Rais Ruto aagiza makundi mbalimbali kuteua wawakilishi kwenye mazungumzo ya kitaifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июн 2024
  • Ofisi ya rais imeanzisha mpango wa kuhusisha vijana katika mazungumzo siku mbili baada ya Rais William Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2024 kuwa sheria. Barua kutoka kwa mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei imewataka washikadau kutoka sekta mbalimbali kuwasilisha majina ya wawakilishi katika kamati itakayobuniwa ya kutatua maswala yaliyoibuliwa na vijana wakati wa maandamano ya kupinga mswada huo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, Rais William Ruto aliendeleza mikutano yake na viongozi wa kidini katika ikulu ya Nairobi, leo akikutana na maaskofu kutoka kanisa la (AIPCA).

Комментарии • 962

  • @baloz8974
    @baloz8974 5 дней назад +291

    GenZ hawana waakilishi,unataka waakilishi ili uwahonge no way just speak na sisi tutakujibu kwa social media .tumesema hatukutaki sasa ,kazi yako kuharibu nchi kuhonga wabunge kupitisha hoja zako kwanini .

    • @rockyrocki-fo4sl
      @rockyrocki-fo4sl 5 дней назад +20

      Kabisaaaa hakuna leader,they will be bought up asap

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 5 дней назад +3

      There must be leaders ngoja utaona ni nyinyi ni wachache hawakupata kakitu

    • @davisbett
      @davisbett 5 дней назад +18

      True hao pia wataturuka atutaki viongozi ,kiongozi ni kila mtu

    • @chegepatrick2730
      @chegepatrick2730 5 дней назад +3

      Amewashika mateka

    • @shabankolia8204
      @shabankolia8204 5 дней назад +11

      Hatuna haja na kuongea na wewe sai is too late pls Mr zakayo ok

  • @Onguti
    @Onguti 5 дней назад +77

    We are tribeless
    We are partyless
    We are leaderless
    🇰🇪🇰🇪❤🇰🇪🇰🇪

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks 5 дней назад +109

    WE WILL STOP GOING TO CHURCH. WE CAN PRAY FOR OURSELVES

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg 5 дней назад +118

    😊😊😊😊when he not flying he is lying

    • @baloz8974
      @baloz8974 5 дней назад +3

      Haha 😄 🤣 😂 umeona now he's lying

    • @aligedi2869
      @aligedi2869 5 дней назад +3

      😂😂😂😂

  • @moscowjumah2089
    @moscowjumah2089 5 дней назад +173

    We don't trust pastors coz the hypocrisy in them its alarming

    • @whitneyngati4750
      @whitneyngati4750 5 дней назад +5

      After death fear pastors.

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 5 дней назад +1

      ​@@whitneyngati4750 pastors there work is to maintain peace to both parties wenye walichoma ni criminals I agree sisi tuliandamana peacefully

    • @SupremeKimani
      @SupremeKimani 5 дней назад

      Pastor nganga ako na sisi kwani umesahau

    • @dreadlocks_sisterlocksbahrain
      @dreadlocks_sisterlocksbahrain 5 дней назад +3

      😢sio baba wetu we don't trust church chat hypocrisy and betrayal 😮😮 narcissistic behaviour

    • @user-kg9gy9pw3l
      @user-kg9gy9pw3l 5 дней назад +9

      Pastors wako side ya Ruto juu wanapewa vibahasha every sunday

  • @Mohalira
    @Mohalira 5 дней назад +63

    Mnataka wawakilishi ndio muwateke nyara...na wenye mlichukua si mrudishe...shame on this government. Too bad wallah.

  • @nerryakanda3733
    @nerryakanda3733 5 дней назад +90

    Nonsense, too late . Let the compromised church meet him. He has no moral authority to continue leading having killed children. His voice nauseates.

