen Z ni MUNGU,
Kiongozi wa GenZ ni MUNGU kweli bro..
Na mungu ndio atatutapa nguvu
AMEN 🙏🙏🙏
Kweli kabisa
True ❤
This president ataacha kama tumefirisika.. adding loan interest every month through central bank....worst president ever,Ruto must go##
Sisi hatuna kiongozi 😊kila mtu ni kiongozi
Yes yes yes 💪
Then the Bishops call him their Bishop. People are sick
We will have leaders but now we don't want to talk to a liar ....
Heartbreaking of all using church
sameway mzungu alitumia church to colonize us
We dont have leaders as gen z sawa????
Do this religious leaders really know who Ruto is ?Do They ?
Kumbe Ruto hana adabu.
He is supposed to be telling us how to compensate for the death caused by him
No hope,on this one
Jiongelele....some of us have Hope in him
Kuma la mamaako changudoa mkubwa ww @@susannangurai3348
Ruto must goo
Anataka kujua waakilishi wa Gen Z ndiyo aweze kuwaua shetani tunakujua, just resign and leave Kenyans with peace
Hatuna viongozi Mungu ndie kiongozi wetu❤
Ubaya akili yako na Gen z ni tofauti. Gen z wamekushinda ujanja kuwapata ni ngumu
Huyu anajifanya ni kama haelewi chochote. Eti gen z wajipange wafanye mkutano na yeye. ? Hii ujuaji na kiburi ya ichungwa unatumia itamramba tena.
Leo nimeskia mtu akisema ati Ruto akiwa news heri stima ipotee😂
We dont want this meeting at state house .lets do zoom meeting
are you our leader...
Ameagiza nani kama nani??? Hatuna viongozi kama vijana. Ruto must go home now.
Before atafute watu na kuuwa please Gen z mtoe aende home please
Viongozi wa vijana ndio wale uliuwa
Tell him bro
Exactly
Yes
YES 😢😢
Ujiuzuru mara Moja burukenge hiiii
Zakayo enda sugoi hatuna rais just goooo period
Aende Hague
Shida Ruto ni wewe kujiunga na marekani wazee wa ushoga ndio mana vijana wa kenya hawakuelewi.
Ruto must goooooooooo😢
Hapo hapana
Baada ya kuuwa watu mia tano?
Damu imekutosha?
Gen Z haina viongozi. Simply do what is right and Kenya will be safe.
Bado unajitetea hapa?
Mdomo mdomo.
Maaskofu mkicheza tutawasalimia.
Nyinyi ndio mlikula pesa za ruto za campaign.
Kazi ya mjengo ndio unasema
Kweli hawa GenZ wako na a leader kweli? 🤔? Again if anyone goes there I think they will be compromised
Yea atawanunua
Akitaka kuzungumza na Gen Z awaite wote state house, vijana over 2 million wakuje
plus wale aliua tubebe miili yao..
Vijana ni over 20million, hatuezi tosha anywhere maybe tuende huku kwa shetani
Kwani kenya iko na wakristo pekee.....tutakuja sote hatuna kiongozi pika mahamri kwa wingi na rooms za wageni
😂😂😅Aki kuwa stressed Kenya ni kupenda kwako .
Hatuna kiongozi. Gen z si chama cha kisiasa. Hatuna ukabila lugha yetu ni mbili tu. Kiswahili na Kiingereza
Hivi ndivyo wataingizwa box.
The only latter we want see is Ruto's and gachagua"s resignation latters
Huyu. zakoyo huwa hasikii maneno, tuondolee uwongo hapa
Tutaketi chini kwa maobolezi ya waliouawa...tupatane uko pls
These men of the church must stop going to state house and calling the president their Bishop..Let them pray for the government and stick yo their mandate
Imagine. That he is their Bishop. Disgusting
Once a ruler becomes religious, it becomes impossible for you to debate him.
Once someone rules in the name of religion, your life becomes hell.
Before that start with:
-Dropping SHIF and reinstate NHIF
-Drop land amendment Act
-Stop parenting kenyans by talks from church elders, be a leader.
-Give us the audit of the kenyan debt.
Hao viongozi wa dini are the same people that keep receiving briefcases of money. Kenyans, why do we still pay these people sadaka?? Boycott them and pray for yourself. Mungu anasikia believe me.
NHIF plzz pesa yake itaenda wapi??
My question too
Me too asking??
@@joykhayega6974 as thus is supposed to be in the list
We don't have such plans to meet up with the president we are leadless we are united
Huyu aende tu una ukabila Sana kwani ikulu ni ya wakristo tu🤔
Kwani Wakristo si Wakenya?
@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti aite Gen Zs hivo pia
Watu wanalipwa mshahara tangu enzi za wakoloni sio wewe wakwanza 😂😂😂😂 kulipa watu mshahara tupatane Tuesday na sio tafadhali utatiiii tu
Ukweli anajaribu mbinu zote kuaingiza watu box,anajaribu vile watamwonea huruma
wee wacha...no kuongozi..hapa waende wapewe peza waepe .hii n kenya mzima..
Gen Z's you step in state house NO different to Mpigs 2 million zakayo bribes. Gen Z's remember sons and daughters of mau mau Mungiki there mission was about lands but mzee moi invited them to state house and after cheating them used them and you all know what happened to mungiki . Same to Gen Z's you go to state house ends of Gen Z's used.and DUMPED.
Point of collection Gen Z hawana kiongozi president akuje kila County atuongereshe lakini huwez sema ati Uite huyu na huyu hiyo zii
He is still calling innocent Kenyan criminal
huyu hatujui...everytime he speaks nachemka mbaya..
@@crescentomenda7626me too 😡😡
Hatutaki mazungumzo na ruto no way!
Gen Z don't have a leader
Can someone help me stop seeing ruto as a criminal. 😢😢. When I see him, I just see the blood of hundreds who left us in demos and in the past.😢😢. This man!!😭
Hoja Ruto must go
Gen z haina wakubwa...hawaite uhuru Park ama nyayo stadium
Yani Rais anabehave nikama alichaguliwa bila plan yoyote, hii mazungumuzo mingi niyanini na alikua na manifesto ya Chama,
Hatutaki mazungumuzo MSHEZI ww RUTO MUST GO
Baada ya kuua sasa unakimbia kanisani. Shetani!!!! EVIL
we all know even the devil goes in the presence of the Most High
Roto must go 😢😢😢 hatutaki mamba yako tena
Genz should write down their proposals and stick to them hata akihonga hao bado mkue na proposals that cannot be bended at what ever cost
my friend we all know what needs to be done, sio lazima tuandike proposals....what is right is known but they choose to ignore our welfare....
@@crescentomenda7626 let them ignore at their own peril.....if they do
Speak to Kenyans we don't have leaders
😅😅😅😅😅utatia akili tu
Hawa wanatumiwa kama tissue.Just tell him the truth anaenda nyumbani.
Hapana, kama watu hawangetokea na kukufa then you wouldn't have done this. This is unexceptable. We have no leaders
10days to go before the financial bill becomes law...tiktok tiktok, time is ticking Mr Speaker Sir😂
We no longer trust him especially after killing our comrades let him rest ameshindwa na kazi
Na kwanini uliwuua watoto?
We can't listen to a father who called us criminals
Upuzi Hatuna leader
Keep church men away from this discussion
he is seeking legitimacy from the same people he bribed to spread his lies during campaigns...