Viongozi wa Mombasa, Embu wakutana kutatua mzozo wa biashara ya miraa, muguka
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Abdulswamad hapa umeuza wenzako. Watu wanapinga then ww unaweka kikao na unakubali hii ni kuonyesha kuwa watu wa mombasa huwezi watendea haki wanayotaka
Ingekuwa banned kabisa hii kitu mazungumzo ya nn...😢😢😢
@@Mohammadbora-cd6jg yani sta ameniudhi sana badala sungane na wa mombasa wasimame na msimamo alieta ujinga mbona asiwambie wauzie kwao anguished uyu mpuzi amefanya wenzake waonekana hawana mana
@@ummiissaabdulissaabdul8117 Twaonekana watu tusio na mcmamo kabisaa, yan ckutarajia atakuja kubali ivo...
Why don't the Embu farmers grow real beneficial crops kuliko kulazimishia wapwani mihadarati ???!! Watoto wenu wasome, wetu wakue mazezeta !
How about hard drugs that coast region is known for
@arfenmalik1717 That's a good question for the security agents, but as a people, we've no connection to those, and we don't condone any illicit drugs !
Uko sure connection haiko..au unaongea vitu hujui..@@lenniefei6710
Unga ndo imeharibu watu was coast sio muguka watoto was huku wanachana na wanasoma tu but unga ni mbaya
@@patrickmugambi9395 Both Unga na mogokaa MUST be kept out of Mombasa, period !
Nono hatutaki mukoka kabisa mombasa mwacheni Mambo ya mukoko hatutaki kabisa mombasa wacheni watoto hata wanaume pia inawathiri kabisa
Nakuunga mkono
wacha waume hata wanawake wengi wamepoteza na uraubu wa miraa mtu yuazua kila kitu mradi apate pesa ya miraaa wapige marufuku abdul swamad ache ujinga
Kula gomba mwanangu achana na hawa wazushi hawajui faida zske
🎉🎉
Hatutaki miraa Mombasa
Kushikisha nayo ni sheria.
Miraa😂? Mombasa County you are not serious
Sad to people of nombasa,the parents who are losing their sons n daughters to this miraa/muguka..It is a big let down..the Embu and Meru are only concerned with their business at the expense of societal decay!. Very greedy n immoral..wake up mombasa and save your future generations!
They are losing them to cocaine and heroine
Kimumunye!! Bure kabisa..
✍️ Mheshimiwa Governor...
✍️ Popote pale Ujumbe wangu kwako ni kuwa """ PALIPO NA UFA HUJENGWA NA SIO KUPAKWA RANGI """
✍️ Kiukweli kwa kauli yako hakutakuwepo na suluhu kwa lolote lile juu ya jamii yetu nzima ya pwani...
Auna msimamo wala nini sasa niyapi Aya Abdulswama
Self interest.. Very sad!
Hizo vitu zitolewe Mombasa vijana wameharibika,,,kila mahali watu husema vijana wa Mombasa migukaa tuu
Hakuna miraa nje ya shule, miraa iko kila mahali acha ujinga
Muuguka is very lethal.shiould be banned in total even in Embu..Mbarire tell your people to grow sensible plants ..ama wakule muguka wenyewe.Have a son who chews the Poison so i know it is lethal.
Gavana wa mombasa funga hii kitu kwani ni lazma iuzwe mombasa kma ina faida wapeleke kwingine
gavana uyu hana mana mana watu washirikiana kupiga marufuku yeye ati kikao cha nini madhali wamombasa ndio wathirika akuna kuingia mugoka wala miraa wauzie uko unajo toka kwani lazi uku
Kwan x muuze uko meru
Abdullswamad umetuangusha unge funga kabisa hiyo biashara.hainafaida Kwa wa pwani ni hasara tupu
Ametuangusha sana na pia walio kua wamuunga mkono amewaachs njia panda mana niupuzi badala ashikilie msimamo yeye ashalegea sasa mtetezi wawapwani atatoka wapi mbona wasiuzie kwao wakapata izo. faida
Nothing good comes out of these herbs...
Stupid mombasa governor tafutia vijana wetu wa pwani kazi
akuna kitu gavan umefanya umeshapatiwa za macho ukalegeza msimamo uzidi kuwaaribu vijana muuzaji atauza ama atangalia nani msomi nani si msomi wacha mwandazimu uchekesha kama akutoka kwenu
si ndio hapa amelegeza kamba mara moja sana amehogwa uyu muuzaji atauza aja yake mpesa ati wanafunzi yuatufunga macho kwani angesema sitakinkakoa watu wangamia uku wscha watoto wamama nao waliingia kwenye uraibu wa miraa kusomesha watoto hana wauza kila kitu kwa kula miraa abdul swamad ametuangusha afai
pigeni marufuku miracle na mugokaa abdul swamad mjinga sana utakaa kwa wauzaji wasiuzie wanafunzi mjinga wewe nliona utashikilia watu wapotea sio wanafunzi tu wazazi wengi wameingilia uraibu wa miraa wauza mpaka manyumba mpuzi sana mbona kwao wasouze