    • @isaiahmuyekho6703
      @isaiahmuyekho6703 5 дней назад

      Can you lead

    • @ugenyapasi
      @ugenyapasi 5 дней назад

      @@isaiahmuyekho6703keep quiet nonsense!!you sound stupid and dumb in one sentence

    • @samkaybeauty2862
      @samkaybeauty2862 5 дней назад

      ​@@isaiahmuyekho6703 you can you lead 🚮

  • @michaelkauku9714
    @michaelkauku9714 5 дней назад +52

    Who will believe or trust Ruto surely? This man can very compromise even 1000 people. A true sweet talker

    • @elizabethmbula9388
      @elizabethmbula9388 5 дней назад +4

      Vasco danganya ni mwongo kuliko shetani

    • @Berly841
      @Berly841 5 дней назад +1

      Atawadanganya na 1k pekee akuna mazungumzo

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 5 дней назад

      Why let kenya burn bcs of all these? Let him serve his term and leave...Kenyans will regret burning their country

    • @michaelkauku9714
      @michaelkauku9714 5 дней назад +1

      @@susannangurai3348 kenya was burnt economically long time ago by the so called leaders

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 5 дней назад

      @@michaelkauku9714 well said my brother....it was burnt economically but sio vijana kukufa....pls aki let's just all calm down and wait for 2027 pls

  • @agathawanjiku6919
    @agathawanjiku6919 5 дней назад +42

    Ruto has to go , no negotiations

    • @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
      @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti 5 дней назад +1

      Sis.. itabaki umezoea Ruto is our President.
      Ukienda Uganda utapata Museveni. Take your pick.

    • @lyfondiamond7273
      @lyfondiamond7273 5 дней назад

      ​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8tithen Wacha abaki na uinga wake state house na hao mapastor ,,let 2027 come

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 5 дней назад

      Why let kenya burn bcs of nonsense

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 5 дней назад +2

      Ilikuwa ni Finance bill...sasa amekubali kusikiza.....sasa ni Ruto must go? Hawa ni watu wanataka inchi ichomeke na hawa ni wakora na idlers...They need to be dealt with

    • @walteralulu8483
      @walteralulu8483 5 дней назад

      Na mbona aliua vijana githurai​@@susannangurai3348

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 5 дней назад +26

    Hawa ma bishop ndio wametuharibia kenya yetu wanapokea hongo

  • @jumangala4925
    @jumangala4925 5 дней назад +70

    Hatukubaliani na ww ata nukta moja💯💯cha msingi uende home ukalime juu hiezi kuendesha KENYA.

    • @philipchirchir7035
      @philipchirchir7035 5 дней назад

      Do what you want, president have offered himself for dialogue and if you don't want get your ass to street and see if you can get it.😂😂

    • @user-ul8xh7dk5p
      @user-ul8xh7dk5p 5 дней назад

      ​@@philipchirchir7035Acha umama

    • @user-zz9qw5iw8z
      @user-zz9qw5iw8z 5 дней назад

      @@philipchirchir7035you’re a reckless idiot who doesn’t understand anything

    • @petronasken7504
      @petronasken7504 5 дней назад

      Now, repeat that without exposing your teeth and spitting murski everywhere. Take your nyani with you please!​@@philipchirchir7035

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc 5 дней назад

      You are very stupid,arm yourself with voter's card and vote him out in 2027, other wise naona mama zenu wakiwazika sana

  • @PaulineMugure
    @PaulineMugure 5 дней назад +12

    He has not taken responsibility for the killings. He has not mentioned the Githurai massacre by police. This man CANNOT BE TRUSTED!

  • @Geowematv
    @Geowematv 5 дней назад +39

    Vijana hawana kiongozi, labda tukutane mtandaoni.God help Kenya, peace, love & harmony, Kenya Moja si Kenya kwisha.

  • @harrisonkimani9921
    @harrisonkimani9921 5 дней назад +76

    Church inakuja sai after gen z wamekufa...nkt

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc 5 дней назад +2

      Kwani Gen z waliendewa makwao?walijitakia kifo,na bado

    • @alphonceokoth6381
      @alphonceokoth6381 5 дней назад +3

      Wakwende huko hao wafarisayo na wasadusayo, shikilieni hapo hapo mpaka zakayo aende Hague Kwa kuua watoto wetu

    • @sheilamwai7546
      @sheilamwai7546 5 дней назад +1

      ​@@DavidNyamongo-un1scwewe ungenyamaza tu. Just sharrap!

