Viongozi wa Mombasa, Embu wakutana kutatua mzozo wa biashara ya miraa, muguka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024
  • Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 38

  • @jumangalaa179
    @jumangalaa179 26 дней назад +6

    Abdulswamad hapa umeuza wenzako. Watu wanapinga then ww unaweka kikao na unakubali hii ni kuonyesha kuwa watu wa mombasa huwezi watendea haki wanayotaka

    • @Mohammadbora-cd6jg
      @Mohammadbora-cd6jg 26 дней назад

      Ingekuwa banned kabisa hii kitu mazungumzo ya nn...😢😢😢

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад +1

      @@Mohammadbora-cd6jg yani sta ameniudhi sana badala sungane na wa mombasa wasimame na msimamo alieta ujinga mbona asiwambie wauzie kwao anguished uyu mpuzi amefanya wenzake waonekana hawana mana

    • @Mohammadbora-cd6jg
      @Mohammadbora-cd6jg 25 дней назад

      @@ummiissaabdulissaabdul8117 Twaonekana watu tusio na mcmamo kabisaa, yan ckutarajia atakuja kubali ivo...

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 26 дней назад +7

    Why don't the Embu farmers grow real beneficial crops kuliko kulazimishia wapwani mihadarati ???!! Watoto wenu wasome, wetu wakue mazezeta !

    • @arfenmalik1717
      @arfenmalik1717 26 дней назад

      How about hard drugs that coast region is known for

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 26 дней назад +1

      @arfenmalik1717 That's a good question for the security agents, but as a people, we've no connection to those, and we don't condone any illicit drugs !

    • @viktoromoding3399
      @viktoromoding3399 25 дней назад

      Uko sure connection haiko..au unaongea vitu hujui..​@@lenniefei6710

    • @patrickmugambi9395
      @patrickmugambi9395 23 дня назад

      Unga ndo imeharibu watu was coast sio muguka watoto was huku wanachana na wanasoma tu but unga ni mbaya

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 23 дня назад

      @@patrickmugambi9395 Both Unga na mogokaa MUST be kept out of Mombasa, period !

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 26 дней назад +5

    Nono hatutaki mukoka kabisa mombasa mwacheni Mambo ya mukoko hatutaki kabisa mombasa wacheni watoto hata wanaume pia inawathiri kabisa

    • @BMboss108
      @BMboss108 25 дней назад

      Nakuunga mkono

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад

      wacha waume hata wanawake wengi wamepoteza na uraubu wa miraa mtu yuazua kila kitu mradi apate pesa ya miraaa wapige marufuku abdul swamad ache ujinga

  • @maase2023
    @maase2023 26 дней назад +3

    Kula gomba mwanangu achana na hawa wazushi hawajui faida zske

  • @eriksenmwenda2262
    @eriksenmwenda2262 26 дней назад

    🎉🎉

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 23 дня назад

    Hatutaki miraa Mombasa

  • @waiganjokelvin2283
    @waiganjokelvin2283 22 дня назад

    Kushikisha nayo ni sheria.

  • @diddyneshittorre6202
    @diddyneshittorre6202 24 дня назад

    Miraa😂? Mombasa County you are not serious

  • @husseinabdi657
    @husseinabdi657 25 дней назад +1

    Sad to people of nombasa,the parents who are losing their sons n daughters to this miraa/muguka..It is a big let down..the Embu and Meru are only concerned with their business at the expense of societal decay!. Very greedy n immoral..wake up mombasa and save your future generations!

  • @masudisaid4106
    @masudisaid4106 25 дней назад

    Kimumunye!! Bure kabisa..

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 25 дней назад

    ✍️ Mheshimiwa Governor...
    ✍️ Popote pale Ujumbe wangu kwako ni kuwa """ PALIPO NA UFA HUJENGWA NA SIO KUPAKWA RANGI """
    ✍️ Kiukweli kwa kauli yako hakutakuwepo na suluhu kwa lolote lile juu ya jamii yetu nzima ya pwani...

  • @user-bp7ry5ey1f
    @user-bp7ry5ey1f День назад

    Auna msimamo wala nini sasa niyapi Aya Abdulswama

  • @husseingulam996
    @husseingulam996 23 дня назад

    Self interest.. Very sad!

  • @athmanbaya2053
    @athmanbaya2053 26 дней назад

    Hizo vitu zitolewe Mombasa vijana wameharibika,,,kila mahali watu husema vijana wa Mombasa migukaa tuu

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 25 дней назад

    Hakuna miraa nje ya shule, miraa iko kila mahali acha ujinga

  • @williamgithieya840
    @williamgithieya840 26 дней назад +3

    Muuguka is very lethal.shiould be banned in total even in Embu..Mbarire tell your people to grow sensible plants ..ama wakule muguka wenyewe.Have a son who chews the Poison so i know it is lethal.

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 26 дней назад

    Gavana wa mombasa funga hii kitu kwani ni lazma iuzwe mombasa kma ina faida wapeleke kwingine

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад

      gavana uyu hana mana mana watu washirikiana kupiga marufuku yeye ati kikao cha nini madhali wamombasa ndio wathirika akuna kuingia mugoka wala miraa wauzie uko unajo toka kwani lazi uku

  • @AminanabwileMoha
    @AminanabwileMoha 16 дней назад

    Kwan x muuze uko meru

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 26 дней назад

    Abdullswamad umetuangusha unge funga kabisa hiyo biashara.hainafaida Kwa wa pwani ni hasara tupu

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад

      Ametuangusha sana na pia walio kua wamuunga mkono amewaachs njia panda mana niupuzi badala ashikilie msimamo yeye ashalegea sasa mtetezi wawapwani atatoka wapi mbona wasiuzie kwao wakapata izo. faida

  • @jeiysir2500
    @jeiysir2500 26 дней назад

    Nothing good comes out of these herbs...

  • @abdulbasidosman4106
    @abdulbasidosman4106 25 дней назад

    Stupid mombasa governor tafutia vijana wetu wa pwani kazi

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 26 дней назад

    akuna kitu gavan umefanya umeshapatiwa za macho ukalegeza msimamo uzidi kuwaaribu vijana muuzaji atauza ama atangalia nani msomi nani si msomi wacha mwandazimu uchekesha kama akutoka kwenu

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад

      si ndio hapa amelegeza kamba mara moja sana amehogwa uyu muuzaji atauza aja yake mpesa ati wanafunzi yuatufunga macho kwani angesema sitakinkakoa watu wangamia uku wscha watoto wamama nao waliingia kwenye uraibu wa miraa kusomesha watoto hana wauza kila kitu kwa kula miraa abdul swamad ametuangusha afai

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 25 дней назад

    pigeni marufuku miracle na mugokaa abdul swamad mjinga sana utakaa kwa wauzaji wasiuzie wanafunzi mjinga wewe nliona utashikilia watu wapotea sio wanafunzi tu wazazi wengi wameingilia uraibu wa miraa wauza mpaka manyumba mpuzi sana mbona kwao wasouze