    • @David200dee
      @David200dee 5 дней назад

      Kwani hukuona nn kilifanyika Githurai 45,waliuliwa kwao usiku ​@@DavidNyamongo-un1sc

  • @CalistoLucha
    @CalistoLucha 5 дней назад +39

    Tuzungumze nn

  • @rosendunge4217
    @rosendunge4217 5 дней назад +55

    Ruto enda sugoi hatuna rais.
    Just go

  • @morbunmorbie5649
    @morbunmorbie5649 5 дней назад +15

    He brings all those children he killed back to life kwanza ndio tuongee

  • @PeterAmollo-pk2lo
    @PeterAmollo-pk2lo 5 дней назад +17

    Genz hatuna kiongozi🇰🇪🇰🇪 kama anataka tuongee atuite sisi wote kenya nzima kwa kiwanja na akae kati kati kila mtu ajiongelele😂😂😂

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks 5 дней назад +19

    AONGE NA 56 MILLION KENYANS DIRECTLY. KILA MTU NI LEADER. AKITAKA KUTUHONGA SOTE SAWA. HE CAN START BY SELLING ALL HIS PROPERTIES ALIPE DENI YA KENYA. NEXT, ADISSOLVE PARLIAMENT NA ARESIGN. PERFECT BRIBE FOR ME

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX 5 дней назад +18

    Leaders ndio he bribe them

  • @victorotieno65
    @victorotieno65 5 дней назад +11

    We shall give Zakayo the names of the heroes who were fallen on Tuesday abonge nao

  • @beatricekarani7675
    @beatricekarani7675 5 дней назад +42

    Ruto must go Ruto must go

    • @baloz8974
      @baloz8974 5 дней назад +1

      Haina mjadala hilo limepita

  • @isaacbulemi1382
    @isaacbulemi1382 5 дней назад +16

    Criminals tena!!! Kwani si wakenya? You must go.

  • @johnabuyanyakundinyakundi
    @johnabuyanyakundinyakundi 5 дней назад +17

    Viongozi ni wale walidedi

    • @erickjuma7643
      @erickjuma7643 5 дней назад +1

      Good point. Aende awaamshe aongee nao

  • @vikahmotors
    @vikahmotors 5 дней назад +32

    GEN-Z Hatuna kiongozi,hawa ma askofu waache ujinga

  • @obbiemikeke8763
    @obbiemikeke8763 5 дней назад +16

    Appoint yeyote tumumalize hatutaki ujinga

  • @bernardowino8091
    @bernardowino8091 5 дней назад +24

    Hata izo kanisa tutagoma kuenda,hakuna hata mmoja wa hao ma Bishop wameenda kutembelea waathiriwa

    • @erickjuma7643
      @erickjuma7643 5 дней назад +2

      True kabisa. They are quick to visit statehouse but can go to KNH

    • @bernardowino8091
      @bernardowino8091 5 дней назад

      @@erickjuma7643 tuwaweke kwa group moja na Mps halafu tutaenda kwa salimia one by one ,any body anaji associate na zakayo yenye ni adui

    • @samkaybeauty2862
      @samkaybeauty2862 5 дней назад

      For real 😮😮😢

    • @user-me5sv6ye8m
      @user-me5sv6ye8m 5 дней назад

      Akih😢 so sad

  • @clarekenyani4263
    @clarekenyani4263 5 дней назад +50

    Hatuna kiongozi sisi

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 5 дней назад

      😂😂😂😂😂nakupenda sana❤

    • @user-wl1gn9gq3s
      @user-wl1gn9gq3s 5 дней назад

      Stop importing problems

    • @user-wl1gn9gq3s
      @user-wl1gn9gq3s 5 дней назад

      Hao maskofu walafi hatuwataki

    • @user-wl1gn9gq3s
      @user-wl1gn9gq3s 5 дней назад

      Ilepesa walikua wanapatiwa imeisha .no more money laundering in churches.

  • @abigelmombasa2323
    @abigelmombasa2323 5 дней назад +7

    Ruto Must Go Na Wote Walio Vote Yes Watoke Wote .They Must Go Home Na Hawa Mapostor Tuwanyoroshe Pia

  • @clintonpools3595
    @clintonpools3595 5 дней назад +14

    Divede and rule strategy

  • @24.179
    @24.179 5 дней назад +17

    He's even outlining agenda he wants to be discussed. This guy does not get it and wont get it. He is still overlooking the issues Gen Z has outlined including his resignation😂😂

  • @SAUTI_YA_DHAHABU
    @SAUTI_YA_DHAHABU 5 дней назад +14

    Ruto must go

  • @w.s.rchiefhustlernews5727
    @w.s.rchiefhustlernews5727 5 дней назад +29

    Ruto must go, we

    • @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
      @Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti 5 дней назад +2

      You want him to go where. To your home?

    • @Victor62.
      @Victor62. 5 дней назад +1

      He ain't going anywhere, ata 2027

    • @jeremiahotuto6250
      @jeremiahotuto6250 5 дней назад

      He is going nowhere. People with low reasoning capacity like you matter economics are the one shoutig ruto must go day in day out .

  • @Haron-lk7bn
    @Haron-lk7bn 5 дней назад +6

    We will never forget

  • @timothykiogora3372
    @timothykiogora3372 5 дней назад +15

    Hao wenye watachaguliwa si atawaua wote 😢😮

  • @danlabsofficial3722
    @danlabsofficial3722 5 дней назад +2

    To keep things transparent, I think the discussions should be aired live on the internet...
    Some of the youths who rejected the finance bill might not be economists or well versed with politics so it might be easy for the govt to tune them to their song

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 5 дней назад +49

    Kiongozi wa gen Z ni MUNGU,

  • @coinblock-rv1pm
    @coinblock-rv1pm 5 дней назад +12

    This president ataacha kama tumefirisika.. adding loan interest every month through central bank....worst president ever,Ruto must go##

  • @SAUTI_YA_DHAHABU
    @SAUTI_YA_DHAHABU 5 дней назад +10

    Sisi hatuna kiongozi 😊kila mtu ni kiongozi

  • @user-yq3hl1cp6b
    @user-yq3hl1cp6b 5 дней назад +6

    Then the Bishops call him their Bishop. People are sick

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX 5 дней назад +8

    We will have leaders but now we don't want to talk to a liar ....
    Heartbreaking of all using church

  • @Littlecrafties_
    @Littlecrafties_ 5 дней назад +5

    We dont have leaders as gen z sawa????

  • @MULLAMUSICWORLDWIDE
    @MULLAMUSICWORLDWIDE 5 дней назад +4

    Do this religious leaders really know who Ruto is ?Do They ?

  • @simonjuma6849
    @simonjuma6849 5 дней назад +19

    Kumbe Ruto hana adabu.
    He is supposed to be telling us how to compensate for the death caused by him

  • @john-m2z
    @john-m2z 5 дней назад +15

    No hope,on this one

    • @susannangurai3348
      @susannangurai3348 5 дней назад +1

      Jiongelele....some of us have Hope in him

    • @prosperjuma4993
      @prosperjuma4993 5 дней назад

      Kuma la mamaako changudoa mkubwa ww ​@@susannangurai3348

  • @EverlyneLiavuli
    @EverlyneLiavuli 5 дней назад +8

    Ruto must goo

  • @Rhodakananu-zo3bm
    @Rhodakananu-zo3bm 5 дней назад +8

    Anataka kujua waakilishi wa Gen Z ndiyo aweze kuwaua shetani tunakujua, just resign and leave Kenyans with peace

    • @lydiah-3953
      @lydiah-3953 5 дней назад

      Hatuna viongozi Mungu ndie kiongozi wetu❤

  • @eunicejefwa1935
    @eunicejefwa1935 5 дней назад +7

    Ubaya akili yako na Gen z ni tofauti. Gen z wamekushinda ujanja kuwapata ni ngumu

  • @vicentepascal6758
    @vicentepascal6758 5 дней назад +7

    Huyu anajifanya ni kama haelewi chochote. Eti gen z wajipange wafanye mkutano na yeye. ? Hii ujuaji na kiburi ya ichungwa unatumia itamramba tena.

  • @smithtelvin4016
    @smithtelvin4016 5 дней назад +3

    Leo nimeskia mtu akisema ati Ruto akiwa news heri stima ipotee😂

  • @user-wl1gn9gq3s
    @user-wl1gn9gq3s 5 дней назад +3

    We dont want this meeting at state house .lets do zoom meeting

  • @chidebrutechs
    @chidebrutechs 5 дней назад +8

    Ameagiza nani kama nani??? Hatuna viongozi kama vijana. Ruto must go home now.

  • @wafulak2
    @wafulak2 5 дней назад +5

    Before atafute watu na kuuwa please Gen z mtoe aende home please

  • @johncylasmwadime6372
    @johncylasmwadime6372 5 дней назад +17

    Viongozi wa vijana ndio wale uliuwa

  • @ArafatJuliusNyerere
    @ArafatJuliusNyerere 5 дней назад +7

    Ujiuzuru mara Moja burukenge hiiii

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k 5 дней назад +6

    Zakayo enda sugoi hatuna rais just goooo period

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 дней назад +7

    Shida Ruto ni wewe kujiunga na marekani wazee wa ushoga ndio mana vijana wa kenya hawakuelewi.

  • @kiganmoschinoo
    @kiganmoschinoo 5 дней назад +11

    Ruto must goooooooooo😢

  • @ElizabethNafunamakhanu
    @ElizabethNafunamakhanu 5 дней назад +12

    Hapo hapana

  • @user-yo8st5ms1r
    @user-yo8st5ms1r 5 дней назад +14

    Baada ya kuuwa watu mia tano?
    Damu imekutosha?
    Gen Z haina viongozi. Simply do what is right and Kenya will be safe.
    Bado unajitetea hapa?
    Mdomo mdomo.
    Maaskofu mkicheza tutawasalimia.
    Nyinyi ndio mlikula pesa za ruto za campaign.

  • @RobinOyie
    @RobinOyie 5 дней назад +8

    Kazi ya mjengo ndio unasema

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 5 дней назад +4

    Kweli hawa GenZ wako na a leader kweli? 🤔? Again if anyone goes there I think they will be compromised

  • @salomemuimi5156
    @salomemuimi5156 5 дней назад +8

    Akitaka kuzungumza na Gen Z awaite wote state house, vijana over 2 million wakuje

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 5 дней назад

      plus wale aliua tubebe miili yao..

    • @kopiyokratos6759
      @kopiyokratos6759 5 дней назад

      Vijana ni over 20million, hatuezi tosha anywhere maybe tuende huku kwa shetani

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 5 дней назад +5

    Kwani kenya iko na wakristo pekee.....tutakuja sote hatuna kiongozi pika mahamri kwa wingi na rooms za wageni

    • @GladMbori-pf3cx
      @GladMbori-pf3cx 5 дней назад

      😂😂😅Aki kuwa stressed Kenya ni kupenda kwako .

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo 5 дней назад +4

    Hatuna kiongozi. Gen z si chama cha kisiasa. Hatuna ukabila lugha yetu ni mbili tu. Kiswahili na Kiingereza

  • @directorme6669
    @directorme6669 5 дней назад +6

    Hivi ndivyo wataingizwa box.

  • @SSk5k
    @SSk5k 5 дней назад +2

    The only latter we want see is Ruto's and gachagua"s resignation latters

  • @briankwala7923
    @briankwala7923 5 дней назад +4

    Huyu. zakoyo huwa hasikii maneno, tuondolee uwongo hapa

  • @franciskimani9950
    @franciskimani9950 5 дней назад +4

    Tutaketi chini kwa maobolezi ya waliouawa...tupatane uko pls

  • @georgesagwe6703
    @georgesagwe6703 5 дней назад +3

    These men of the church must stop going to state house and calling the president their Bishop..Let them pray for the government and stick yo their mandate

    • @user-yq3hl1cp6b
      @user-yq3hl1cp6b 5 дней назад

      Imagine. That he is their Bishop. Disgusting

  • @junexfritz1151
    @junexfritz1151 5 дней назад +2

    Once a ruler becomes religious, it becomes impossible for you to debate him.
    Once someone rules in the name of religion, your life becomes hell.
    Before that start with:
    -Dropping SHIF and reinstate NHIF
    -Drop land amendment Act
    -Stop parenting kenyans by talks from church elders, be a leader.
    -Give us the audit of the kenyan debt.

  • @lakeinrocks
    @lakeinrocks 5 дней назад +4

    Hao viongozi wa dini are the same people that keep receiving briefcases of money. Kenyans, why do we still pay these people sadaka?? Boycott them and pray for yourself. Mungu anasikia believe me.

  • @napleieunice
    @napleieunice 5 дней назад +8

    NHIF plzz pesa yake itaenda wapi??

  • @kenixomwoyo6356
    @kenixomwoyo6356 5 дней назад +2

    We don't have such plans to meet up with the president we are leadless we are united

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 5 дней назад +7

    Huyu aende tu una ukabila Sana kwani ikulu ni ya wakristo tu🤔

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 5 дней назад +19

    Watu wanalipwa mshahara tangu enzi za wakoloni sio wewe wakwanza 😂😂😂😂 kulipa watu mshahara tupatane Tuesday na sio tafadhali utatiiii tu

    • @judithnawire9050
      @judithnawire9050 5 дней назад +2

      Ukweli anajaribu mbinu zote kuaingiza watu box,anajaribu vile watamwonea huruma

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 5 дней назад +4

    wee wacha...no kuongozi..hapa waende wapewe peza waepe .hii n kenya mzima..

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 5 дней назад +2

    Gen Z's you step in state house NO different to Mpigs 2 million zakayo bribes. Gen Z's remember sons and daughters of mau mau Mungiki there mission was about lands but mzee moi invited them to state house and after cheating them used them and you all know what happened to mungiki . Same to Gen Z's you go to state house ends of Gen Z's used.and DUMPED.

  • @franciskienji2691
    @franciskienji2691 5 дней назад +2

    Point of collection Gen Z hawana kiongozi president akuje kila County atuongereshe lakini huwez sema ati Uite huyu na huyu hiyo zii

  • @isaacmaskati392
    @isaacmaskati392 5 дней назад +4

    He is still calling innocent Kenyan criminal

  • @FelixOkanga
    @FelixOkanga 5 дней назад +4

    Hatutaki mazungumzo na ruto no way!

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton 5 дней назад +3

    Gen Z don't have a leader

  • @WorldStagee
    @WorldStagee 5 дней назад +2

    Can someone help me stop seeing ruto as a criminal. 😢😢. When I see him, I just see the blood of hundreds who left us in demos and in the past.😢😢. This man!!😭

  • @SteephenNyangau
    @SteephenNyangau 5 дней назад +3

    Hoja Ruto must go

  • @godblessyoumheshikieru6503
    @godblessyoumheshikieru6503 5 дней назад +3

    Gen z haina wakubwa...hawaite uhuru Park ama nyayo stadium

  • @gordonobala4999
    @gordonobala4999 5 дней назад +1

    Yani Rais anabehave nikama alichaguliwa bila plan yoyote, hii mazungumuzo mingi niyanini na alikua na manifesto ya Chama,

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels 4 дня назад +1

    Hatutaki mazungumuzo MSHEZI ww RUTO MUST GO

  • @sheemainah2989
    @sheemainah2989 5 дней назад +5

    Baada ya kuua sasa unakimbia kanisani. Shetani!!!! EVIL

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 5 дней назад

      we all know even the devil goes in the presence of the Most High

  • @IvonneQueen
    @IvonneQueen 5 дней назад +3

    Roto must go 😢😢😢 hatutaki mamba yako tena

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci 5 дней назад +2

    Genz should write down their proposals and stick to them hata akihonga hao bado mkue na proposals that cannot be bended at what ever cost

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 5 дней назад

      my friend we all know what needs to be done, sio lazima tuandike proposals....what is right is known but they choose to ignore our welfare....

    • @FaithImani-qj1ci
      @FaithImani-qj1ci 5 дней назад

      @@crescentomenda7626 let them ignore at their own peril.....if they do

  • @HISEXCELLENCEFAMILY
    @HISEXCELLENCEFAMILY 5 дней назад +2

    Speak to Kenyans we don't have leaders

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 5 дней назад +8

    😅😅😅😅😅utatia akili tu

  • @RuthZaviour-yk7os
    @RuthZaviour-yk7os 5 дней назад +3

    Hawa wanatumiwa kama tissue.Just tell him the truth anaenda nyumbani.

  • @chanceobondo3843
    @chanceobondo3843 5 дней назад +1

    Hapana, kama watu hawangetokea na kukufa then you wouldn't have done this. This is unexceptable. We have no leaders

  • @profAKILI
    @profAKILI 5 дней назад +1

    10days to go before the financial bill becomes law...tiktok tiktok, time is ticking Mr Speaker Sir😂

  • @danielmiano6315
    @danielmiano6315 5 дней назад +4

    We no longer trust him especially after killing our comrades let him rest ameshindwa na kazi

  • @beatriceaber4844
    @beatriceaber4844 5 дней назад +3

    Na kwanini uliwuua watoto?

  • @uniquevicky2284
    @uniquevicky2284 5 дней назад +1

    We can't listen to a father who called us criminals

  • @Easymoneyman44
    @Easymoneyman44 5 дней назад +1

    Upuzi Hatuna leader

  • @susanmugo6570
    @susanmugo6570 5 дней назад +4

    Keep church men away from this discussion

    • @crescentomenda7626
      @crescentomenda7626 5 дней назад

      he is seeking legitimacy from the same people he bribed to spread his lies during campaigns...